Also software designer na programer wenu hamna kitu mbona simple kwenye hiyo ishu ya picha
@khatibumuba4076 күн бұрын
Kuna machine nyingi za kufunga iyo sehemu ya parking wala haitaji vijana kuwadhurumu watu kama ivyo
@abdallahshariff65556 күн бұрын
Si waadilifu,tunapigwa double double,watu wamefuatikia na wametowa malalamiko,Mimi mwenyewe pia wamenidhulumi,sio waadilifu ila watu hawapendi kupoteza muda wanalipa tu,ila dhulma ipo
@abdulikilala59027 күн бұрын
Oscar umependeza mno hongera
@nikky47577 күн бұрын
Kwa namna unavyoongea uneprove kuna upigaji wa wazi wazi na hayo ni madeni hewa
@SEVENTAIMBEMBELA5 күн бұрын
Huyo mtumishi mwenyewe hajitambui kama umeferi kusimamia makusanyo unasubiri nn kazini jiondoe tu eti afisa ofisi ya raisi mnachafua tu raisi
@rufinermwamdanga49467 күн бұрын
muhimu nimepaki gari ndiyo nipewe risiti yangu Ya 500
@abdaiiyatv75707 күн бұрын
🎉🎉
@jumasawa91597 күн бұрын
Wazinguaj mimi deni likikua 40000 ghafla laki 312000 ndani ya week moja nikaenda kufatilia wanasema mifumo inazingua natakiwa kulipa 175000 daah nimechoka
@khatibumuba4076 күн бұрын
Ishu ndogo iyo ya kutatuwa lkn nyinyi to akili zenu zinawaza kupiga pesa mujaze matumbo yenu
@emmanuelzawadiel53207 күн бұрын
Ndugu kibasa kuna maonezi mengi katika haya makusanyo yenu
@FatmaRajab-ll8gw7 күн бұрын
Tuachane na madeni Oscar anatoka kuawa au 😂😂😂😂mbona kapendeza ivo
@SaidHamis-yz1vt7 күн бұрын
MWANZA WANAPIGA PICHA HATA KAMA GALI LIKO BARABANI WANAPIGA PICHA HOVYO SELIKALI ICHUNGUZE HILI. MUWE MNAWEKA RISITI KWENYE VIOO VYA MBELE