Saf sana kesho mambo mazuri lakini sendoff ya Leo haijanoga tarehe nane Simba wasipeleke timu
@FarahaniSalehe2 ай бұрын
MY TEAM💥
@LeylaSaria2 ай бұрын
Mmetishaa
@NeemaAkyoo-s4s2 ай бұрын
Vibe kama lote🎉🎉🎉🎉🎉
@josephmakuri57242 ай бұрын
Nani anakubali kwamba yanga ni klabu Namba moja africa
@RahmaRahma-b9g2 ай бұрын
Love ynga❤❤❤❤❤ niko mbali ningexhiliki
@shamimuAthuman2 ай бұрын
Weweeeeeee
@nessmzumbwe2 ай бұрын
Yanga oyeeeee
@ThuwaibaMkana2 ай бұрын
❤❤❤
@DicksonNasibu-tv7vr2 ай бұрын
Safi sana
@esterkessy69402 ай бұрын
Yaaaniiiii nyieee hamuogopiiii???🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@salemarahbi91712 ай бұрын
Yanga raha nyieee 😅😅
@BahatiSego2 ай бұрын
💚💛👏👏👏
@shedadiabdul6542 ай бұрын
💛💚🖤🏅🏆🔥🔥🔥
@mwajumampokileomckapela75412 ай бұрын
Wanachiiiiii 🔰🟢🟢
@aishabakari80402 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@benedictkiteji36272 ай бұрын
Mnetishaaaa😂😂😂😂
@Naomi-jo9tn2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉💛💚💛💚
@mealsbymana65612 ай бұрын
👏👏👏💛💛💛💚💚🙏🙏
@DicksonNasibu-tv7vr2 ай бұрын
Yanga Bingwa
@saliieking72792 ай бұрын
Yanga taifa kubwa
@malietamaliet2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉💛💚🇹🇿🔥🔥
@MUSAMAYEMBA2 ай бұрын
thats right
@hassantoure74722 ай бұрын
Halafu Huyo bouncer amevaa white hapo,,utulie pia wananchi kwa heshima yao wanataka kukimbia kando ya Ali kamwe na Manara,,usije ukawasukuma wanapowakaribia,,ni upendo
@lucymsheshi58712 ай бұрын
Hivi jamani kigelegele Yuko wapi
@BoomGate-lq9uv2 ай бұрын
Na linah yanga hawa watu wako wap
@AlfredRutaguza2 ай бұрын
Na nyinyi tumieni nguvu kuwazuia wa kwenu wasiende kesho
@rukaya-jg7hj2 ай бұрын
Nkane asipojituma mwakan atafute tu team sisi hatulal kwa ajili yao
@Mollel692 ай бұрын
Kujitumaje yaani maana akipewa nafasi anapambana sasa unataka ajitume vipi
@Maryc2G2 ай бұрын
Mazoezi ya nguvu
@bmwinuka2 ай бұрын
Lei si simba day 😂.. mbona ni Kama yanga day’ simba wapo kimya siku yao..yanga wamechangamka
@aishabakari80402 ай бұрын
Jamani niulize mbona manara havai jezi tangu zitangazwe 😢
@elidadi13512 ай бұрын
Ucjali atavaaa kesho anapotambulisha wachezaji lakini mbona anavaaa mara nyingi tu
@robertchazya23512 ай бұрын
We vaa yako
@lwagamwakalinga80382 ай бұрын
Swali la msingi sana hili japo wanaojaribu kujibu ni kama wanatanguliza jazba
@aishabakari80402 ай бұрын
@@lwagamwakalinga8038 mi nimeuliza tu vizuri ila mtu anatoka n njaa zake huko anakuja kukuchamba
@everlynkimaro402 ай бұрын
ANA MKATABA NA KAMPUNI NYINGINE YA KUBET, INAITWA PARMACHT. HIVYO HAWEZI KUVAA JEZI YENYE SPORTPESA. 🙏
@mussajoseph39102 ай бұрын
Yanga yatumia nguvu kubwa kuwazuia mashabiki wao kwenda simba day kwakuwapa supu ili simba wasijaze uwanjan lakn pamoja nahayo uwanja umejaa🤣😂
@Anuarmustafa41282 ай бұрын
Nyau wewe kila mmoja na lake
@VeronicafautineFaustineveronic2 ай бұрын
Kila mmjo atakula kamba ya urefu wake nguruwe pori wewe,tamasha lenu limepooza kwendraaaaaa