YANGA INAWEKA KAMBI WAPI?/MSIKIE ALLY KAMWE AKITOA RIPOTI KAMILI.

  Рет қаралды 94,429

Yanga TV

Yanga TV

14 күн бұрын

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Пікірлер: 216
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 12 күн бұрын
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@malietamaliet
@malietamaliet 12 күн бұрын
Khee mwenyezi Mungu bariki timu yetu msimu ujao inshallah ikawe kheri kwetu wajalie uzima afya njema wachezaji wetu bench la ufundi piah tuweze kufanya vzr
@ommyhatib7331
@ommyhatib7331 12 күн бұрын
Mwakahuu mungu akipenda kombe mapema xan
@user-tr7wf9sj7h
@user-tr7wf9sj7h 12 күн бұрын
Hongera sana kwakweli mnafanya kazi kubwa inayotufurahisha sana wana Yanga
@sumaiyyaelias
@sumaiyyaelias 12 күн бұрын
nikwel chama yupo yanga mbn tutakuwa vzr sana tusichenze tanzania si mabingwa champion jaman yanga❤
@FabiolaSommy
@FabiolaSommy 12 күн бұрын
🎉🎉🎉 Mungu akupe maisha marefu semaji letu
@ChenchiKing
@ChenchiKing 12 күн бұрын
Mwenyekiti Wa Wasemaji Barani Africa#Ally Kamwe# Daima Mbele Nyuma Mwiko💚🇹🇿🇹🇿
@patridabernard9148
@patridabernard9148 12 күн бұрын
Yaan Yanga Bora tena sana
@GMHOTELMOROGORO
@GMHOTELMOROGORO 11 күн бұрын
yanga borta
@magangamasansa4160
@magangamasansa4160 12 күн бұрын
Mimi Aziz hanipi presha hata asipolizia wa muache aende, alienda mayele lakini tulipambana, kwahiyo Aziz K uwenda amepata Dau kwingine ni Sawa tu
@amanikaduma237
@amanikaduma237 12 күн бұрын
Na ndo maana wakamsajili chama
@user-cv4yi5hz9b
@user-cv4yi5hz9b 11 күн бұрын
Muache ndo anaenda kupotea maxima walahi 🤔 yanga timu kubwa kuliko timu hizo😮😮😮🤪🤪💚🤲🏻🔜🏆🏆🏆🏆💚💚🤲🏻
@kyflavour
@kyflavour 12 күн бұрын
Nakubali Chama langu
@BasuleBasule
@BasuleBasule 12 күн бұрын
Yanga Inabidi Tupate Winga 1 Na Kiungo Mkabaji Mwengne Hapo Aje Yeyotee
@chrissantkaunda9958
@chrissantkaunda9958 12 күн бұрын
Safi Sana ila tujiandae kisaikorojia kuhusu Aziz ki maana ata sielewi
@amaniomar1755
@amaniomar1755 12 күн бұрын
Mchezaji akitaka changamoto sehemu nyengine hafai kuzuiwa
@B.M-ix4rz
@B.M-ix4rz 12 күн бұрын
Mm Sina hofu na timu km Aziz hajasain bac kocha atajua nn afanye
@user-er1dk6zj6u
@user-er1dk6zj6u 12 күн бұрын
Wacha was was wewe ki yupo
@Abuu-gs1yi
@Abuu-gs1yi 12 күн бұрын
Kuwa na amani kabsaaa
@B.M-ix4rz
@B.M-ix4rz 12 күн бұрын
@@user-er1dk6zj6u mbona mpaka saiv mara hajasain mara tayr Kwakweli hatujui tubakie na lip
@dullamuso6955
@dullamuso6955 10 күн бұрын
Mungu Ibariki Young African Sports Club, Tupe nguvu na Utimamu zaidi Hakika Tukateteee Ubingwa na Hatimaye Kombe la Africa likaje Tanzania 🇹🇿
@amaniomar1755
@amaniomar1755 12 күн бұрын
Mwenyekiti wa wasemaji wote safi sana 🎉🎉🎉
@MonicaSimon-py3nx
@MonicaSimon-py3nx 11 күн бұрын
Mwenyezi mungu wabariki wachezaji wetu
@roseurio4983
@roseurio4983 10 күн бұрын
Na hivi eng Aris alishafunguaka mlango wa magoli kuleee moro .Mungu ibariki yanga
@mudylipawaga5362
@mudylipawaga5362 12 күн бұрын
Yanga bingwa tena inshaALLAH🙏🏼
@kalingavictor7068
@kalingavictor7068 12 күн бұрын
Ally , mwambie injinia apambane tusimpoteze Azizi
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 12 күн бұрын
Aziz yupo Yanga na wiki ijayo anakuja
@kalingavictor7068
@kalingavictor7068 12 күн бұрын
@@muddymuzungu4357 Itakuwa furaha kubwa kwa wanayanga wote
@salahtv5591
@salahtv5591 12 күн бұрын
Lipia kadi aziz ki lzm atabaki
@kalingavictor7068
@kalingavictor7068 12 күн бұрын
@@salahtv5591 hiyo tu siyo shida
@ZuenaMashauri
@ZuenaMashauri 11 күн бұрын
Azizi ki yupo yanga jamani
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 11 күн бұрын
🤗🤗🤗🤗🤗🇹🇿🇹🇿🇹🇿🕺🕺🕺🕺 yanga bingwa 2024 adi 30
@vaxminja9053
@vaxminja9053 11 күн бұрын
Aziz K alishasaini muda mrefu sanaaaaa
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 12 күн бұрын
Wajihi wa ally kamwe unamaana sana kuhusu Azz k Sina tumaini
@RamadhanMabwabwa
@RamadhanMabwabwa 12 күн бұрын
Kweli dogo kapoa sana
@careemdulla1629
@careemdulla1629 11 күн бұрын
We Aziz Ki tufanye tuwezavyo tumbakishe Aziz K ni mchezaji muhimu sana na hatari pamoja na Pacome Hawa kwa sasa ndio nembo ya Yanga Africa
@kaseja
@kaseja 12 күн бұрын
Alhamdullilah furaha imerudi sasa.
@AgnesRobert-q1i
@AgnesRobert-q1i 10 күн бұрын
Mungu ibariki yanga🎉 hatuna muda wapinzan😂😂
@religiondoctrines7
@religiondoctrines7 11 күн бұрын
Hongera sana viongozi wetu🎉🎉🎉🎉🎉, I l o v e y o u Y a n g a
@futurecarefamily5454
@futurecarefamily5454 11 күн бұрын
Friji lipooo 😂😂😂Naijua hiyooo....😅😅😂😂😂kehee....Azizi ki yupo paleee amekaa🤣🤣🤣🙌
@BADAWY575
@BADAWY575 12 күн бұрын
Oyaa al watana punguza kucheka cheka alafu kuweni serious leteni vitu kwa raha data .punguzeni utani kwenye kuongea na watu wengi si munajua yanga ni kubwa nazani mutakua mumenifahamu kamwe na mwenzako al watan
@samclaud
@samclaud 12 күн бұрын
Keep going champion 🏆🏆🏆🏆
@ThomasDonard
@ThomasDonard 12 күн бұрын
Wa kwanz jamani
@alishaplate6290
@alishaplate6290 12 күн бұрын
Jmn yote Tisa kumi Azz k yupo wp jmn mbn mnatuumiza roho hivi 😢
@LavenEliasy
@LavenEliasy 11 күн бұрын
💚💚
@amanisanatu3889
@amanisanatu3889 12 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko Big team
@yasrikomba7874
@yasrikomba7874 12 күн бұрын
❤❤❤❤kila la kheri
@Shadia544
@Shadia544 11 күн бұрын
Sina raha miee 😢😢😢 azizi ki hayupo yanga 😢😢😢 Jamaniii 😢
@Chichamiles
@Chichamiles 11 күн бұрын
All kiungo mkabaji mwenye ROHO MBAYA 😠 anahitajika coz kuna timu zimeanza kujisahau sana
@saidingumbo-is2oe
@saidingumbo-is2oe 12 күн бұрын
Azizi ki vp mbona mnatuweka roho juu
@user-iu4rk6no6z
@user-iu4rk6no6z 10 күн бұрын
Yangu ni kubwa kuliko mchezaji kuondoka kwa mchezaji ni kwamba kapata fursa mahali hivo tusihofu kuondoka kwa mchezaji tuna kikosi kipana
@Godfrey-j8b
@Godfrey-j8b 12 күн бұрын
Mungu atusaidie tu maana kila kitu Mungu ndo muweza wa yote
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 12 күн бұрын
Kwani aziz k ndo anaibeba yanga nzima? Akienda aende tu watakuja wengine
@ibrahimrashid887
@ibrahimrashid887 11 күн бұрын
Viongozi wanajitahidi kuhusu azizi kama itashindikana aende atuachie timu yetu asiwachanganye viongozi wetu wana mambo mengi ya kufanya
@AbdulAthumni
@AbdulAthumni 11 күн бұрын
azizi abaki ili ligi yetu izid kunoga na iwe juu zaid
@sabrinakassimu
@sabrinakassimu 12 күн бұрын
😅😅😅 ila Ali kamwe 😅😅
@athumanishabani1143
@athumanishabani1143 10 күн бұрын
Mashaallah
@farajamfaume7545
@farajamfaume7545 11 күн бұрын
Kama huyk azizi ki anadengua yupo azizi yule wa dreams ya ghana yupo vizuri pia
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 9 күн бұрын
Alwatan ameanza kuzeeka...
@user-nz2rw7sj9i
@user-nz2rw7sj9i 11 күн бұрын
Kennedy Msonda Bado ni mchezaji mzuri asiachwe please
@khadijabakari9092
@khadijabakari9092 11 күн бұрын
Aziz k tujiandae kisaikolojia au
@Izzoh2021
@Izzoh2021 11 күн бұрын
Wachezaji ndio kwanza wameaza kureport kwaiyo embu wanayanga tutulie kidogo,wachezaji ambao hatuwaoni wapo subra kwanza na mtambue huo ni mpango maalumu mwenye D mbili atakuwa kanielewa hohoho.
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 12 күн бұрын
💚💚💛💛💚💚💛💛💛
@ShakiraMasoud-ox5tj
@ShakiraMasoud-ox5tj 12 күн бұрын
Oya mbadala wa aucho mbona hamjamsajil 😢
@iddfundikira2817
@iddfundikira2817 11 күн бұрын
Aziz ki tumchangie wananchi wote hili tumbakishe
@happysanga6846
@happysanga6846 11 күн бұрын
Imeenda hiyo hatuna mdaaa🔥🙏🙏
@pilimohammedy7592
@pilimohammedy7592 10 күн бұрын
Huyu alyi kamwe hana tisheti nyingine maana aspovaa jezi bs a 1:55 tavaa hiyo tsht
@KhamisKaju
@KhamisKaju 11 күн бұрын
Aliy bdo tuna muhitaji k Aziz by kaju
@AishaAlly-l1d
@AishaAlly-l1d 11 күн бұрын
yanga ushindi tu makolo kucheza tu ila makombe aaaaa!
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 11 күн бұрын
Yanga inabidi tu pate kiungo moja mkabaji wa kumsaidia kharidi aucho
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 12 күн бұрын
Aziz k wapi bwana !mnatuchanganya
@humphreyjosephat5002
@humphreyjosephat5002 12 күн бұрын
Wa pili leo
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo 11 күн бұрын
Mmetisha yanga
@user-br3oc1dt1x
@user-br3oc1dt1x 11 күн бұрын
Jamni mbona kama tunaumia kuusu azz ki mna hatuelewi mra kasaini injinia kasema hajasaini Yani furaha imepotea sana leo
@AhmadiManjaule-sz5hc
@AhmadiManjaule-sz5hc 11 күн бұрын
Azizi Yuko wap SI mtuambie tu sisi tunamaini yanga inasajili vizuli
@joojombi2341
@joojombi2341 12 күн бұрын
Kazi Iendelee akhui mapambano bado yaendelea
@user-jn9ym1pz5k
@user-jn9ym1pz5k 11 күн бұрын
Azizi badoyupo kikubwa mwanayanga kuwanakadi yawanachama utam bakisha kamahuna usiulize na haikuhusu yanga
@jimmymungai522
@jimmymungai522 11 күн бұрын
Nani anaondoka, nani anakuja(tumeona baadhi), wengine wanaobaki wanaingia lini na kambi imeshaanza? Namna gani hii???
@marianamontoedi1318
@marianamontoedi1318 12 күн бұрын
Mashabiki wapambane Azizi abaki
@SufianeAssumaneAssumane
@SufianeAssumaneAssumane 11 күн бұрын
Bom dia. Mimi ni shabiki wa yanga. From Palma Moçambique. Jee Aziz ki tinae ama?
@user-ok3bc8of5q
@user-ok3bc8of5q 12 күн бұрын
Nafrai kumuona mpomelelo dube
@blairmangani2341
@blairmangani2341 11 күн бұрын
Mm nilishajiandaa toka mda,azizi key hatutakuwa nae huo ndo ukweli,ndo maana wamemsajili chama
@user-ym7rd4yn4l
@user-ym7rd4yn4l 11 күн бұрын
Ally Azizi ki vp tuwekeni wazi
@Emanuelimiyonjo
@Emanuelimiyonjo 11 күн бұрын
Safi
@awetumtengera1147
@awetumtengera1147 12 күн бұрын
Azizi k hatumuoni No 10 wetu jamani.
@mbarakasaidi2654
@mbarakasaidi2654 11 күн бұрын
Saf sana
@CharlesDanielnyanda
@CharlesDanielnyanda 12 күн бұрын
Napenda yanga damu damu
@Hgd-jk6lh
@Hgd-jk6lh 12 күн бұрын
Furaha yangu itarudi azizi akisain😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@happysanga6846
@happysanga6846 11 күн бұрын
Jaman Aziz atuelewi uku tuweken waz
@SalimRamadhan-o7l
@SalimRamadhan-o7l 11 күн бұрын
Ally wew nibora koliko yule mchenz
@daudlubugwa4696
@daudlubugwa4696 11 күн бұрын
Azizi ki yupo au mbona hamujasema
@scorasticaclement6308
@scorasticaclement6308 12 күн бұрын
Yaani Hapo Kwenye Kuongea kamwe Inazihilishaa Kuwaa azizi Kiki anasepaaa
@patridabernard9148
@patridabernard9148 12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@rehemawamwarami3854
@rehemawamwarami3854 12 күн бұрын
Azizi ki mbona haonekani hazungumzwi wiy!! Jamani.
@dicksonmzao8376
@dicksonmzao8376 11 күн бұрын
Naomba aziz abaki piga ua garagaza
@user-kb7jz2qe8s
@user-kb7jz2qe8s 11 күн бұрын
Aziz ki jamani😢
@sevarinijrchitandachitanda138
@sevarinijrchitandachitanda138 11 күн бұрын
🔥🔥
@ShabanRajabu-up6pl
@ShabanRajabu-up6pl 11 күн бұрын
Piya moyo unaniuma kuhusu azizi k kwann
@BenjaminiMkapa
@BenjaminiMkapa 11 күн бұрын
Nakubali
@ramadhanikashimbiri4851
@ramadhanikashimbiri4851 11 күн бұрын
Kweli YANGA imara back view naona staff mwanamama naye anapasha misuli moto , uwanja ntiti ofisin ntiti ahahahahahaa
@FrankMwingira-ip5us
@FrankMwingira-ip5us 10 күн бұрын
Ni kwel aliyee shuka airport ni ki Aziz jamn
@MtashobyaJosia-wt9jq
@MtashobyaJosia-wt9jq 12 күн бұрын
mtashobya josia nikiwa Kenya isibania nawapata ongera sana yanga tuko pamoja
@johannmaloda6027
@johannmaloda6027 12 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@Sunshine0222
@Sunshine0222 12 күн бұрын
🎉
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 12 күн бұрын
Makofi tafadhari
@omarmakore6919
@omarmakore6919 12 күн бұрын
Viongozi tunaomba mutupatiye taarifa ya Azizi key Maneno yamekuwa MENGI zaidi
@thomsonleon134
@thomsonleon134 12 күн бұрын
😊
@willysimyemba102
@willysimyemba102 12 күн бұрын
😂😂😂
@Muna-en4yq
@Muna-en4yq 10 күн бұрын
Monday Na bacca vip
@KhatibLajabu
@KhatibLajabu 11 күн бұрын
Na aminia chama langu ubingwa wetu Tena
@user-wo9df1wu8i
@user-wo9df1wu8i 12 күн бұрын
Bado azizi ni muhimu kwa wanayanga
@salemarahbi9171
@salemarahbi9171 12 күн бұрын
Mtambulisheni Azizi Ki jamani 😢
@princemhina5366
@princemhina5366 12 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@athumaninyituki7011
@athumaninyituki7011 11 күн бұрын
Yanga rahaaaaaa kabsa
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,8 МЛН
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 5 МЛН
FULL VIDIO !! FC AUGSBRG vs YOUNG AFRICANS SC #HIGHLIGHTS
6:57
HOT INFO MEDIA
Рет қаралды 1,3 М.
PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI  | Love Story
40:44
МЕССИ ОТЛИЧАЕТСЯ ОТ ВСЕХ ФУТБОЛИСТОВ
0:40
АртПо | ArtPo17
Рет қаралды 458 М.
Yamal 🇪🇸 vs Bellingham 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
0:17
Fearron
Рет қаралды 2,5 МЛН
Мужик 8 месяцев был вратарём в ЖЕНСКОЙ команде
0:19
Собиратель новостей
Рет қаралды 3 МЛН
МЕССИ ОТЛИЧАЕТСЯ ОТ ВСЕХ ФУТБОЛИСТОВ
0:40
АртПо | ArtPo17
Рет қаралды 458 М.