MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@malietamaliet12 күн бұрын
Khee mwenyezi Mungu bariki timu yetu msimu ujao inshallah ikawe kheri kwetu wajalie uzima afya njema wachezaji wetu bench la ufundi piah tuweze kufanya vzr
@ommyhatib733112 күн бұрын
Mwakahuu mungu akipenda kombe mapema xan
@user-tr7wf9sj7h12 күн бұрын
Hongera sana kwakweli mnafanya kazi kubwa inayotufurahisha sana wana Yanga
@sumaiyyaelias12 күн бұрын
nikwel chama yupo yanga mbn tutakuwa vzr sana tusichenze tanzania si mabingwa champion jaman yanga❤
@FabiolaSommy12 күн бұрын
🎉🎉🎉 Mungu akupe maisha marefu semaji letu
@ChenchiKing12 күн бұрын
Mwenyekiti Wa Wasemaji Barani Africa#Ally Kamwe# Daima Mbele Nyuma Mwiko💚🇹🇿🇹🇿
@patridabernard914812 күн бұрын
Yaan Yanga Bora tena sana
@GMHOTELMOROGORO11 күн бұрын
yanga borta
@magangamasansa416012 күн бұрын
Mimi Aziz hanipi presha hata asipolizia wa muache aende, alienda mayele lakini tulipambana, kwahiyo Aziz K uwenda amepata Dau kwingine ni Sawa tu
@amanikaduma23712 күн бұрын
Na ndo maana wakamsajili chama
@user-cv4yi5hz9b11 күн бұрын
Muache ndo anaenda kupotea maxima walahi 🤔 yanga timu kubwa kuliko timu hizo😮😮😮🤪🤪💚🤲🏻🔜🏆🏆🏆🏆💚💚🤲🏻
@kyflavour12 күн бұрын
Nakubali Chama langu
@BasuleBasule12 күн бұрын
Yanga Inabidi Tupate Winga 1 Na Kiungo Mkabaji Mwengne Hapo Aje Yeyotee
@chrissantkaunda995812 күн бұрын
Safi Sana ila tujiandae kisaikorojia kuhusu Aziz ki maana ata sielewi
@amaniomar175512 күн бұрын
Mchezaji akitaka changamoto sehemu nyengine hafai kuzuiwa
@B.M-ix4rz12 күн бұрын
Mm Sina hofu na timu km Aziz hajasain bac kocha atajua nn afanye
@user-er1dk6zj6u12 күн бұрын
Wacha was was wewe ki yupo
@Abuu-gs1yi12 күн бұрын
Kuwa na amani kabsaaa
@B.M-ix4rz12 күн бұрын
@@user-er1dk6zj6u mbona mpaka saiv mara hajasain mara tayr Kwakweli hatujui tubakie na lip
@dullamuso695510 күн бұрын
Mungu Ibariki Young African Sports Club, Tupe nguvu na Utimamu zaidi Hakika Tukateteee Ubingwa na Hatimaye Kombe la Africa likaje Tanzania 🇹🇿
@amaniomar175512 күн бұрын
Mwenyekiti wa wasemaji wote safi sana 🎉🎉🎉
@MonicaSimon-py3nx11 күн бұрын
Mwenyezi mungu wabariki wachezaji wetu
@roseurio498310 күн бұрын
Na hivi eng Aris alishafunguaka mlango wa magoli kuleee moro .Mungu ibariki yanga
@mudylipawaga536212 күн бұрын
Yanga bingwa tena inshaALLAH🙏🏼
@kalingavictor706812 күн бұрын
Ally , mwambie injinia apambane tusimpoteze Azizi
@muddymuzungu435712 күн бұрын
Aziz yupo Yanga na wiki ijayo anakuja
@kalingavictor706812 күн бұрын
@@muddymuzungu4357 Itakuwa furaha kubwa kwa wanayanga wote
@salahtv559112 күн бұрын
Lipia kadi aziz ki lzm atabaki
@kalingavictor706812 күн бұрын
@@salahtv5591 hiyo tu siyo shida
@ZuenaMashauri11 күн бұрын
Azizi ki yupo yanga jamani
@remidusmwanandenje-yy5gs11 күн бұрын
🤗🤗🤗🤗🤗🇹🇿🇹🇿🇹🇿🕺🕺🕺🕺 yanga bingwa 2024 adi 30
@vaxminja905311 күн бұрын
Aziz K alishasaini muda mrefu sanaaaaa
@sebastiansalamba31312 күн бұрын
Wajihi wa ally kamwe unamaana sana kuhusu Azz k Sina tumaini
@RamadhanMabwabwa12 күн бұрын
Kweli dogo kapoa sana
@careemdulla162911 күн бұрын
We Aziz Ki tufanye tuwezavyo tumbakishe Aziz K ni mchezaji muhimu sana na hatari pamoja na Pacome Hawa kwa sasa ndio nembo ya Yanga Africa
@kaseja12 күн бұрын
Alhamdullilah furaha imerudi sasa.
@AgnesRobert-q1i10 күн бұрын
Mungu ibariki yanga🎉 hatuna muda wapinzan😂😂
@religiondoctrines711 күн бұрын
Hongera sana viongozi wetu🎉🎉🎉🎉🎉, I l o v e y o u Y a n g a
@futurecarefamily545411 күн бұрын
Friji lipooo 😂😂😂Naijua hiyooo....😅😅😂😂😂kehee....Azizi ki yupo paleee amekaa🤣🤣🤣🙌
@BADAWY57512 күн бұрын
Oyaa al watana punguza kucheka cheka alafu kuweni serious leteni vitu kwa raha data .punguzeni utani kwenye kuongea na watu wengi si munajua yanga ni kubwa nazani mutakua mumenifahamu kamwe na mwenzako al watan
@samclaud12 күн бұрын
Keep going champion 🏆🏆🏆🏆
@ThomasDonard12 күн бұрын
Wa kwanz jamani
@alishaplate629012 күн бұрын
Jmn yote Tisa kumi Azz k yupo wp jmn mbn mnatuumiza roho hivi 😢
@LavenEliasy11 күн бұрын
💚💚
@amanisanatu388912 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko Big team
@yasrikomba787412 күн бұрын
❤❤❤❤kila la kheri
@Shadia54411 күн бұрын
Sina raha miee 😢😢😢 azizi ki hayupo yanga 😢😢😢 Jamaniii 😢
@Chichamiles11 күн бұрын
All kiungo mkabaji mwenye ROHO MBAYA 😠 anahitajika coz kuna timu zimeanza kujisahau sana
@saidingumbo-is2oe12 күн бұрын
Azizi ki vp mbona mnatuweka roho juu
@user-iu4rk6no6z10 күн бұрын
Yangu ni kubwa kuliko mchezaji kuondoka kwa mchezaji ni kwamba kapata fursa mahali hivo tusihofu kuondoka kwa mchezaji tuna kikosi kipana
@Godfrey-j8b12 күн бұрын
Mungu atusaidie tu maana kila kitu Mungu ndo muweza wa yote
@fettiemaganza148412 күн бұрын
Kwani aziz k ndo anaibeba yanga nzima? Akienda aende tu watakuja wengine
@ibrahimrashid88711 күн бұрын
Viongozi wanajitahidi kuhusu azizi kama itashindikana aende atuachie timu yetu asiwachanganye viongozi wetu wana mambo mengi ya kufanya
@AbdulAthumni11 күн бұрын
azizi abaki ili ligi yetu izid kunoga na iwe juu zaid
@sabrinakassimu12 күн бұрын
😅😅😅 ila Ali kamwe 😅😅
@athumanishabani114310 күн бұрын
Mashaallah
@farajamfaume754511 күн бұрын
Kama huyk azizi ki anadengua yupo azizi yule wa dreams ya ghana yupo vizuri pia
@slowclimbertothetop45729 күн бұрын
Alwatan ameanza kuzeeka...
@user-nz2rw7sj9i11 күн бұрын
Kennedy Msonda Bado ni mchezaji mzuri asiachwe please
@khadijabakari909211 күн бұрын
Aziz k tujiandae kisaikolojia au
@Izzoh202111 күн бұрын
Wachezaji ndio kwanza wameaza kureport kwaiyo embu wanayanga tutulie kidogo,wachezaji ambao hatuwaoni wapo subra kwanza na mtambue huo ni mpango maalumu mwenye D mbili atakuwa kanielewa hohoho.
@Evance-op4jw12 күн бұрын
💚💚💛💛💚💚💛💛💛
@ShakiraMasoud-ox5tj12 күн бұрын
Oya mbadala wa aucho mbona hamjamsajil 😢
@iddfundikira281711 күн бұрын
Aziz ki tumchangie wananchi wote hili tumbakishe
@happysanga684611 күн бұрын
Imeenda hiyo hatuna mdaaa🔥🙏🙏
@pilimohammedy759210 күн бұрын
Huyu alyi kamwe hana tisheti nyingine maana aspovaa jezi bs a 1:55 tavaa hiyo tsht
@KhamisKaju11 күн бұрын
Aliy bdo tuna muhitaji k Aziz by kaju
@AishaAlly-l1d11 күн бұрын
yanga ushindi tu makolo kucheza tu ila makombe aaaaa!
@amanilupembe978811 күн бұрын
Yanga inabidi tu pate kiungo moja mkabaji wa kumsaidia kharidi aucho
@sebastiansalamba31312 күн бұрын
Aziz k wapi bwana !mnatuchanganya
@humphreyjosephat500212 күн бұрын
Wa pili leo
@ShafiiHungo11 күн бұрын
Mmetisha yanga
@user-br3oc1dt1x11 күн бұрын
Jamni mbona kama tunaumia kuusu azz ki mna hatuelewi mra kasaini injinia kasema hajasaini Yani furaha imepotea sana leo
@AhmadiManjaule-sz5hc11 күн бұрын
Azizi Yuko wap SI mtuambie tu sisi tunamaini yanga inasajili vizuli