Bonyeza link hii kujiunga kwenye channel ya Telegram ya SnS - t.me/+uYTdRVvi...
Пікірлер: 110
@shebbylove31402 күн бұрын
Niko wa kwanza kwa leo naomba likes zangu😅😅
@husseinhemedi93142 күн бұрын
Wa 3 na sitaki like Ila napenda xana #makala360 Big up SKY na SNS #SNS ndio media pekee nnayo iamin 🙏🏿
@ce-082 күн бұрын
🎉🎉
@Leila-zp5co2 күн бұрын
Leo nimeridhika na story ya yitzak rabin niliuliza Muda mrefu asante simulizi na sauti
@SimuliziNaSauti2 күн бұрын
Karibu Leila
@swalehaltooq52332 күн бұрын
Neno gaidi Mbona linatumika sana kwa Palestine 🇵🇸 tu
@ayoublupande30072 күн бұрын
Hilo ni neno na jina linalo tumika na watu wa magharib juu ya watu wema kwajili ya kuwachafua na kuhalalisha kumuuwa😢
@raymrashКүн бұрын
@@ayoublupande3007 wema upi walioufanya!? October 7?!
@KhamisAli-r1wКүн бұрын
@@raymrash wataendelea kupigania ardhi yao inayokaliwa kimabavu daima!!!
@raymrashКүн бұрын
@@KhamisAli-r1w kupigania ndo waue raia na kuteka watu wasio na hatia
@KhamisAli-r1wКүн бұрын
@@raymrash kuna uhalali ya kufa wachache ili wengi wapone!!! Siku zote tunasema haki hupatikana kwa ncha ya upanga, ulisikia wap uhuru wa nchi kiurahis ivyo!!!!.
@hirsirashid37412 күн бұрын
mzee ilove u story keep going bro am from Canada original Somalia
@jacksonseverin56702 күн бұрын
Makala zinachelewa sana kaka fred😢
@AishaTabi-e2zКүн бұрын
Asante sana bro 🔥🔥🔥
@Bahati472 күн бұрын
Sema wa Palestine ni zaidi ya mashujaa wameamza kupitia magumu na machungu siku nyingi sana 😢 Nina Imani ALLAH atawalipa kilicho Bora zaidi inshaAllah 🤲🏿 hakuna siku nimehuzunika kama kuona video za wazee wa ki Israel wakielezea jinsi walivyokua waki waua wa Palestine kama kuku😢 wanaelezea kua wakiamrishwa kwenda kuuwa mtaa Fulani basi wakikuta mwanamke ana mimba wanampasua tumbo bila ganzi na kumtoa mtoto na kumkata kata km nyama 😢 jamani Hawa watu ni Wana roho mbaya sana
@raymrash2 күн бұрын
@@Bahati47 khaa 😂😂😂 uongo mkubwa hakuna kitu hiyo
@KassimAlly-xp4dz2 күн бұрын
Wana roho mbaya sn
@MauriceNyelloКүн бұрын
Iv Allah ni nan hana nguvu mpaka leo?
@khalfanmlala509315 сағат бұрын
@@raymrashwewe niwakala wamaovu hujui nini uovu wa wayahudi
@raymrash15 сағат бұрын
@@khalfanmlala5093 waovu ni Wayahudi tu!?
@Gretnumz2 күн бұрын
❤❤❤ pamoja sana
@aminaali7922 күн бұрын
Hichi kifo kilipangwa na natanyahu na wenzie wa western na sio huyo alomuuwa tu 🙄😡💔
@JacobernestMlula2 күн бұрын
Hatari
@francisjoseph1074Күн бұрын
Wayahudi ndo wenye sabato yao na masinagogy yao na hekaru lao acha hawa wadengereko na wazaramo wanaojiita wasabato na waislam wakidai etyi sinagogy ndo msikiti wa wa waislam huku tanganyika , 😂😂😂😂 wakati wayahudi wanatumia masinagogy toka Zama za kale mpaka leo na wanaimba tourat humo , kwenye masinagogy
@brunoh_bx2 күн бұрын
Hapo ndo utagundua Israel ndo wanaoitaka vita, yaan wao kukiwa amani wanahis kama wanapoteza pride yao lakin mwisho wao upo tu, ni jambo la muda
@raymrashКүн бұрын
@@brunoh_bx acha kupindua stori kulikuwa hakuna vita mpaka October 6...na kulikuwa hakuna mabomu ya kurushiana mpaka ninyi mlipoanzisha October 7. Hamas wamewaua sio tu Wayahudi Bali hata watanzania wenzetu wameua kikatili. Kuna ubaya gani Israel kujibu mashambulizi!?? Hamasi wamejijengea maandaki kwa ajili Yao wenyewe na sio kuwahifadhi raia wakati wa vita! Wameweka na wanarusha Makombora Yao kutokea makazi ya raia.. Israel akipiga hayo maeneo analalamikiwa! Mnataka amani!? Acheni kuichokoza Israel, mnataka watu wasife acheni kujificha kati ya raia
@ayoublupande30072 күн бұрын
Nitanyahu ndo alo panga mauaji ya huyu mwamba palipo Na Nitanyahu amaisha hatoweka😢
@King_Of_EverythingКүн бұрын
SNS for life.✌️
@byoseasolokoci72572 күн бұрын
Wow
@erickrakitic9113Күн бұрын
#SKY🔥🔥
@jumamussantuiche2 күн бұрын
Ww mkereketwa wa israel sio mtaka amani.kwa araka araka mtu asio kujua ataona vzur
@KinogeTz2 күн бұрын
Tangu lini Nuru na Giza zikafanya mapatano ya amani?
Hao majamaa ni mashetani hawamjui Mungu kabisa wayahudi
@jumakassim8718Күн бұрын
Hata waliwakataa mitume na manabii , wengi waliwafunga jela na wengine wakauawa
@raymrashКүн бұрын
@@saleemsuleiman2220 wewe unamjua Mungu!? Kila jamii hapakosi watu wa msimamo mkali...kama nyie kwenye Uislamu
@hazygardmericho95712 күн бұрын
sky knows
@emmanuelShayo-dk6vf2 күн бұрын
Netanyau afungwagi mota Mzee..hatari sana .....😂😂
@Barakaclassic2 күн бұрын
Hamasi walifanya makosa sana kuishambulia Israel kipindi cha huyu netanyau Yan ndio walio letea wa palestina balaa lote 😂😂
@SwedyMohamed-vt5zm2 күн бұрын
Bila hivo mijadala wa kupatikana kwa taifa la PALESTINA ulikuwa unakufa.Tangu waishambulie Israel Sasa mijadala wa kupatikana kwa taifa la PALESTINA umefufuka na nchi zinazoitambua PALESTINA kama taifa zimeongezeka.Mfano,Hispania, Switzerland,Norway na Latvia zimeitambua PALESTINA.Wakati huohuo Kuna nchi ziko karibu sana kufikia hitimisho la kulitambua taifa la PALESTINA.Harakati za kuupigania Uhuru ni lazima Muwe tayari kufa.Fuatilia historia.Mfano,Afrika kusini,Msumbiji,Angola.Hata hapa Tanzania wazee wetu walipoamua kupambana na mjerumani Kwa kutumia maji maji walikubali kufa.
@AFRICA_D6692 күн бұрын
Ukichunguza vzuri utagundua magharibi na kibaraka wao Israel, hawana chaguzi yeyote pale mashariki yakati tofauti na kumwaga damu, na ikitokea wewe umeingiwa na hoffu ya mwenyezi uhai wako utakua sadaka ya usaliti,
@juliusdominic-uk4bu2 күн бұрын
Amani kati ya Israel na Palestina itakuja kupatikana pale Afrika itakapo ungana na kuwa Super power .ndio itatoa tamko na taifa lolote litakali pinga litaangamizwa
@raymrash2 күн бұрын
@@juliusdominic-uk4bu Africa haitakuja kuungana sahau hiyo kitu
@magorymara55152 күн бұрын
Siyo kizazi chako cha wajinga anaongelea kizazi kijacho @@raymrash
@KraudiJinioro2 күн бұрын
Tup
@dorcaskarago28762 күн бұрын
IDF imewauwa macomando wote was Hezbollah uku nyie munaleta Habari za zamani? Ndiyo breaking news Pro Israel sio ma cry babies ndiyo mana
@HeboniBabuКүн бұрын
Kk ukiona nzii wanakufata sana kichwani ujuwe akiri mavii uislamu sio DINI yakutunga kule loma
@jonasmrema85502 күн бұрын
Hakuna kufanya Amani na magaidi
@yahayaannu36632 күн бұрын
Magaidi ni akina nani
@AFRICA_D6692 күн бұрын
Pia sisi hapa tz hatuongozwi na makafiri ndio mana viongozi makafiri mwenyezi kawauwa
@OmmyJames-xn7ji2 күн бұрын
U CANT CLAIM STOLEN PROPERTY FOR LONG 😢😢😢😢MGALATIA AMKA
@raymrash2 күн бұрын
Period
@raymrash2 күн бұрын
@@OmmyJames-xn7jiunamaanisha nini!?
@brianbaltazar61982 күн бұрын
SNS🔥🔥🔥🔥🔥
@hamidamussa-sy4fmКүн бұрын
Inchi yako hujaitaja Tanzania 🇹🇿 zanzibar kwa kuliwa rais wa zanzibar aman karume
@damaschosen2 күн бұрын
Wee jamaa sauti yako ndani yako inafaraja kama una piga kinanda
@ELIFASMADEBHO2 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@HeboniBabuКүн бұрын
KK UKIONA NZII WANA KUFUATA SANA KICHWANI BASI UJUWE AKIRIMAVI
@mwanajumaomahundumla6504Күн бұрын
Maana hata huyo anayepanga mauwaji ya wengine na yeye pia atakufa tu
@KhalidiBoaz2 күн бұрын
God bless Israel 🇮🇱, Amen,🇮🇱
@HeboniBabuКүн бұрын
Ubaguzi mkubwa kwa mbwa wale magaidi watoa loho wa kisiraer
@AFRICA_D6692 күн бұрын
Ila muwajemi aliona mbali dunia nzima nchi pekee iliyo baki ikiusumbua ubeberu unaowanyima usingizi watu wa mataifa ya falme za kiarabu ni Iran, napenyewe ni vile washiha waliona Mbali wakaamuwa wafanye mapinduzi maana serikali ya kipindi hcho ingeshawishika kama tunavyo ona kwa mataifa mengine
@raymrash2 күн бұрын
Kwa hiyo unasapoti ugaidi wa Dola la Kiislamu la Irani
@ce-082 күн бұрын
Ni sawa ila jitahd kuchimba zaidi utakuja gundua hata hayo mapinduzi wahusika wakuu walikuwa hao hao magharibi sema jamaa alipopata nafas akabadili gear angani shughuli ikawa hiv unavyoona sasa lakin alipewa msaada mkubwa sana na hao magharibi
@kamanapomo70292 күн бұрын
@@ce-08sio kweli,utawala wa kifalme ulio pinduliwa ndio uliekuja utawala wa kibaraka
@msarama54062 күн бұрын
@@ce-08magharibi wangempinduaje mtu wao bana unatulisha matango pori
@yahayaannu36632 күн бұрын
@@raymrashnini maana ya ugaidi
@kabhikachambala33929 сағат бұрын
Makala Three Sixty??? Kwa nini usiseme MAKALA MIA TATU SITINI????
@ZeProDJayКүн бұрын
Don't make a deal with terrorists
@FrankKashamakula-xb1pc13 сағат бұрын
Wa Jews Wanawajua Vzr wa Arab Wanajua Njia Zao zote Wa Arab wamepata kiboko yao 😂😂😂
@FredMwamgogwa-td6ni2 күн бұрын
Idara ya ujasusi ya israel ndio chombo hatari zaidi duniani na ndio usalama wa israel
@JumaNgeni-ld5yb2 күн бұрын
inawezekan ila bila marekani mosad ni saw na kichaga
@JumaNgeni-ld5yb2 күн бұрын
mosad walimshindwa OMARY MULA wa afaghan stan tafuta hii makali
@humphreymwihambi43302 күн бұрын
Marekani bila Israel haiwezi kuitawala dunia@@JumaNgeni-ld5yb
@alexjohn73612 күн бұрын
@@JumaNgeni-ld5ybuhodari haupimwi kwa kushindwa mashindano machache kati ya mengi yaliyofanikishwa. USA mwenyewe alifeli mission nyingi mfano ile dhidi ya taliban ila bado ndo nchi inayofahamika kuwa ni hodari mkubwa ktk operation za kijeshi
@MOSESIMCHUNGUZIКүн бұрын
Kweli
@PHPJSPКүн бұрын
Mda mwafaka sasa kumwona frank lachman
@HeboniBabuКүн бұрын
KK UKIONA NZII WANA KUFUATA SANA KICHWANI BASI UJUWE AKIRIMAVI