#ZaNdaaani

  Рет қаралды 79,976

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 58
@khatibmako3500
@khatibmako3500 2 жыл бұрын
Mwenetu analipwa mshahara mdogo kazi anayoifanya ni kubwa
@torettox_1
@torettox_1 2 жыл бұрын
Richardo Momo shikamoo, una info sio poa
@hassanrashid9436
@hassanrashid9436 2 жыл бұрын
mzee wa kudere taratibu watanza kuelewa kazi yako bro big up sana. unatupa za ndani halaf sasa za ukwel mtupu. wapo watu sasa wanaona ukwel walikua wanakuponda wameutia koko sasa hahahaha. za ndaaaaaaaaaaani kabisa.
@immanangi8723
@immanangi8723 2 жыл бұрын
Mzee wa kudele hapo kwenye ulimi laini😳🤣🤣🤣nimecheka Sana kwamba mwamba ukimsikikizatu umekwishaaa🤣🤣🤣
@georgemanase6266
@georgemanase6266 2 жыл бұрын
Fabrizio Romano wa Bongoo here we go 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rewardnjau7220
@rewardnjau7220 2 жыл бұрын
momo unatisha sana unapochoka kushikilia bomba, have a sit broo🤣🤣🤣🤣
@simoncosmos3094
@simoncosmos3094 2 жыл бұрын
Maboss wetu wa hizi tim mbili wanaangalia sana raia wakigeni,angalia hata makocha wazawa yaani tabu tupu,halafu uzeeni utasikia alichezea yanga huyo,aibu tupu
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 2 жыл бұрын
Za NdaaaaaaaaaaaaaN za NdaaaaaaaaaaaaaN za NdaaaaaaaaaaaaaN kabisa
@mosesnyamhanga449
@mosesnyamhanga449 2 жыл бұрын
Fei wamuache tu hana lolote atarudi tu atakua amechina! yanga n taasisi brother
@uswegekamwela9825
@uswegekamwela9825 2 жыл бұрын
Kwani unapata wapi hizi 😂😂
@stefanontandu2041
@stefanontandu2041 2 жыл бұрын
Kila la kheri fei toto….. BADO YANGA NI KUBWA WATAKUJA WENGINE
@obedpeter6874
@obedpeter6874 2 жыл бұрын
Mchezaji analipwa 6M izo ni zalau aende akachukue 16M na majengo wa wazazi kiukweli aende kwenye maslai maana kazi ya mpira ni ya msimu
@mamaraheem5371
@mamaraheem5371 2 жыл бұрын
Kabisaaaa ukishakosa ujana ukubwani huwezi kupata maslahi kwanza
@hassanrashid9436
@hassanrashid9436 2 жыл бұрын
kabisa kaka
@mahadshekh398
@mahadshekh398 2 жыл бұрын
Fiesal Toto ndio basi tena.
@philiponjalika5769
@philiponjalika5769 2 жыл бұрын
Fei angalia mtonyo bro
@eckreygelard7791
@eckreygelard7791 2 жыл бұрын
Mbona hatari!
@daffangov6074
@daffangov6074 2 жыл бұрын
Eti magoli yake na Messi semsem.. yan yana fanana
@frankfrancis5736
@frankfrancis5736 2 жыл бұрын
Faisal analipwa Milion 6 ungekuwa wwe Ungekubali Wenzio pesa wanachukua CRDB wewe Unaenda Kuchukulia kwa Wakala Muchacho 😂😂😂😂
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 2 жыл бұрын
Round hii watajuta tunamsogeza Chamanzi Mil16 chap🤪🤣🤣
@suleimanrashid8238
@suleimanrashid8238 2 жыл бұрын
Mshahara wake Yanga ni mil 4 tu...
@phoebembwambo2763
@phoebembwambo2763 2 жыл бұрын
Mil 4
@legangatzmedia4846
@legangatzmedia4846 2 жыл бұрын
Ana mkataba mrefu saana harafu alisaini mwenyewe alikubali hio hela so amalize mkataba aende
@husnamusa3178
@husnamusa3178 2 жыл бұрын
Ila wasafi waongo 🤣🤣🤣 eti hapo ndo mnateta
@godfreyjustine4040
@godfreyjustine4040 2 жыл бұрын
Wasafi waongo sana kweli
@wilbertthomas8530
@wilbertthomas8530 2 жыл бұрын
Aongezwe mshahara tuuuuu full stop
@suleimanrashid8238
@suleimanrashid8238 2 жыл бұрын
Easy case mukitaka abakie alipwe mshahara kama azik ki au mayele.... actually wazawa wananyinwa kwenye benefits....so limewaka....bakhera ameamua
@masasyjoseph6559
@masasyjoseph6559 2 жыл бұрын
Uyoo Mauyaa
@yusuphchimbongwe6090
@yusuphchimbongwe6090 2 жыл бұрын
Feisal
@Mohamedamin-xx6lz
@Mohamedamin-xx6lz 2 жыл бұрын
Clement mzize
@rogersiddy
@rogersiddy 2 жыл бұрын
Kwenye maongezi ameitaja Zanzibar Clement Mziza sio Mzanzibar mdau FEI Toto
@twalib09
@twalib09 2 жыл бұрын
Fei toto ......mzee wa kudere
@PiusMethod-q2q
@PiusMethod-q2q 28 күн бұрын
Simb awampati ten fei au
@yusuphjilala846
@yusuphjilala846 2 жыл бұрын
Hili jamaa liongo😂😂😢inawezekana anabwia unga ,mnaajili machizi
@rogersiddy
@rogersiddy 2 жыл бұрын
Hayo ni ukweli mtupu mimi Yanga Dam ila uongozi wetu unazingua sana wangemuongeza mshahara hata Milioni.15 au 10 sio mbaya lkn juhudi zake zinajionyesha wazi kbs
@hassanrashid9436
@hassanrashid9436 2 жыл бұрын
utamjua saaa chizi ni nani. watu wana kazi zao sio ww umejikalia tu hujui kinachoendelea.
@yusuphjilala846
@yusuphjilala846 2 жыл бұрын
@@hassanrashid9436 unauhakika naunachokiongea (unachocoments)aunimmjawapo wa machizi duniani😴😴
@hassanrashid9436
@hassanrashid9436 2 жыл бұрын
@@yusuphjilala846 kwani kaka pengine kusoma hujui bas harufi pia husikiii???
@godfreyjustine4040
@godfreyjustine4040 2 жыл бұрын
Muongoooooo
@mikidadijoseph5612
@mikidadijoseph5612 2 жыл бұрын
Labda sio Mwigulu A ha mi
@desolz3809
@desolz3809 2 жыл бұрын
Mwigulu au tozo?
@kidulaally1479
@kidulaally1479 2 жыл бұрын
Porojo hizo hapa bongo hakuna timu ya kushindana na Yanga ya sasa kwenye usajili
@hassanrashid9436
@hassanrashid9436 2 жыл бұрын
yanga si kamavi t flani hivi wanaume wamekuja sasa hahahaha
@barakamollel1659
@barakamollel1659 2 жыл бұрын
Faisal Hatoki Yanga
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 жыл бұрын
Fey akitoka yanga kspoteya
@MrKabaka83
@MrKabaka83 2 жыл бұрын
😂😂😂
@shukurumotima6846
@shukurumotima6846 2 жыл бұрын
Fei sali anaondoka
@yusuphjilala846
@yusuphjilala846 2 жыл бұрын
Kudere maviiiiiiiii
@bashirumpalamba3627
@bashirumpalamba3627 2 жыл бұрын
Hakuna kitu hicho fei bado yupo saaaaaaaaaaaana yangaaaaaaaaaaaa daima mbele makolo nyuma
@rashidkhamisjuma3714
@rashidkhamisjuma3714 2 жыл бұрын
uyo ni ibra baca
@godwinananias5358
@godwinananias5358 2 жыл бұрын
😅😅hyooo fei kak
@mahadshekh398
@mahadshekh398 2 жыл бұрын
Baca amefunga lini?Huyu Feisal na ni kutokana na dharau za viongozi.
@ramadhannasoro2719
@ramadhannasoro2719 2 жыл бұрын
wewe una kili wewe una lipwa beigani
@mishentown3259
@mishentown3259 2 жыл бұрын
Fei toto
@mohamedchigochigo3325
@mohamedchigochigo3325 2 жыл бұрын
Jilambeni mkichoka kanyeni mkalale
@dotoamour700
@dotoamour700 2 жыл бұрын
Hatar
@khadijakiwambu7265
@khadijakiwambu7265 2 жыл бұрын
Fei aunzwi wewe acha utahira wako
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 148 МЛН
Historia ya  Rais 'THOMAS SANKARA'  Aliyeuliwa na Rafiki Yake IKULU
11:19
Global TV Online
Рет қаралды 820 М.
WALIOJITEKA KIGAMBONI KAMANDA MURILO AFICHUA SIRI NZITO...
8:58
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН