#ZaNdaaani

  Рет қаралды 53,940

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 115
@shaameshaame2837
@shaameshaame2837 2 ай бұрын
Wamechelewa usajili umeisha, kikosi kiko full😂😂😂
@zakaria924
@zakaria924 2 ай бұрын
Assumptions & Gossip za wapokea hahaha 🤣🤣
@zakaria924
@zakaria924 2 ай бұрын
Mnajifariji, bahasha inafanya kazi, wengine mnacheka kwa kujilazimisha
@JolotaErastoJuma
@JolotaErastoJuma 2 ай бұрын
I LOVE YOU 🎉🎉❤❤ SIMBA NGUVU MOJA MAJILAN MKOWAP 😢😢😅😅😂😂😂😂
@putilegamagama6049
@putilegamagama6049 2 ай бұрын
😂😂INGEKUWA SIMBA HAPO STUDIO MAMAMAMAMAAA.
@SijapataMathiasJosephat
@SijapataMathiasJosephat 2 ай бұрын
Me binafsi namwomba Eng Hersi aelewe uongozi ni gunia la misumari aswaze kuhusu maumivu inabidi atizame zaidi makusudio na malengo yako kwa ajili ya maslahi ya Young Africans
@xfamefatetv
@xfamefatetv 2 ай бұрын
Shame on you too Maskini😂
@edwardmbonika5102
@edwardmbonika5102 2 ай бұрын
Jamanii sipati picha ingelikuwa ni Simba iyo studio leo ingekuwa ni furaa
@MwajumaNgaruma
@MwajumaNgaruma 2 ай бұрын
Acha2😂😂😂
@binkokisalikoi9019
@binkokisalikoi9019 2 ай бұрын
Sana
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@mkamaboy2016
@mkamaboy2016 2 ай бұрын
LEO YAMETULIA KINA JOB, MKULE,KITENGE, NA WENGINEO HAKUNA KUCHANGIA MADA YAMETULIA MNO
@BoniphaceFridoline
@BoniphaceFridoline 2 ай бұрын
chuki ni katumiwa ni vtu vibaya sana mzeee unatumiwa 😂 mungu atujaliee maishaa mazuri atuepushe na njaaa tusije kuwa kama hawa wazeee kutumiwa kufanyaaa ujinga😂
@chisongastephen7299
@chisongastephen7299 2 ай бұрын
Hongereni hapo studio,na nina wakubali kinoma.
@Cosrey
@Cosrey 2 ай бұрын
Swali langu kwenu nyote hapo studio" Hivi mnahisi Hilo Jambo Lina madhara gani kwa wanachama na mashabiki pia na wachezaji kwa ujumla ??
@Funyvideos708
@Funyvideos708 2 ай бұрын
Yani ingekuwa Simba wangeua sanaaaaa yani
@evansmoshi1923
@evansmoshi1923 2 ай бұрын
Yanga uwaneniii kabisaa tutakula nyama zeni
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 2 ай бұрын
Mbona mambo ya Simba mnafurahi sana
@JohnEugeni-f8m
@JohnEugeni-f8m 2 ай бұрын
Hapa angekuwa Mo hii studio wangeshambulia lakin hapa wanajaribu kutetea kila kaeneo hapo ndipo utatambua hawa wachambuz wala lushwa
@AyubuKaduma-w3q
@AyubuKaduma-w3q 2 ай бұрын
Ingekuwa Simba wangeongeza moto
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 2 ай бұрын
Simba angalieni ya kwenu
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 2 ай бұрын
Dah mafanikio ya yanga yata towa watu roho😢
@kamandamlimaog3430
@kamandamlimaog3430 2 ай бұрын
wasafii mnauyanga yanga sana katikaa uchambuzi wenuu Simba hawana shidaa na matatzoo ya yangaa Simba wanaangalia Yao ya lawii
@mkamaboy2016
@mkamaboy2016 2 ай бұрын
ONA KITENGE NA WASENGE WENZAKE ETI WAMETULIA TULIIIIIIII😂
@stephenmalilo9833
@stephenmalilo9833 2 ай бұрын
Ndio maana nmeacha kusikiliza hili li REDIO uchwara. Hawa sio watangazaji, ni machawa wa Utopolo.......
@HASSANFUMU-g6i
@HASSANFUMU-g6i 2 ай бұрын
Tanzania 🇹🇿 eeeeee nchi yangu eeeeee
@bymnyaru
@bymnyaru 2 ай бұрын
Napenda kuuliza kwenye huyo magoma yupo kwenye balaza la wazeee
@khamisihussein8777
@khamisihussein8777 2 ай бұрын
hahah wazee wenyewe wanasema wamemfukuza mzee wamigogoro
@DottoMoshi-x9o
@DottoMoshi-x9o 2 ай бұрын
Hakuna ata anae mjuwa kwenye balaza chura tu huyo
@why-ir8zl
@why-ir8zl 2 ай бұрын
Yanga fm ipo hewani😂
@nickdr_tv
@nickdr_tv 2 ай бұрын
MWAIPOPOOOOOO.....
@AllanKabuga-k2d
@AllanKabuga-k2d 2 ай бұрын
Ingekua Simba hapo studio kungechafuka
@ZubeidaRashid-tq1yd
@ZubeidaRashid-tq1yd 2 ай бұрын
Sasa mbona maamuzi yametoka bila hata mshtakiwa kuulizwa?
@ABDALLAHMWATANDA
@ABDALLAHMWATANDA 2 ай бұрын
HATA SIMBA SUALA LA LAWI SIMBA IMETULIA TULIIIIIII......
@DoctorBaddest
@DoctorBaddest 2 ай бұрын
Makumaaaaaa awaaaa
@ZubeidaRashid-tq1yd
@ZubeidaRashid-tq1yd 2 ай бұрын
Kwa hiyo kumbe mnajua km jamaa hakukaa kihalali? Sasa mbona mnatetea
@JosephJumbe-w6h
@JosephJumbe-w6h 2 ай бұрын
Makomandoo wanatafuta njia ya kuingia kwenye mfumo. Njaa imekuwa kali mtaani huko.
@tirathegreat8839
@tirathegreat8839 2 ай бұрын
Kubababake...wanaona watoto wadogo tuu wanatamba
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 2 ай бұрын
Wakajiunge na jeshi wapelekwe ukrein watapata pesa.
@felixmwayeya6716
@felixmwayeya6716 2 ай бұрын
Huyu ndo debora magoma mwenyewe sasa😂😂
@magidalenarauya4286
@magidalenarauya4286 2 ай бұрын
Mbona tunakereheka na huyo magma ambassador sio mwanachama? Nahiyo mahakama inatoaje hukumu kwa sahihi za kugushi,kama nikweli waligushi ni aibu sana kwa mhimili huu
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs 2 ай бұрын
Za ndaniiiiiiiii
@martinejohn714
@martinejohn714 2 ай бұрын
Huyo magoma njaa zinamsumbua atafute chakufanya yanga siku hizi imeacha kushibisha matumbo ya watu
@bone102
@bone102 2 ай бұрын
😂😂😂 we kweli dishi limeyumba kushibisha matumbo wakat mshatapeliwa billioni 1 mnaambiwa ni hasara ya timu😂😂
@salumuseif3324
@salumuseif3324 2 ай бұрын
maambo ya simba mnashabikia lakn ya yanga aaaah kuma zenu
@RashidRajab-oz5ec
@RashidRajab-oz5ec 2 ай бұрын
Mzee wa zandani wewe c ni mdudu mwenzetu tu
@gilbertfrancis217
@gilbertfrancis217 2 ай бұрын
Wachambuzi hamnazoo hasa maulidi kichwa majii kabisaa
@AthumanKais
@AthumanKais 2 ай бұрын
Mzee wa kudele nkbl sana🤜🤜🙂
@ArabiAyubu
@ArabiAyubu 2 ай бұрын
Wasafi na yanga yao
@samwelmasunga8293
@samwelmasunga8293 2 ай бұрын
Kama anauwezo huyo magoma apeleke mguu wake apo jangwani aone
@ABDALLAHMWATANDA
@ABDALLAHMWATANDA 2 ай бұрын
Studio Ina uyanga ....
@goodlucksalumu1818
@goodlucksalumu1818 2 ай бұрын
nani akupe like kenge wewweeeee
@SaidiMkome-qq7hy
@SaidiMkome-qq7hy 2 ай бұрын
Ingekuwa simba Leo hpo cjui ingekuwaje wangese nyinyi Leo mmepoaaaaaaaa😁😁🏃🏃🏃
@imanimwampagama8390
@imanimwampagama8390 2 ай бұрын
Kama efm inavyokua
@davidjohn540
@davidjohn540 2 ай бұрын
Ingekuwa Simba mamamaaaaaaa
@MohammedJaizan-yf5yt
@MohammedJaizan-yf5yt 2 ай бұрын
Kipindi Cha michezo kimebadilika kimekuwa udaku wa dida
@why-ir8zl
@why-ir8zl 2 ай бұрын
😅😅Kisu kimechoma kwenyewe!
@JabirAthuman-d6d
@JabirAthuman-d6d 2 ай бұрын
Mlikuwa wapi kujua kma ayupo mwenyewe
@SimonJoseph-h4e
@SimonJoseph-h4e 2 ай бұрын
Ubaya ubwela machambuzi machoko
@ludovickkimaro6362
@ludovickkimaro6362 2 ай бұрын
Wasafi na Yanga yao sasa ingekuwa Simba ohooo sipati picha
@imanimwampagama8390
@imanimwampagama8390 2 ай бұрын
Kama efm na nyie
@peterkissiri9821
@peterkissiri9821 2 ай бұрын
Magoma ni Messi mtupu😂😂😂
@HamisMdamu-en5fe
@HamisMdamu-en5fe 2 ай бұрын
Popo ni mnyama sio mdudu wala ndege
@HASSANFUMU-g6i
@HASSANFUMU-g6i 2 ай бұрын
Malipo hapa hapa dunian
@MdaluLipanda
@MdaluLipanda 2 ай бұрын
mjukuu wng momo upo sawa mie babu yako muba
@khamisihussein8777
@khamisihussein8777 2 ай бұрын
nimewaelewa wakuu
@thejoeclassicsoldier
@thejoeclassicsoldier 2 ай бұрын
Popo sio ndege, acheni ujinga
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 2 ай бұрын
Mhuuuu magoma chambo atakoma
@salumobed5980
@salumobed5980 2 ай бұрын
Simba Huwa inakomaliwa balaaa dah.... Ila kwa sabAbu ni Yanga
@HappyKitindi
@HappyKitindi 2 ай бұрын
Za simba zinakuwa na evidence ndo maana zinakomalia, mfano unakumbuka mzee kilomoni na hati ya Simba? Sasa huyu magoma ya kwake haina hata circumstancial evidence 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@josephfrank4446
@josephfrank4446 2 ай бұрын
Magoma Yuko sawa😂😂😂
@JohnEugeni-f8m
@JohnEugeni-f8m 2 ай бұрын
SUBILINI MO MUIONE HII STUDIO
@HermanJoseph-mi2og
@HermanJoseph-mi2og 2 ай бұрын
Mnazinguaaaaa mna waponda simba sana acheni ushabikiii naona Leo habar y yangaa yn mnawadefend
@luqmanomary3558
@luqmanomary3558 2 ай бұрын
Kuanzia leo viongoz wa simba na wansimba tuhme hii media inauyanga sana sasa mamb ya yanga na simba wapi kwa wpai eti wakti sisi tunaongea mzee kaamkia avic na wanae aloo dah nije nion msemaj wa simb akiend wasafi nahama timu
@Cosrey
@Cosrey 2 ай бұрын
Jibun koment
@manfredmlay2743
@manfredmlay2743 2 ай бұрын
Popo ni mbuzi sio mdudu
@SaidiMkome-qq7hy
@SaidiMkome-qq7hy 2 ай бұрын
Machawa😁😁😁😊
@LucyMtweve-i9b
@LucyMtweve-i9b 2 ай бұрын
Sipati picha ingekuwa simba momo unavyoivumisha zandaaaaaaani
@HappyKitindi
@HappyKitindi 2 ай бұрын
Za simba zinakuwa na evidence ndo maana zinakomalia, mfano unakumbuka mzee kilomoni na hati ya Simba? Sasa huyu magoma ya kwake haina hata circumstancial evidence 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 2 ай бұрын
Studio yenu ni utopolo kabisa Yani Yanga
@WilfredSaidi-st3tn
@WilfredSaidi-st3tn 2 ай бұрын
GEN Z'S are typing 😅😅😅😅
@dicsonbiko-wz7ym
@dicsonbiko-wz7ym 2 ай бұрын
wasafi imekaa kiuyanga yanga tu😅😅😅
@Mrwilliamgames20079
@Mrwilliamgames20079 2 ай бұрын
Kakae ww ujadili Simba yako
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 2 ай бұрын
Mmmmmmmmhhhhhhhhhhh mrudisheni madarakani huyo ataleta tafrani jangwani
@aminangano3635
@aminangano3635 2 ай бұрын
Popo mnyama😂
@MdaluLipanda
@MdaluLipanda 2 ай бұрын
momo msalimie ndg yng mauridi
@williammajani2152
@williammajani2152 2 ай бұрын
Hawa ndio watu wameaniniwa na TV walete habari za michezo shame of you
@zainabbakari-vw4jy
@zainabbakari-vw4jy 2 ай бұрын
Na huu ndo ukwel
@Athmanichambuso
@Athmanichambuso 2 ай бұрын
nimikulewa hap
@SaimonAnton-rj3vt
@SaimonAnton-rj3vt 2 ай бұрын
Mwaipopo
@jonasfrank1758
@jonasfrank1758 2 ай бұрын
Ingekuwa lunyasiiiii
@Mumewangu
@Mumewangu 2 ай бұрын
Wote hawa ni uto wanaongea kiwoga woga
@ABDALLAHMWATANDA
@ABDALLAHMWATANDA 2 ай бұрын
INGEKUWA SIMBA MNGESEMA SIMBA Haijielewi.....LEO .MNASEMA kimajungu
@HappyKitindi
@HappyKitindi 2 ай бұрын
Ongea fact bro, we hapo unadhani magoma ana evidence gan ya maana katika Hilo?
@HappyKitindi
@HappyKitindi 2 ай бұрын
Za simba zinakuwa na evidence ndo maana zinakomalia, mfano unakumbuka mzee kilomoni na hati ya Simba? Sasa huyu magoma ya kwake haina hata circumstancial evidence 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mussakunenga8866
@mussakunenga8866 2 ай бұрын
Acheni uyanga
@AziziAbdala-tw6uf
@AziziAbdala-tw6uf 2 ай бұрын
bundi limeanza kuzagaa yanga
@chamyluna8030
@chamyluna8030 2 ай бұрын
Mnadhihirisha wazi kua mnaongea kiyanga yanga tu mbona Mambo ya simba hamuyapambi hivyo mungeongeza chumvi kibao mbwa nyie
@BarakaMalekela-nf6gv
@BarakaMalekela-nf6gv 2 ай бұрын
Bola mgombane tu
@AyubuMwakalibule
@AyubuMwakalibule 2 ай бұрын
Sheli zipo ili zilindwe ko kama mtu kawafanyia mema ndio avunje shelia mgebadili ndio mmpe mtu uongozi mbona ingewezekana tu alaka sio nzuri,
@abddillahkatte6734
@abddillahkatte6734 2 ай бұрын
Kwanza kajifunze kuandika
@LumumbaFarhani
@LumumbaFarhani 2 ай бұрын
shelia ndio nini?
@JechaMakameIssa-gs2bl
@JechaMakameIssa-gs2bl 2 ай бұрын
wakwanza nipeni like zngu😢
@GosheSecurity
@GosheSecurity 2 ай бұрын
Mwaipopo ni mshamba toka malawi ndio maana anatumika kifala afu hana hata kadi ya uanachama
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 2 ай бұрын
Momo wacha uongo
@SimonAmon-dr8xw
@SimonAmon-dr8xw 2 ай бұрын
msenge Wewe
@agnetorjohnson102
@agnetorjohnson102 2 ай бұрын
Makasiriko ya nn sheikh ​@@SimonAmon-dr8xw
@mjuaelias3681
@mjuaelias3681 2 ай бұрын
Bundi huyoo jangwani,
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 2 ай бұрын
Kafia mferejini, tuma mwingine.
@PaulMuasya-z8c
@PaulMuasya-z8c 2 ай бұрын
Hivi wewe Kitenge wataka kusema Yanga hawakuwahi kufika mahakamani kwa hii kesi ? Hii ni mahakama ya kisheria na sio wale Tff. Wacha kuwapotosha wanachama wa Yanga.
@JohnKabuka-o7h
@JohnKabuka-o7h 2 ай бұрын
Jangwani kumekucha
@SijapataMathiasJosephat
@SijapataMathiasJosephat 2 ай бұрын
Hakuna kilicho haribika kichapo kipo palepale
@bonfacemassawe3394
@bonfacemassawe3394 2 ай бұрын
Popo si ndege bali ni mnyama.
@edwardlesian9318
@edwardlesian9318 2 ай бұрын
Mwai popo hyo
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 54 МЛН
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 133 МЛН
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 94 МЛН
Simba SC 1-5 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 05/11/2023
12:02
UTV Tanzania
Рет қаралды 1,8 МЛН
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН