Рет қаралды 31
Kamati ya siasa ya kata ya Kindai ikiongozwa na Mwenyekiti wake Iddi Munga na wajumbe wa kamati hiyo wakiwemo madiwani wa kata hiyo Mhe Omary Salum na viti maalu wake Mhe Rehema Mande wametembelea mtaa wa Bohari na kujionea adha ya ubovu wa barabara hiyo inayo sababisha wanachi kukosa huduma muhimu za kijamii.
Mwenyeki wa mtaa wa Bohari Juma Simba amesema kuwa Barabara ya Njiku ndiyo barabara kuu ambapo wakazi wa eneo hilo wamekuwa wakipata usunbufu mkubwa hasa wakati wa mvua kwani maji ujaa mpaka kwenye makazi ya watu.