Ziara ya RAIS Ruto nchini Marekani na Siri nzito ya Kenya kuwa mshirika mkuu wa NATO!

  Рет қаралды 23,838

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Ай бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 422
@HansChuma
@HansChuma 29 күн бұрын
Weka like nduguzangu kua Ruto ni msaliti kwa Wakenya nduguzang wakenya Ruto nikishada cha watu waulaya na marekani
@hilarymayende
@hilarymayende 29 күн бұрын
It's about interest we support our president Ruto
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 29 күн бұрын
Kwn ni lini wakenya walikwambia hawataki urafiki na Marekani?
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 28 күн бұрын
TUMEUZWA!😢😢
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 28 күн бұрын
You don't know Ruto! Sma you have to live with this guy to know him!😢
@alungaobuluu3626
@alungaobuluu3626 28 күн бұрын
No good intrest Since colonisation?stay woke bro,personal intrest only​@@hilarymayende
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 29 күн бұрын
Nakukubali sana DJ SMA ILA SOMETIMES NAONA KAMA UNACATCH FEELINGS NA INAKUA KAMA UNACHAMBA AU KUWAPA MAKAVU AUDIENCE… Being professional you need to ignore some few negative people in your audience…much love from CapeTown big bro!
@josephkate3664
@josephkate3664 29 күн бұрын
Kwenye NATO hapo kama sikosei analengwa Uganda kwani Uganda sio kibaraka wa Marekani wala Ulaya.
@Nasbakr
@Nasbakr 29 күн бұрын
Upo wrong brother, hakuna tofauti ya Kenya, Uganda na Rwanda Hao ni watoto wa west
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 29 күн бұрын
Kama una lenga mule mule
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 29 күн бұрын
Kama una lenga mule mule
@JacksonMartin-pb2vq
@JacksonMartin-pb2vq 29 күн бұрын
Hii sio kwa uganda tu hata Tanzania hatutakuwa salama italazimika kuongeza matumizi ya bajeti ya Jeshi let hali si salama
@makhanguwakhutu2408
@makhanguwakhutu2408 29 күн бұрын
Museveni ndio kiongozi wa vibaraka usidanganywe Kwa mdomo wake yeye ndiye ameweka Ruto na kagame
@lutherlewalle2591
@lutherlewalle2591 29 күн бұрын
🇹🇿KK BILA KUSIKILIZA AU KUPITIA PAGE YAKO SILALI KBS YANI KILA DK 30 LAZIMA NIKAGUE UMEPOST NN👌
@markodaniel2662
@markodaniel2662 29 күн бұрын
Poleni sana Kenya 🇰🇪 uyo Ruto ni Mnyarwanda na sio Mkenya.
@Nasbakr
@Nasbakr 29 күн бұрын
Acha bhana??? Kwel??
@MrAslan47
@MrAslan47 28 күн бұрын
wenda utafit ufanyike​@@Nasbakr
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 28 күн бұрын
😂😂
@NkenguburundiKenny-xn8of
@NkenguburundiKenny-xn8of 27 күн бұрын
To be Rwandan what's the problem my friend?
@gtzrreception5532
@gtzrreception5532 29 күн бұрын
Ruto ni kibaraka mtiifuu sana na ukiona mtu mweusi anapenda na wale jamaa ujuwe kuna tatizo hapo
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 29 күн бұрын
Sns ajirini IT smart, mlipofikia acc yenu inaenda kutukuliwa😢
@GonaNzaro
@GonaNzaro 29 күн бұрын
Bro mm m Kenya but sijaridhika na hiii ziara
@karolialex5734
@karolialex5734 29 күн бұрын
mie mtanzania sijapenda kabisa
@JKQGAME
@JKQGAME 27 күн бұрын
Utachagua uridhike au uhame nchi imepitishwa hiyo
@peterlove4g869
@peterlove4g869 29 күн бұрын
*Unajua mi nimeshangaa kumuona Ruto Marekani,yeye alikuwa wa kwanza kuwashawishi viongozi wa Afrika kutokubali mualiko wowote wa nchi za Magharibi kufuatia kile kilichoelezwa kwamba walidhalilishwa ile siku walipotiwa kwenye bus moja walipokwenda kwenye msiba wa Malkia Eliza.Walikubaliana kwamba watakapoitwa au kupata mialiko basi wawakilishwe aidha na mabalozi au mawaziri wetu wa mambo ya nje,sasa imekuwaje kula matapishi🤔*
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 29 күн бұрын
😅😅😅😂😂
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 29 күн бұрын
Njaa
@zayumar2955
@zayumar2955 29 күн бұрын
😂😂😂😂 kwakweli njaa mbayaaa sana​@@user-lt1bi5nr1x
@godfreyfrugence4176
@godfreyfrugence4176 27 күн бұрын
Umesahau ule msemo wa wazee kuwa afrika baadhi ya viongozi wao ndio wasaliti
@moriscollins4494
@moriscollins4494 27 күн бұрын
Katika maisha yangu nilishajisemea siwezi muamini mtu mweusi na mlevi hata iweje
@brianbaltazar6198
@brianbaltazar6198 28 күн бұрын
Dj smaa napenda sana makala zako ni nzuri mnoo..Hongera kwa sky kwa kumchagua dj smaa
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 29 күн бұрын
Dj smaa uko very best, hongera sana mwalimu upo vizuri snaa kiongozi
@shabanmalala3327
@shabanmalala3327 28 күн бұрын
Kazi nzuri sana dj haswa kwa mimi mkenya ninaekufwatilia wakenya wengi hawaelewi siasa za dunia tuko nyuma i wish wangekuwa wanakusikiza
@bonifacewanyonyi3555
@bonifacewanyonyi3555 29 күн бұрын
DJ sm uko sahihi kapisa nakukupali sana pro
@trendz_2548
@trendz_2548 29 күн бұрын
Kazi safi sana. Love tokea Kenya. Sisi hatufurahii hii safari kiukweli. Inatuuma saana
@jmat82012
@jmat82012 28 күн бұрын
Kenya is a democracy. If they don’t like Ruto, they will vote him out. You have a president. If you don’t like Ruto, move to Kenya, get a Kenyan citizenship and vote.
@michaeljuma7764
@michaeljuma7764 29 күн бұрын
Then dj sma please, use the term the president of kenya but not Kenyans simply because the president has chosen his path which is against the view of the citizens. The president did it for his own benefits. No one in Kenya is happy for what the president has decided. A decision made without public participation.
@3erffeoui86
@3erffeoui86 28 күн бұрын
true
@frankub8107
@frankub8107 29 күн бұрын
from Burundi God bless East africa
@benardmakori4012
@benardmakori4012 29 күн бұрын
Hongera sana Dj sma.Hii nayo nimependa❤❤❤
@kimzymamy6594
@kimzymamy6594 28 күн бұрын
Mimi simkubali ruto ata kdogo jamaa msaliti lkn ukiwa na niambia na kenya yetu Allah atakuacha salama 😥
@emanuelidamiani2943
@emanuelidamiani2943 28 күн бұрын
Hata jumuiya ya afrika mashariki inaenda kufa siku si nyingi, maana kila nchi inajifanyia maamuzi yake tu binafsi bila kushirikisha jumuiya. Swala la kupokea wakimbizi jumuiya hailijui, swala la kupeleka askari huko haiti jumuiya hailijui. Ndio linakuja kutokea la kutokea nchi inaanza kulialia kuomba msaada kwa wanajuiya. Yaani waafrika Bwana sijui tumelogwa wapi sisi jamani😢😢😢😢😢😢.
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 29 күн бұрын
Dj sima uko vizuri..tumekuelewa...mimi nimekuelewa sana.
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 29 күн бұрын
RUTO NI ZELENSKY UMBWA UYU
@amriseleman9395
@amriseleman9395 29 күн бұрын
Hahahahaha
@hafidhmiraji9479
@hafidhmiraji9479 29 күн бұрын
Kenya wamempata zelesky wao Kenyan ntakuwa ni fimbo inayotumiwa na US
@EmanuelMkongwi
@EmanuelMkongwi 29 күн бұрын
Hahahah kweli
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 29 күн бұрын
😂😂😂
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 28 күн бұрын
😂😂😂😂
@abdallahmwabungale
@abdallahmwabungale 28 күн бұрын
Ma Sha Allah,,,Mungu azidi kukubariki Dj Sma uzidi kutufungua Akili na Macho,,,Hakika Kiongozi wetu amechemka apo,,Ila Yajayo yanafurahisha
@Bama959
@Bama959 28 күн бұрын
ila smaa unajitaidi lakini hapo kwenye Rwanda kupokea wakimbizi kutoka England,all east Africa community countries waliunga mkono hilo swala. East African community ndo wanawapa nato na marekani nafasi kubwa sana ya kuiteka Africa maana inchi kama Tanzania, Kenya, Rwanda na Burundi wote ni vibaraka wa USA kwa 100% ila hilo hamuwezi kusema. Nchi east Africa ambaye kibaraka cha USA ni Uganda tu ndo maana wanapinga sana ushoga. ila nchi kama Tanzania, Kenya Rwanda na Burundi wanajifanya kama kupinga ushoga ila kiundani viongozi wameunga mkono ushoga 100% maana the only who came out and said that hataki ushoga nchini mwake ni wa Uganda tu.
@mohayussuf2057
@mohayussuf2057 29 күн бұрын
Kenya inatumika
@chingaboy1149
@chingaboy1149 29 күн бұрын
Mbona mda tu😂😂😂 kenya ndio chaka lawazungu
@zakazakazi-fn6zy
@zakazakazi-fn6zy 29 күн бұрын
🧠 Yako iko smart sana nakukubali mnoo dj smaaa uko vzr sana big 👆
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 29 күн бұрын
Mi kama mkenya sijawahi mwamini Ruto jamaa ni msaliti toka kitambo,Kwanza alipoingia madarakani aliwahadaa wafrica wenzio wataibwaga dollar kumbe jamaa alitumwa ili marekani ajue maadui zake.
@ce-08
@ce-08 28 күн бұрын
😂😂😂
@user-pn4gt7wf8y
@user-pn4gt7wf8y 28 күн бұрын
Acha uongo we kila alieenda marekani mbaya mbona unachambua upande mmoja
@user-rl7ud2tw7y
@user-rl7ud2tw7y 29 күн бұрын
You are right brother, love from 🇨🇩
@fatumahamadi1379
@fatumahamadi1379 28 күн бұрын
Kw kweli maneno yko yapo sahihi yunaona mambo yanavyoenda Dj upo vzr ALLAH akufanyie wepes n Afya iwe nzr tujifunze vitu
@djsma255
@djsma255 28 күн бұрын
Asante na amin kwa sote
@BLACK9INE6IX
@BLACK9INE6IX 29 күн бұрын
AFRICA'S 🥺😭😭😭😭
@DaudiSaid-bj7dh
@DaudiSaid-bj7dh 29 күн бұрын
Ameenda kukubalina na matakwa ndipo apewe pesa maaana nchi imemshinda inabidi akubali chochote atakachoambiwa
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 29 күн бұрын
MOJA ya mkataba ni ujenzi wa express way KUTOKA Nairobi to mombasa
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 28 күн бұрын
​@josephwilliam5813 toba
@user-tn4ny3ii2t
@user-tn4ny3ii2t 29 күн бұрын
Ruto nimusaliti Kenya Rwanda niwasaliti mmejitolea kua vijakazi u s a
@user-gx4jx4gv9l
@user-gx4jx4gv9l 28 күн бұрын
Kwani viongozi wa afrika mashariki hawanaga maazimio?kwamfano kuwa na maazimio kwamba sisi tutajilinda wenyewe hatuitaji ulinzi wowote kutoka nnje na kuwa na makubaliano kwamba ndani ya nchi zetu asikiuke kiongozi yeyote kumkaribisha mgeni kwenye mashwala ya ulinzi.
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 29 күн бұрын
Apo kweny East Africa ndugu yangu Tundu lissu km namuona😂😂, paka atafungwa kengele
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 29 күн бұрын
😂😂😂😂
@Nasbakr
@Nasbakr 29 күн бұрын
Alisemaje tundu lissu??
@zayumar2955
@zayumar2955 29 күн бұрын
Ngoja ni share kwanza kabla sijamaliza kuskiza😢
@husseinhemedi9314
@husseinhemedi9314 29 күн бұрын
Kenya ni washamba kweli
@sanjafarmmachinerystractor4205
@sanjafarmmachinerystractor4205 29 күн бұрын
Kweli Kenya hapa ni 😮washamba Vipi nyinyi watanzani
@wgnckasarani
@wgnckasarani 29 күн бұрын
Weeeee😎
@aalyaali6619
@aalyaali6619 29 күн бұрын
We koma c sio washamba mshamba ni uyo ruto
@WILLY_SKY1
@WILLY_SKY1 29 күн бұрын
Umbwaaaa
@Jibambeshow254k
@Jibambeshow254k 28 күн бұрын
Sio wote ni huyu mtu mfupi jabakuli yamboga asie ona mbele ndio anatuaribia kapumbavu kaliibakura sasa anatumia serekali anavyotaka😂
@gynae8407
@gynae8407 29 күн бұрын
Shida ya Africa mashariki ipo kwa Mkenya na Rwanda hawa ndio vibaraka
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 29 күн бұрын
Kenya atatumika hata kutufuatilia mimi binafsi nadhani kuna haja ya kuwa makini saaana Afrika viongozi wetu wengi ni wanafiki saana
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 27 күн бұрын
Well said DJ
@gervasshepi6351
@gervasshepi6351 29 күн бұрын
Asante sana kwa kutufahamisha
@abuuawalina2625
@abuuawalina2625 29 күн бұрын
Nikibaraka wa Marekani, yy anawekwa pale kwasababu Est African. Yy ndio atakuwa mbea wao mkuu
@hassansingano1150
@hassansingano1150 28 күн бұрын
Wananunua silaha akapigane na nani?
@abkhamsalshamte429
@abkhamsalshamte429 26 күн бұрын
Inasikitisha sana sana sisi kua upande wa shetani 😢 Tulidhani viongozi wetu wana maono, wapi tushakua upande wa Madui katika VITA HII 3 YA DUNIA WASHINDWE DAIMA NA MBINU ZAO OVU.😮
@-vw9yz
@-vw9yz 29 күн бұрын
Ruto hana tofauti na vibaraka waliotangulia
@SM-fu1yv
@SM-fu1yv 29 күн бұрын
Mta nikumbuka by magufuri
@frankub8107
@frankub8107 29 күн бұрын
noma kabisa
@abkhamsalshamte429
@abkhamsalshamte429 26 күн бұрын
Dah dj smaa uwe makini sana huko tunako elekea, wema wafa wabaya wabakia.
@daviddeus6437
@daviddeus6437 28 күн бұрын
Ata kama ni wew ukipata dem wa kizungu anakuambia atakupeleka marekani uwez acha
@user-yh7zk8kp8u
@user-yh7zk8kp8u 29 күн бұрын
Wanataka kuvuruga eneo zima la afrika mashariki.
@mtulivu-ir1nq
@mtulivu-ir1nq 26 күн бұрын
Mmarekani mjanja kusini mwa Africa wana misri na Morocco magharibi Djibouti na east Africa wana Kenya na Rwanda hawa watu wajanja sana na mote umo wameeka kambi zao na istoshe nchi hizo zote kazibananisha hawawezi kufanya jambo bila wao na lazima wafanye biashara na NATO ndio maana mmarekani kumuangusha inakua ni ngumu sana na shida kubwa Africa hatuna ushirikiano na misimamo🙌🙌🙌🙌🙌
@PatrickJulius-uy3yb
@PatrickJulius-uy3yb 29 күн бұрын
Asante sanaa smaa nadhan ruto ameshindwa kuhendo plesha ya marekan vp sisi hapa tupoje au ndio tupo tupo..
@alexmwanioti6390
@alexmwanioti6390 28 күн бұрын
DJ SMA vipi kuhusu madhara ya hili kwa Muungano wa east africa mbona kama kuna moshi unafuka chinichini hapa
@onesmoaugustino2765
@onesmoaugustino2765 25 күн бұрын
Dj sma na wenzako mmekuwa chanzo muhimu cha kuunganisha nukta. Vyena sana
@AliNassor-qt6fm
@AliNassor-qt6fm 29 күн бұрын
Kenya, njaa inawasumbua 😂😂😂
@matukiotvonline6366
@matukiotvonline6366 29 күн бұрын
Asante smaa🎉🎉❤❤❤❤❤
@benjaminekimanuka6240
@benjaminekimanuka6240 29 күн бұрын
Mimi najuwa kati ya inch zilizo peleka vikosi somalia nipamoja na burundi
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 29 күн бұрын
Brother upo vizuri sana nakubali sana
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 29 күн бұрын
Kutoka 254. Sipo 195
@WILLY_SKY1
@WILLY_SKY1 29 күн бұрын
Ruto is smart he knows what he is doing I will vote for him again and again
@Beautiful-Place
@Beautiful-Place 29 күн бұрын
Huyo Ruto angepinduliwa ingekua poa sana
@user-tn4ny3ii2t
@user-tn4ny3ii2t 29 күн бұрын
Waliopeleka majishi somalia Kenya Uganda Burundi
@Nasbakr
@Nasbakr 29 күн бұрын
Allah atulinde mana ni hatar
@Abdulrahmanhassan18
@Abdulrahmanhassan18 28 күн бұрын
Shukran sana kwa maarifa
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 29 күн бұрын
Ni kenye ndio iliopeleka ma jeshi Somalia
@ajn9087
@ajn9087 29 күн бұрын
Nilijua tu EAC hakuezi kosa msaliti, sina uhakika lakini EAC Inakuja kusambaratika kati ya rdc, tanzania, na burundi, lazima moja itajitoa kwa EAC.
@user-eo6ou4zd4d
@user-eo6ou4zd4d 28 күн бұрын
Kujipendekeza sana kwa Marekani. Russia and African summit mwaka jana hakwenda. Baadhi ya viongoze east Africa hawana uajanja kwa American na Western.
@AdamKondo-so3cn
@AdamKondo-so3cn 26 күн бұрын
Mimi na waza sijui kama, mwalimu unaeleweka naomba Mungu akutie nguvu.
@salumally-jz5lj
@salumally-jz5lj 29 күн бұрын
Haijakaa sawa kwa mataifa aya kwa kutokuwa na msimamo mmoja na kwa manufaa tu ya mwafrica
@zaralsham3257
@zaralsham3257 29 күн бұрын
Mungu ibariki tanzania na watu wake 🙏🇹🇿🌹,, Mungu ibariki Africa,, Mseveni Anahekim sana na busara Mungu mtunze kwa ajiri yawaganda 🙏.
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 29 күн бұрын
Tanzania mbona mko sawa na wakenya hilo usikwepe kabisa. Pia hamko salama.
@zaralsham3257
@zaralsham3257 29 күн бұрын
@@mwawekomiuda9779 ndo maan nimesema Mungu Mungu ibariki africa na watu wake,, lbada njema inaanzia nyumbani
@Kelvinchristopher072
@Kelvinchristopher072 29 күн бұрын
Uyo ni mshenzi anawauza wakenya. Poleni ndugu zetu wa kenya.🇰🇪
@MrTravellertz
@MrTravellertz 29 күн бұрын
Hakunaga kitu cha bure .... US huwa wanafanya vitu vyao kistrategic sana
@venancerutta6875
@venancerutta6875 15 күн бұрын
Yapime maneno kabla hujaropoka rais wa kenya pongezi
@user-hx6ts5vl5g
@user-hx6ts5vl5g 29 күн бұрын
"If one day you hear the Europeans praise me, know that I have betrayed you " ~ Samora Machel, former president of Mozambique.
@shukurumsebaloli
@shukurumsebaloli 29 күн бұрын
Uyo mzee uwanamfananisha namuuza makaa
@bakarinoor8718
@bakarinoor8718 29 күн бұрын
Kweli wa Rais Ruto anaimarisha usalama kenya na amefungua mashule mingi 2 kwa hiyo sehemu ya insecurity
@farajalivingstone2947
@farajalivingstone2947 29 күн бұрын
Weka like kama unaamini kuwa kenya ni Masnich ...
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 29 күн бұрын
Uwe makini na unayoyasema, hao wakenya wote wanapinga safari hii na ndio unaona watu alioenda nao sio waliokua wamechaguliwa, ukifatia hii issue hadi amekosana na muandishi wa havari wakenya kisa maswali aliyoulizwa, kwani mpaka ulaumu? Amehaidi wakenya mangapi na hajatenda? Likikushinda tuachie tunajua pakumsika tutakutana nae debeni tu
@user-kr9kf8jr3q
@user-kr9kf8jr3q 29 күн бұрын
Masilahi ndio muhimu kwanza.
@thesunafrican
@thesunafrican 29 күн бұрын
West Africa wanawakataa East Africa tunawakaribisha!!!!!
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 29 күн бұрын
Wapumbavu sisi eastafrika
@HorebuKasuku-zz8cj
@HorebuKasuku-zz8cj 27 күн бұрын
East Africa ni tatizo tamaa
@venancerutta6875
@venancerutta6875 15 күн бұрын
Kwanza nenda darasa rais wa kenya ninani awezaye alipofika afike
@peterlove4g869
@peterlove4g869 29 күн бұрын
Huyu raisi ni mjinga sana
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 29 күн бұрын
Utamuona MJINGA but wana gain kitu
@skonga3106
@skonga3106 29 күн бұрын
Kama hujuwi nyamaza. Lile swali lilikua tactical questions, journalist aliyeuliza swali ni mkenya na swali lilijibiwa vizuri sana.
@atutweve4160
@atutweve4160 29 күн бұрын
Sana nliskia pia jamani
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 28 күн бұрын
Daa? Hatimae Kenya wamekubali ushoga laivu.
@Elizabeth-gq9kl
@Elizabeth-gq9kl 19 күн бұрын
Kazinjema nafuraiya Nikiwa Kenya
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 29 күн бұрын
Waafrica vichwa vyetu hamnazo wao wanaangalia maokoto ili wawapoze wananchi wao njaa tu inayotuingiza kwenye majanga wala hawaandiki ktk mtazamo Yao umaskini ni gonjwa kubwa.
@daviddeus6437
@daviddeus6437 28 күн бұрын
Marekani ni marekani amuwez kushindana na marekani aliye watangulia mjini uwez shindana nae
@venancerutta6875
@venancerutta6875 15 күн бұрын
Nampongeza rais wa kenya. Kwa juhudi zake nchi ya 19
@biasharaonline693
@biasharaonline693 26 күн бұрын
💪💪
@user-ny2cd9dt1d
@user-ny2cd9dt1d 29 күн бұрын
Nahisi wataligawana bara Africa .
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 29 күн бұрын
Dj smaa anatupa fact
@SM-fu1yv
@SM-fu1yv 29 күн бұрын
Wa weke na base na ushoga east Africa
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 28 күн бұрын
Inakera na kukatishs tamaa.. Kama Ruto ataikubalia America,basi kituo cha kijeshi cha Nato pale Mombasa kitaathiri nguvu za Rusia kuisaidia Afrika kuondokana na waMagharibi wanaotupangia watu wanaowaunga mkono ndio watuongoze ili kuendelea kuiba rasilimali zetu na kutukopesha bila kutaka!
@bongoflevamixhits
@bongoflevamixhits 23 күн бұрын
195
@jumamayonga8914
@jumamayonga8914 29 күн бұрын
Uuuuuwiiii.... Twafaaaaa..... .
@djafro8729
@djafro8729 29 күн бұрын
Ruto ni mtu wa propaganda. ni mdomo tu . Hakuna action. Yeye ni mwizi . Maslai yake tu ndio anaangalia. Hakuna shule amefanya marekebisho
@eunicewamathioya8030
@eunicewamathioya8030 28 күн бұрын
So what we are proud of him
@antonyelias866
@antonyelias866 28 күн бұрын
Nakubaliana na wwe kaka
@makaoyafutaa1302
@makaoyafutaa1302 28 күн бұрын
It's a matter of foreign policy, the two players that's USA and Kenya have different interests, let it be known that Kenya is a great ally to united states. Remember the former USA president Barack Obama is a Kenyan
@EzzyEddy-il3ce
@EzzyEddy-il3ce 28 күн бұрын
Mi binafsi nahisi marekani amepata sehemu ya kutunzia siraha upande wa east africa,maana ukisema kenya kununua siraha za marekan kwa kwa pesa gani alonayo,au akapigane na nani sasa,kenya tayar ni USA military base kwa sasa ila wasitudanganye kenya hana uwezo wa kununua siraha mpya za marekani
@mahamudaideed6922
@mahamudaideed6922 29 күн бұрын
Kenya imeisaliti china baada ya kuwekeza na kuijenga
@PROSKWEKA-ff2gd
@PROSKWEKA-ff2gd 28 күн бұрын
Dj sma hebu tuambie mama amesign mikataba gani kwa wafaransa
ROCK PAPER SCISSOR! (55 MLN SUBS!) feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PINK STEERING STEERING CAR
00:31
Levsob
Рет қаралды 22 МЛН
Why did the angel disappear?#Short #Officer Rabbit #angel
00:38
兔子警官
Рет қаралды 5 МЛН
ТАМАЕВ vs ВЕНГАЛБИ. Самая Быстрая BMW M5 vs CLS 63
1:15:39
Асхаб Тамаев
Рет қаралды 4,8 МЛН
Hiki ndicho kinachomfanya Marekani na Israel wamuogope Iran
35:23
NO ESCAPE ROUTE: NOT EVEN THIS WILL SAVE YOU!
31:21
Herman Manyora
Рет қаралды 20 М.
3rd time’s a charm 😅 #bugatti #dodge #daytona #americanmuscle #muscle #musclecar
0:31
This is how 😂 #miata #mx5 #shorts
0:10
Miata Nation
Рет қаралды 7 МЛН
Choose a car for Grandma ❤️ #car #carlover #automobile
0:16
Drive Vibes
Рет қаралды 18 МЛН