Marekani, Urusi, China, Korea na Ufaransa zawania tenda ya kuzalisha Nishati ya Nyuklia Ghana

  Рет қаралды 15,730

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Ай бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 68
@imanuelnguya9277
@imanuelnguya9277 28 күн бұрын
Asante sana mtangazaji asante sana mchambuzi urusi atashinda hii tenda
@biasharaonline693
@biasharaonline693 26 күн бұрын
Sadly Serikali ya Nchi yetu Tanzania huwa iko slow katika mambo kama haya, always😢
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 28 күн бұрын
Hii ndo mipango sasa! I think this is the way to go! Rain is almost unpredictable kwa sasa
@RamaTraceur
@RamaTraceur 28 күн бұрын
mchambuzi mzuri sana huyu, Tujitahidi sana kufikiria kwa haraka sana na tuwe makini na kila malighafi zetu, tusiwe watu wakuona frusa za kuuza uza mali zetu. Je tunaweza kuzifanyia nini na zikatusaidia sisi wenye watanzania(Africa). hii frusa ya ku uza uza iwe ya mwisho kabisa . Pesa tunahitaji tufikiri kwanza, Wazungu wanja sana, Tusije tuka uza vijana wetu huko baadae na hao ndo taifa lenyewe. Taifa ni watu wenye afya njema na uwezo wa akili. Africa tunaongoza kwa kuwa na vijana wengi wenye afya njema na Akili. Ni Mawazo yangu tu.
@SM-fu1yv
@SM-fu1yv 28 күн бұрын
Ghana watampa marekani hii tenda na mjua huyu mzee wa Ghana
@SAMA-jw4fr
@SAMA-jw4fr 20 күн бұрын
Tanzania ubadhirifu mwingii Nime notice Mawaziri wetu hawataki maendeleo bali wanataka wizi tu
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 28 күн бұрын
Kaka sky upo visuri . Karibu crown media
@hatibumohamedi3471
@hatibumohamedi3471 28 күн бұрын
😂😂😂Kichogo ka mwiko kwenda huko o na meno yako ya kuungua saruti mzee baba doto mandinga🎉🎉
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 28 күн бұрын
😂😂😂​@@hatibumohamedi3471
@EmmanuelSima-qz1gd
@EmmanuelSima-qz1gd 28 күн бұрын
Ally:-huyu jamaa anaweza kukuchambua Toka kuzaliw mpk Leo na changamoto zako zote ndo utajua ujui😂😂😂😂
@user-sr8tc8ke6q
@user-sr8tc8ke6q 28 күн бұрын
😅😅😅
@HassanMlozi
@HassanMlozi 23 күн бұрын
1😊1111. 2 QA😊😊 as
@mrshazychannel3359
@mrshazychannel3359 28 күн бұрын
Nataka kujuw Ally masoud amesomea nn?? Maana anachambua vzr.san
@allahisone6386
@allahisone6386 28 күн бұрын
TUPO WENGIN SANA KBS
@AinekishaNyakato
@AinekishaNyakato 27 күн бұрын
Angali video ya nyuma sns wapo na Sky Dj Smaa Ally na kaka mwingine jumla wapo watatu na Sky wanne kipindi ni GPS walijitambulisha wote na taaluma zao na huyu Ally alijitambulisha vizuri tu utamuelewa.
@tumainielmaruwa3148
@tumainielmaruwa3148 28 күн бұрын
Watoto wa Kwame Nkuruma wanaonyesha kipaji Chao kwakuwa moja ya Taifa lenye nguvu za kinyukilia ktk Africa itakuwa nchi ya pili nadhani
@musajosephmotte4222
@musajosephmotte4222 28 күн бұрын
Asante kwa uchambuzi
@hedwigkimario6993
@hedwigkimario6993 28 күн бұрын
Masubi aisee uko vzr sanaa
@allahisone6386
@allahisone6386 28 күн бұрын
ZAIDI YA SAAAN KBS
@user-sr8tc8ke6q
@user-sr8tc8ke6q 28 күн бұрын
Ally Masubi ntakupa Dada 😅😅😅
@user-wi9et9yl1v
@user-wi9et9yl1v 28 күн бұрын
Masubi uchambuzi wako inaeleweka sana thanksss
@domajosep3797
@domajosep3797 28 күн бұрын
Good
@fatimasaid9469
@fatimasaid9469 28 күн бұрын
Me china or urusi na noth Korea. Hawa wengi wanakuja kuwatumia vibaya tu. Mara wanapiganisha miaka ya mbele
@allahisone6386
@allahisone6386 28 күн бұрын
Nikweliiiii kbsaaaaaa
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 28 күн бұрын
Serikali inaweza Jenga prant moja kama vile morogoro Dodoma na mwanza pili Tanzania inaweza kuuza Europe na USA Canada Japan India na Dubai
@Gulfnas1
@Gulfnas1 28 күн бұрын
Hapo kwa morogoro muweke Dar, Dom na Mwz
@deusmauka8270
@deusmauka8270 28 күн бұрын
Apewe Mrusi, katusaidia vita vya ukombozi kusini mwa Afrika, kwanza anaweza kazi.
@josepheriah5977
@josepheriah5977 28 күн бұрын
La marekan
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 28 күн бұрын
🇷🇺❣️
@user-wb4fg8je4v
@user-wb4fg8je4v 28 күн бұрын
Tanzania umeme hamna
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 28 күн бұрын
They should give it to russia
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 28 күн бұрын
Kwa hao wote USA, France na South Korea wasiwape kwa upeo wangu maana hao wote lao moja
@allahisone6386
@allahisone6386 28 күн бұрын
KIDUKU&PUTIN WAPEW ITAKUA BOR ZAID
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 28 күн бұрын
Natumai kwa Tanzania katika Mradi wa kufua Nyukilia katika Mkoa wa Ruvuma watapewa wa China au Russia ili kuchochea ukuaji wa Uchumi wa Viwanda au tumeridhika na Mradi wa Nishati wa Nyerere Hydro Power Plant.
@kamanapomo7029
@kamanapomo7029 28 күн бұрын
Kaisha chukua mrusi
@allahisone6386
@allahisone6386 28 күн бұрын
​ AAAH KWEL KBS?
@user-qp4fz1jw5r
@user-qp4fz1jw5r 28 күн бұрын
Sema ikitoke akashinda urusi wataanza kutafutiwa sababu
@allahisone6386
@allahisone6386 28 күн бұрын
Ndiooo_🤦🏿‍♀️
@issalyanali4119
@issalyanali4119 28 күн бұрын
Urusi atashinda
@kaittheleast
@kaittheleast 28 күн бұрын
Tanzania tuna Uranium kama mapambo bado hatuwezi kuitumia 😢
@allahisone6386
@allahisone6386 28 күн бұрын
RDCONGO WASEMEJEEE?
@yasiniyamamoto8174
@yasiniyamamoto8174 28 күн бұрын
Hawa watu wana akili kubwa hatRi
@PatrickJulius-uy3yb
@PatrickJulius-uy3yb 28 күн бұрын
Samahan bratha Ally naomba kuerewa vinu ivi kaziyake nikuzarisha umemetu au kuna uwezo wakutengeneza nyuklia bom silaha za maangamizi naomba kuerewa Ally masubi
@asyajey3479
@asyajey3479 28 күн бұрын
Inauwezo pia wakutengeneza bomu nyuklia pia aliwahi elezea hapa hapa sns fuatilia interview zake zote
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 28 күн бұрын
Urusi na china sawa
@batuelcharles2489
@batuelcharles2489 26 күн бұрын
Rais wa ghana anaupunga fulani ivi apo atashawishi baraza la mawaziri wammpe mmarekani au mfaransa....nakuacha kumpa mrusi😎
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 28 күн бұрын
Ghana iwape urusi au china au korea kaskazini marekani na maghaibi wanaweza kuweka vitu vya kuuzima umeme msipo wafuata
@Maxpaul-oi8pw
@Maxpaul-oi8pw 28 күн бұрын
😂😂😂
@allahisone6386
@allahisone6386 28 күн бұрын
😅😅Ndiooo_🤦🏿‍♀️ 😅😅
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 28 күн бұрын
Marekani haiwezi Pata tenda hilo kwakua Wana bei kubwa
@allenanase8161
@allenanase8161 28 күн бұрын
Hakuna mwenye viwango vya rosotom
@lameckraphael3743
@lameckraphael3743 28 күн бұрын
Hahahaha hapo n wamagharib ndo wanachukua maana ghana n watu wao
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 28 күн бұрын
Mageuzi
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 28 күн бұрын
Raisi wa ghana ni kibaraka wakutupwa hata akiongea kiingereza anaongea lafudhi ya British, alienda msemea rais wa Burkina faso kwa waziri wa mambo ya nje ya marekani Kua anawaita warusi Burkina faso, ivyo ni ikibaraka tu
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 28 күн бұрын
Watachukua wamagharibi bila shaka. Ni kweli ni watu wao .
@husseinhemedi9314
@husseinhemedi9314 28 күн бұрын
Rostom ndo habari ya mjini aachane na mashoga
@kamanapomo7029
@kamanapomo7029 28 күн бұрын
🎉🎉🎉
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 28 күн бұрын
KUMBUKA HATA hii KZbin ni ya wamarekani unaowaita mashoga
@husseinhemedi9314
@husseinhemedi9314 28 күн бұрын
​@@josephwilliam5813ni saw kama wanasapot uxhoga tuwaitje
@AbdillahRashidi
@AbdillahRashidi 28 күн бұрын
Waifute itapatikana ingine
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 28 күн бұрын
@@AbdillahRashidi 😂😂umeitwa kuitumia? Walibuni utumie wewe si ni shobo zako? Na bando unanunua
@papaamasauti1973
@papaamasauti1973 28 күн бұрын
Urusi ndio baba WA nuclear
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 28 күн бұрын
Kaka Ali Kwan hii sio machafuko ya mazingira? Umeme wa nyukria
@atutweve4160
@atutweve4160 28 күн бұрын
SANA TU NI VILE VIONGOZI WAAFRIKA WATAKUBALI 😌, TENA HATARI MNO IKITOKEA HAWAJATUNZA VIZURI CANCER ITASAMBAA AFRICA YOTE 😌
@alikibwana4657
@alikibwana4657 28 күн бұрын
Putin apewe
@pujimontanapachino4958
@pujimontanapachino4958 27 күн бұрын
Tanzania nchi ya 7 duniani kuzarisha madini ya uranium, lakini tumeshindwa kuyatumia sisi kwa kutengeneza vinu vyetu tutumie madini yetu tumeenda kutengeneza bwawa la maji 😂
@BushashaSwitch
@BushashaSwitch 26 күн бұрын
Lakin cha kushangza ndugu yangu lakin sio kwaubaya Bali siku za nyuma hapahap Sns warutuambia kwamba Niger ndio inchi ya 7 duniani kuzalisha uranium tena kwasasa eti ni Tz 😢 jamani
Василиса наняла личного массажиста 😂 #shorts
00:22
Денис Кукояка
Рет қаралды 8 МЛН
Why did the angel disappear?#Short #Officer Rabbit #angel
00:38
兔子警官
Рет қаралды 5 МЛН
Backstage 🤫 tutorial #elsarca #tiktok
00:13
Elsa Arca
Рет қаралды 45 МЛН
CHINA yaonesha itakavyoipiga TAIWAN kupitia mazoezi yake ya KIJESHI!
8:54
42 Countries Joining BRICS: What Next
10:40
Fastepo
Рет қаралды 259 М.
Incredible Wheel Restoration Process 🚙
1:00
Handmade Heroes
Рет қаралды 8 МЛН
А сколько катаешься ты?
0:53
Тот самый Денчик
Рет қаралды 3,9 МЛН
#automobile #experiment #smartphone
0:15
Kashvi Giggling Fiesta "KGF"
Рет қаралды 20 МЛН
ТЕРМОСТОЙКИЕ шины ПОГРУЗЧИКОВ 😱 #Shorts
0:25
ФАКТОГРАФ
Рет қаралды 2,9 МЛН