Dada shishi love Sana wasukuma mnakiti chenu mbinguni Mimi nimeolewa na mskuma naenjoy sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mchumiajuani199311 ай бұрын
Kwa uwelewa wangu mimi, tayari huyu mtu anaonekana hayupo sawa, hakukuwa na haja ya kumrusha mitandaoni, naona kama ni kumsharirisha, kulikuwa na njia nyingine ya kumtia moyo ila sio kumrushw mtandaoni. HII VIDEO HAIVUTII WALA HAICHEKESHI.
@awatifalghanim110611 ай бұрын
Kweli
@nadyasalim795611 ай бұрын
kweli uko sawa
@dorahmushi-we6ts11 ай бұрын
Lkn huenda Kwa kupitia hapa akapata mtu au watu wa kumsaidia, Kuna wengine tumeona. wamesaidika au kubadilika ki maisha Kwa kupitia humu. Hatujui kapitia Nini lkn waliomruhusu wanazo sababu nzuri...Ritha ana huruma sana kipo kitu atafanya....
@jemimabakari11 ай бұрын
BSS ni platform,huwezi jua atasaidika vipi.
@NasraSaid-qc5hf11 ай бұрын
@@jemimabakariHawana cha msaada wiwotehao wanatafuta Kiki tuuu kupitia huyomtu
@BeautyMhuwa-hk3zg11 ай бұрын
Oyaa mm wasukuma nawakubali miaka nenda miaka rudii ......shishi Mungu akuzidishie
@emanuelgilber556811 ай бұрын
Ase tunaomba kwa heshima tu ya huyu mtu mfute hii video siyo ya kuweka public ivi maan huyu saivi anafaa hat kupewa faraja
@Ummu-Nauthar9811 ай бұрын
Ila ameenda kushiriki na ilkua live kwenye king'hamuzi hata ikafutwa hio ipo tayar hewani.wenye makosa ni walezi wake waliomruhusu kushiriki wala sio walio update video🙃🙃
@EnockOmweri-v3g4 күн бұрын
Master jay wewe
@BLACK-zy6bx11 ай бұрын
Kinacho niumiza ni hadithi ya magreti,,,alipokuwa yuko poa alikuwa akiimba kwaya tena poa sana alikuwa kwa kipindi kile,,,usiyemjua uta mdiscribe kwa aina ya bangi na aibu but trust me kichaa kwa familia ya mwenzako ni ki2ko ila akitoka kwenu ni mtu,,,nataman sana mngemjua alvyokuwa 15 years ago.,,please guys learn how to help and not to laugh....
@luganomwakyusa769711 ай бұрын
Nimesoma hii comment kwa makini I trust unamjua vizuri Sana pole Sana kwa familia yake najua wazazi wake au ndugu wanaumia Sana , in short anaonekana amepitia kwenye sonona , au depression ikapelekea kufika hapo eeeh Mungu msaidie huyo binti arudi ktk Hali yake
@mdachiog521111 ай бұрын
Dah kumbe pole yake kumbe anahitaji msaada
@fatumaselemani456911 ай бұрын
Kumbe hayupo saw
@fatumaselemani456911 ай бұрын
Kwann ss wamemruhusu jmn
@blackeagle444111 ай бұрын
Daaaah😪😪😪😪🙆🏾♂️🙌
@Teresia-l4g11 ай бұрын
Saw broo
@AryanZacharia9 ай бұрын
Jaman huy binti au bibi🤣🤣🤣
@NoreenLema10 ай бұрын
Hilo wigi😊
@NadulaRichard11 ай бұрын
Bange sio nzuri
@NoreenLema10 ай бұрын
Nimecheka sna hamu
@eliyasanga637411 ай бұрын
Kivumbi leo😅😅
@eliyasanga637411 ай бұрын
😂😂😂. Sasa itakuwaje ni kafanana na dada farida wa eliyudi
@rehemamkalawa380111 ай бұрын
😂😂ila pisi za chuga jamani khaaaaa! Hapo full bangi,hata majanaba mwenyewe haoni ndani
@dorisfabian477611 ай бұрын
😀😀😀😀
@FaustinNtunzwenimana11 ай бұрын
😂😂😂
@ZulfaAbuu11 ай бұрын
Sio bangi mwaya
@dorahmushi-we6ts11 ай бұрын
Huenda sio bhangi, huenda ni maisha tuu ..maisha haya!🙏
@paulinaobiria964911 ай бұрын
Ni mgonjwa nyie inaumiza si unaona ametokea kituo cha Neema Village anakolelewa
@felistarmwakapalila680111 ай бұрын
😂😂😂😂😂 inanipa raha
@nsiamasawe457811 ай бұрын
Uongo mbaya, yaani amenifurahisha kwa kujiamini na misimbazi 2 juu. Shishi una kiti Chako mbinguni
@Issayainnocenty09Issayai-ug6sf11 ай бұрын
Msifanye vituko sehemu inayohitaji msaada tafadhali
@mohammadoman896311 ай бұрын
Subhana Allah mtihani wallahi
@CatherineMassawe-i1v11 ай бұрын
😂😂😂 Daa aibu gani hii
@susanaanas22111 ай бұрын
Hakuna kibaya huyu bidada video yake kurushwa kwangu nimejifunza kutokuwakwepa maaana wengine tukikutana nao mabarabarani tunawakimbia kama tumeona kitu gani . Kumbe nao wanapenda kukumbatiwa kama hivyo yani hapo moyo wake baridi sanaa so jambo moja kutokuwanyanyapaa. Wewe unae seme wamekosea kurusha video ndo mnyanyapaaji wa kwanza
@OnesmoMwipopo-co8dr11 ай бұрын
Hii nchi htr
@rahimaidd11 ай бұрын
Anaonekana ni mlemvu wa akili amejitaidi
@r9ayyansaid65211 ай бұрын
Au anakunywa sana watoto wa arusha wengi wanaharibika kwa hivo japo wanaakili saana
@agnesjohn938211 ай бұрын
😂😂😂 eti amejitahidi jamani msitafutie dhambi kwa nguvu
@auntiemylee315711 ай бұрын
Shishi pokea maua🎉🎉🎉🎉
@shamyalley209111 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@rosemahenge907111 ай бұрын
⚘⚘⚘🧚♀️
@NadiaShibonya-ns9zu11 ай бұрын
Munakatik San 🎉🎉🎉❤
@Kikwete-n7u11 ай бұрын
Acha ww
9 ай бұрын
Milele festival #0047
@NuruMollel-s6v11 ай бұрын
😂😂😂jirani yangu yuko juu
@jacquesmulalirya170411 ай бұрын
😂😂ile kwa kweli zuchu
@Hendrica-rf3wt11 ай бұрын
Weeeh kumbe Zuchu ni wengi😂😂😂😂😂😂
@SarahKhaemba-lo9cu10 ай бұрын
Mtu huonekana wazimu/kichaa ikiwa sio nduguyo waswahili husema cheka sana,simulia sana ila chunga yasikufike
@official_vanchaz11 ай бұрын
This content is not even more funny, i wonder when i saw some peopl roughing to the girl who need psyschologial care. So SAD FOR REAL 😢
@rosecharles928411 ай бұрын
Sijui nacheka nini mimi
@awatifalghanim110611 ай бұрын
😂😂😂😂 154 jamaniiiii Mbona kabasi tuuu
@ElizanchimbiNchimbi11 ай бұрын
Mlemavu watu Wana sema
@faidhacute11 ай бұрын
Yaan kuna watu hawako seriously hta kdg na mi naamn hata wanaowapa namba hawa pia hawako seriously
@lucasmourice834711 ай бұрын
Chunga n Dunia nyingne
@magrethlucas55059 ай бұрын
Kwani kina mage ndo tupo hivyo utafikiri nguchiro
@elizabethziga105311 ай бұрын
Mihadarati ndo shida
@UPCOMINGWHALE11 ай бұрын
🤣🤣🏃🏃
@Kikwete-n7u11 ай бұрын
Ww tu
@Emiliana9711 ай бұрын
Wooi 😂😂kwishaa
@samiaabdilatif11 ай бұрын
Follow Follow Follow 😂😂
@FaustinNtunzwenimana11 ай бұрын
Arusha bado tz ama country ingine
@danielamosi687111 ай бұрын
Kwan lazima wote tuwe waimbaji
@dovrex1811 ай бұрын
Ila chuga 😂😂😂
@sabihaibrahim14311 ай бұрын
😂😂😂😂😂mumekutana na jini bahari leo
@mercykinjabe557211 ай бұрын
Hií kali
@SharifaAli-l2q11 ай бұрын
Nimecheka
@habisnasalum-nz4zo11 ай бұрын
Japokua namsunya jamani
@AbdulmarikFuraha11 ай бұрын
😢Nimejuwa kuona aibu mimi
@sabihaibrahim14311 ай бұрын
😂😂😂pole
@anitamollel898211 ай бұрын
Mm navuta bangi lakini ya Arusha naiogopa wallah 😅
@calisteladislaus831911 ай бұрын
😂😂😂dah
@agnesjohn938211 ай бұрын
😂😂😂 sema kweli
@jamilahussein107111 ай бұрын
Afu uyu nikama dada yake farida kaka yao ni eliudi😅😅
@agnesjohn938211 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂sema kweli
@tatuaamuuinyi963311 ай бұрын
Mbona anamsunya
@RamadhaniKaholi-os3tn11 ай бұрын
Ila kwakweli
@margaretkarimi17311 ай бұрын
Kumekucha 😅
@annamussa18511 ай бұрын
Me naona kama anashida ya akili
@souvenirweber716911 ай бұрын
Imepita hiyo😂😂😂😂Tanzania wagonjwa wa akili wanaongoza kwa idadi duniani
@khadijambarouk298311 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@awatifalghanim110611 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Mungu awahifadhi lakini kama wanaongoza kwa ugonjwa wa akili kwanini hawapelekwi Mantal Hospitals basi 😅😅😅
@siamnyone840311 ай бұрын
Mojawapo wewe
@souvenirweber716911 ай бұрын
@@siamnyone8403 ukituongoza wewe!
@agnesjohn938211 ай бұрын
@@siamnyone8403😂😂😂😂
@yohanamorisi902711 ай бұрын
Shepu ya shilole 😂😂kama gunia la mahindi
@InocentGalinoma-dq6hl11 ай бұрын
Usiku wa manane....😅😅😅😅😅
@rehemamathew579011 ай бұрын
Kunae mtu mahali anatamani kuchek😂😂😂Mungu akusamehe
@rosemahenge907111 ай бұрын
🤣🤣🤣🏃♀️
@KhamisDunia-rx4gp11 ай бұрын
🤑🤑🤑🤑🤑🤑😊
@sharifarashidi792111 ай бұрын
Dah😢
@ZalihinaAbdallah44311 ай бұрын
Neema village ni shirika la nn Jaman 😢😢???
@bushbabytz11 ай бұрын
huyu katuaibisha arusha
@NajmaHussein-n5m11 ай бұрын
😆😆😆jaman
@sabihaibrahim14311 ай бұрын
kajipatia elfu 20
@bushbabytz11 ай бұрын
@@sabihaibrahim143 woi
@luganomwakyusa769711 ай бұрын
hapana Wala usihukumu huyo binti anaonekana alipatwa na ugonjwa wa akili
@sabihaibrahim14311 ай бұрын
@@luganomwakyusa7697 hahahaaaa mabangi
@hafsadidas47111 ай бұрын
😂😂😂😂
@salummzee973911 ай бұрын
Kilevi hichi kimekishwa kwa gongo
@iddimohamed197511 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Rozeey61011 ай бұрын
😄😄😄😄😄😄
@JerisJosia11 ай бұрын
🤣🤣
@RabiaIssah7 ай бұрын
Umetish zuch
@chikusangalala775911 ай бұрын
Shushi baby fanya mazoezi umekuwa kama tembo
@barikilangoy473711 ай бұрын
Uwezi kua na mgahawa afu mwili uwe kama ya swala
@chikusangalala775911 ай бұрын
@@barikilangoy4737 😁😁
@ilhamjonas698611 ай бұрын
🤣 🤣 🤣 🤣
@simbawateranga702011 ай бұрын
Wapimwe
@nadyasalim795611 ай бұрын
kafanana na zuchu copy right
@neemanelson605711 ай бұрын
Duuuh
@ClementNdapo-ls9zb11 ай бұрын
Hahahahahah
@pendonangali231611 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@RahmaKhalid-td9hx11 ай бұрын
BSS IMEPATA zuchu
@roi255411 ай бұрын
Tunaanza usiku😂
@marthasonia500511 ай бұрын
😂😂😂😂🇱🇷
@AshaHussein-cs9pl11 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@saidmwinyi706211 ай бұрын
Basi msitunyanyase kiasi hicho hata huko american got talent baada ya tukio kwisha hurusha youtube Nyinyi hamrushi mnaonjesha tu hebu tuwekeeni youtubeeeee MJUE SIKU HIZI WATU TV HATA HAWANA HABARI NAZO KAMA SIMU