Mungu hana ubaguzi .nabii ayubu hakuwa israeli na mungu alimpa utume .kaka kumbuka mbora wao mbele ya mungu ni sikabira furani la hasha ni yule anaemcha mwenyezi mungu .pole sana kwa kupotoshà uma.nimeishi Zanzibar miaka 28 na isramu sijaona mawaidha kama yako.pole shekhe unahitaji kurudi zuoni.mwenyezi mungu akusamekhe makosa yako hayo.Amina
@abuhurayrahabibu45453 ай бұрын
Kweli kabisa
@user-dq1lm2be2u4 ай бұрын
Huo ni ubaguzi shekhe mke mwema ni aliye na hofu ya Mungu
@zvpOnlineTv4 ай бұрын
Mh
@abdulkarimabdallah95364 ай бұрын
Huyu nimpuuz kama wapuuz wengine hakuna analolijua ye anajiropokea2 subhana llah
@radhiamalla94284 ай бұрын
Anaongea hisia zake kwakutangulizia dini, yaani Allah atuhifadhi kwakweli Hawa masheghena maana, na watu wanaitikia AllahAkbar😢😢 anatakiwa azungumzie tabia na si kabira
@user-vy7zv1xx7u3 ай бұрын
Mwanamke mzur niyule anae jua hof yaallllaaah
@abuhurayrahabibu45453 ай бұрын
Kweli
@mudhihirIbrahim-hb7ry4 ай бұрын
Mche Allah sheikh unachupa mipaka huna ushahidi naunacho hongea
@gabrielnduwayo82774 ай бұрын
Nataka munyamwezi ao msuguma jameni
@jumanesaidi76354 ай бұрын
Kwa maneno haya, hakuna Sheikh hapo
@abdulbandari15514 ай бұрын
Very foolish indeed
@abuhurayrahabibu45453 ай бұрын
Kweli kabisa
@deusdeditsimba4452Ай бұрын
Tabora Mji wangu Naupeda sana😂😂😂👏👏👏
@user-dr1su7pf7w4 ай бұрын
mungu akusaheme pole na huo ukabila wako
@abuhurayrahabibu45453 ай бұрын
Kweli kabisa
@ShafiiAbuu-jb8hpАй бұрын
Allah akuongoze Shekh huo no ubaguzi wa makabila na nikatika mambo ya jahiliya mbola mbele ya Allah na mchamungu sio kabila flank mche Allah shekh
@user-zw6xz3lq1x4 ай бұрын
Aah kwa nilivyomfahm shekhe amezungumza kwa ajili ya kuelimisha jamii wawe na tahathari wakati wa kuchagua wake na waume kwa maisha ya badae yup sahihi shekhe anatoa ukumbusho t.Allah s.w amesema kuwa ktk qur-an tukuf kuwa Ukumbusho unawafaa walio amini kwahy yeye amekumbusha t hy shekh.kwahy mtu kazi kwake kufuata ama kuacha kumfuata👏
@jabirkasunzu68414 ай бұрын
Allah s.w. ndio ajuaye❤❤❤
@zvpOnlineTv4 ай бұрын
Naam
@jabirkasunzu68414 ай бұрын
Mbora ni mchamungu❤
@fahamimiraji23384 ай бұрын
Shekhe wangu we kasome uwerewe dini vizuri aumekosa kazi fundisha dini ya allah siokufitini
@kimaroabduli4 ай бұрын
Ktk Uislamu binti anaolewa kwa uzuri wake, nasaha yake, mali yake ila akiwa mcha Mungu inatosha. Sheikh amuogope Mwenyezi Mungu. Na hakuna mbora ktk Uislamu awe Mwarabu au mtumwa wa kihabeshi ila amchae Allah ( SW)
@SubiraMndeme-yw7mx4 ай бұрын
Sheikh mke mwema ni yule mwwnye kumtwii Allah swt n sio katka ukabila
@jasminmohamed61454 ай бұрын
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
@abuibra4 ай бұрын
Umichanganya sana katka Uislamu hakuna unayo sema katika Uislamu kuna sifa za mwanamke sio ukabila.
@abuhurayrahabibu45453 ай бұрын
Kweli kabisa
@nassornyanyagi51264 ай бұрын
Kumbe wanyamwezi ni washirikina poleni sana Tubieni laa sivyo ALLAH ataporomosha matendo yenu mema
@user-wi8og3sv4j4 ай бұрын
Mimi ni mkristo lakini nadhani mtume alioa kabila tofauti ili kujenga ukaribu na kabila nyingi nakuondoa chuki za kikabila
@jabirkasunzu68414 ай бұрын
Kweli kabisa! Na sheikh ameteleza maana mtume s.a.w. alisisitiza kuzingatia dini na tabia njema pekee.
@AminaAhmed9994 ай бұрын
kweli yako mtume amepinga mambo ya ukabila kabisa. sheikh kakosea
@JamaliAmour-jp9dd4 ай бұрын
Hukun shekhe apo hao ndo wanatuharibia dini yetu tuonekn waislm tuna ubaguz kumb ni vimtu tu vidg vdg shekhe hkn apo
@jumashiyo13784 ай бұрын
kiukweli ndugu upo sahihi
@abuhurayrahabibu45453 ай бұрын
Ndio umesema kwel
@bradleykhanei40923 ай бұрын
nadhani huyu mtu si sheikh!!!! Hakuna yeyote katika Uislamu ambaye angefundisha watu kwamba kuna makabila ambayo yanaruhusiwa kuwa na ndoa, na makabila mengine hayafai kwa ndoa; huu ni ujinga . Makabila yote yanajulikana sana kwa kuwa na watu wema na watu wabaya: ni juu yako wewe ambaye unatafuta kuoa, kujifunza wagombea wa ndoa yako kwa uangalifu, ili ujue mke wako wa baadaye ana angalau sifa zote muhimu za Kiislamu. Lakini hakuna ukabila mbaya kwa ujumla wa kuchukuliwa kuwa huwezi kuolewa. Mcheni Mwenyezi Mungu kwa yale mnayoyasema kwa maamumiina kwa sababu ya elimu yao ndogo katika Uislamu
@NelisonKashaijaАй бұрын
Shee uko vizuri
@hasaabdi71994 ай бұрын
Kweli sheikh wangu
@drkalokola58614 ай бұрын
Kumbe wanazuoni ni wamalhayata duniya. Huridhiki na kile Allah alichokujalia.
@zvpOnlineTv4 ай бұрын
Mh
@danielshimora53154 ай бұрын
Wachawi navunja na kuteketeza kwa jina la Yesu na la mtume Muhammad
@zvpOnlineTv4 ай бұрын
Duh
@juliusmsegu33474 ай бұрын
Tumia jina Muhammad peke yake uone😅😅
@salmaalimusa68094 ай бұрын
@@juliusmsegu3347ushawahi kisikia tunaomba kwa jina la Mtume?ss huomba kwa jina la Mungu tu
@sunwizy6084 ай бұрын
we unazingua shee mm muislam ila kitabu kitukufu aakuna haya inayosema ishu izoo za ukabila acha kupotosha
@user-ps6wm2qm4f4 ай бұрын
Unamatusi sana.Hufai kwa kweli
@saidabdalla89963 ай бұрын
Huyu shehe anafirwa mambo aya yametokea❤wapi kumamake pumbavu zako na matako yako pumbavu usianze watu wakutukane
@salummakaveli43663 ай бұрын
We ndo kitobo mtume alilingania kwa matusi uliyekosa radhi ya mama ako hanithi mmoja wewe
@user-ez1ky4ls7c3 ай бұрын
Hakuna shekhe hapo
@vicentkibirit96373 ай бұрын
Msamehe bule,,, Njaa mbaya
@FatnaAlly-go7yt3 ай бұрын
Allahu akbsr
@comfort-rjtv32913 ай бұрын
Mithali 11:14 [14]Pasipo mashauri taifa huanguka; Bali kwa wingi wa washauri huja wokovu.
@selemanmcharazo4 ай бұрын
Sheikh mtume alipinga ukabila na kusema ni harfu mbaya
@RamadhaniLukambuzi4 ай бұрын
Ni kweli kabisa lakini leo hii unaoa kabira wanakula nyoka,panya,paka,mbwa,nyani au mamba na chatu vipi hii imekaaje kwako?kutafuta kabira la mke unayetakumuoa sidhani kama ni ubaguzi kwa watu wa makabira mengine!
@zvpOnlineTv4 ай бұрын
Mh
@athumanikhamisi33774 ай бұрын
ان الله لا ينظر الا اصاواركم واجسامكم ولكن ينظر في قلوبكم......@@zvpOnlineTv
@user-xo5lq7mw3n4 ай бұрын
Huyu nae katokea wapi???😮unaleta ukabila Dini gani hiyo ilisema kaowe Tabora,Tafuta mke Mwema Sio kabila halita kusaidia
@user-hi6mb4so8w4 ай бұрын
@@RamadhaniLukambuzi❤❤
@EzraSaid4 ай бұрын
Yani wewe mungu akusamehe
@user-xw1dv3gr8s4 ай бұрын
Sheikh mche mola
@miye22154 ай бұрын
Yupo sahihi tangu zamani hata Mungu alizuia watu wake kuoa au kuolewa na baadhi ya makabila
@habibkuya33274 ай бұрын
Hotuba ya hovyo sijawahi kuona, ubaguzi, ukabila, ubinafsi wa kiwango cha fly over Hamna Mungu hapo.
@miye22154 ай бұрын
Tangu enzi na enzi yapo makabila ambayo Mungu aliwazuia watu wake kuoa au kuolewa nayo kwa sababu ya wana tabia za kuwatoa watu katika njia za Mungu
@jumasibanilo29124 ай бұрын
Binafsi sheikh huyu huwa simpendi kwa kuwa niliwahi kumsikia akishabikia ushirikina kwa uelewa wangu kwa kutetea kuogeshwa mikosi, na hiki anachosema huenda kakosea kufikisha tu. Ila mtume wetu kasema tuoane kwa nasaab ukiangalia hili ukiacha kutaja makabila kuna jinsi ya kutafakari hili, ni vyema kila mtu aoe kwao na kama sio basi oa muumini wa kweli nasi ucha Mungu na uislaamu wa majina na mazoea
@houseofbeatytv96824 ай бұрын
Duuuh subhanalah Allah akusamehe na atusamehe sote
@muhammadhusain65094 ай бұрын
Sheikh wangu upo sahihi kabisa kabisa wasio na Ilimu ya ndani hawatokuelewa Abadani
@fundibombazanzbar57173 ай бұрын
Nakupa majib sheikh wangu kupitia quran…. Quran inasema inna khalaqnakum mindhakarin waumth wajaalnakum shuuba wakabaaila litaarafun inna akramakum inndallahy atkaakum.. YAAN MUNGU ANASEMA ENYI WATU NIMEKUUMBENI WANAUME NAWANAWAKE NANIKAJAALIA MATAIFA MBALIMBALI ILI MJUANE LAKINI MMBORA KWENU NIMSHAMUNGU… Mtume Alipigavita ukabila nakujifakhrisha kwa kabila
@kassuqutbi21994 ай бұрын
Huyu kukosea sana tena sana “ me ni muislam ila huyu anafaaa kuchukuliwa hatuwa zaidi” anataka kupotesha Jamaa na kufanya wagombane na kuachana walio ndani ya ndoa” hana elimu hata kidogo mjinga haswa” kuongea utumbo kama huu”
@cgbb28484 ай бұрын
Ukweli kabisa wewe ndomujinga sana wallah
@cgbb28484 ай бұрын
Hamusimiu kweriii ndoahida sana sema wewe ukweli kabisa ✊✊✊
@paschalsafari97474 ай бұрын
Kakosea sana
@SalmaSeif-yg5wl4 ай бұрын
Aisee tunapoelekea sijui Allah ndo mjuzi zaidi
@budodianthony80943 ай бұрын
Changulanga❤❤❤ kwa wasukuma uongo hatuoii hivyo
@adammaro78363 ай бұрын
Shekhe mimi nimekuelewa sana
@user-ow2jv4vn8b4 ай бұрын
Sana shekhe Tabora ndio haswaaaa😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤😅
@stanleysteven19984 ай бұрын
Ah ngoja atufunze ili kila mtu kwa upande wake ajiangalie usimkosoe fikilia anachokisema usifanye ma'amuzi tu bila kuelewa
@OmaryKaniki-hs5mz3 ай бұрын
Uyu shekh namkubali sana
@abuhurayrahabibu45453 ай бұрын
Weye kasome kwanza kwasababu bado hajajua nani shekh
@pauloropian23674 ай бұрын
Kweli kabisa shehe Mungu akubariki.
@mussasenga67324 ай бұрын
Inasikitisha Sana Waislamu kupotezewa muda kama hivi, na kutofundishwa Dini Yao kiusahihi 😢 Tabora Tabora Tabora!, ondoeni hii AIBU!
@mussasenga67324 ай бұрын
Mtume swalla LLAAHU alayhi wasallam anasema :"likichegezwa jambo kwa asiekuwa mwenyenalo, basi mtegee MAHARIBIKO". Na haya ndio maharibiko yenyewe sasa!!
@user-sd5zf6fz4v3 ай бұрын
Mawaiza gani hio ya ubaguzi mke mwema ni mwenye hofu ya mungu na sio mwenye ujuzi wa kimapebzi ww shekhe una upwiru ulijuwaje makabila ya kujuwa mapenzi umezini sana ww
@user-ez1ky4ls7c3 ай бұрын
Huyu sio shekhe huyo ni muhuni kama wahuni wengine
@mwanakupona4 ай бұрын
Hajui hata kusoma matamshi ya quran
@JosephuSwai3 ай бұрын
Kweli
@nadhirunjinjo57902 ай бұрын
Hamna sheykh hapa hyu hajui lolote na km anajua anitafute tuweke munakasha me na yy na me napatikana dar temeke tandika ma'ana anataka kupoteza umma
@HamisaIssa-df7yy4 ай бұрын
Allahyakhalam
@user-sw1ol9jb6z4 ай бұрын
We si shekh ila we mpenda kula
@JosephuSwai3 ай бұрын
Kweli shee
@georgesolos3443 ай бұрын
Mnyaturu, mumakonde, mnyamwezi na munyanyema
@user-ez1ky4ls7c3 ай бұрын
Mungu amsamehe huyu mjinga
@HusseinKarumna4 ай бұрын
Shekhe Mbona unapotosha jamii ya Kiislam hata Qur-aan Unakisea kusoma Allaah akuongoze
@msarama54064 ай бұрын
Sheilk zaid makubuli huyu anapenda sana mambo ukabila mnyamwezi huyu afu anavyojionaga anajua sasa
@chachamturi2593 ай бұрын
Duu weshee bhana noma
@user-ed1cf9nq5w4 ай бұрын
Huyu ana ujahiliyah
@omarihassani-qu5ie3 ай бұрын
Sharru khiswari rijaali khairu khiswari nissaai
@jumashiyo13784 ай бұрын
sina la kusema ila Mwenyezi MUNGU ndiye mjuzi zaidi. ila kama kweli katika hayo makabila hakuna ata mmoja mwenye hofu ya MUNGU sawa
@lathifaa8604 ай бұрын
Mashallah allah akulinde uko wap tabor❤❤❤❤❤
@user-dy8yc5ml1p4 ай бұрын
Shehe sio wahaya wote wana tabia mbaya mm nimeolewa sasa nimwaka wa 12. tunaishi vizuri namume wangu.
@mikidadiyusufu23194 ай бұрын
Umechemka sanaa
@muhammadjuma84574 ай бұрын
WACHA KUPOTOSHA HATUKUAMBIWA KABILA GANI TUSIOE TABIA ZA MTU NDOKILAKITU . NA SIO KABILA
@mohamedomary578613 күн бұрын
Tunaomba mafundisho mazuri tusiingize ukabira, mtume kishatwambia chagua wanawake mnaowapenda ila mbora zaidi ni alieshika dini
@rizikiallie32664 ай бұрын
Huu ni ukabila sio vzr wote ni wanadamu
@AbrahamanSaidi-uf1dw3 ай бұрын
Hili jamaa tahira sana et ukiuliza ban Haashimu wako wapi unafukuzwa
@1961nungwi4 ай бұрын
Nyerere alifanya kazi kubwa kuunganisha Taifa hili. Makabila yaliyokuwa na nguvu na Machifu kama Wasukuma na Wachaga akawapiga marifuku. Uchifu akaua! Leo mnaanza kuongea mambo ya hovyo!! Hamna mambo ya msingi kuongea, kama kupeleka watoto shule?!
@hamzakimaro37644 ай бұрын
haadhaa mumtinu!!kubaguwa kwa ujabila ni ni uvundo!! maneno machafu hayo!!
@seifyangawakosawakombo66054 ай бұрын
Hufai kuitwa sheikh ndio uongoza nini
@MullarCmk4 ай бұрын
Hana akili chizi
@hassanmzandy14214 ай бұрын
Dah Qur'an yenyew Hujui unatamka kama mlevi Mshenzi
@user-sl3mc7bv1t3 ай бұрын
Mbona muaduchanganyA bana, mimi itikadi yangu hakuna cha ukabila Mwenyezi mungu amesema waliowema , Sio wenye kabila tukufu, na isitoshe Mtume Muhammad s.w amesema tuhangalie dini sio kabila! Na wa Islam ni ndugu ukabila munaitoa wapi?
@user-dm8vq6yo1e3 ай бұрын
Mmmh, mungu hana ubaguz wa rangi wala kabila, ww ni mtumishi wa shetan unajiita shekhe
@yusuphmussa5543 ай бұрын
*Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari.* hii ni aya ya kumi na tatu kutoka sura hujurati ya imezuia kutaja hivyo ubaya zaidi katika makabila zaidi ya kufahamiana . Tumefundishwa katika dini kitazama zaidi kooo na si ukabila
@fathimamct2324 ай бұрын
Kwa ALLAH Hakuna Kabila Acha kutia ubinafsi Kwa kuingia kwenue Dini Sasa wasielewe Kwa kuwa hawastahiki Au vipi Kabila zimekwtwa na Binaadam ila Kwa Mungu Kuna Binaadam na SI mdharamo Wala mchanga WW oama bakhili kalaga baho na ubozi wako
@mwanakupona4 ай бұрын
Mbwa huyu mhuni si sheikh
@oman1oman1794 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@HajiAlly-uz7vp3 ай бұрын
Mm nmuunga na wamwaz shekhe tafuta nyengine
@hamzaahmed694 ай бұрын
Mashallah umeongea ukweli kabisaaa Allah akulipe
@oparetionmaalum90304 ай бұрын
Tanzania hatutaki mambo ya ukabila tuacheni jamani hii tabia ya ukabila haifai haifai haifai
@mohamedomary578613 күн бұрын
Sheikh nimekuelewa kwenye zaka, andaa kipindi cha zaka na kutoa
@user-vd4og8md3v4 ай бұрын
Hamna shekhe apo
@JamaliAmour-jp9dd4 ай бұрын
Huyu shekhe nae kapagawa tu hana cha maan kwaiyo hao waolewe na nan?
Allah ameumba mataifa namakabira ili mpate kujuana
@Marjeby4 ай бұрын
Shekhe Zaid Makuburi.Shekhe wa nyumbani kwetu kabisa hiyo lafudhi yake inanikumbusha sana kwetu nna miaka 29 sijakanyaga but wallah Tabora bado sehemu bora kwangu katika aridhi zote nilizokanyaga.
@user-sw1ol9jb6z4 ай бұрын
We mbaguzi tabora si watu bora wote
@stanleyjuma43774 ай бұрын
Mafunzo mazuri sana Sheikh Zaid, hapa kenya pia ni hivo, waeza oa mke kutoka kabila fulani aishie hata kukuua juu ya mali.
@fahadfaraj64744 ай бұрын
Tz ishu ya kuoa na kuangalia kabila ni kama haiko sana sana siku hizi mtu anaoa yeyote.
@muhammadjuma84574 ай бұрын
TABIA NDIO ZINO MFANYA MTU USIFUNGE NDOA NAE NA SIO KABILA
@GeofreyWilliam-ev7qd3 ай бұрын
Hana maarifa huyu,tabia ni ya mtu sio kabila
@HajiHarumbo4 ай бұрын
Sheikhe hapo umechupa mipaka kwa hii nchi makabila tote yameshakengeuka kinachotakiwa make awa mcha mungu
@TeresiaNestori-xh9ch3 ай бұрын
Ana hekima ata
@arafatsaid9624 ай бұрын
Huyu anapalilia uganga, hatari sana duh!
@user-zg6hx6xi3x4 ай бұрын
Ukweli Huwa unauma siku zote
@kadijahajali39184 ай бұрын
Hii
@ndenengokimaro45023 ай бұрын
Wewe ni mshenzi tafuta neno la kuongea acha mambo ya ukabila Watanzania hatuishi hivyo Hata baba yetu Hayati mwl .J K nyerere alikemea sana mambo ya ukabila.
@andrewmagwila16024 ай бұрын
Mimi ninachoamini kwenye kila kabila kuna watu wazuri na watu wabaya
@GeofreyWilliam-ev7qd3 ай бұрын
Hamna sheikh hapo
@husseinmohamed84933 ай бұрын
Sheikh mimi nakuona mshamba tu na mpotoshaji chunga sana Kisha sheikh zipe dawa za kufanya meno yako yakawa kma ya watu wengine
@harunaotieno28933 ай бұрын
Huyu ni mpotoshi,Astaghfrillah
@abubakarothman35324 ай бұрын
Soma Aya za qur'an vizuri,wavunja vunja Aya
@user-wj4dv1pv3r4 ай бұрын
Ukweli unauma jamani
@chachamturi2593 ай бұрын
Duuh waislam kwakulopoka bhana
@ramadhanishabani92643 ай бұрын
huyu shekh kapoteza mwelekeo ndio kafikia mwisho wa kufikili