Hakika wewe ni mzalendo Kwa Taifa na Kwa jamii kazi Yako ni njema sana hii ni maana harisi ya IFONEO HAPPY LIFE
@AsmanRashid-ht2hj9 ай бұрын
Ahsante sana nimefurahia sana haya mafunzo Niko Kenya nitapataje hii mizinga
@user-lf5kf7yi7n10 ай бұрын
Gharama za mzinga zipoje?
@user-qw9wy6ed6g11 ай бұрын
Naomba names ya cm
@florencejohn6427 Жыл бұрын
Tunakusikia kwa mbalii kaka yetu
@dreambeesafricalimited4831 Жыл бұрын
Congrats Mr Kiemi
@taylormichaela6451 Жыл бұрын
'Promo SM' 👉
@MajengoNyuki-vz2wb Жыл бұрын
🎉ahisante Kaka uhakika ndo huo babu
@dorotheaseiser3227 Жыл бұрын
P r o m o s m 💞
@omarhamad9489 Жыл бұрын
Huo mzinga na nyuki wake bei gani
@komboalirashid9651 Жыл бұрын
Ni mafunzo mazuri na mimi nina hamu ya kupata mafunzo hayo ila naomba kujuwa gharama za hayo mafunzo kwa wiki mbili ni kiasi gani ili nipate kutafuta ufadhili wa kushiriki hayo mafunzo na mimi badae niweze kusambaza hii taaluma kwa jamii.
@kijijichanyuki6715 Жыл бұрын
0765895805
@kijijichanyuki6715 Жыл бұрын
0765895805
@henrywambua7770 Жыл бұрын
Mzinga standard ni Tsh ngap
@shirazmdimu7615 Жыл бұрын
Guys please and please we need your contact
@aloycevkalihamwe6878 Жыл бұрын
Naomba namba ZENU za simu
@ahmedchuri5311 Жыл бұрын
Namba za WhatsApp tutumie.
@ahmedchuri5311 Жыл бұрын
Aidha mamba za WhatsApp tafadhali.
@ahmedchuri5311 Жыл бұрын
Naomba mamba zenu za simu.
@ahmedchuri5311 Жыл бұрын
Naomba anuani yenu Mimi natala kuongea na ninyi Kwa kirefu natala kufuga nyuki.mr. churi morogoro.
@ahmedchuri5311 Жыл бұрын
Naomba anuani yenu Mimi natala kuongea na ninyi Kwa kirefu natala kufuga nyuki.mr. churi morogoro.
@simonchifuka99682 жыл бұрын
nahitaji mzinga nipo mwanza naupataje
@tabutabo50682 жыл бұрын
Safi mno singida yetu❤️
@danielkanah2 жыл бұрын
Napenda kazi nzuri sana ya kubadilisha maisha ya watu kwa wema kimataifa kupitia ufugaji wa nyuki na uvumbuzi wa aina yake. Kutoka, Kenya, Kisumu nasema gogole
@mwakahaji89432 жыл бұрын
Kazi nzuri, bei ya mzinga mmoja kiasi gani? na vipi naweza kuupata mimi nipo Zanzibar.
@juliuswaida13442 жыл бұрын
Saw mr. Philemon
@juliuswaida13442 жыл бұрын
Yes kwel mkurugenz nakubali.
@juliuswaida13442 жыл бұрын
Yes kwel mkurugenz.
@benjaminmmary34212 жыл бұрын
Pia ni bei gani?
@benjaminmmary34212 жыл бұрын
Napataje hii miznga?naomba namba ya simu
@alifakimati96142 жыл бұрын
Kiasi gani mzinga kama huo.
@mjasiriamalishupavulailamu15582 жыл бұрын
Kazi nzuri sana one day yes
@mjasiriamalishupavulailamu15582 жыл бұрын
Kazi nzuri sana one day yes
@kijijichanyuki671511 ай бұрын
0765895805
@anthonysingu47172 жыл бұрын
Big up sana Mr.Kiemi
@NicholausMbwambo2 жыл бұрын
Mnauza shilingi ngapi Mzee
@charlesa94912 жыл бұрын
🙌 P_R_O_M_O_S_M!!!
@danielkwilemba47152 жыл бұрын
Thanks
@elauterymremi92772 жыл бұрын
Very nice
@conradmbangule17232 жыл бұрын
Niceee
@saulmwame40222 жыл бұрын
This is great milestone.
@gerardasendemmeba49102 жыл бұрын
Naitaji mizinga Na mm tafadhali tuwasiliane basi Nipo kigoma mm
@anthonysingu47172 жыл бұрын
Big up sana Mr.Kiemi,nasi tunafuata nyao zako Bro.Be Blessed
@moshacav10612 жыл бұрын
Unauzaje
@moshacav10612 жыл бұрын
Unauzaje
@shijalameckmpemba45292 жыл бұрын
Munauzaje
@ericrukamba68022 жыл бұрын
Nyie mnajitangaza lakini , nafikili unafanya mchezo wa pwagu na Pwaguzi, mmetoa namba zenu za simu, hampokei wala hamjibu sms hata wtp hamjibu sijui mna maana gani?tena jamaa kaweka picha yake kwenye profile ya wtp picha yake ntaionyesha hataki kujibu, nafikili hii kampuni ina matatizo hawajui biashara wanajua kujitangaza tu.