Рет қаралды 10,998
Beekeeping Villages, Singida-Tanzania, Ni sehemu Pekee Duniani unayoweza Kujifunza na kuelewa kwa Vitendo Maswala ya Nyuki iliyolusanya watafiti, Vijana na wadau mbalimbali wa Nyuki Nchini Tanzania.
Leo tarehe 01.01.2020: Wamezindua Mizinga yao mipya Ikiwa Ni Jitihada za makusanyo ya Maarifa kwa miaka 10 iliyopita Katika kituo Cha Utafiti wa Maswala ya Nyuki kwa Vitendo ( Action research) na hivyo Jitihada Zao kutumika zaidi Nchini Tanzania na Duniani kwa Ujumla.
Tunawatakia heri ya Mwaka mpya na zawadi ya Mizinga ya Singida Techno- hive.
Call 0765895805/0656104141 , kupata Mzinga huu POPOTE
KARIBUNI WOTE.