Рет қаралды 167
Wakurugenzi wa Kijiji Cha nyuki co Ltd ndugu Philemon Josephat Kiemi na Baba yake Josephat Kiemi SENGE wafungua Office Mpya ya Kijiji Cha nyuki na Shopping Mall ya Mazao na huduma za Nyuki eneo la Ilazo , Jijini Dodoma. Wakati wa Sherehe hizo ambazo Mgeni Rasmi alikuwa ni Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda akiambatana na Maafisa kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii, Wafugaji wa nyuki na wateja wa Mazao na Huduma za Ufugaji wa nyuki Kibiashara. Katika Sherehe hizo Majirani , ndugu waalikwa walipata chakula pamoja na kuahidi kuendelea kutumia Mazao ya nyuki kutoka Kijiji Cha nyuki Singida/Dodoma-Tanzania.