RIPOTI YA MAJAJI TOP TEN SHOW 1989
15:01
TANCUT ALMASI LIVE -Kashasha
8:51
KILIMANJARO BAND LIVE SHOW
34:48
Жыл бұрын
MAISHA YANGU ORCHESTRA MAKASSY
15:35
Nilianza mbali mambo ya muziki
14:33
Пікірлер
@juliuszakayo6771
@juliuszakayo6771 2 сағат бұрын
Huyu ndie mwanamuziki ambae ni juu ya wanamuziki wengi
@faidhangaga4757
@faidhangaga4757 4 күн бұрын
@suleimanikirassahassan9711
@suleimanikirassahassan9711 15 күн бұрын
Mzee kitime naomba utuletee bendi za tanga five salna brothers na watangatanga band
@abednegomichael-c1n
@abednegomichael-c1n 18 күн бұрын
2024❤🔥🔥🔥 listening 🎧
@MussaMapunda-ff1bq
@MussaMapunda-ff1bq 18 күн бұрын
Wanted Wanted Shaban Yohana yuko wapi huyo Sololist kazi yake inadumu
@athanaskipeto572
@athanaskipeto572 21 күн бұрын
Fufua hii bendi wa dau tuta changa kuwezesha
@athanaskipeto572
@athanaskipeto572 21 күн бұрын
Hii miziki ilikuwa na ujumbe wa kizalendo Bongo freva na kizazi kipya zime letwa kwa ajili ya kuua maadiri ya wa tazania na utamaduni wetu
@GodfreyMwambwalo-ev9nh
@GodfreyMwambwalo-ev9nh Ай бұрын
Safi sana haya ndio mambo nayoyapenda sana Mwenyezi Mungu akujalie afya njema uendelee kutupa vitu adimu
@hassankombo7759
@hassankombo7759 Ай бұрын
Shukran Sana Bw John Kitime...Pia naomba tumjue anapoishi na simu yake tumsalimie...Mkanyia akirejesha hadhi ya DDC Mlimani ...wakati ilipita kwenye Hali ngumu
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 Ай бұрын
Nakumbuka siku moja mshua alituchukua tukaja tancut club hall ofisini pale tukainjoi sana kunywa sana soda na siku nyingine wakina kianga walikuja home tulikuwa tunaishi sehemu moja inaitwa ngomeni karibu na shule ya msingi ngombeni mama aliwapikia ugali nyama hallo hiyo kampuni ilikuwa inajuwa kuwajali wafanyakazi wake kila juma tano sijui Alhamis ile mnaletewa kilo tano za nyama ya ng'ombe mimi baba yngu alikuwa ndio kamanda wa ulinzi yaani (Afisa usalama) tukitokea dar kitengo hicho hicho UDA pia Big up father leo ktk pita pita yngu ndio nimeona hii story love much 👍🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
@mbarakaforogo3719
@mbarakaforogo3719 2 ай бұрын
Hatari sana
@MaxLupapa
@MaxLupapa 2 ай бұрын
Fimbo lugoda
@AnnoyedLimePie-lc5sw
@AnnoyedLimePie-lc5sw 2 ай бұрын
Daaah
@zonko0488
@zonko0488 2 ай бұрын
Bro Kitime, wimbo wa Mwaka 64 ambao unazungumzia muungano wa Tannganyikanna Unguja ni utunzi wa nani? Na naupataje?
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 2 ай бұрын
waandishi wa ripoti watakaam haswa asee katika uandishi wa taarifa na uelewa wao katika Muziki
@athmanimkangara9290
@athmanimkangara9290 2 ай бұрын
Tunafuatilia kwa karibu asante sana
@neemakabale6047
@neemakabale6047 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ Kitime Wapi Upo bro
@neemakabale6047
@neemakabale6047 2 ай бұрын
Yaaaani Espinosa John Kitime❤❤❤❤❤
@neemakabale6047
@neemakabale6047 2 ай бұрын
Ni Harare Tupi nalia😅😅😅😅
@Kabeya410
@Kabeya410 3 ай бұрын
Mimi hapo nimeshaoa mwaka 1989 naenda uwanja taifa kuangalia madhindano live tunakaa jukwa la kijani yaani green stand. Lilikua la mbao
@ShukurkollAngel
@ShukurkollAngel 3 ай бұрын
Nakuona Kitime na pembeni yako marehemu Banza Tax katika ubora wenu. Kinye kinye kizonzo... Mangala Dance.
@bobrudala3784
@bobrudala3784 3 ай бұрын
Asante sana mwalimu Kitime unafanya jambo jema
@oswardosiah2708
@oswardosiah2708 3 ай бұрын
Sauti yake ilivutia sana napenda nyimbo zake zote
@JoshuaKibambe-g1w
@JoshuaKibambe-g1w 3 ай бұрын
Vipi unamfaham vipi Ibrahim kibambe alipigia boss,marquee na ddc mm mtoto wake
@aloycempiri4161
@aloycempiri4161 3 ай бұрын
This moment will not be back but it will be remembered by music fans of those days. Thank you Mzee Kitime for reminding us
@LestoMkwama
@LestoMkwama 3 ай бұрын
Brother kitime mm ni mwanakihesa naomba wimbo wa HASHIM KASANGA (USINISOGELEE MM SIWEZI KUPIGANA NGUMI NA MWANAMUME WA KWAKO)lakini pia kuna siku uliongerea chikwara chiikwara naikumbuka walikuwa wakitubuiza pale kihesa katika ukumbi wa weekend bar. Hhamkuredi nyimbo sijasikia redioni?Ahsante nakukubari brother kitime.
@suleimanjokoro
@suleimanjokoro 3 ай бұрын
Kinye kinye kisonzo!!,,Tisa,,kumi Mangala...💥💥🎼🎸,daa! Kitambo Sana!
@yaronaWilliam
@yaronaWilliam 3 ай бұрын
Remind me back time I was a student in 1988, nice song it teaches and entertain too!
@suleimanjabir827
@suleimanjabir827 3 ай бұрын
Kaka umenikumbusha mbali,kwani wakati huo nikiwa Sekondari. Mwenyezi Mungu akupe afya njema na umri mrefu.
@suleimanjabir827
@suleimanjabir827 3 ай бұрын
Kaka John Kitime, heshima yako. Hongera sana kwa kazi yako iliyotukuka. Tangu ukiwa mwanamuziki na Bendi mbalimbali. Hongera sana kwa Historia hii.
@ewaterservices402
@ewaterservices402 4 ай бұрын
Wanamziki hawa ni hazina ya vijana wetu kuiga zephani peter makorongo chemba
@tukaefifi8783
@tukaefifi8783 4 ай бұрын
kitambo iringa hyo
@Ambagaye
@Ambagaye 4 ай бұрын
Huyo mpiga solo kama bado yuko hai ninamtafuta nimpe zawadi yake.
@deobabili4553
@deobabili4553 5 ай бұрын
Ni kweli tupu isiyo na upinzani kwamba MARIJANI RAJABU NI JABALI LA MUZIKI WA TANZANIA. Hii ni almasi iliyozizima pamoja na TUNGO MUJARABU, ZENYE MAUDHUI YA HEKIMA KWA JAMII KUSHAMIRI HADI KIZAZI NA VIZAZI VIJAVYO🎉Mola ampe Raha ya Milele. Tungo elfu za Marijani Rajab bado ZINAISHI pamoja na kuwa hakupata HAKI ZAKE STAHIKI ZA MIRABAHA KAMA WALIVYO VIJANA WA BONGO FLAVA
@isihakakikomile8530
@isihakakikomile8530 5 ай бұрын
Naomba wimbo wa makassy uitwao KASSIM bwana mubaya
@BarakaWaya
@BarakaWaya 5 ай бұрын
Hukuendeleza story kwanini uliondoka Tancut Almas
@FountainGateFoundation-yo3kc
@FountainGateFoundation-yo3kc 5 ай бұрын
Wekeni youtube album nzima ya Mbuguswa, hakuna sehemu yoyote hizi nyimbo za hiyo album zinapatikana.
@jumamarley7964
@jumamarley7964 5 ай бұрын
Inasikitisha sana kuona kiwanda cha kukata Almasi eti kimefirisika mali zao za mwisho zilipigwa mnada na Yono Auction mart pale Baraza la mitihani ilinisikitisha sana
@jumamarley7964
@jumamarley7964 5 ай бұрын
Mjomba wangu huyo Did Mseken ndani ya Afro70 hivi huyu Freedom mdogo wake Patric yuko wapi?
@switbertchenya6362
@switbertchenya6362 5 ай бұрын
Mzee Kitime,kwani kwa hakika umenizidi umri japokuwa na mimi ni mzee nimezaliwa mwishoni kabisa mwa 60s. Nimpenzi mkubwa wa muziki na nimekuwa niki kufuatilia sana.Ningependa kukutana nawe Mwezi October mwaka huu.Nitakapokuja likizo nyumbani Tanzania.Ikikupendeza hii ni namba yangu ya simu.Tunaweza kuwasiliana, tubadilishane mawazo
@harunmruma2291
@harunmruma2291 5 ай бұрын
Gitaa la solo alipiga nani kati ya shaban yohana au kawelee
@NoelLembile
@NoelLembile 5 ай бұрын
Nakumbuka utoto na wazazi wangu. Old is gold
@shabanisudy6493
@shabanisudy6493 5 ай бұрын
Namuona John kitime anaimpiga gitaa la lyizm hapo, duh na ndie kabak tuu na wenzake watatu tuu
@mukrimchonde2439
@mukrimchonde2439 5 ай бұрын
Kaka kitime kiswahili unachokionge ni kizuri sana
@YahyaMbega
@YahyaMbega 6 ай бұрын
ASANTE KAKA KITINE TAFUTA TOMATOMA, PANASONIKI,UDA, NYANYEMBE NA RANGI YA CHUNGWA
@williamalphonce2320
@williamalphonce2320 6 ай бұрын
Mpiga solo gitaa namba moja Tanzania kwa upande wangu. Apumzike kwa Amani Maestro Supreme Freddie Ndala Kasheba
@fadhililihinda6491
@fadhililihinda6491 6 ай бұрын
Ni kweli huyu jamaa alikua anapiga solo guitar lenye nyuzi 12? Nataka kujua uzi No 1 hadi 12 zilikua zina size gani?
@YahyaMbega
@YahyaMbega 6 ай бұрын
Hawa 2 nimapacha kabura wajaenda tankati warikuwa wapi nikumbushe nakumba kititime
@YahyaMbega
@YahyaMbega 6 ай бұрын
Anambembereza atamretea zawadi so nani kamwanga pombe yangu
@YahyaMbega
@YahyaMbega 6 ай бұрын
Kawere kiagasogo mtimura wacha rumba birthday jasho