Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa akifunga mafunzo ya Siku tatu ya uongezaji thamani madini

  Рет қаралды 42

Wizara ya Madini

Wizara ya Madini

Күн бұрын

“Tangu tufanye mabadiliko ya Sheria ya Madini mwaka 2017 na baadaye ikafanyiwa marejeo mwaka 2019, katika utekelezaji wa mabadiliko hayo, Serikali imeweka takwa la kikanuni na kiutaratibu kwamba hakuna mchimbaji mkubwa anayepata leseni kubwa (Special Mining License - SML) na kwenda kuuza nje ya nchi kama malighafi ni lazima aje na mpango wa kuyaongezea thamani hapa hapa nchini”
Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa wakati akifunga mafunzo ya Siku tatu ya uongezaji thamani madini ya vito kwa nadharia na vitendo kupitia mradi wa Pamoja Initiative yaliyoandaliwa na Chama cha Tanzania Women in Mining and Mineral Industry (TWIMMI). Mafunzo yaliyofanyika katika kituo cha Madini na Jiosayansi African Minerals and Geosciences Centre (AMGC) jijini Dar es Salaam.

Пікірлер
The Invasion Russia Doesn’t Want You to Know About
26:09
Johnny Harris
Рет қаралды 2,2 МЛН
Private Equity’s Ruthless Takeover Of The Last Affordable Housing In America
13:23
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 8 МЛН
How to whistle ?? 😱😱
00:31
Tibo InShape
Рет қаралды 14 МЛН
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 29 МЛН
Why Turkey Has Finally Had Enough of Erdogan
9:48
TLDR News Global
Рет қаралды 256 М.
Why This Country Was Erased From History
16:50
Johnny Harris
Рет қаралды 1,4 МЛН
FURAHINI KATIKA BWANA , VIJANA KKKT MBEZI BEACH
7:35
Vijana KKKT Mbezibeach
Рет қаралды 40 М.
The Problem With Elon Musk
42:46
Johnny Harris
Рет қаралды 4,6 МЛН
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 8 МЛН