Huyu Mzee amezeeka hata Mzee mwenzake aliwahi kusema kuwa wazuri hawafi akasahau mitume wa mungu walikufa japo wazuri
@hassanthabit37263 сағат бұрын
Mzee Butiku anazeeka akili zinapungua. WARIOBA NA WASIRA. BIG UP WANAZEEKA NA AKILI ZAO
@ShesheKaoneka8 сағат бұрын
Mzee wape somo hata hao waandishi.
@godwinnkya20235 сағат бұрын
Acheni kuwasakama wazee,adabu ni muhimu.
@SeifAlly-g9i6 сағат бұрын
Hapo sawa mzee wasira endelea kuwapa somo
@HajiKlein-so1rk5 сағат бұрын
Safi sana Mzee wetu 🫡🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏🫡
@HenryKatenga4 сағат бұрын
Mzee wewe isaidie nchi hii. Hilo ni darasa kamili kwa wanasheri wetu wengi.
@mohamedS-yd9wh4 сағат бұрын
Mzee Wasira ni mkubwa kiumri na ni mzee lakini naona kichwa kina mvi ila nashukuru uzee wake una busara na hekma nyingi. Huyo ni tunu ya taifa
@antarsangali445640 минут бұрын
Ni hakika usemayo bado mzee hekima,busara na maarifa yanamchemka
@philemonsnyanda94507 сағат бұрын
Chama fulani kimepanga uvunjifu wa Amani!
@hamisramadhan-eb3ie5 сағат бұрын
Watu wamagalibi ndio waowatuma kujalibu kutikisa silikali kwamasilai yao wamefanya Kenya wakajalib kwam 7 wameshindwa sasa wanajalib tanzania kenge kabisa
@muhammednassor35697 сағат бұрын
Mzee Big Up
@duniakidogo85164 сағат бұрын
Intelligensia hiyo hiyo ilitakiwa kuwakamata waliokuwa na agenda zao kushitakiwa. Polisi wanahusika na jinai na wala si siasa. Watafute jinai, washughulikiwe nayo. Intelligensia isiyokuwa na ushahidi ni siasa hiyo.
@MrigoJohn-ps8dk7 сағат бұрын
Mzee Wasira amewazidi hoja na technic waandishi wetu
@deomusyebi99308 сағат бұрын
Mzee Wasira njoo Bunda tuendelee na kazi zingine wongwa mura
@RBMBAKARI-bv6wn2 сағат бұрын
Tunavyowaambia ccm ni chama madhubuti watu hawaelewi msikilizeni huyu Mzee Hawa ndio wanaijua nchi vilivyo lazima tuwasikilize nchi hii Ina misingi bwana .kweli baba wataifa alikua SI mtu wa mchezo ameacha misingi imara sana
@PererLukumay48 минут бұрын
Tio.walioifanya.tanzania.ibaki.masikini.hadi.leo
@hamzakimaro37648 сағат бұрын
mzee wazira bado ni hazina ya taifa letu,si sawa na wale wanaozeeka vibaya,kama warioba na butiku!!
@glorymiko68304 сағат бұрын
Wapi. Mzee huyu alikuwa anapiga dozi kuanzia kipindi cha bunge kinapoanza mpaka mwisho. Mzee wa ccm huyo.
@abuumuhammad71338 сағат бұрын
Mh. Rais wetu Mama Samia anaakili nyingi sana Masha'Allah anawazuia kuandamana pbila kuvuja damu kwa Mtanzania yoyote kisha hawashtaki ilimradi katika Uongozi wake asiwe na Kashfa ya kumwga damu wala kumshtaki yoyote kisa anataka kuandamana yeye anawazuia tu.
@MadodoMartini7 сағат бұрын
Mzee Wasira CHADEMA haikuwa na Maandamano,, Bali MAOMBOLEZO, Waombolezaji ndio wabaya kuliko Wauaji, Binadamu kagonga Treni kwa Mbele kosa la Binadamu 😂😂😂😂😂😂,, mm Nampa pole Binadamu aliyegonga Treni na kuhukumiwa, maana sio Binadamu wa kwanza kugonga Treni, mwaka huu wamegonga wengi tu, huyu moja ajabu iko wapi,, Ooh my God help Heal our Country Tz... 2024-2025...
@MadodoMartini7 сағат бұрын
Naona hizo TV zenu zimeelekezwa PA kufanyia kazi na Aina ya kazi za kufanya, wanawapa viposho? ili wapate vipindi, hamna watu wa kutoa mawazo ya kusaidia Nchi? Wasira kafanya kazi tangu Nyerere kwenye redii Tanzania hadi Wasafi, poleni wenye hz TV, wekeni hata Season ya Kituruki tu...
@eliezergama70734 сағат бұрын
mzee safi sana.
@Jeremiatitomawala5 сағат бұрын
Mzee wasira asante baba unajua kujib hahahaha
@rkcomercialenterprises32097 сағат бұрын
Muda wa kulea vitukuu sasa
@Jumasadala-c7y6 сағат бұрын
Huyo.mzee upeo umefika mwisho hana jipya
@sskondopoleani96164 сағат бұрын
Wewe lete Jipya
@samsonogunde45083 сағат бұрын
Hivi Wasira Bado Unangangana na Siasa, Kalale
@jumajukikoti81335 сағат бұрын
Hivi hili zee bado lipo!😳😳😳😳bado linatapeli !
@duniakidogo85164 сағат бұрын
Unaweza kuzuia maandamano lakini si ujumbe uliopo kwenye maandamano
@godwinnkya20235 сағат бұрын
Hicho kikao ni uongo,hakijawahi kufanyika kabisa mzee Wasira
@mutabebwa-bm6pm4 сағат бұрын
Je kuna ushahidi wa kikao hicho au ni uzushi wa kujiami na kupotosha uma? Kama kikao kilifanyika waliokifanya walichukuliwa hatua gani?
@sskondopoleani96164 сағат бұрын
Na wewe nenda TBC ukaeleze Uongo wake kisha wewe useme kweli nawe tukuone na kukusikia.
@HENRYMUNDI3 сағат бұрын
Wangewakamata wsongo hao hata POLIS walisema kabla
@HarunJonass6 сағат бұрын
Ahaa duu
@SeifAlly-g9i6 сағат бұрын
Wailimishe vemahao ilikatazwa kwakuwa wamebaini kuwa sima andamano ya amani hamjamwelewa😂
@glorymiko68305 сағат бұрын
Mzee wa kulala vipindi vyote ya bunge.. Ebu tuambie mzee mbona ya lissu hayajachunguzwa.
@songombingo1084 сағат бұрын
Majitu yanazeeka hayataki kupumzika na wajukuu zake
Mwandishi sikiliza uzuri hayo anayo ongea mzee awsira nijmbo ambalo harakati zilizo fanyika huko arusha sasa sijuwi hamuweliwi hayo anayo zungumza mbona yako wazi tatizo tunataka kubabaisha lakini mimi msikilizaji nimeelewa vema😅
@godwinnkya20235 сағат бұрын
Mtatenda haki mkiita upande wa pili nao waongee balanced story pls,!!!
@AlfredMatemu5 сағат бұрын
Muiteni mzee butiku huyo ndio ataawaambia kweli huyu bado anataka cheo bado
@charlesmnuo32925 сағат бұрын
Hapa nikupoteza mb tu
@kingmichael12347 сағат бұрын
Mzee Wasira umeongea speculations tupu hakuna ushahidi. Vijana wachome moto una ushahidi gani? Yaani hii nchi imekosa wazee wenye busara na hekima wa kuliongoza Taifa hili. Tunatetea vyama vyetu kwenye mambo serious kabisa yanayoliumiza taifa. It's a shame.. hopeless kabisa 😏😏😏
@ashtube13333 сағат бұрын
😂😂
@MadodoMartini7 сағат бұрын
Waandishi Angalieni watu mnaojadiliana nao, engine hawana habari hata na hatima Wajukuu zao, wapo kwa sababu aliwahi kuwa viongozi, majibu ya huyo Babu Kila wakati ni negative, ndio maana Hayati aliwaambia kapumzike I mlee wajukuu
@SayiMnyashi-d1y3 сағат бұрын
Kuna aina ngap za maandamano!??kuna hoja zingne za ajab😢
@AlfredMatemu5 сағат бұрын
Pia siku nyingine eteni wanasheria sio hawa wachumia tumbo
@PeterRas-o7d5 сағат бұрын
Big Up Mzee Wasira Nilijuwa Unafurunga kumbe Mzee Uko Vzr Sana
@wallacemngoma7943 сағат бұрын
Hiyo haweczi kutoa ufafanuzi wowote kwani wale wale machawa CCM pamoja ukimwangalia ni mzee huenda anaweza kuwa na busara.
@hamzakimaro37648 сағат бұрын
hao wanasheria wenye akili za kuku!!!
@Hemedmikole-r9e5 сағат бұрын
Hamna point ya msing apo
@majidukalokola72537 сағат бұрын
Sasa hizo taarifa za chama fulani kuhamasisha vijana kuleta uvunjifu wa amani, kwa nini wasishughulikiwe hao waliokuwa wanafanya mipango hiyo?
@MfiriFulgensi6 сағат бұрын
Maandano ya kawaida
@juliuszakayo67713 сағат бұрын
Huyu NI kima
@JemeslaizerJemeslaizer8 сағат бұрын
Nchi ya ajabu.. Mtangulizi wake magufuli,, alikuwa amezuia maandamano.., je sheria ya maandamano,, ilitungwa juzi,,, na kama,, ilikuwepo hata samani.. Alikuwa,, amesuiwa kwa sheria gani...,,, na imeruhusiwa kwa sheria gani? Na kama ilikuwa ni kinyume cha sheria...Rais wa inchi yoyote, ameeapa kulinda..Katiba, hapo hapo.. Anaongoza kwa kuvuna Katiba.. Mtangulizi fanya hivyo.
@FortunatusPhilimon5 сағат бұрын
Una uwakika
@ChristianMkumbo-ix2ke5 сағат бұрын
Kuwa ccm ni ujinga
@eliezergama70734 сағат бұрын
huyu muulizaji mbona mgumu kuelewa?
@MfiriFulgensi6 сағат бұрын
Kwann hawakwenda kuwakamata hao watu?
@philemonsnyanda94507 сағат бұрын
Propaganda tu,Chama fulani kipi😂
@HenryKatenga4 сағат бұрын
Wazee maarufu wengi wakifunze hekima inayo Jenga nchi siyo kuivuruga.
@Juma-e8l3 сағат бұрын
Wewe umeshafikia uzee??
@faizaannassir25684 сағат бұрын
Watanzania mlitegenea zee hili liseme nn liko serekalini miaka 50 . Serekali ndo bishara yake . Atasifu tu anaulizwa nn anajibu nn . Tafuteni watu wakuwahoji. Ili linachunga tumbo lake tu . Get lost
@AMwanjoka5 сағат бұрын
Ni aibu kwa mzee wa umri wake kushindwa kukemea uvunjaji wa katiba kwa kutegemea unabii usio na mashiko Kama katiba inakataza maandamano nano anaweza kuruhusu kwa kauli tu,kama katiba inaruhusu nani anaweza kukataza kwa kauli Ina maana taifa letu halina sheria linaendeshwa na matamko Polsi wana kikosi vha kuzuia ghasia kama kulikuwa na tishio la ghasia hapo ndipo illuwa nafasi ya wataalamu wa kuzuia ghasia na uwezo wao
@zakariamassena92027 сағат бұрын
daaa nilifikili mzee kama huyu atakuja na ushauli wakujenga nchi kumbe ana mawazo ya ovyoo.mzee vijawa ccm ndio watakao kusikiliza tuu.lakini kwa vijana ambao wanataka kujua wanaowateka watu ni nani? kwanini wanachama wa chadema tuu na viongozi wao ndo watekwe na kuwawa2? mzee wangu kalee wajukuu.
@peterhelpeterluena91913 сағат бұрын
Wanafanyiana wao kwa wao. Kamuhoji mwenyekiti wako. Kwani nchi hii chama cha upinzani ni wao tu?
@grasslugala98607 сағат бұрын
Acha hizo wewe je cku walipotangaza maandamano kwa mara ya kwanza makuu wa mkoa wa Dar es salaam c alitangaza usafi utakao fanyika na jeshi je c alikuwa anakataza kwa namna fulani?
@LucySangu-w9y5 сағат бұрын
Kwanini walishindwa kuchunguza tukio la kisu?
@rahimzuberi26738 сағат бұрын
Umeongea point nzuri sana Chadema lengo kuu lao wanatamani fujo itokee
@thadeylyimo97728 сағат бұрын
kama viongozi wa chadema wangekuwa hawatekwi wala kuuwawa wasinge andamana hata...... Shida yetu kila kitu tunajibu kwa porojo..... afu mtu anasema eti watanzania tuwe serious...... Yupo Mungu aliyopo juu, yeye ndiye atakaye hukumu kwa haki...
@pitosjuma72248 сағат бұрын
Mjadara kama huo muwe mnawaalika pande zote.
@abuumuhammad71338 сағат бұрын
Na upande wa mama ako?😊
@walidmgonja36446 сағат бұрын
Unataka wamuite na mama yako?
@usajendile84806 сағат бұрын
Lisu alipopigwa risasi ni miaka mingapi uchunguzi umefikia wapi,,,,,,
@EngelbertMakoye7 сағат бұрын
Huyo Mzee kesha kwisha Hana lolote anafanya uchawa tu Hana jipya na ni wale wale
@NamayaniJlaizer7 сағат бұрын
Hata wakati wa shambulizi la mheshimiwa Lisu Serikali hiyo hiyo walitowa pole na kuamuru Uchunguzi waharaka ufanyike lakini hata leo hatuja pata majibu jibu tulilopata mpaka Sasa ni wasiojulikana kwahiyo hatuna Imani Tena na chama chetu Cha ccm
@sixmery87977 сағат бұрын
shida ya tbc uchawa umezd mkumbuke tv hyo nikod zetu waiten na upande wa pili
@noelmakere13815 сағат бұрын
Ninyi waandishi kweli ni vilaza.. Lema alikanusha kuwa hiyo clip ilikuwa ya mwaka jana ya Arusha...na silaa alisema hiyo mwaka jana.. Mbona hamuwezi kuhoji kwa kutoa kauli za waliotuhumiwa...??
@PhilipoMwita-b2x7 сағат бұрын
Huyu mzee yeye analalia upande mmoja tembeza kotekote mzee KAULI za vijana wa ccm hata KAULI ya nape DC wa longidon Halafu nakuchukia
Mh!kilaza kweli wewe,kila neno unaweka nukta,rudi darasani umalizie darasa la pili
@bazilmateru91527 минут бұрын
Nyie TBC alikeni viongozi wa CHADEMA sasa mnafanya hiyo channel ji ya CCM au ni ya TAIFA. wasomi mazombi hamna proffesionqlism yoyote hapo? Hii ichi siyo ya kidikteta ni demokrasia. Imagine we have land 2 the size of kenya but hata hatuna working economy. Kazi zianpatikana serikalini tuu . Acheni mambo ya kishamba . Qmmk
@joscamwoshezi298633 минут бұрын
Waandishi mnachekesha.mnataka mtu ajibu jibu mnalotaka nyinyi
@sethmdj20 минут бұрын
Watangazaji wenyewe hawajui jinsi ya kuuliza maswali sawasawa. Ni kama walimwita wasikilize tu hadithi yake Ooh, kumbe ni TBC, nilikuwa sijaangalia vizuri
@OmmyJames-xn7ji19 минут бұрын
SACCOOS WAMECHEMSHA MAANDAMANO YAO NI KWENYE MITANDAO 😢😢😢😢😢
@StephenMpallange3 сағат бұрын
Miongoni mwa R4 za Raisi Samia upo pia Ustahimilivu. Je CCM na Serikali yake na Rais mmeshindwa kuwa kuwa Wastahimilivu? Je mnajikanganya wenyewe na 4R zenu?
@KissingerSoud-dd2gtСағат бұрын
Mzee wasira ni kada, je polisi ni watuhumiwa wanaweza kujichunguza?
@titusrobert5890Сағат бұрын
Kusahau koti ofisini kulirudia kunahitaji ujasili mkubwa hasa unapokuwa uko nje ya mfumo.Asanteni
@SamwelSadockСағат бұрын
Huwezi kuchunguswa na chombo cha polisi ikiwa wanatuhumiwa kwa kuvunja sheria
@AkwilaJoseph26 минут бұрын
Wape daresay hawa chadema niwavunjivu wa amani chadema hawa
@samsonogunde45083 сағат бұрын
Mungechunguza matukio ya Mwanzo mngeaminika, Lakini Kama mlishindwa sasa Leo tutaweza
@HabibuSalumu-iv5wlСағат бұрын
Hivi kufuli Lina funga mlango au linafunga kitasa kilicho wekwa kwenye mlango
@joscamwoshezi298637 минут бұрын
Yaani wengine wanaona kuruhusiwa kwa maandamano ndio kufuata sheria. Ni ajabu.
@salimukimwaga-fu8cc3 сағат бұрын
Chawa mnene alieshiba Toka Nyerere mpaka Leo hajatosheka
@ChristopherLazaro-yy3fb56 минут бұрын
Kale mzee hachia vp Jana wajibishane wenyew
@AnnaFelix-p1z17 минут бұрын
We mzee mbona tuliandamana tena vizuli
@danielmwandenga53692 сағат бұрын
Tatizo lako mzee huwa usemi ni kifungu gani cha sheria lakni rais mwabukusi alinoti kifungu napia maelezo yake ni kuwa sheria kuhusu mandamano msajili anamamlaka ya kukiwajibisha chama chochote ivo tuzidi kuombea amani yetu na mh rais naomba tu azidi kuwa na huruma na watanzania nae aje kuandika kitabu kizuri ,ajifunze kutoka kwa my life my purpose
@MkungwaNgwarumbwa3 сағат бұрын
Mzee anazeeka na ukweli wake hanaga zimulizi za kinafiki, tunu ya umoja ni culture ya watanzania na raia wake walio wengi nchini hawapendagi visa vya uvunjaji amani ya umoja wao....👍👍
@joscamwoshezi298642 минут бұрын
Mzee unabusara sana. Umetoa somo hata kwa wanasheria
@gidongailo71742 сағат бұрын
Watu wanaongea mambo ya uongo uongo japo ni viongozi wakubwa! Mtu kutamka kuwa anapanga mkakati wa kumwondoa Rais kwa njia ya fujo ni uhaini. Kama serikali imekuwa ikibambikiza kesi za uongo na kisha kukosa ushahidi na hatimaye kesi kuondolewa mahakamani, watu wanawezaje kuachwa kwa kutamka maneno ya hatari namna hii na wakaachwa bila kupeleka mahakamani badala yake wakauawa. Nchi hii hovyo sana😂😂😂😂
@AkwilaJoseph24 минут бұрын
Ninyi ndio hamna jipya siyo huyo mzee
@GULIELMAS50 минут бұрын
Wazee hawa ndiyo walio tu letea katiba ya kisenge
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm2 минут бұрын
Umechelewa nenda kalale wewe mzee
@yassinnabwera4273Сағат бұрын
Hivi nyie Waandishi wa Habari wa nchi huwa hamna watu wa kuwahoji?Huyu Bwana Wasira ana busara na hekima?
@hassanthabit37262 сағат бұрын
UKIOKOTA UTARATBU WA MAREKANI MGOMBEA URAISI APIGWE RISASI. HUO SIO WA TZ
@pelegrinmwamba15942 сағат бұрын
Mzee piga kwenye mshono
@makobamasawemangu412232 минут бұрын
Lizee la hovyo kwel hili Yani lenyewe linaangalia ugali wake tu
@bakariisack55373 сағат бұрын
Sasa kama kuna kikao cha uvunjifu wa aman kilifanyika Arusha na mno uthibitisho kwa nini msiwapeleke mahakamani ??
@UzalendoNaUtu3 сағат бұрын
So ina maana kua jamaa alikua Eliminated kisa alipanga kuanzisha vurugu? Kwanini asipelekwe mahakamani?
@johnmichaellukindo213 сағат бұрын
Uchawa umekuzidi 👎 maandamano yalikuwa yawe ya amani!
@ismaelgadiye44883 сағат бұрын
Ili tuamini hebu tuambieni ni kiongozi yupi alishiriki hicho kikao cha chadema tofauti na habari za kusikia pembeni we mzee na je sisi nchi yetu inaaminika kwa kiasi gani kwa uchinguzi uchunguzi wa lisu unatoka lini na unahitaji miaka mingapi