MZEE WASIRA AKIZUNGUMZIA MAANDAMANO YA CHADEMA

  Рет қаралды 14,707

TBConline

TBConline

Күн бұрын

Пікірлер: 133
@LovelyBrain-wz7si
@LovelyBrain-wz7si 7 сағат бұрын
Huyu Mzee amezeeka hata Mzee mwenzake aliwahi kusema kuwa wazuri hawafi akasahau mitume wa mungu walikufa japo wazuri
@hassanthabit3726
@hassanthabit3726 3 сағат бұрын
Mzee Butiku anazeeka akili zinapungua. WARIOBA NA WASIRA. BIG UP WANAZEEKA NA AKILI ZAO
@ShesheKaoneka
@ShesheKaoneka 8 сағат бұрын
Mzee wape somo hata hao waandishi.
@godwinnkya2023
@godwinnkya2023 5 сағат бұрын
Acheni kuwasakama wazee,adabu ni muhimu.
@SeifAlly-g9i
@SeifAlly-g9i 6 сағат бұрын
Hapo sawa mzee wasira endelea kuwapa somo
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 5 сағат бұрын
Safi sana Mzee wetu 🫡🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏🫡
@HenryKatenga
@HenryKatenga 4 сағат бұрын
Mzee wewe isaidie nchi hii. Hilo ni darasa kamili kwa wanasheri wetu wengi.
@mohamedS-yd9wh
@mohamedS-yd9wh 4 сағат бұрын
Mzee Wasira ni mkubwa kiumri na ni mzee lakini naona kichwa kina mvi ila nashukuru uzee wake una busara na hekma nyingi. Huyo ni tunu ya taifa
@antarsangali4456
@antarsangali4456 40 минут бұрын
Ni hakika usemayo bado mzee hekima,busara na maarifa yanamchemka
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 7 сағат бұрын
Chama fulani kimepanga uvunjifu wa Amani!
@hamisramadhan-eb3ie
@hamisramadhan-eb3ie 5 сағат бұрын
Watu wamagalibi ndio waowatuma kujalibu kutikisa silikali kwamasilai yao wamefanya Kenya wakajalib kwam 7 wameshindwa sasa wanajalib tanzania kenge kabisa
@muhammednassor3569
@muhammednassor3569 7 сағат бұрын
Mzee Big Up
@duniakidogo8516
@duniakidogo8516 4 сағат бұрын
Intelligensia hiyo hiyo ilitakiwa kuwakamata waliokuwa na agenda zao kushitakiwa. Polisi wanahusika na jinai na wala si siasa. Watafute jinai, washughulikiwe nayo. Intelligensia isiyokuwa na ushahidi ni siasa hiyo.
@MrigoJohn-ps8dk
@MrigoJohn-ps8dk 7 сағат бұрын
Mzee Wasira amewazidi hoja na technic waandishi wetu
@deomusyebi9930
@deomusyebi9930 8 сағат бұрын
Mzee Wasira njoo Bunda tuendelee na kazi zingine wongwa mura
@RBMBAKARI-bv6wn
@RBMBAKARI-bv6wn 2 сағат бұрын
Tunavyowaambia ccm ni chama madhubuti watu hawaelewi msikilizeni huyu Mzee Hawa ndio wanaijua nchi vilivyo lazima tuwasikilize nchi hii Ina misingi bwana .kweli baba wataifa alikua SI mtu wa mchezo ameacha misingi imara sana
@PererLukumay
@PererLukumay 48 минут бұрын
Tio.walioifanya.tanzania.ibaki.masikini.hadi.leo
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 8 сағат бұрын
mzee wazira bado ni hazina ya taifa letu,si sawa na wale wanaozeeka vibaya,kama warioba na butiku!!
@glorymiko6830
@glorymiko6830 4 сағат бұрын
Wapi. Mzee huyu alikuwa anapiga dozi kuanzia kipindi cha bunge kinapoanza mpaka mwisho. Mzee wa ccm huyo.
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 8 сағат бұрын
Mh. Rais wetu Mama Samia anaakili nyingi sana Masha'Allah anawazuia kuandamana pbila kuvuja damu kwa Mtanzania yoyote kisha hawashtaki ilimradi katika Uongozi wake asiwe na Kashfa ya kumwga damu wala kumshtaki yoyote kisa anataka kuandamana yeye anawazuia tu.
@MadodoMartini
@MadodoMartini 7 сағат бұрын
Mzee Wasira CHADEMA haikuwa na Maandamano,, Bali MAOMBOLEZO, Waombolezaji ndio wabaya kuliko Wauaji, Binadamu kagonga Treni kwa Mbele kosa la Binadamu 😂😂😂😂😂😂,, mm Nampa pole Binadamu aliyegonga Treni na kuhukumiwa, maana sio Binadamu wa kwanza kugonga Treni, mwaka huu wamegonga wengi tu, huyu moja ajabu iko wapi,, Ooh my God help Heal our Country Tz... 2024-2025...
@MadodoMartini
@MadodoMartini 7 сағат бұрын
Naona hizo TV zenu zimeelekezwa PA kufanyia kazi na Aina ya kazi za kufanya, wanawapa viposho? ili wapate vipindi, hamna watu wa kutoa mawazo ya kusaidia Nchi? Wasira kafanya kazi tangu Nyerere kwenye redii Tanzania hadi Wasafi, poleni wenye hz TV, wekeni hata Season ya Kituruki tu...
@eliezergama7073
@eliezergama7073 4 сағат бұрын
mzee safi sana.
@Jeremiatitomawala
@Jeremiatitomawala 5 сағат бұрын
Mzee wasira asante baba unajua kujib hahahaha
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 7 сағат бұрын
Muda wa kulea vitukuu sasa
@Jumasadala-c7y
@Jumasadala-c7y 6 сағат бұрын
Huyo.mzee upeo umefika mwisho hana jipya
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 4 сағат бұрын
Wewe lete Jipya
@samsonogunde4508
@samsonogunde4508 3 сағат бұрын
Hivi Wasira Bado Unangangana na Siasa, Kalale
@jumajukikoti8133
@jumajukikoti8133 5 сағат бұрын
Hivi hili zee bado lipo!😳😳😳😳bado linatapeli !
@duniakidogo8516
@duniakidogo8516 4 сағат бұрын
Unaweza kuzuia maandamano lakini si ujumbe uliopo kwenye maandamano
@godwinnkya2023
@godwinnkya2023 5 сағат бұрын
Hicho kikao ni uongo,hakijawahi kufanyika kabisa mzee Wasira
@mutabebwa-bm6pm
@mutabebwa-bm6pm 4 сағат бұрын
Je kuna ushahidi wa kikao hicho au ni uzushi wa kujiami na kupotosha uma? Kama kikao kilifanyika waliokifanya walichukuliwa hatua gani?
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 4 сағат бұрын
Na wewe nenda TBC ukaeleze Uongo wake kisha wewe useme kweli nawe tukuone na kukusikia.
@HENRYMUNDI
@HENRYMUNDI 3 сағат бұрын
Wangewakamata wsongo hao hata POLIS walisema kabla
@HarunJonass
@HarunJonass 6 сағат бұрын
Ahaa duu
@SeifAlly-g9i
@SeifAlly-g9i 6 сағат бұрын
Wailimishe vemahao ilikatazwa kwakuwa wamebaini kuwa sima andamano ya amani hamjamwelewa😂
@glorymiko6830
@glorymiko6830 5 сағат бұрын
Mzee wa kulala vipindi vyote ya bunge.. Ebu tuambie mzee mbona ya lissu hayajachunguzwa.
@songombingo108
@songombingo108 4 сағат бұрын
Majitu yanazeeka hayataki kupumzika na wajukuu zake
@hamisramadhan-eb3ie
@hamisramadhan-eb3ie 5 сағат бұрын
Machadomo ndiokaziyao kuandama wakitumwa namabwanazao
@FikiriniAdam-uk7cc
@FikiriniAdam-uk7cc 6 сағат бұрын
Rais yuposawa hawojamaa wameonachama chao hakinamvuto tena ndiomaana wanajifaragua kutafuta sababu yakutufanyiafujo
@evelina9621
@evelina9621 7 сағат бұрын
Mzee.wasra.waambie.uzee.ni.dawa.misahafu.hutaja.wazee.wenye.hekima.wako.kwenye.makurebi.mbele.za.mungu
@fredrickmwakalinga6390
@fredrickmwakalinga6390 7 сағат бұрын
Huyu mzee yuko toka enzi za Nyerere unategemea wajana watapata wapi ajira?
@SeifAlly-g9i
@SeifAlly-g9i 6 сағат бұрын
Mwandishi sikiliza uzuri hayo anayo ongea mzee awsira nijmbo ambalo harakati zilizo fanyika huko arusha sasa sijuwi hamuweliwi hayo anayo zungumza mbona yako wazi tatizo tunataka kubabaisha lakini mimi msikilizaji nimeelewa vema😅
@godwinnkya2023
@godwinnkya2023 5 сағат бұрын
Mtatenda haki mkiita upande wa pili nao waongee balanced story pls,!!!
@AlfredMatemu
@AlfredMatemu 5 сағат бұрын
Muiteni mzee butiku huyo ndio ataawaambia kweli huyu bado anataka cheo bado
@charlesmnuo3292
@charlesmnuo3292 5 сағат бұрын
Hapa nikupoteza mb tu
@kingmichael1234
@kingmichael1234 7 сағат бұрын
Mzee Wasira umeongea speculations tupu hakuna ushahidi. Vijana wachome moto una ushahidi gani? Yaani hii nchi imekosa wazee wenye busara na hekima wa kuliongoza Taifa hili. Tunatetea vyama vyetu kwenye mambo serious kabisa yanayoliumiza taifa. It's a shame.. hopeless kabisa 😏😏😏
@ashtube1333
@ashtube1333 3 сағат бұрын
😂😂
@MadodoMartini
@MadodoMartini 7 сағат бұрын
Waandishi Angalieni watu mnaojadiliana nao, engine hawana habari hata na hatima Wajukuu zao, wapo kwa sababu aliwahi kuwa viongozi, majibu ya huyo Babu Kila wakati ni negative, ndio maana Hayati aliwaambia kapumzike I mlee wajukuu
@SayiMnyashi-d1y
@SayiMnyashi-d1y 3 сағат бұрын
Kuna aina ngap za maandamano!??kuna hoja zingne za ajab😢
@AlfredMatemu
@AlfredMatemu 5 сағат бұрын
Pia siku nyingine eteni wanasheria sio hawa wachumia tumbo
@PeterRas-o7d
@PeterRas-o7d 5 сағат бұрын
Big Up Mzee Wasira Nilijuwa Unafurunga kumbe Mzee Uko Vzr Sana
@wallacemngoma794
@wallacemngoma794 3 сағат бұрын
Hiyo haweczi kutoa ufafanuzi wowote kwani wale wale machawa CCM pamoja ukimwangalia ni mzee huenda anaweza kuwa na busara.
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 8 сағат бұрын
hao wanasheria wenye akili za kuku!!!
@Hemedmikole-r9e
@Hemedmikole-r9e 5 сағат бұрын
Hamna point ya msing apo
@majidukalokola7253
@majidukalokola7253 7 сағат бұрын
Sasa hizo taarifa za chama fulani kuhamasisha vijana kuleta uvunjifu wa amani, kwa nini wasishughulikiwe hao waliokuwa wanafanya mipango hiyo?
@MfiriFulgensi
@MfiriFulgensi 6 сағат бұрын
Maandano ya kawaida
@juliuszakayo6771
@juliuszakayo6771 3 сағат бұрын
Huyu NI kima
@JemeslaizerJemeslaizer
@JemeslaizerJemeslaizer 8 сағат бұрын
Nchi ya ajabu.. Mtangulizi wake magufuli,, alikuwa amezuia maandamano.., je sheria ya maandamano,, ilitungwa juzi,,, na kama,, ilikuwepo hata samani.. Alikuwa,, amesuiwa kwa sheria gani...,,, na imeruhusiwa kwa sheria gani? Na kama ilikuwa ni kinyume cha sheria...Rais wa inchi yoyote, ameeapa kulinda..Katiba, hapo hapo.. Anaongoza kwa kuvuna Katiba.. Mtangulizi fanya hivyo.
@FortunatusPhilimon
@FortunatusPhilimon 5 сағат бұрын
Una uwakika
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 5 сағат бұрын
Kuwa ccm ni ujinga
@eliezergama7073
@eliezergama7073 4 сағат бұрын
huyu muulizaji mbona mgumu kuelewa?
@MfiriFulgensi
@MfiriFulgensi 6 сағат бұрын
Kwann hawakwenda kuwakamata hao watu?
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 7 сағат бұрын
Propaganda tu,Chama fulani kipi😂
@HenryKatenga
@HenryKatenga 4 сағат бұрын
Wazee maarufu wengi wakifunze hekima inayo Jenga nchi siyo kuivuruga.
@Juma-e8l
@Juma-e8l 3 сағат бұрын
Wewe umeshafikia uzee??
@faizaannassir2568
@faizaannassir2568 4 сағат бұрын
Watanzania mlitegenea zee hili liseme nn liko serekalini miaka 50 . Serekali ndo bishara yake . Atasifu tu anaulizwa nn anajibu nn . Tafuteni watu wakuwahoji. Ili linachunga tumbo lake tu . Get lost
@AMwanjoka
@AMwanjoka 5 сағат бұрын
Ni aibu kwa mzee wa umri wake kushindwa kukemea uvunjaji wa katiba kwa kutegemea unabii usio na mashiko Kama katiba inakataza maandamano nano anaweza kuruhusu kwa kauli tu,kama katiba inaruhusu nani anaweza kukataza kwa kauli Ina maana taifa letu halina sheria linaendeshwa na matamko Polsi wana kikosi vha kuzuia ghasia kama kulikuwa na tishio la ghasia hapo ndipo illuwa nafasi ya wataalamu wa kuzuia ghasia na uwezo wao
@zakariamassena9202
@zakariamassena9202 7 сағат бұрын
daaa nilifikili mzee kama huyu atakuja na ushauli wakujenga nchi kumbe ana mawazo ya ovyoo.mzee vijawa ccm ndio watakao kusikiliza tuu.lakini kwa vijana ambao wanataka kujua wanaowateka watu ni nani? kwanini wanachama wa chadema tuu na viongozi wao ndo watekwe na kuwawa2? mzee wangu kalee wajukuu.
@peterhelpeterluena9191
@peterhelpeterluena9191 3 сағат бұрын
Wanafanyiana wao kwa wao. Kamuhoji mwenyekiti wako. Kwani nchi hii chama cha upinzani ni wao tu?
@grasslugala9860
@grasslugala9860 7 сағат бұрын
Acha hizo wewe je cku walipotangaza maandamano kwa mara ya kwanza makuu wa mkoa wa Dar es salaam c alitangaza usafi utakao fanyika na jeshi je c alikuwa anakataza kwa namna fulani?
@LucySangu-w9y
@LucySangu-w9y 5 сағат бұрын
Kwanini walishindwa kuchunguza tukio la kisu?
@rahimzuberi2673
@rahimzuberi2673 8 сағат бұрын
Umeongea point nzuri sana Chadema lengo kuu lao wanatamani fujo itokee
@thadeylyimo9772
@thadeylyimo9772 8 сағат бұрын
kama viongozi wa chadema wangekuwa hawatekwi wala kuuwawa wasinge andamana hata...... Shida yetu kila kitu tunajibu kwa porojo..... afu mtu anasema eti watanzania tuwe serious...... Yupo Mungu aliyopo juu, yeye ndiye atakaye hukumu kwa haki...
@pitosjuma7224
@pitosjuma7224 8 сағат бұрын
Mjadara kama huo muwe mnawaalika pande zote.
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 8 сағат бұрын
Na upande wa mama ako?😊
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 6 сағат бұрын
Unataka wamuite na mama yako?
@usajendile8480
@usajendile8480 6 сағат бұрын
Lisu alipopigwa risasi ni miaka mingapi uchunguzi umefikia wapi,,,,,,
@EngelbertMakoye
@EngelbertMakoye 7 сағат бұрын
Huyo Mzee kesha kwisha Hana lolote anafanya uchawa tu Hana jipya na ni wale wale
@NamayaniJlaizer
@NamayaniJlaizer 7 сағат бұрын
Hata wakati wa shambulizi la mheshimiwa Lisu Serikali hiyo hiyo walitowa pole na kuamuru Uchunguzi waharaka ufanyike lakini hata leo hatuja pata majibu jibu tulilopata mpaka Sasa ni wasiojulikana kwahiyo hatuna Imani Tena na chama chetu Cha ccm
@sixmery8797
@sixmery8797 7 сағат бұрын
shida ya tbc uchawa umezd mkumbuke tv hyo nikod zetu waiten na upande wa pili
@noelmakere1381
@noelmakere1381 5 сағат бұрын
Ninyi waandishi kweli ni vilaza.. Lema alikanusha kuwa hiyo clip ilikuwa ya mwaka jana ya Arusha...na silaa alisema hiyo mwaka jana.. Mbona hamuwezi kuhoji kwa kutoa kauli za waliotuhumiwa...??
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 7 сағат бұрын
Huyu mzee yeye analalia upande mmoja tembeza kotekote mzee KAULI za vijana wa ccm hata KAULI ya nape DC wa longidon Halafu nakuchukia
@evelina9621
@evelina9621 7 сағат бұрын
Chadema.kutii.bora.kuliko.mafuta.kupa.gana.mafuta.yamaji.kusamehane.yaishe.cc.m.inakosea.mara.nyingi.matamshi.ya.maneno.mabaya.
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 6 сағат бұрын
Mh!kilaza kweli wewe,kila neno unaweka nukta,rudi darasani umalizie darasa la pili
@bazilmateru915
@bazilmateru915 27 минут бұрын
Nyie TBC alikeni viongozi wa CHADEMA sasa mnafanya hiyo channel ji ya CCM au ni ya TAIFA. wasomi mazombi hamna proffesionqlism yoyote hapo? Hii ichi siyo ya kidikteta ni demokrasia. Imagine we have land 2 the size of kenya but hata hatuna working economy. Kazi zianpatikana serikalini tuu . Acheni mambo ya kishamba . Qmmk
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 33 минут бұрын
Waandishi mnachekesha.mnataka mtu ajibu jibu mnalotaka nyinyi
@sethmdj
@sethmdj 20 минут бұрын
Watangazaji wenyewe hawajui jinsi ya kuuliza maswali sawasawa. Ni kama walimwita wasikilize tu hadithi yake Ooh, kumbe ni TBC, nilikuwa sijaangalia vizuri
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 19 минут бұрын
SACCOOS WAMECHEMSHA MAANDAMANO YAO NI KWENYE MITANDAO 😢😢😢😢😢
@StephenMpallange
@StephenMpallange 3 сағат бұрын
Miongoni mwa R4 za Raisi Samia upo pia Ustahimilivu. Je CCM na Serikali yake na Rais mmeshindwa kuwa kuwa Wastahimilivu? Je mnajikanganya wenyewe na 4R zenu?
@KissingerSoud-dd2gt
@KissingerSoud-dd2gt Сағат бұрын
Mzee wasira ni kada, je polisi ni watuhumiwa wanaweza kujichunguza?
@titusrobert5890
@titusrobert5890 Сағат бұрын
Kusahau koti ofisini kulirudia kunahitaji ujasili mkubwa hasa unapokuwa uko nje ya mfumo.Asanteni
@SamwelSadock
@SamwelSadock Сағат бұрын
Huwezi kuchunguswa na chombo cha polisi ikiwa wanatuhumiwa kwa kuvunja sheria
@AkwilaJoseph
@AkwilaJoseph 26 минут бұрын
Wape daresay hawa chadema niwavunjivu wa amani chadema hawa
@samsonogunde4508
@samsonogunde4508 3 сағат бұрын
Mungechunguza matukio ya Mwanzo mngeaminika, Lakini Kama mlishindwa sasa Leo tutaweza
@HabibuSalumu-iv5wl
@HabibuSalumu-iv5wl Сағат бұрын
Hivi kufuli Lina funga mlango au linafunga kitasa kilicho wekwa kwenye mlango
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 37 минут бұрын
Yaani wengine wanaona kuruhusiwa kwa maandamano ndio kufuata sheria. Ni ajabu.
@salimukimwaga-fu8cc
@salimukimwaga-fu8cc 3 сағат бұрын
Chawa mnene alieshiba Toka Nyerere mpaka Leo hajatosheka
@ChristopherLazaro-yy3fb
@ChristopherLazaro-yy3fb 56 минут бұрын
Kale mzee hachia vp Jana wajibishane wenyew
@AnnaFelix-p1z
@AnnaFelix-p1z 17 минут бұрын
We mzee mbona tuliandamana tena vizuli
@danielmwandenga5369
@danielmwandenga5369 2 сағат бұрын
Tatizo lako mzee huwa usemi ni kifungu gani cha sheria lakni rais mwabukusi alinoti kifungu napia maelezo yake ni kuwa sheria kuhusu mandamano msajili anamamlaka ya kukiwajibisha chama chochote ivo tuzidi kuombea amani yetu na mh rais naomba tu azidi kuwa na huruma na watanzania nae aje kuandika kitabu kizuri ,ajifunze kutoka kwa my life my purpose
@MkungwaNgwarumbwa
@MkungwaNgwarumbwa 3 сағат бұрын
Mzee anazeeka na ukweli wake hanaga zimulizi za kinafiki, tunu ya umoja ni culture ya watanzania na raia wake walio wengi nchini hawapendagi visa vya uvunjaji amani ya umoja wao....👍👍
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 42 минут бұрын
Mzee unabusara sana. Umetoa somo hata kwa wanasheria
@gidongailo7174
@gidongailo7174 2 сағат бұрын
Watu wanaongea mambo ya uongo uongo japo ni viongozi wakubwa! Mtu kutamka kuwa anapanga mkakati wa kumwondoa Rais kwa njia ya fujo ni uhaini. Kama serikali imekuwa ikibambikiza kesi za uongo na kisha kukosa ushahidi na hatimaye kesi kuondolewa mahakamani, watu wanawezaje kuachwa kwa kutamka maneno ya hatari namna hii na wakaachwa bila kupeleka mahakamani badala yake wakauawa. Nchi hii hovyo sana😂😂😂😂
@AkwilaJoseph
@AkwilaJoseph 24 минут бұрын
Ninyi ndio hamna jipya siyo huyo mzee
@GULIELMAS
@GULIELMAS 50 минут бұрын
Wazee hawa ndiyo walio tu letea katiba ya kisenge
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm 2 минут бұрын
Umechelewa nenda kalale wewe mzee
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 Сағат бұрын
Hivi nyie Waandishi wa Habari wa nchi huwa hamna watu wa kuwahoji?Huyu Bwana Wasira ana busara na hekima?
@hassanthabit3726
@hassanthabit3726 2 сағат бұрын
UKIOKOTA UTARATBU WA MAREKANI MGOMBEA URAISI APIGWE RISASI. HUO SIO WA TZ
@pelegrinmwamba1594
@pelegrinmwamba1594 2 сағат бұрын
Mzee piga kwenye mshono
@makobamasawemangu4122
@makobamasawemangu4122 32 минут бұрын
Lizee la hovyo kwel hili Yani lenyewe linaangalia ugali wake tu
@bakariisack5537
@bakariisack5537 3 сағат бұрын
Sasa kama kuna kikao cha uvunjifu wa aman kilifanyika Arusha na mno uthibitisho kwa nini msiwapeleke mahakamani ??
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 3 сағат бұрын
So ina maana kua jamaa alikua Eliminated kisa alipanga kuanzisha vurugu? Kwanini asipelekwe mahakamani?
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 3 сағат бұрын
Uchawa umekuzidi 👎 maandamano yalikuwa yawe ya amani!
@ismaelgadiye4488
@ismaelgadiye4488 3 сағат бұрын
Ili tuamini hebu tuambieni ni kiongozi yupi alishiriki hicho kikao cha chadema tofauti na habari za kusikia pembeni we mzee na je sisi nchi yetu inaaminika kwa kiasi gani kwa uchinguzi uchunguzi wa lisu unatoka lini na unahitaji miaka mingapi
Поветкин заставил себя уважать!
01:00
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 6 МЛН
Brawl Stars Edit😈📕
00:15
Kan Andrey
Рет қаралды 52 МЛН
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 3 Серия
30:50
Inter Production
Рет қаралды 1 МЛН
LIVE: UN General Assembly meets on Gaza
3:07:08
Reuters
Рет қаралды 6 М.
Поветкин заставил себя уважать!
01:00
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 6 МЛН