Kama Muhamed Bachu ni sheikh hakuna mwislam ambae si sheikh leta ushahidi kasomea wapi uyu hizbi
@ibrahimabdillah5729Ай бұрын
Shee Comedy...
@SeifAlly-g9iАй бұрын
Sawa
@SeifAlly-g9iАй бұрын
Sheikh ukosawa mtachokabure nahawa watu
@SeifAlly-g9iАй бұрын
Huyu bachu nimropokajitu dini ikokamili sstumesoma kale yy bado hajazaliwa
@issaabdallah1205Ай бұрын
Wanazuoni wa miji yetu walitufundisha kuabudia makaburi na kuwaba maiti na kupiga zefe na kutinsha mabega na sasa viuno Tuliju ndo dini kumbe ni utamauni wenye mafhambi ndani yake
@saadasaleh3177Ай бұрын
Sasa mm nlivyomfaham sheikh cjui km yy kajifahammm🤔 kasema miez itofautiane masiku yote sawa lkn ikifika hijjah uzingatiwe mwez mahala hapo sasa kwa hivyo sote tunatakiwa kufuat huko au vp??‽?
@AbasiChigo2 ай бұрын
Kakosea wapi,,jaman mbona mnalialia sana ,,yeye anasoma vitabu,,
@saiditara72352 ай бұрын
"Na kama mungu alijua kwamba hili litakuja" hilo neno sidhani kama limekaa sawa kwa upande wa kumnasibishia Allah, au kama kuna ushahidi wa kufaa kulitumia naomba kufahamishwa?
@selemankishema57802 ай бұрын
Hii dini inautaratibu sheikh.
@MkindiRama-lp6hy2 ай бұрын
Waisilam kweli tumuogope mungu unaenda kusali sala tano halafu unatukana hz so sifa za waislam
@aminaabdullahi-tp5kn2 ай бұрын
Unapata nguvu vipi yakusme bachu Ni mfitinishaji...kijana anaeleweka Kwa fwasaha ya ilmu anayoitowa ALLAH AMJAALIE FIRDAUS IWE MAKAZI YAKE...
@user-qe8xp6ii1u2 ай бұрын
Maneno yako yanajifunga funga mwenyewe. Amekataa Mijadala huku anaileta. Ufam wako mdogo Allah akuongoze.
@ilyasawadh63752 ай бұрын
Allah akuhifadhi
@AyubEsmail-mq4gu2 ай бұрын
Mashaallah ukweli kabisa
@user-ox4fv4cf5l2 ай бұрын
SHEKH BACHU ALLAH AKUZIDISHIE MAANA HAWA MATWARIQA KILA SIKU LAZIMA WAUMIZE VICHWA KUPAMBANA NAE LKN WANAFELI....
@ibrahimnoordin34202 ай бұрын
Wadhih. Ya Sheikh👌
@user-bp6fb6wo5u2 ай бұрын
قال ابن رجب :" (كل بدعة ضلالة) من جوامع الكلم لايخرج عنه شيء، وهو أصل عظيم من أصول الدين"[ انظر جوامع العلوم والحكم 1/266]. - وقال الشاطبي : " قول النبي - صلى الله عليه وسلم - : ((كل بدعة ضلالة)) محمول عند العلماء على عمومه لايُستثنى منه شيء البتة ، وليس فيها ماهو حسن أصلاً , إذ لاحسن إلا ماحسَّنه الشرع ولا قبيح الا ماقبَّحه الشرع ، فالعقل لا يحسِّن ولا يقبِّح ,وإنما يقول بتحسين العقل وتقبيحه أهل الضلال" [انظر فتاوى الامام الشاطبي ص(181,180)] وقال أيضاً : " والحاصل....أن البدع لاتنقسم إلى ذلك الانقسام , بل هي من قبيل المنهي عنه إما كراهة وإما تحريماً " [ انظر الاعتصام 1/211].
@user-bp6fb6wo5u2 ай бұрын
Omba sana ikhlaas, haraka zako hazifanani na wakweli, kijana kama jina lako kasome, unaongea sivyo kabisa...
@ilyasawadh63752 ай бұрын
panga mjadala mutuelimishe mtandaoni hautoshi ana kwa ana itatusaidia mashekhe zetu.
@HemedAbdullaSuleiman2 ай бұрын
Mashallah
@abdulmalikali15012 ай бұрын
Hhhhhh katwaliini Vzr Mashekhe Mambo ya Bachu Bachu ebu tulieni acheni kumpa kibri kijana mdogo huyu nae kwanza akatwaliii.kisha Huyu bachu yaani yy siku zote ndio Qaadhwil Qudhwaat yaani yy ndio aona makosa hamna mashkhe wengi 😂😂.wallai ajabu kweli
@DiudaKozi-qu8sl2 ай бұрын
Makhulafy wameenda kujificha kwenye madema ya mina kufanya mizushi yao ya maulid .Acheni kujificha kwenye madema Kwa bidaa zenu
Uyo Mzee ndio hatari kaenda kudanganya kule mpaka Ati kunatareh yamkaa natareh ya tz wakati kule ilikua j mosi nahuku j mosi
@hassanWanjiku2 ай бұрын
Ubabaishaji huo tena hadhi y chini sana hamna hoja twarika hio ni upotevu chungeni mijikaswida tuu
@HashimSalim-qj7zn2 ай бұрын
MUSHAJUA MNAITWA HIVO KWA SBB GANI ILA HILO ULISEMALO NI UBABAISHAJI TUUUU
@user-cy1od5xr8x2 ай бұрын
Haki ngumu toka zamani mnafuata mwezi Sasa suudia imeleta watu mnafuata suudia
@ibnayub23742 ай бұрын
Nlikua nadhani huyu sheikh Ana akili kumbe n wale wale saa mpya mshale una kutu, kwani hapa dunian kuna nchi haina siku ya jumaa mosi au Ijumaa? Watu wa Bida'a kweli hata elimu ya dunia hamjasoma? N kweli bacho ni mmbovu katika elimu lakn wew n mmbovu Zaid katika dunia na dini Allah atupe elimu yenye manfaa
@latif152 ай бұрын
Sali salah ya ijumaa pamoja na Saudi Arabia hata kama kwenu ni alkhamis au jumamosi au tofauti na masaa ni muhimu kufuata nyakati na miandamo na siku za Saudi Arabia.
@salehrashid-fx9rq2 ай бұрын
Allwah amhifadhi sheikh letu Muhammad bachu. Kwakweli anaitendea haki dini yetu ya kiislamu. Hawa mashehe wengine hawana mpango isipokuwa kupoteza muda. Mimi nimemfahamu saana sheikh Muhammad bachu
@babuumohd42902 ай бұрын
Mimi ninaswali jee ipo siku Rasoul aliwahi kuletewa habari mwezi umeonekana mahali flani akaukataa kwakua haujaonekana sehemu yake?
@user-bp6fb6wo5u2 ай бұрын
Makhurafi sio sababu ya kumsifu mtume swalla llahu aleihi wasallam, wacha ubabaishaji!!! Mnaotwa hivyo sababu mnazua mambo hayamo katika dini kwa akili zenu, ukhurafi ni kuzua mambo yasiokuwa na kichwa wala miguu.... Kama wewe ni khurafi mkuu, ukijibiwa utasema unatukanwa... na ni khurafi mkubwa... 😂😂😂😂
@hassanWanjiku2 ай бұрын
Wanajifanya ati mapenda kwa mtume ambapo hata Sunnah y kanzu balaa lafagia ardhi ndevu kama tako la mtoto wanatoa zote alafu ujiite ahlulsunnah vp ww usituharibie jina nynyi makhurafi Sufi twarika etc
@mwanaherimatata85712 ай бұрын
We kiumbe usome vitabu bhna acha kubishana shekh Abubakar yuko sahihi
@hassanWanjiku2 ай бұрын
@@mwanaherimatata8571 makhurafi tunawajua kwa reactions hampendi hao wapotoshaji kuitwa makhurafi ama masufi nyie hampo rudini ktka njia ya sawa viumbe hv dhaifu vyao Allah n atawasamehe kwa kurudi kwake
@hassanWanjiku2 ай бұрын
Sababu mnakhalifu njia ya sunnah sahihi ndo maana makhurafi masufi ama watu wa bidaa
@mhusinigau32312 ай бұрын
Mawahabi ndio watukanao ahlu Sunnah waljamaa hakuna ahlu Sunnah waljamaa anawatukana watu kwa kuwaita makhurafi nitajie ahlu Sunnah waljamaa yoyote aliyeita watu makhurafi hutapata Zaidi ya vijana wa kiwahabiya na mashehe zao ukipata ahlu Sunnah waljamaa njoo uchukue zawadi na mm nakuwa muhabi kuanzia hapo
@hassanWanjiku2 ай бұрын
@@mhusinigau3231 mnajiita ahlulsunnah na nynyi makhurafi masufi mtu yeyote wa Sunnah hamzulii mtume wake uongo kisa na kufanya ati tunampenda mtume kumpenda mtu Fanya aliokwamrisha ufnye n la kuacha muache then,,,,
@AshrafMudrik2 ай бұрын
Una suna ukiipata na nan ww ahh, mtume hakuwa mnafiki wala mchoyo na ww cfa hizo uko nazo
@YussufWakala2 ай бұрын
Fuga ndevu ili tukuskilize km shekh
@YussufWakala2 ай бұрын
Kumbe mnaumia mashekh ubwabwa
@YussufWakala2 ай бұрын
Mwendo wa Qur-an na sunna hatutaki dini ya maneno mengi bila aya wal hadith sahihi
@YussufWakala2 ай бұрын
Shekh km kilamtu n mji wake arafa zitakuw ngp ittakillah
@mohdkhatib2232 ай бұрын
Wewe ndo mfitinishaji mpumbavu wa kisufi
@ibrangowo61852 ай бұрын
KUFUNGA ARAFA KWA VILE MAHUJAJI WAPO KIWANJANI HUO UZUSHI ULIOPINDUKIA MIPAKA. NA NI IBADA ISYOTEKELEZEKA KWA WAISLAM WOTE DUNIANI.
@arafataliomar74322 ай бұрын
Wee pandisha kofia ukivua haki itabaki haki tu
@arafataliomar74322 ай бұрын
Sasa anaependa mijadala ni weye unaemjibu au yeye alieilimisha watu na wakamuelewa
@hassansaul70982 ай бұрын
Uzuri ni kwamba Muhammad Bachu anatumia Hadithi na Ayat, na Kauli za Wanachuoni wanaokubalika ndani ya ISLAM
@masoudabdallah70412 ай бұрын
Mmmmh unaweza kutaka kumzogoa mtu kumbe we mwwnyewe hamna kitu sio kujibizana mtu katoa hoja jibu hoja kwa hoja dalili kwa dalli
@amadeomarsaide50232 ай бұрын
Mbona huja eleweka Sheikh? Tulitaraji utaleta hujja ya kuzivunja za bachu hafidhahullah
@abuushakiraddausiy86662 ай бұрын
Nyie Kenya hapo na Tanzania hamuwezii kujua kwamba arafa wasimam lini!??
@abuushakiraddausiy86662 ай бұрын
Acha kubwabwaja wewe!!!!!!!! Zima hoja zake usiseme atafuta umaarufuu......wee. Waropoka kama........zungumzia hoja zakee........mwawadanganya makhurafii wenzenuu...kama hatufanani nao kwanini swaumu yaumu arafa!??? Nisunna kama wachinja usinyoe nywele!!!!!! Usikate kucha je!! Haya ayafanya hujaji!??? Wewe wazungumza kama wazimutuu!!!!! Huna hoja!!!
@vicentpantaleo58372 ай бұрын
Bachu amewashika pabaya sana
@hidayaramadhani18332 ай бұрын
Huyo kwawenye kujua wanajua nizumbuu kuku elimu hamna naamekosa kujitambua