No video

MUHAMMAD BACHU APEWA SOMO KUBWA NA SHEIKH IZZUDIN ALWY JUU YA UFAHAMU WA FIQHI NA IBARA ZAKE

  Рет қаралды 6,110

Alwiy Muhanna

Alwiy Muhanna

Күн бұрын

SHEIKH IZZUDIN ALWY/ USIACHE KU SUBSCRIBE KZbin CHANNEL YETU ALWIY MUHANNA KU LIKE, KU SHARE, NA KU COMMENT
ALWY TV UKUMBUSHO KWA WOTE

Пікірлер: 41
@Hafisa-ws8mw
@Hafisa-ws8mw 2 ай бұрын
Allah amuhifadhi sheikh Muhammad bachu
@commandokhalidi5284
@commandokhalidi5284 2 ай бұрын
Allah akupe umri mrefu sheikh
@G.Light-7
@G.Light-7 2 ай бұрын
أهلا وسهلا ومرحبا ❤❤❤
@zuberhamza7852
@zuberhamza7852 2 ай бұрын
Shukran sana Allah akubaariki shekh
@HamadZito
@HamadZito 2 ай бұрын
Shekhe wangu Allah ukuhifadhi
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv 2 ай бұрын
Shuqran sheikh 💚
@user-ze8rk9ye6r
@user-ze8rk9ye6r 2 ай бұрын
masufi ni mbwembwe tu zenu hamna chochte mjuacho,na ndio maana mkiwa katika munakasha mkijua hapa tutabanwa mwaanza usumbufu ili mradi tu msifikie kwenye kibano mshajulikana kitambo masufi
@SaidiMohamed-bj2wg
@SaidiMohamed-bj2wg 2 ай бұрын
Kama anahitaji kufaham engekua na adabu
@mahadhikawia3610
@mahadhikawia3610 2 ай бұрын
Huu ni mtihani kweli,ananikumbusha maneno ya mchungaji 'mzee wa upako ' Anthony Lusekelo ,ambaye siku hizi amekiri na anatangaza waziwazi kwamba Mungu yuko mmoja tu ! Wala Hana mtoto,na Yesu sio Mungu ! na akaendelea kusema ' wale wachungaji wanaotangaza Uungu wa Yesu Huwa wanapata Taabu Sana kukinaisha watu juu ya hoja zao ,Inawachukua muda mrefu kuelezea watu uelewa huo,kama safari ya Dar to Dom. Ndivyo nilivyomuona Sheikh Izzuddin .na Mbaraka Awesu wanapata taabu sana kutenganisha Arafa Swaumu na Arafa Hajji.. mimi nakushauri sheikh wangu Usiende kwenye mjadala na Bachu juu ya Jambo Hilo .
@saba-gv3mj
@saba-gv3mj 2 ай бұрын
Ww wacha ujinga hawa wanao dalili ww na bachu munao dalili na mashekhe wenu wa kiwahabi wanakataa kufuata saudia alafu unaleta mambo ya paster ww Huna akili sasa kama kweli bachu ajee akae kwenye meza afundishwe fikii hadithi munkar tu hajui wanazuoni wasemaje kuhusu hadithi munkar akashindwa kujibu ww wahabi tu kazi yenu kumzushia mtume s a w
@mahadhikawia3610
@mahadhikawia3610 2 ай бұрын
@@saba-gv3mj kama kisha Cha Nabii Musa na wanawaIsrael , waliambiwa kwa kifupi tu , mchinjeni ng'ombe, Lakini wakaleta mashauzi kibao kama nyie , mwishoe wakaibukia kutakiwa wamchinje ng'ombe wa Njano, umeshawahi kumuona ng'ombe wa manjano wewe, we Huogopi ?. Sheikh Mselem anakuulizeni , kwa mfano mtume saw angekua yupo hai huko makka au Madina hivi sasa . na anatamka Hijja ni Arafa na akaifanyia kazi. Nyie mngebakia na tarehe 9 zenu au mngemfuata yeye ?. Hivi sasa masufi mmegawanyika wapo wanaoelewa na wale mukallid a'amaa- wale ' tuwaache masheikh zetu? Haiwezekani ' matusi sio Hoja, Muflis.
@IssaRashidi-zo6tg
@IssaRashidi-zo6tg 2 ай бұрын
HUYU NI SHEIKH SIO MTOA MAWAIDHA WENGINE NI WATOA MAWAIDHA KUNA TOFAUTI KATI YA KUZUNGUMZA NA KUWA SHEIKH
@user-lo1uk8dp5f
@user-lo1uk8dp5f 2 ай бұрын
Bacho mh majanga umaaarufu ausaka
@NassorHassan-no1cr
@NassorHassan-no1cr 2 ай бұрын
Bachu nyie humumuwezi
@abdulkhaliqmuhammed456
@abdulkhaliqmuhammed456 2 ай бұрын
Kwan ngum hizi
@saba-gv3mj
@saba-gv3mj 2 ай бұрын
Kweli hatumuezi kwa ujinga lakini ki ilimu bachu hana ilimu hilo lijue
@chancelorharubu2731
@chancelorharubu2731 2 ай бұрын
Labda hawamuwez kwa ubishi lakini sio hoja ya vitabu.
@genius0045
@genius0045 2 ай бұрын
This Sheikh KASUKU doesn't know anything about Islam, but he knows everything about Sufism.
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 2 ай бұрын
Ww umechanganyikiwa uwahabi umekuvaa.mnakataa hata fatawa za sheikh wenu uthaymain.mnae mtegemea mpotevu mwenzenu.
@SolomomAdams-pf5zy
@SolomomAdams-pf5zy 2 ай бұрын
Kaka unajiumiza kichwaa waache tuu hao wanaelewa ukweli but fuluus
@NMJAsaid
@NMJAsaid 2 ай бұрын
Hamna hoja
@MohamedMeja
@MohamedMeja 2 ай бұрын
Tuweni na hishimaa tusitukanea mashehea tuateni ushapikii msomaji maulidi akisoma hawi kafiri na ambao hasomi maulidi pia hawi kafiri shahada yetu ni moja Shia ndio kafiri watu kana maswahaba na ummuil muminina
@AlhajiMswaki-de3kb
@AlhajiMswaki-de3kb 2 ай бұрын
Muhammad bachu kichwa mtihan
@saadasaleh3177
@saadasaleh3177 Ай бұрын
Sasa mm nlivyomfaham sheikh cjui km yy kajifahammm🤔 kasema miez itofautiane masiku yote sawa lkn ikifika hijjah uzingatiwe mwez mahala hapo sasa kwa hivyo sote tunatakiwa kufuat huko au vp??‽?
@shadhilfaki1457
@shadhilfaki1457 2 ай бұрын
Basi hiyo fiqhi unayo ww tuu kesha kijibuni kupitia vitabu vya maulamaa wengine maana mnapenda ubishani mkikosolewa jambo, watu wanataka kujua hakhi ilipo wafuate ww washabihisha watu kila Mtu Awe na misimamo wake
@salehothman6144
@salehothman6144 2 ай бұрын
Tujaribu kuwa na nidham kwa wanazuoni wetu,tusijibu km tunawajibu marafiki zetu
@user-fy4op1sw2f
@user-fy4op1sw2f 2 ай бұрын
Huyo ni shabiki wa bachu
@chancelorharubu2731
@chancelorharubu2731 2 ай бұрын
Elimu si ndio hiyo inatolewa,na vitabu ndio ivoivo vya akina ibn thymin,akina imam hambar,na wao wanasema kua kila watu wafunge kulingana na muandamo wakwao,sasa wao ndio wtuambie huo mwez wa kimataifa ni hadith gani au qur an gani ilioelekezaa
@JumaHUssi
@JumaHUssi Ай бұрын
Kwenye masuali ya dini acha ushabiki, kwanza tafuta elimu kwanza. Sio tu kwa sababu kasema fulani, wewe unaridhika nayo.
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 2 ай бұрын
Ww hizudini mtu wa bidaa😂😂 umuwezi bachu utasumbuka bure yule kijana simba wa khurafi
@KomoraMohamed
@KomoraMohamed 2 ай бұрын
Ashaonekna bachu ni zuzu kiilmu
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 2 ай бұрын
@@KomoraMohamed zuzu kweli zianawanduwa makhurafi na ushirikina mnaofanya na uzushi alompandisha Allah huwezi mshusha kaka Allah anamuinua amtakae na humshusha umtakae
@KomoraMohamed
@KomoraMohamed 2 ай бұрын
@@user-yj5on8cz3e bachu ni kikojozi tu
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 2 ай бұрын
@@KomoraMohamed utakwenda kuulizwa uthibitishe hilo roho zinawauma kwavile anapinga uzushi na ushirikina munaofanya wa kuabudia makabuli hamumuwezi kamwe Allah anazidi mbariki na kukomesha makhurafi wa kisufi
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 2 ай бұрын
@@KomoraMohamed towa hoja za msingi so matusi kama matusi ashatukanwa sana na hata mtume wakati analingania alikutana na mitihani ya kutukanwa ndo ilivyo watu wakiwa wapotevu ukija wabainishia kweli utasemwa vibaya utatukanwa utafanyiwa njama mbali mbali kila aina ya majina mabaya utapewa akuna kipya so wakwanza yeye kutukanwa
@salehthesword
@salehthesword 2 ай бұрын
Wapi aliposema Ibn Taimiyah "Haifai kabisa kufuata Saudi kama wewe haupo Saudi" wapi aliposema kauli hiyo shee kidevu chachandu?
@SolomomAdams-pf5zy
@SolomomAdams-pf5zy 2 ай бұрын
Bachu anakurupuka saana na atazidi kugongwa saaana yaani huwa anaonyesha yeye ndiyo kipimo karibu Manyema usome
MUHAMMAD BACHU NI MFITINISHAJI ANAETAFUTA UMAARUFU SI MSOMI
8:26
Alwiy Muhanna
Рет қаралды 10 М.
Upungufu wa ilmu ya Muhammad Bachu kwenye funga ya arafa
17:48
Maawy Muhammad
Рет қаралды 49 М.
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 45 МЛН
MAJIBU YA DHARAU NA KEJELI YA MUHAMMAD BACHU KWA SHEIKH SAID ALI HASSAN || SHEIKH MUHSIN ALI BUTE
16:10
Markaz Swalihinal- islamy Mombasa Kenya
Рет қаралды 6 М.
Muhammad bachu sio salafi bali ni mropokaji tu by sheikh Abu Ume'yr Adam Khamiss Allah amuhifadhi
10:41
Abu Muhsin Minani Abdoullah As'salafiyyu
Рет қаралды 36 М.
WATU AMBAO TALAKA ZAO HAZIPITI
30:57
Abdulmuttwalib Yusuf
Рет қаралды 35
MAJIBU JUU YA URONGO WA ALI ABUBAKAR || SHEIKH MUHSIN ALI BUTE
20:29
Markaz Swalihinal- islamy Mombasa Kenya
Рет қаралды 8 М.
NASAHA FUPI ZA SHEKH MUHAMMAD BACHU AKIWA  KATIKATI YA BAHARI
8:46
Al Haajar TV Kenya
Рет қаралды 4,3 М.
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 45 МЛН