No video

JEMEDALI AUCHAMBUA USAJILI WA KELVIN KIJILI/SIMBA WAMEKOSEA KUSAJILI WACHEZAJI WENGI?/MVP KIBAO?

  Рет қаралды 34,062

JEMBESPORTS

JEMBESPORTS

Күн бұрын

Пікірлер: 68
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 Ай бұрын
Tatizo la Aishi sio majeruh ni msaliti
@mkanjimamkanjimamkanjima2043
@mkanjimamkanjimamkanjima2043 Ай бұрын
Tatizo aishi ni msariti kwa klub kwahiyo analipwa kile alicho kifanya kwa usariti
@bellenoe414
@bellenoe414 Ай бұрын
Mchezaji wake ndo maana inamuuma😂😂😂
@edwardmbonika5102
@edwardmbonika5102 Ай бұрын
Aishi ulitochufanyia mechi ya prison mungu akubariki
@clarencemeena1628
@clarencemeena1628 Ай бұрын
Aishi alikuwa mchezaji muhimu sana ndani ya Timu lkn baadaye alijigeuza duka la utopolo
@kassidpandu866
@kassidpandu866 Ай бұрын
Mwache apate Adabu huyo jamaa aliuza Mechi na yanga clear kabisa
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np Ай бұрын
Kumbe Said ni mnyama kamili
@nkoydavid9658
@nkoydavid9658 Ай бұрын
Tamaa za Aishi zimetuumiza sana wanaSimba mashabiki wengi hatuna imani nae tena.. viongozi wamwache aende tu au avunje mkataba yeye
@ramadhanimsangi9515
@ramadhanimsangi9515 Ай бұрын
Aishi alikua duka,.kasahau heshima aliyopewa, akataka hela ya haraka, sasa aombe uwakala wa magodoro GSM
@luindabablui7213
@luindabablui7213 Ай бұрын
Leo mnaisema Simba vibaya msimu ukianza mtaanza kuisifia tena
@shaameshaame2837
@shaameshaame2837 Ай бұрын
Hilo ni somo kwa wachezaji mujue timu hazina fadhila punguzeni muhemko wa kusajili miaka mingi maana bongo mashabiki wakikuvisha kikoti cha usaliti na viongozi wanaburuzwa juu ya maamuz. Aishi fanya mazoez yako pumzka kama umebakia mwaka utaondoka na kibegi chako uende utakako lakn kama ulisain miaka 5 ukaiona simba ya maana ndo majibu yao hayo
@filbertkisauke5647
@filbertkisauke5647 Ай бұрын
Watu wanaponda usajili wa simba Kwa sbb si Azam watoe pesa Sasa inakuwaje .
@user-wl4yo4zp9t
@user-wl4yo4zp9t Ай бұрын
Aende tu hata bila ya thank your mbona chama kaenda bila thank your?
@fatherjaytz
@fatherjaytz Ай бұрын
Duka la Mbangula magoli ya kise sana
@abdallaselemani
@abdallaselemani Ай бұрын
Kama anataka kuondoka avunje mkataba
@user-ok8wc7io9r
@user-ok8wc7io9r Ай бұрын
Shida wametukatalia fei toto 😅😅😅😅😅😅😅
@jumannekimpundu4789
@jumannekimpundu4789 Ай бұрын
Ni sawa mbona wao wamemzuia Feitoto?
@erasmusleonidas6729
@erasmusleonidas6729 Ай бұрын
Azam avunje mkataba wa Manula wampeleke tupate ela mambo yaishe
@tatalyzer382
@tatalyzer382 Ай бұрын
1:49 mbona issues za Fei Toto na Yanga hukuacha watu au jamii iseme,uliongea mpaka povu lilikukauka mdomoni
@user-wv2wr3kl2x
@user-wv2wr3kl2x Ай бұрын
Mbona mwandishi unachochea chokochoko Kwan unakijua kinacho endelea acha bwana kuchonganisha manura ni mchezaji wa simba sport
@chriskudilla5355
@chriskudilla5355 Ай бұрын
DUKA ILO alituuza vs Yanga
@bavonichristopha1693
@bavonichristopha1693 Ай бұрын
Ushaidi unao my brother mimi binafsi ni simba lakini ile mechi yetu na yanga viongozi wenyewe ndio waliofanya makosa ya kushinikiza kocha amchezesha manula na uku wakitambua fika manula katoka kwenye majeraha
@raphaelkomba364
@raphaelkomba364 Ай бұрын
Kuma la mamako we mchambuz
@user-bx1qo9fe3q
@user-bx1qo9fe3q Ай бұрын
Simba wanashida na Hawa wachezaji waliotokeanao mbali wanawazalau itawatafuna msim ujao kumiiiiiiiiiiiiiii tilipuhii
@samwelsilas629
@samwelsilas629 Ай бұрын
Azm watowe hela
@user-et3wx3mq8h
@user-et3wx3mq8h Ай бұрын
Ashimanura kafanyavizurisanandaniyasimba rakinikatuumizasanawashabikiwasimba parearipopigwatano namtani kumbekapewahera kwahiyo hatumtakisimba aondoketu🐆🐆🐆🐆
@isaacmutegwa5881
@isaacmutegwa5881 Ай бұрын
Usitupangue nyie ndo mlisema tuna wazee wengi. Alitusumbua alituuzia mechi ya Yanga .
@ufundi_tz
@ufundi_tz Ай бұрын
kwani timu ni azam tu .. huyu nae kavurugwa
@FIDELISMfugale
@FIDELISMfugale Ай бұрын
SAID NI MSEMAJI MZUR
@BenjaminiMathayo
@BenjaminiMathayo Ай бұрын
Unatolea maelezo habari za Simba wewe ni nani au unatafuta kiki
@suleimanmakameissa6071
@suleimanmakameissa6071 Ай бұрын
Kwani apo anazungumzia Simba au Manula ambae yeye ni mchezaji anaemsimamia?
@saidmfaume1282
@saidmfaume1282 Ай бұрын
Sisi pia haturidhiki na alichotufanyia vs Yanga usiangalie upande wake tu.
@maryamnofli2109
@maryamnofli2109 Ай бұрын
Aende. Zake. Simba. Haimuhusu. Jamanii
@azizakiswili9063
@azizakiswili9063 Ай бұрын
Mpaka aseme,zile 5 alipewa how much😅
@stephenwainage2523
@stephenwainage2523 Ай бұрын
Goli tano zimemponza😊😅
@nyembobea7285
@nyembobea7285 Ай бұрын
Hatumtaki chukua kipa wako mzee hana shukrani
@joachimsironga1560
@joachimsironga1560 Ай бұрын
We unaongea ila inaonekana hujui kiundani kunasababu huyo jamaaaa bhna ni mbongo tu😅😅
@user-mm9qr7em8k
@user-mm9qr7em8k Ай бұрын
Manula anavuna alichokipanda. alipanda usaliti anavuna usalitii.
@user-wn9bp5cl1j
@user-wn9bp5cl1j Ай бұрын
Tunasafisha wasaliti wotee😅😅
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u Ай бұрын
Chama huyo achezi kama kasaliti Simba tutamsomea albadir kama alivyo saliti simba hata cheza yanga mtakuja kuona sisi atumfichi mbaya sana chama Bora angeenda Azam au kmc kuliko yanga hatumuachi si ameona kwa Morrison na mayele na yeye pia
@FIDELISMfugale
@FIDELISMfugale Ай бұрын
Yy alichotufanyia kufungwaa 5 alituomba msamaha
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA Ай бұрын
Halufu maneno ya kihuni ya ukikubali kuolewa YANASEMWA NA WENYE AKILI FINYU VIJIWENI NA WENYE ELIMU DUNI VIJIWENI WAVUTA BANGI.Kwa mtu Mwenye WELEDI na MTU MZIMA hawezi kutamka hayo kwenye VYOMBO VYA HABARI.JIHESHIMUNI ILI MUHESHIMIWE
@gilbertmaganga9370
@gilbertmaganga9370 Ай бұрын
Analeta usaliti
@chriskudilla5355
@chriskudilla5355 Ай бұрын
Alituuza
@godfreymanyilizu5789
@godfreymanyilizu5789 Ай бұрын
Sasa hii Ng'ombe inasema yenyewe sio Simba sasa hapo inaropoka nini sasa.
@GeorgeSikazwe-mm7nn
@GeorgeSikazwe-mm7nn Ай бұрын
Jamii iamue nini ww achana na simba..ww sio msemaji wa wachezaji
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u Ай бұрын
Manula msaliti ka chama na inonga sisi tunajua
@user-wl4yo4zp9t
@user-wl4yo4zp9t Ай бұрын
Kusajili wachezaji wengi haikuhusu achana na simba yetu.
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA Ай бұрын
Umejuaje kuwa nilitaka kuzema hivyo?
@nellykira7812
@nellykira7812 Ай бұрын
Kibaraka huyu
@bavonichristopha1693
@bavonichristopha1693 Ай бұрын
Viongozi wetu wa Simba hacheni mambo ya hovyo hovyo kama hutuna mpango nae Aisha manula basi mwacheni aenda hata kwa mkopo azam
@yusuphmdadike8758
@yusuphmdadike8758 Ай бұрын
Atoe pesa anunue mkataba fullstop
@ernestkamata2555
@ernestkamata2555 Ай бұрын
Huyu siyo mchambuzi ni msemaji wa upande mwingine
@abdallahally842
@abdallahally842 Ай бұрын
Anaemtaka manula amnunue sio mkopo
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u Ай бұрын
Chama tutamshushu busha la nyuma alafu tutamuona kama tarehe 8 DABI hatacheza na akicheza hapo hapo tunampa
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 Ай бұрын
Mzee mpili kasema atakae mgusa Chama anaruka nae kama kipanga msijaribu muacheni acheze mpira
@user-fi6hb3lp5y
@user-fi6hb3lp5y Ай бұрын
Hivi wewe yupo mchezaji aliesajiliwa Simba ukasema wamepatia? Mbona too much know wewe
@bellenoe414
@bellenoe414 Ай бұрын
Meneja wa manula 😂😂
@patrickdaffa1207
@patrickdaffa1207 Ай бұрын
Heshima ya nini kama mtu anauza game heshima ya nn? Simba sio wajinga na simba ndo timu ambayo inaachana na wachezaji vzr sana.ukiona wanafanya hivyo ujue Kuna kosa kubwa kafanya.
@user-ox4fv4cf5l
@user-ox4fv4cf5l Ай бұрын
TATIZO LAWI BADO ANA MKATABA NA COASTAL NA MBONA HILO HAMLIHOJI?
@subiraaddo864
@subiraaddo864 Ай бұрын
Kwani huyu ndo msemaji wa simba au??
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 Ай бұрын
Tukutane Lupas😊
@FIDELISMfugale
@FIDELISMfugale Ай бұрын
Hatumtak kabisaaaaaaaaaa Huyo group Moja na Chama,inonga, Tunafanya USAF wajinga wote waondoke
@subiraaddo864
@subiraaddo864 Ай бұрын
Kwani si useme tu chama keshazeeka unavunga vunga nn??
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 Ай бұрын
Kasema tukutane kwa Mkapa aongei sana by Chama
@soniimedia2440
@soniimedia2440 Ай бұрын
Huu ni wakati wa simba kubeba makombe tusisikilize propaganda ukweli simba anasajili vizuri na watakaoachwa hawapo kwenye mipango yetu.
@AbisinaRashidi-c8d
@AbisinaRashidi-c8d Ай бұрын
Msaliti Hana lolote mbwa aende zake na mwenzie chama wahujumu wakubwa Aishi muujumu
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 5 МЛН
wow so cute 🥰
00:20
dednahype
Рет қаралды 27 МЛН
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 5 МЛН