Tatizo aishi ni msariti kwa klub kwahiyo analipwa kile alicho kifanya kwa usariti
@bellenoe414Ай бұрын
Mchezaji wake ndo maana inamuuma😂😂😂
@edwardmbonika5102Ай бұрын
Aishi ulitochufanyia mechi ya prison mungu akubariki
@clarencemeena1628Ай бұрын
Aishi alikuwa mchezaji muhimu sana ndani ya Timu lkn baadaye alijigeuza duka la utopolo
@kassidpandu866Ай бұрын
Mwache apate Adabu huyo jamaa aliuza Mechi na yanga clear kabisa
@EzekiaMichael-jn5npАй бұрын
Kumbe Said ni mnyama kamili
@nkoydavid9658Ай бұрын
Tamaa za Aishi zimetuumiza sana wanaSimba mashabiki wengi hatuna imani nae tena.. viongozi wamwache aende tu au avunje mkataba yeye
@ramadhanimsangi9515Ай бұрын
Aishi alikua duka,.kasahau heshima aliyopewa, akataka hela ya haraka, sasa aombe uwakala wa magodoro GSM
@luindabablui7213Ай бұрын
Leo mnaisema Simba vibaya msimu ukianza mtaanza kuisifia tena
@shaameshaame2837Ай бұрын
Hilo ni somo kwa wachezaji mujue timu hazina fadhila punguzeni muhemko wa kusajili miaka mingi maana bongo mashabiki wakikuvisha kikoti cha usaliti na viongozi wanaburuzwa juu ya maamuz. Aishi fanya mazoez yako pumzka kama umebakia mwaka utaondoka na kibegi chako uende utakako lakn kama ulisain miaka 5 ukaiona simba ya maana ndo majibu yao hayo
@filbertkisauke5647Ай бұрын
Watu wanaponda usajili wa simba Kwa sbb si Azam watoe pesa Sasa inakuwaje .
@user-wl4yo4zp9tАй бұрын
Aende tu hata bila ya thank your mbona chama kaenda bila thank your?
@fatherjaytzАй бұрын
Duka la Mbangula magoli ya kise sana
@abdallaselemaniАй бұрын
Kama anataka kuondoka avunje mkataba
@user-ok8wc7io9rАй бұрын
Shida wametukatalia fei toto 😅😅😅😅😅😅😅
@jumannekimpundu4789Ай бұрын
Ni sawa mbona wao wamemzuia Feitoto?
@erasmusleonidas6729Ай бұрын
Azam avunje mkataba wa Manula wampeleke tupate ela mambo yaishe
@tatalyzer382Ай бұрын
1:49 mbona issues za Fei Toto na Yanga hukuacha watu au jamii iseme,uliongea mpaka povu lilikukauka mdomoni
@user-wv2wr3kl2xАй бұрын
Mbona mwandishi unachochea chokochoko Kwan unakijua kinacho endelea acha bwana kuchonganisha manura ni mchezaji wa simba sport
@chriskudilla5355Ай бұрын
DUKA ILO alituuza vs Yanga
@bavonichristopha1693Ай бұрын
Ushaidi unao my brother mimi binafsi ni simba lakini ile mechi yetu na yanga viongozi wenyewe ndio waliofanya makosa ya kushinikiza kocha amchezesha manula na uku wakitambua fika manula katoka kwenye majeraha
@raphaelkomba364Ай бұрын
Kuma la mamako we mchambuz
@user-bx1qo9fe3qАй бұрын
Simba wanashida na Hawa wachezaji waliotokeanao mbali wanawazalau itawatafuna msim ujao kumiiiiiiiiiiiiiii tilipuhii
Chama huyo achezi kama kasaliti Simba tutamsomea albadir kama alivyo saliti simba hata cheza yanga mtakuja kuona sisi atumfichi mbaya sana chama Bora angeenda Azam au kmc kuliko yanga hatumuachi si ameona kwa Morrison na mayele na yeye pia
@FIDELISMfugaleАй бұрын
Yy alichotufanyia kufungwaa 5 alituomba msamaha
@YOSHUAMWAMPETAАй бұрын
Halufu maneno ya kihuni ya ukikubali kuolewa YANASEMWA NA WENYE AKILI FINYU VIJIWENI NA WENYE ELIMU DUNI VIJIWENI WAVUTA BANGI.Kwa mtu Mwenye WELEDI na MTU MZIMA hawezi kutamka hayo kwenye VYOMBO VYA HABARI.JIHESHIMUNI ILI MUHESHIMIWE
@gilbertmaganga9370Ай бұрын
Analeta usaliti
@chriskudilla5355Ай бұрын
Alituuza
@godfreymanyilizu5789Ай бұрын
Sasa hii Ng'ombe inasema yenyewe sio Simba sasa hapo inaropoka nini sasa.
@GeorgeSikazwe-mm7nnАй бұрын
Jamii iamue nini ww achana na simba..ww sio msemaji wa wachezaji
@user-hu4el2rx2uАй бұрын
Manula msaliti ka chama na inonga sisi tunajua
@user-wl4yo4zp9tАй бұрын
Kusajili wachezaji wengi haikuhusu achana na simba yetu.
@YOSHUAMWAMPETAАй бұрын
Umejuaje kuwa nilitaka kuzema hivyo?
@nellykira7812Ай бұрын
Kibaraka huyu
@bavonichristopha1693Ай бұрын
Viongozi wetu wa Simba hacheni mambo ya hovyo hovyo kama hutuna mpango nae Aisha manula basi mwacheni aenda hata kwa mkopo azam
@yusuphmdadike8758Ай бұрын
Atoe pesa anunue mkataba fullstop
@ernestkamata2555Ай бұрын
Huyu siyo mchambuzi ni msemaji wa upande mwingine
@abdallahally842Ай бұрын
Anaemtaka manula amnunue sio mkopo
@user-hu4el2rx2uАй бұрын
Chama tutamshushu busha la nyuma alafu tutamuona kama tarehe 8 DABI hatacheza na akicheza hapo hapo tunampa
@jaffjeff6912Ай бұрын
Mzee mpili kasema atakae mgusa Chama anaruka nae kama kipanga msijaribu muacheni acheze mpira
@user-fi6hb3lp5yАй бұрын
Hivi wewe yupo mchezaji aliesajiliwa Simba ukasema wamepatia? Mbona too much know wewe
@bellenoe414Ай бұрын
Meneja wa manula 😂😂
@patrickdaffa1207Ай бұрын
Heshima ya nini kama mtu anauza game heshima ya nn? Simba sio wajinga na simba ndo timu ambayo inaachana na wachezaji vzr sana.ukiona wanafanya hivyo ujue Kuna kosa kubwa kafanya.
@user-ox4fv4cf5lАй бұрын
TATIZO LAWI BADO ANA MKATABA NA COASTAL NA MBONA HILO HAMLIHOJI?
@subiraaddo864Ай бұрын
Kwani huyu ndo msemaji wa simba au??
@jaffjeff6912Ай бұрын
Tukutane Lupas😊
@FIDELISMfugaleАй бұрын
Hatumtak kabisaaaaaaaaaa Huyo group Moja na Chama,inonga, Tunafanya USAF wajinga wote waondoke
@subiraaddo864Ай бұрын
Kwani si useme tu chama keshazeeka unavunga vunga nn??
@jaffjeff6912Ай бұрын
Kasema tukutane kwa Mkapa aongei sana by Chama
@soniimedia2440Ай бұрын
Huu ni wakati wa simba kubeba makombe tusisikilize propaganda ukweli simba anasajili vizuri na watakaoachwa hawapo kwenye mipango yetu.
@AbisinaRashidi-c8dАй бұрын
Msaliti Hana lolote mbwa aende zake na mwenzie chama wahujumu wakubwa Aishi muujumu