Kajuna kafanya kazi kubwa kwenye eneo la mapato Kutoka shs 13bn mpaka 25bn msimu huu, kwa muda wa miaka 3 si kitu kidogo. Nashauri abaki kama mkurugenzi wa biashara aendelee kutumia taaluma yake kubuni vyanzo vya mapato. Vinginevyo kiutawala tunaweza kuwa bora lakini kwenye mapato tukarudi nyuma.