Ubarikiwe kwa kutupa maonyo haya. Naomba Whatsapp number yako
@MwengeJosephtabishaСағат бұрын
wewe nimsazi. kaziyako kutukana wenzako
@fatumaminyeko18753 сағат бұрын
Amen Amen
@hellenmnyazi2204 сағат бұрын
Amen Mungu atuepushe nao
@hellenmnyazi2204 сағат бұрын
Amen amen barikiwa sana na Mungu wa mbinguni azidi kukufunulia zaidi amen
@_Ananias5 сағат бұрын
Amen
@Afolorunso6 сағат бұрын
Do u have any prophecy for kenya? Its getting crazy and messy
@USHAURI-WA-BWANA6 сағат бұрын
Amen
@godfreygodwine91486 сағат бұрын
Siku nyingine njoo umechana nywele una points nzuri%
@rowenalilie9936 сағат бұрын
Ameeen
@shukurubaruwani6 сағат бұрын
Nimetubu nihombeheMunguanisamehe nilikuwasijuwu
@Kio-h7x7 сағат бұрын
Kata nywele yako kama biblia inayokuagiza.
@user-ok5zy3br2g7 сағат бұрын
Amen
@EvangelistMathayo26047 сағат бұрын
Amen Amen
@ChikondiMadaliso7 сағат бұрын
Wachungaji wachani kutukana watu nikweri nirahisi kahaba kiona ufarime wa mungu
@timothyniabutu7 сағат бұрын
Amen Amen Mungu akubaliki
@timothyniabutu7 сағат бұрын
Amen mutume maliyabwana
@MamaNyabogi7 сағат бұрын
Amen. Vyote vya dunia yatapita...BWANA MUNGU ametuahidi mengi sana ya milele.Heri nimtumainie BWANA,kwa maana baraka zake ni za milele.
@victorialauwo-ri5tb8 сағат бұрын
Amen ameni
@lorenahomondi12938 сағат бұрын
Wewe unamwonea Mwaipaja😢
@agmm3318 сағат бұрын
Amen
@MamaNyabogi8 сағат бұрын
Amen and amen
@MussaDaudi-ex3ww8 сағат бұрын
Hakuna anaejua nani mkamilifu ,
@MussaDaudi-ex3ww8 сағат бұрын
Kazi ya kuhukumu ni ya mungu hayo mamlaka munato wapi?
@EvangelistMathayo26048 сағат бұрын
Amen Bwana
@KM-hx8zy9 сағат бұрын
Ilisha kujulikana, kufwatana na majaribu yenye inamutokea
@dadafrida92029 сағат бұрын
Amen
@sarahkeivaly33519 сағат бұрын
Mtumishi wa Mungu, Tafadhali, weka nywele zako ktk hali nzuri ya kawaida kama mwanzo, hivyo unavyoendelea kuziacha nywele zako hivo, Kiukweli itakuwa ni shida kueleweka na wanaokusikiliza. Jaribu kuondoa kwazo hilo
@Theneptune7639 сағат бұрын
Je ! Umekuja kuangalia nywele ama neno . Tuwache unafiki tupende neno sio muomekano wa mtu . Mungu akuhurumie sana
@janethmwihumbo12897 сағат бұрын
Pole hata robo kwa huyu humfikii kaa kimwili hivyo hivyo ,mwenzio ndo anaenda hivyo
@sarahmwasyoge18309 сағат бұрын
Ameen... kubarikiwa ni kumpata Yesu kristo 👏👏👏
@RubensaroSaro-ip6by9 сағат бұрын
Mapenzi ya MUNGU yatimie
@queensgambit549610 сағат бұрын
Amen. Thank you Jesus.
@LidyaPeter-nl9bt10 сағат бұрын
Amen
@LidyaPeter-nl9bt10 сағат бұрын
Amen
@philemonkafyulilo712810 сағат бұрын
Wewe mwenyewe hatukuelewi
@Theneptune7639 сағат бұрын
Acha kutumia kauli ya kusema "wewe hatukuelewi " sema "Mimi" maanake sisi tunamuelewa mtumishi wa bwana . Kuelewa neno LA mungu sio mtumishi huwa anaelewesha ni roho mtakatifu. Kwa hivyo kama humuelewi mtumishi wa mungu kupitia hii neno mtafute roho mtakatifu atakuelewesha , lakini si kumkashifu. Bwana atuhurumie sana
@philemonkafyulilo71288 сағат бұрын
@@Theneptune763 yeye ana uhalali gani kuwaita wengine Malaya kwa usafi gani alionao au huko kujiita mtume sijui katumwa na nani labda wewe unajua utumie wake ila kama mm simuelewi pia wengi hawamuelewi ndio sababu wame like comment yang
@Theneptune7638 сағат бұрын
@@philemonkafyulilo7128 soma neno vizuri utaelewa malaya ama kahaba ni nani , ni vingumu kuelewa mafuzo ya kweli ya roho mtakatifu bila kuwa na huyo roho mtakatifu ndani Yako , muombe bwana atakuelewesha haya yote na pia muulize bwana kama huyu ni Mtume wake aliye mtuma !!!!! Usimuhukumu kama hujamuuliza bwana akakupa jibu sahihi kama ni yeye amaemtuma na pia hiyo somo kama ni yeye kampa . Lakini ukimuhukumu na hujadhibizisha kutoka kwa bwana wetu yesu kristo pia wewe utahukumiwa na yeye . Ndugu yangu kuwa MAKINI sana . Barikiwa a
@EvangelistMathayo26048 сағат бұрын
@@philemonkafyulilo7128wewe huko na mapepo ndio maana aumuelewi Mtume maliyabwana
@janethmwihumbo12897 сағат бұрын
Pole sana humuelewi Mtumishi mwanao ana vyo kemea dhambi ,una penda injiri nyepesi kipindi kigumu pole baba
@mmm419910 сағат бұрын
Mariam musa AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
@LidyaPeter-nl9bt10 сағат бұрын
Amen
@EmmyJerremiah10 сағат бұрын
Tupe siri ya hizo nywele kwanza me binafsi nakuelewa lkn sikuelewi
@lilianeerica331810 сағат бұрын
Huwenda ni munazli wa Mungu ila awe anachanua naona zinaelekea kua dreads
@Reginajohnson-19889 сағат бұрын
Kasome bibilia uelewe, m napenda kutafuniwa tuu
@rastheunique9 сағат бұрын
Hizo nywele ni haki yetu kabisaaa sisi black! It's our pride!!
@Theneptune7638 сағат бұрын
@@lilianeerica3318Je mtumishi wa bwana unataka Aishi vyenye wewe unataka ama afuate maagizo ya bwana yesu kristo ?? Kwani hujasoma neno ukaona vile watumishi wa mungu akina samueli , samsoni na wengine wengi walio kuwa manaziri wa bwana , hawakunyolewa nywele zao Hadi kuchana kwenyewe ,... Tena hujasoma neno kwamba *inatupasa kumtii mungu lakini sio mwanadamu"tuache hii ujinga wa kukashifu mtumishi wa mungu na hujasoma maandiko ukaangalia kama hicho kitu kinapatikana kwenye maandiko . Omba ujazo. Wa roho mtakatifu pamoja na hekima yake na maarifa atakuelewesha uache kukashifu kimwli ndugu yangu . Amina
@mmm419910 сағат бұрын
Mariam musa AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
@PonsSalimu10 сағат бұрын
Amen
@PonsSalimu11 сағат бұрын
Amen
@danielbudara158411 сағат бұрын
Hakika baazi ya unabii ulio toa umetimia tumeona
@NellyKombe11 сағат бұрын
Ameeen MUNGU akubariki sana
@mmm419911 сағат бұрын
Mariam musa AMEN AMEN AMEN AMEN
@PonsSalimu11 сағат бұрын
Amen
@OwenIndimuli-p9u11 сағат бұрын
Shalom Mtume nilikua nimengoja hili somo sana asante kwa kutufungua macho wengine wetu hatujui Mtume Bwana anirehemu pia uniweke kwenye maombi
@espoirMlondani11 сағат бұрын
Amin Amin Bwana yesu ni mwema
@pastorteddywaziri575411 сағат бұрын
Na wewe mtumishi nyoa hizo nywele maana zinakufanya uonekane kama mvuta bangi au msela fulani.Au ni Mungu alikuambia usinyoe nywele kama Samson?? Unawaweka kondoo njia panda mtumishi.Mimi nakuelewa lakini kondoo wachanga kiroho hawawezi kukuelewa
@sarahmwasyoge18309 сағат бұрын
Kweli mimi mwenyewe najiuliza maswali nakosa mjibu. Si biblia inasema mwanaume mwenye nywele ndefu ni aibu kwake. Haimpasi mwanamume kuwa na nywele ndefu
@PatrickMathias-cs9qc9 сағат бұрын
@@sarahmwasyoge1830 biblia ijakataa kufuga nywele lakini imekata kusuka nywele na kunyoa denge
@janethmwihumbo12897 сағат бұрын
Wewe si mchungaji una weza kuacha kumtii Mungu kisa kuchanganya wa umini,bac hujaitwa pole mama
@zachariajonas-wd6ix12 сағат бұрын
Amen
@fidelfidel-jz4iw12 сағат бұрын
Ni mikataba wanafanya ila watu hawaelewi kwani hii dunia ina Siri mnoo watu wengi wanatoa makafara Kwa mambo mengi