Pole Hon Mpina. Ukweli siku zote unasimama. Nyamaza kimya. Tulia kimya. Tena wala usihame chama. Mungu atakutetea😊
@user-kx5dt5ih2i2 күн бұрын
Pole sana!!
@user-sr9xz7od6p3 күн бұрын
Kalibu chadema
@JosephMpina3 күн бұрын
Naamini munguatakutetea
@monicachacha4553 күн бұрын
shida nini😂😂😂
@michaelmizambwa12462 күн бұрын
Endelea kuwa kweli kwa yale unayoona bayana,..una mtazamo na msimamo tofauti ukiachana na wengi hasa kwa maslahi ya taifa kwa ujumla.
@brendashao363 күн бұрын
Pepo tokaaa maana naandika nafuta naandika nafuta nisije jukuta pabaya. Pole kaka Mpina
@FelicianSimon2 күн бұрын
😂😂
@FrankAldo-z7y2 күн бұрын
Huyu Mama mkumbuke wtz kuwa ndo aliyetuleta kwenye mita mia mbili katika uchaguzi ndo likawa daraja la unaibu spika au mmsahau
@hakikahajijecha35583 күн бұрын
Ndugu Mpina kaa kimya, muungwana akivuliwa nguo uchutama hakimbii bila ya nguo... Unazidi kujichafua...kubaliana na maamuzi ya wengi pengine ni jibu sahihi kwako...
@paschalmartin95982 күн бұрын
Wewe nyamaza huna unalolielewa
@user-kx5dt5ih2i2 күн бұрын
Anajichafua Nini wewe ni tope kabisa
@George-jz3jg2 күн бұрын
We acha upumbavu wale wote wamepigwa pesa ili wamuwajibishe mpina bunge la tanzania ni bunge la kutetea uovu na wizi wa serikali nchi hii tangu tupate uhuru hatujawahi kuwa na bunge la kuwatetea wananchi ila huwa ni bunge la kutetea wezi wa serikali na machawa wa maspika na rais
@FelicianSimon2 күн бұрын
@@user-kx5dt5ih2impina ni jembe kaa kmy
@LazaroELucas2 күн бұрын
Utatolewa halafu msigwa atakuja huko Sisi ndio watanzania