Kumfungia mpina kuna maana bunge halitaki wananchi wajue nini kinaendelea na limeshindwa wajibu wake wa msingi kuisimamia serikali
@Mima-cl2im4 күн бұрын
Hawo wote walaji. Tofauti kati ya matajiri na masikini inazidi kukuwa, hii ni kwasababu bunge liko upande wa mafisadi. Ukiwachunguza matajiri hawa, wamejitajirisha kwa kupiga tenda. Hata Magufuli alichukiwa wakati wengine bila yeye wasingekuwa bungeni. Mpina tumeona mbele ya macho yetu. Inasikitisha wanapoanza kutowa na kumutanguza Mwenyezi Mungu huku hawafuati haki. Hii ni aibu kubwa kwa bunge. Hawa wameshaona wanaongoza wajinga. Wabunge wengi bungeni wamebandikwa tu. Wengi hawajuwi kinachoendelea bungeni ni kushangilia tu na kupiga meza
@sundaystanley53224 күн бұрын
Kwa kweli hawakukutendea haki,tulia nimetokea kukuchukia sana
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur4 күн бұрын
Hongera Muheshimiwa Luaga Mpina HAKIKA Wewe Ni Mtu Na Robo Tatu
@MariaNyanyama-r8k5 күн бұрын
Wataelewa tu
@Mima-cl2im4 күн бұрын
Speaker Tulia, kuna wabunge anawaogopa. Hata wakiwa na Mąkosa hasemi kitu, zaidi ya kumung’unya maneno.
hasan una maslahi gn na upigaji mali za umma kwa baadhi ya viongozi? Acha kuwa chawa wa wapigaji
@ShamteMohmed-ed2kk4 күн бұрын
Mpina kunyamaza ni ungwana maana adhabu ushapewa na hamna kitakacho badirika. Kaka acha kulialia utaharibu Tena, shauri Yako.
@clarencehilary55884 күн бұрын
Usiwe mpumbavu huyo mpina yuko sahihi sana
@user-ze6lx9ng6s4 күн бұрын
Mpina mtetezi wa wananchi,peleka mahakamani hao mafisadi
@Mima-cl2im4 күн бұрын
Kunyamaza kwetu ndiyo tunaonekana wajinga na viongozi kutuongoza kama ng’ombe. Na ukiona mtu anaonewa na wewe kukaa kimya na wewe unakuwa mmoja wa waoneaji. Ujinga wetu ni kukubali kuzibwa midomo. Hakuna mtu Ana haki ya kutunyamazisha
@sylvestercameo62634 күн бұрын
Wa kushauruwa kunyamaza ni wewe wala siyo Mpina. Mpina anatimiza wajibu wake kuwasemea wananchi wapiga kura wake. Uungwana kwake ni kutokuwa mnafiki kwa kuyanyamazia maovu.
@MathewNathan-yb2bz4 күн бұрын
Anyamaze ili iweje?Ili waendelee kuwalinda mafisadi na wezi wa mali ya umma.
@ShamteMohmed-ed2kk4 күн бұрын
Kaka punguza jaziba vita Yako binafsi ya wewe na Bashe na mwigulu kuwa nayo makini, njia unayotumia na mahala ulipo uenda sio sahihi. Nafikiri unawafahamu korimba, kigoma Malima na wengine. Kuwa jasili Toka huko nenda upinzani ukatetee hizo hoja zako .
@user-ze6lx9ng6s4 күн бұрын
Mpina yuko sahihi
@bakanga14104 күн бұрын
akae huko huko awanyooshe,na tuwaone wanafiki wengine ndani ya ccm
@hassanamani21314 күн бұрын
Mpina badilika ndugu yetu, usijifanye wewe unajua kuliko wabunge wote, jitathimini wewe ni binadamu huwezi kujua Kila kitu
@MariaNyanyama-r8k4 күн бұрын
Maelezo ya Mpina umeyasikiliza na kuyaelewa au bado umelala Comrade?
@user-pp1cq9op5y4 күн бұрын
Ushabiki mbaya
@MariaNyanyama-r8k4 күн бұрын
Hakika
@sylvestercameo62634 күн бұрын
Jitathimini wewe si mbunge huwezi kujua kila kitu, badilika ndugu!
@RubenMtuwaMungu-bz8ee4 күн бұрын
Hassan wewe unajua nini kuhusu sakata hili? Au ni shabiki wa wanasiasa? Unajua kashfa ya Escrow Richmond Dowans nk. yalivyoanza?