Heche,hacha kumponda Waitara Amelia bungeni sio kazi nyepesi tumpongeze kwa hilo.
@judicalosika764211 сағат бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ChristerKoku7 күн бұрын
Kama mlivyohudhuria mkutano wa Heche,jiandikishe na mjitokeze kupiga kura.
@tumainimwaifunga38848 күн бұрын
Kijana upo vizuri
@user-bl3go5yr8u10 күн бұрын
Heche we wakuigwa hasa ujasili
@barakamwasenga214310 күн бұрын
Simba wa mkoa wa mara
@abdalahgunda131911 күн бұрын
Point this is the voice of leadership into tanzania people
@abdalahgunda131911 күн бұрын
Point this is what type of leader need no fear msiwaogope hii nchi ni yetu sote sisi watanzania million 60 sio mali ya mtu sisi hii nchi yetu sote
@lucksonsikaona50513 күн бұрын
Good speech ccm must go
@rebekakulwa615913 күн бұрын
Wew ndio umeolewa na mafisiemu
@user-gx9jr5le2f13 күн бұрын
Huyu jamaa sio mwanasiasa anapuyanga tu yeye mwenyewe ameolewa
@OrediYowasi14 күн бұрын
Hapo naona nape ame weka wazi kabisa yani hakuna kuhangaika ushauliwangu hapo ss uanaetangaza lazima muwebenet naee abanwe
@MusaaMarwa14 күн бұрын
Hakika heche wewe ni jembe hizo pikipiki walizo nunua kimatabaka kunyanyasa watu wengne watajua muda ukifika karibu sana gibaso mla oheche waitara atakoma
@ecodreamafrica306015 күн бұрын
Heche John yupp kwenye level ya URAIS siyo ubunge wa Sirari. Unaweza kuwa M/kiti wa Taifa CHADEMA na mambo yakaendelea. Ni mashine.
@AlphaxardMRusweka-jr1wi16 күн бұрын
Na makamanda utupieni macho na ule mgodi wa Chirorwe,na kwenyewe nako ni ujanjaujanja tu,Ebu tupieni macho na hapo
@mwitamwikwabe661116 күн бұрын
Mbona unajabia sana unaengea kama unahijiwa na polisi ngojera tu
@usembiphonedar563216 күн бұрын
Wananchi wa Tarime mjini,ninyi ni waelewa siku zote na mna msimamo,ninyi siyo watu wa kuyumbishwa na upepo au nguvu za soda za ccm zinazopatikana wakati wa uchaguzi! Uchaguzi ukiishapita hakuna la kufanyika zaidi ya kukaa bungeni kupitisha mikataba mibovu ya kinyonyaji na kuuza rasilimali za Nchi! Tarime ya Chadema msidanganywe na ccm! Ikatae ccm uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa vitongoji, mitaa, vijiji, madiwani, wabunge na Rais,msíwachague hao wauza Nchi ccm! Kumbuka maisha magumu,ghalama za juu za maisha,na kodi kubwa kwa wafanyabiashara na wananchi,unyang'anyi wa ardhi kwa wananchi kote Nchini unafanywa na serikali ya ccm,kukataa kulipwa kwa haki tathimini za ardhi zenu mgodini kubafanywa na serikali ya ccm,leo wanawadanganya hapo! Msikubali uongo huo mkairudisha ccm madarakani! Jimbo la Tarime mjini Bob Wangwe anatosh, jimbo la Tarime vijijini John Heche anatosha,asanteni. Ccm ni janga la Taifa!
Chagune viongozi makini wenye akili za ziada kubishana ktk uchaguzi rafu ikizidi mjua Cha kufanya ila mjiandae muzimiwa mtandao ili msiwasiliane na viongozi wenu
big brain mmi heri niweke chadema sio hi kijani inatuchelewesha😊
@user-zt7rx7xc7h19 күн бұрын
Washa moto mburula akimbie
@usembiphonedar563219 күн бұрын
Asante wananchi wa Rorya kwa kutumia haki yenu kumkataa huyo kibaraka wa ccm! Kama wananchi mmemkataa huyo mwenyekiti kutokana na utendaji wake mbovu ni vizuri apishe hiyo nafasi mchague mwenyekiti ambae atawatumikia wananchi na siyo kuitumikia ccm na kunyanyasa wananchi! Asantè.
@makobamasawemangu412220 күн бұрын
Huyo mwenyekiti atakua ni wale wakuteuliwa
@rebekakulwa615920 күн бұрын
We lifisi yemu acha tusikilize akili kubwa
@user-cz7bd9tc5k14 күн бұрын
Hongera sana Haiche
@chachabango885420 күн бұрын
Tanzania o'mtima m/kiti wangu wa Kijiji miaka hiyo na tulifanya kazi sana na inaonekana.
@PhilipoMwita-b2x20 күн бұрын
Ahhhhh
@MusaOgwoko20 күн бұрын
Witara Bandari vipi .kwisha
@user-ze6lx9ng6s20 күн бұрын
Pigeni chini huyo waitara kibaraka wa mafisadi
@PhilipoMwita-b2x20 күн бұрын
Tuko pamoja kamanda
@georgesamwelchacha768021 күн бұрын
Nawaomba Mjinadi vizur bila kutajana Majina
@tumainimwaifunga388421 күн бұрын
Heche oyeeee
@MATHAYOPETROGARYA21 күн бұрын
Tarime ujinga huo ulikuwa zamani .....naona mnatutafta ....endeleeni nyie matapeliii....
@emmapaul176611 күн бұрын
Unafikir unajua sana kutukana eti wewe mkundu wa viongoz wenu wajinga wapumbavu nyinyi machoko ya ccm
@MATHAYOPETROGARYA21 күн бұрын
Yaani nyie ni washenzi sana watu wa hovyo ngoja na mm niingie online naona mnavyo potosha dada zetu ....hamna kitu watu wa hovyo chadema hamna chochote mnachoweza...mnatakaka kuturudisha tulipo toka...huyo heche si kaongoza wajinga nyie alifanya nn zaidi ya maumivu2..
@user-gx9jr5le2f21 күн бұрын
Kwao kwenyewe alishindwa kufanya maendeleo hata kwenyewe Kijiji alichotoka wewe vipi kajifunze kiswahili jinga wewe