Kwa mfano huyu Mzee wa watu mnamfanyisha kazi ngumu2 na hajapendaa kabsaa😂😂😂😂😂
@abubakarimussa91313 ай бұрын
Wazee mnazingua ccm inawatumia vibaya
@adeltuszakumuha96183 ай бұрын
Wazee hawa wametumika vibaya. Very sad
@FadhiliMwaitete-ls2li3 ай бұрын
Waitara. Umekwisha usizani hizi nizama zingine sio zama za magufuli aliye kuweka madarakani wewe waitara ni mnafiki Toka chadema ulikuwa hivi hivi Sasa ccm tuliwambia kuwa huyoo ni mgombanishi Leo jee mmeamini bado nahuyoo mgine WA iringa msigwa nae mtaona mambo yake ccm hawa wapinzani mnao wachukuwa mtaona matokeo yake ccm someni kwa waitara huyoo mbunge waitara ni mchonganishi na nimuwongo sana waitara Sasa chama tarime kaipasuwa pasuwa ccm nawaonea huruma ccm
WABUNGE WOTE WA PROMOSHEN YA MAGUFULI HAWAFAI... 😭😭😭😭😭😭😭
@gatimakonge86783 ай бұрын
AMELAANIWAAAAA😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@stewartdyamvunye-wz6rn3 ай бұрын
Kazi kwelikweli. Kilio kila kona na kila rika! Na naona kuna harufu ya kampeni ya kuipaisha CCM na m/kiti wake kupitia hawa wazee, kafara mbunge Waitara. Mbinu za CCM ni moto!
@gatimakonge86783 ай бұрын
Waitara kwishaaaaaa.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏
@YassinRajabu3 ай бұрын
alaumiwe aliempa ubunge yeye ndio aliye waweka wabunge wa chama kimoja nchi nzima
Waitara utajua hujui, kuita wazee wahuni, wewe ndiyo mhuni na wenzako.
@JustineWangi-j2t3 ай бұрын
Kweli kila jambo linamwisho akati anagombea ukonga atukulala siku ya kupiga kura na namba yake ya cmu akanipa ckuniliyo mpigia akiwa naibu waziri nikiwa na shida ofisini kwake nilichojibiwa nilimuachia mungu,afu baada ya mwezi nikawasikia cloud's FM power break fast wakisema awasikilizi wananchi na anakiburi na dharau.😂
@MwitaChacha-l9t3 ай бұрын
Ngoja huyu anayewadanganya muda ufike tumshughulikie kwani hatumjui maswi ajiandae
@PhilipoMwita-b2x3 ай бұрын
Aisee mnanikera sana mnaongea vzr halafu mnaanza kusifia sifia rais Kwani Samia yeye amezitoa wapi
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Wazee mmetumwa na Heche acheni hayo
@infodigtechforcommunityemp41033 ай бұрын
Waitara kazi anayo
@PhilipoMwita-b2x3 ай бұрын
Yani mwita waitara ameleta ubaguzi wa koo
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
Haya sasa
@jakobongwara30383 ай бұрын
Wewe Mzee nimhuni
@jakobongwara30383 ай бұрын
Huyo mbunge Ni mhuni
@briankatani67703 ай бұрын
Mila na desturi zetu ameisha pigiwa yowe kwisha.Sio kiongozi tena hapo 😮
Jamani Vijana mkowapiii hadi wazee kama hawa wanatoka kutetea maisha yenu na nyie mpo kimya tuuu Aibu
@yassinnabwera42733 ай бұрын
Vijana wengi nchi hii ya Tanzania hawajitambui kabisa. CCM na viongozi wake wakuu wanaiharibu nchi yetu na kupora Rasilimali zetu na kuiuza nchi yetu kwa wageni,lkn Vijana wamenyamaza tu na wengine wamegeuka kuwa machawa.
@bockerNyarusahi3 ай бұрын
@@yassinnabwera4273na wenyewe wana nafas tena kubwa kuliko unavyodhani,hao ni Wazee wa kimila,Wazee wanaoheshimiwa na jamii ya Kikurya
@juliuskitaluka12063 ай бұрын
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
@simonnaivasha63933 ай бұрын
WAZEE TAFUTENI MBADALA HUYO KWISHA , ACHANE NAYE AMEPIGIWA HOYEE!! WAZEE NI TUNU, 😂 CHAMA CHA MAKUNDI, WATAMKUMBUKA JOHN MAGUFULI
@kibwetere14183 ай бұрын
Kwanini mnafanyia kikao polini,,?
@harunamtiko1173 ай бұрын
😊 c unajua wazee, hapo washajinja kondoo pembeni kamoto kamewaka
@simonnaivasha63933 ай бұрын
Wanaume wanafanya kikao poring, sio kwenye bar upewe rushwa.
@MjuniLaulian3 ай бұрын
Waitara ni rahana kama umewaudhi wazee wetu
@hajikadoma16523 ай бұрын
IVI HAWA WAZEE WA JIMBO ZIMA AU NI KIKUNDI CHA WATU WACHACHE KWA MASLI YAO NAJIULIZA TU NCHI HII SIJUI INAENDA WAPI