KIVUMBI: WAZEE KOO YA BUKIRA WAJIBU MAPIGO"MBUNGE WAITARA ATOKE AJIBU HOJA ZETU SISI SIO WANAFIKI"

  Рет қаралды 8,669

MARA DIGITAL

MARA DIGITAL

Күн бұрын

Пікірлер: 38
@MATHAYOPETROGARYA
@MATHAYOPETROGARYA 3 ай бұрын
Kwa mfano huyu Mzee wa watu mnamfanyisha kazi ngumu2 na hajapendaa kabsaa😂😂😂😂😂
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 3 ай бұрын
Wazee mnazingua ccm inawatumia vibaya
@adeltuszakumuha9618
@adeltuszakumuha9618 3 ай бұрын
Wazee hawa wametumika vibaya. Very sad
@FadhiliMwaitete-ls2li
@FadhiliMwaitete-ls2li 3 ай бұрын
Waitara. Umekwisha usizani hizi nizama zingine sio zama za magufuli aliye kuweka madarakani wewe waitara ni mnafiki Toka chadema ulikuwa hivi hivi Sasa ccm tuliwambia kuwa huyoo ni mgombanishi Leo jee mmeamini bado nahuyoo mgine WA iringa msigwa nae mtaona mambo yake ccm hawa wapinzani mnao wachukuwa mtaona matokeo yake ccm someni kwa waitara huyoo mbunge waitara ni mchonganishi na nimuwongo sana waitara Sasa chama tarime kaipasuwa pasuwa ccm nawaonea huruma ccm
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 3 ай бұрын
Uko sawa
@JuliusWerema
@JuliusWerema 2 ай бұрын
Acheni ubaguzu kumbukeni kidole kimoja hakivunji chawa,
@gatimakonge8678
@gatimakonge8678 3 ай бұрын
WABUNGE WOTE WA PROMOSHEN YA MAGUFULI HAWAFAI... 😭😭😭😭😭😭😭
@gatimakonge8678
@gatimakonge8678 3 ай бұрын
AMELAANIWAAAAA😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn 3 ай бұрын
Kazi kwelikweli. Kilio kila kona na kila rika! Na naona kuna harufu ya kampeni ya kuipaisha CCM na m/kiti wake kupitia hawa wazee, kafara mbunge Waitara. Mbinu za CCM ni moto!
@gatimakonge8678
@gatimakonge8678 3 ай бұрын
Waitara kwishaaaaaa.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏
@YassinRajabu
@YassinRajabu 3 ай бұрын
alaumiwe aliempa ubunge yeye ndio aliye waweka wabunge wa chama kimoja nchi nzima
@gatimakonge8678
@gatimakonge8678 3 ай бұрын
Ukija nyamongo tutakupigia mwanooooo uuuiiiiiiiiiiiii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 3 ай бұрын
Wazee mnatumika vibaya. Ccm ime kwisha.
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 3 ай бұрын
Waitara utajua hujui, kuita wazee wahuni, wewe ndiyo mhuni na wenzako.
@JustineWangi-j2t
@JustineWangi-j2t 3 ай бұрын
Kweli kila jambo linamwisho akati anagombea ukonga atukulala siku ya kupiga kura na namba yake ya cmu akanipa ckuniliyo mpigia akiwa naibu waziri nikiwa na shida ofisini kwake nilichojibiwa nilimuachia mungu,afu baada ya mwezi nikawasikia cloud's FM power break fast wakisema awasikilizi wananchi na anakiburi na dharau.😂
@MwitaChacha-l9t
@MwitaChacha-l9t 3 ай бұрын
Ngoja huyu anayewadanganya muda ufike tumshughulikie kwani hatumjui maswi ajiandae
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 3 ай бұрын
Aisee mnanikera sana mnaongea vzr halafu mnaanza kusifia sifia rais Kwani Samia yeye amezitoa wapi
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 ай бұрын
Wazee mmetumwa na Heche acheni hayo
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 3 ай бұрын
Waitara kazi anayo
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 3 ай бұрын
Yani mwita waitara ameleta ubaguzi wa koo
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 3 ай бұрын
Haya sasa
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 3 ай бұрын
Wewe Mzee nimhuni
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 3 ай бұрын
Huyo mbunge Ni mhuni
@briankatani6770
@briankatani6770 3 ай бұрын
Mila na desturi zetu ameisha pigiwa yowe kwisha.Sio kiongozi tena hapo 😮
@jumamagoma1743
@jumamagoma1743 3 ай бұрын
Waitara.umeona.dhambi.ya.usaliti.mwanbie.mpupavu.mwenzio.msigwa..na.fala.silinde.muda.utaongea
@johnsonmria3824
@johnsonmria3824 3 ай бұрын
Jamani Vijana mkowapiii hadi wazee kama hawa wanatoka kutetea maisha yenu na nyie mpo kimya tuuu Aibu
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 3 ай бұрын
Vijana wengi nchi hii ya Tanzania hawajitambui kabisa. CCM na viongozi wake wakuu wanaiharibu nchi yetu na kupora Rasilimali zetu na kuiuza nchi yetu kwa wageni,lkn Vijana wamenyamaza tu na wengine wamegeuka kuwa machawa.
@bockerNyarusahi
@bockerNyarusahi 3 ай бұрын
​@@yassinnabwera4273na wenyewe wana nafas tena kubwa kuliko unavyodhani,hao ni Wazee wa kimila,Wazee wanaoheshimiwa na jamii ya Kikurya
@juliuskitaluka1206
@juliuskitaluka1206 3 ай бұрын
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 3 ай бұрын
WAZEE TAFUTENI MBADALA HUYO KWISHA , ACHANE NAYE AMEPIGIWA HOYEE!! WAZEE NI TUNU, 😂 CHAMA CHA MAKUNDI, WATAMKUMBUKA JOHN MAGUFULI
@kibwetere1418
@kibwetere1418 3 ай бұрын
Kwanini mnafanyia kikao polini,,?
@harunamtiko117
@harunamtiko117 3 ай бұрын
😊 c unajua wazee, hapo washajinja kondoo pembeni kamoto kamewaka
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 3 ай бұрын
Wanaume wanafanya kikao poring, sio kwenye bar upewe rushwa.
@MjuniLaulian
@MjuniLaulian 3 ай бұрын
Waitara ni rahana kama umewaudhi wazee wetu
@hajikadoma1652
@hajikadoma1652 3 ай бұрын
IVI HAWA WAZEE WA JIMBO ZIMA AU NI KIKUNDI CHA WATU WACHACHE KWA MASLI YAO NAJIULIZA TU NCHI HII SIJUI INAENDA WAPI
@adeltuszakumuha9618
@adeltuszakumuha9618 3 ай бұрын
Hawa wameandaliwa unasikia wanachosifia
Human vs Jet Engine
00:19
MrBeast
Рет қаралды 131 МЛН
Миллионер | 2 - серия
16:04
Million Show
Рет қаралды 1,7 МЛН
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
WAITARA NA MASAUNI USO KWA USO NYAMONGO
19:19
JAMBO TV
Рет қаралды 1,1 М.
HECHE AGAUKA KUWA MBOGO MAUWAJI YA NYAMONGO
12:37
Chadema Media TV
Рет қаралды 1,9 М.
Why they want me impeached-DP Gachagua speaks
1:25:41
KTN News Kenya
Рет қаралды 455 М.
Human vs Jet Engine
00:19
MrBeast
Рет қаралды 131 МЛН