Nampenda sana mwamba huyu, kuanzia uaminifu, utendaji wake. Wakurya chukueni hili jembe.
@TegemeaFutemakatifu3 ай бұрын
Huyu Mshkaji namkubali sana tangu yupo Chuo
@PhilipoMwita-b2x3 ай бұрын
Bob chacha ni mwana harakati namkubali
@MustaphaSeleman-z7c6 күн бұрын
Uyu jamaa nakubar sana chacha wangwe
@MustaphaSeleman-z7c6 күн бұрын
Jamaa kichwa sana uyu
@MuhojaMalicho3 ай бұрын
Umeshinda kamanda wetu
@EmmanuelSimion-d3e3 ай бұрын
Bob yuko poa Sana! APEWE JIMBO!
@dignakanje45083 ай бұрын
Baba kaacha nembo yke,mpe kura jmn hyo mtoto.Yko vzr
@rebekakulwa61593 ай бұрын
Sacos ni kundi la fisiyemu lililotunyonya miaka 64, chadema ni baba lao chama cha ukombozi tumeamuka usingizin
@Thevineyard98893 ай бұрын
Huko Mara CCM ijipange aisee. Kwa katiba hiihii mbovu na tume ya uchaguzi hii hii ya CCM, basi hawa wahuni wa CCM wanaweza wasipate hata jimbo moja mkoa wote wa Mara!
@abdallahmesso23733 ай бұрын
Hakuna malaika kati yao aliyeshuka toka mbinguni kuja kuwakomboa wana wa kitanzani tusidanganyiko na hizo poropo ganda za wanasiasa. wanasumbuliwa njaa uchu wa madaraka.
@ramadhanmahongole92933 ай бұрын
Saccos ni Ccm inayoogopa uchaguzi huru na tume huru
@marcokaroje89802 ай бұрын
Uko vizuri kichwani yaani serikali ya CCM na viongozi wao kupata uongozi ni kuwa tajiri hadi na vizazi vyao sisi ndio mtaji wao hadi wanajimiliksha viwanja vya mpira wa miguu wakati vinatakiwa vimilikiwe na wananchi waliochangishwa fedha kuvijenga
@barakanyanchama42973 ай бұрын
HUYU BUB HUYU AMEISHA PITA TAYARI TARIME MJINI KEMBAKI ATAFUTE TU PAKUFIYA HAPA AMEGONGA MWAMBA KWA BOBU
@ntegrity2773 ай бұрын
Heche ana uoga huyo ndo mbunge
@kigoman80433 ай бұрын
Hahahaa yaan heche ndo anataka bob awe mbunge si wananchi kumbe
@mc_turuka3 ай бұрын
Wananchi hawawezi kutaka,Wananchi wanaamua.. Suala la Kutaka linaanzia kwa mtu mwenyewe na wale wanaoyaelewa maono au matamanio yake. Usijibu au kuandika sawa sawa na ufahamu wako mdogo!!
@ColinMhema-ne3lz3 ай бұрын
Haya kuwa wewe basi tukùchague
@TegemeaFutemakatifu3 ай бұрын
Ufaham wako tu ni mdogo ndo maana umeropoka
@thomaswamburasautvipaummeo75563 ай бұрын
uko vizuli dogo
@MusaaMarwa2 ай бұрын
Hakika heche wewe ni jembe hizo pikipiki walizo nunua kimatabaka kunyanyasa watu wengne watajua muda ukifika karibu sana gibaso mla oheche waitara atakoma
@AmanaHassan-cy4fi3 ай бұрын
Mwanangu kuwa makini... Kilichompata Marehemu Baba yako ndani ya hiyo Sacos.
@zebedayokatamaduni96763 ай бұрын
Sakosi ipi?
@AmanaHassan-cy4fi3 ай бұрын
@@zebedayokatamaduni9676 Ya akina Mbowe na Genge lakee...
@zebedayokatamaduni96763 ай бұрын
@@AmanaHassan-cy4fi Kwa hiyo chadema ni sacos, wewe nawe.