Mafundisho yako ni mazuri sana pliz pastor nakuomba siku moja uongee kuhusu wanjane mayatima
@esternaftari45533 жыл бұрын
Msikilize vzr pastor mahubir yake tangu mwanz yanalenga watu wote na changamoto zao
@georgemoshi76423 жыл бұрын
Viewer wa kwanza. All the way from china 🇨🇳. Amina.
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
👏
@clementinenyabiage16203 жыл бұрын
I thank God for you for giving us this good messages
@DIANAMAGEMBE-dy9um6 ай бұрын
Soma Hilo linadhidi kunibadilisha katika maisha yangu ya Kila siku.mimi naenda nitoe ushuhuda huu kuhusiana na masomo yangu,Kuna masomo mawili nilikuwa sijafikisha course work kwa ajili ya mitihani ya mwisho. Saiv nimekuwa miongoni wa wanafunzi tutakaofanya mitihani yote. Ninacho washauri watu wa Baba tuwe na Imani iliyo dhabiti. Nashukuru pastor mmbaga kwa somo hili nzuri
@maureenjovial60833 жыл бұрын
Asante Mungu kwa neno hili bariki mtumishi wako hadi ashangae
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@janemoraaadogo2189 Жыл бұрын
Praise God. I am blessed by the Word coming to us in this manner.
@happymaxwell67643 жыл бұрын
Mafundisho mazuri pastor, Mungu akubariki
@judithnjalambaya24503 жыл бұрын
Amen. Ubarikiwe sana pastor Mbaga.
@lindaogada87603 жыл бұрын
Glory be to God.....mafundisho mazuri sana 👏👏👏
@amosgidion34303 жыл бұрын
AMEN, Ahsante kwa Neno, Barikiwa zaidi
@donatngarukiyintwari8282 Жыл бұрын
Asante sana mchungaji kwa mahubiri yako. Yesu ndiye ambaye tunamhitaji kuliko pesa.
@otiliahaule51803 жыл бұрын
Asante Mchungaji nimejifunza kusali nakuomba 🙏🙏
@irenemakokha76153 жыл бұрын
Ahsante kwa somo nzuri asubuhi hii , barikiwa mtumishi wa Mungu🙏
@user-lz6zs6oe9w4 ай бұрын
Ubarikiwe sana pastor,unanibariki sana
@rizikichigodi43163 жыл бұрын
Amina barikiwa Kwa Neno la asubuhi, nimebarikiwa Sana , naomba maombi Boc wangu hataki niende kanisani Kwa sababu anasema Kuna Corona Na yeye Ananda kazini Na watoto wakitaka kutoka Wana toka
@comedyzetutv67463 жыл бұрын
Barikiwa sana pastor
@janetndege77643 жыл бұрын
Thank you pastor for your good sermon which has blessed me so much, I always listen to almost every sermon of yours and Iam growing spiritually, but I need support with prayer because Iam experiencing alot of challenges in my family so I need your personal phone number please I talk with you please
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Please text me on WhatsApp +255 755 932 283
@lutemahindiakaje50463 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga Amen
@agnesdaniel68313 жыл бұрын
Nabarikiwa, najifunza vitu vingi pia
@yohanamasese21083 жыл бұрын
Mungu akubariki Pr
@esternaftari45533 жыл бұрын
Unachosem ni kweli kuna saa unatakiw kusimam wew kama wew maan vita ni kubwa sana
@philipomasanja2373 Жыл бұрын
Amina MUNGU atusadiesana
@rimepeter7893 жыл бұрын
Amen ❤🙏🙏
@juxt4sure Жыл бұрын
Amina
@MN-hi8ll3 жыл бұрын
Nahitaji Yesu
@themessage35083 жыл бұрын
Ubarikiwe sn pastor najifunza mengi xn
@binbyamunguclaude83503 жыл бұрын
Ahsante pr Mbaga kwa neno hili, nakufwata nikiwa congo D.r.c
@chachawantahe79233 жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji, kwa kweli anaefatilia mahubiri tv amepiga hatua kubwa kuelekea wokovu.
@sikuzanibusanya64233 жыл бұрын
AMEEEN KUBWA David wangu nakuombea kwa mungu ukuwe uje kuwa km wajina wako🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
👏
@veronicanyasingo88003 жыл бұрын
Asante Sana sikuwa najua maana ya Imani kama ya mtoto
@neemaapange42162 жыл бұрын
Ubarikiwe pasta
@noahsempambo8833 Жыл бұрын
Mchungaji uko vizuri Ila nijulishe,Kuna tofauti gani Kati ya kusali na kuomba
@samwellaurent_ Жыл бұрын
More blessings ❤❤🙏🙏🙏🙏
@wadyanali9003 жыл бұрын
Amen. Be blessed
@maombijofre230211 ай бұрын
Ubarikiwe
@jamesmedard55383 жыл бұрын
Nina barikiwa na masomo haya Pastor Bwana akuriki sana.
@bikomackos64813 жыл бұрын
I'm really happy and blessed by your heavenly messages ,they answer many of my questions ,make me move close and closer to god and put everything in life into perspective. with time I've come to learn the things that happen n life happen for a reason and the reason is for the good of those who trust in the lord now my biggest question is ; which standard is hard to achieve between law and grace cause when Christ quote and quote 'go and sin no more '' it means you've been saved by grace but you should sin no more which is quite hard to achieve let me know when and on which part are you answering this I don't want to miss that happy sabbath
@joyceezekia24413 жыл бұрын
Goth Rx 77eeepq
@kulwaboneface52423 жыл бұрын
Somo zuri ,barikiwa mwana wa mfalme
@sarahwambui8792 жыл бұрын
Be blessed pastor.
@mssaabeli90832 жыл бұрын
Mungu nimwema
@amosmwaz47422 жыл бұрын
Wimbo mtamu sana wanipa nguvu kwenye maishani mwangu mm patrick mbanya kutoka kenya
@velonikavalentino41893 жыл бұрын
Asante sana kwasomo zuli Mchungaji !nazidi kujifunza kitu kupitia mahubili Tv MUNGU Akubaliki saa ?!
@piliechildofkingjesus45943 жыл бұрын
Amina.. glory to God
@DIANAMAGEMBE-dy9um6 ай бұрын
Jina la yesu kristo litunzwe milele zote
@albertmokua85413 жыл бұрын
Amen God bless you
@saumhamisi73203 жыл бұрын
Ameeeeen
@judithgrayson3003 жыл бұрын
Amina nimebarikiwa namafundisho kuwa hata malaika wanavyeo ila huyo wa vizazi tusaidie maombi tupate kuitwa bibi kwa watt wetu amina
@edwardmwaipopo8423 Жыл бұрын
Nimepata jibu
@reaper55343 жыл бұрын
Mchungaji Mmbaga hapo sijaelewa. Kwamba unakwenda mbinguni unakaa miaka 1000 unarudi tena dunia. Unaweza ukanisaodia kufafanua zaidi? Asante sana. Barikiwa kwa mafundisho mazuri
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Ufunuo wa Yohana 20:6 Huo ndio ufufuo wa kwanza. Heri, na mtakatifu, ni yeye aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; juu ya hao mauti ya pili haina nguvu; bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala pamoja naye hiyo miaka elfu.
@monniekevin93033 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga mchungaji nakutafuta what's up hupatikani,mambo mawili Tu ningependa kukueleza Kwa simu...
@zigashanebaleke77013 жыл бұрын
🙏🙏🙏❤
@arjohnarjohnmulangwa73623 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mchungaji
@mamalaozphilemon.88003 жыл бұрын
asante kwa somo nzur, pia nakusalimu sana PR DAVID pia wpe salamu waumin wte nafatilia nikiwa saudi Arabia.
@davidjamesmahe1613 жыл бұрын
Saudi Arabia ndo wapi!!?
@delishbby85423 жыл бұрын
Proverbs 3:5-6
@emmanuelmbwambo65713 жыл бұрын
SAWA mchungaji.
@jessikaakinyi84453 жыл бұрын
Swali pastor ukibarikiwa na usaidie wengine ni a must kanisani pia utoe sadaka ya shukrani ama?
@velonikavalentino41893 жыл бұрын
Samahani misijui kujiunga kwenye gurupu nifanyeje
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Una telegram?
@edwardmwaipopo8423 Жыл бұрын
Kuna tofauti ya kusali na kuomba?
@jaredmayaka29932 жыл бұрын
Please pastor aki please help me one thing kushari,help me to understand kushari please