2_MAJIBU:JE!MUNGU AMERUHUSU MWANAMKE KUWA MCHUNGAJI?(vita kati ya kweli&uongo)

  Рет қаралды 6,041

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Күн бұрын

Пікірлер: 101
@marywanjiru438
@marywanjiru438 Жыл бұрын
Nami nilikuwa nahubiri madhabahuni nanikawa na upako hata kuliko mchungaji wangu lakini niliposikia hili nikaacha ili nimtii Bwana Yesu
@immaculatonyango715
@immaculatonyango715 3 жыл бұрын
Ee mwenyezi Mungu, tusaidie, tuwezeshe kuyaosha mavazi yetu kwa damu ya mwanakondoo. Tuwe safi, tuwe watiifu wa neno, tuwe macho tusije tukadanganyika na uzao wa nyoka, tukubalike machoni pako utakapokuja. Katika jina la Yesu naomba, Amina!
@msanginaza905
@msanginaza905 Жыл бұрын
Mm naona wanawake tumepunguziwa kazi tusinganganie kazi za uchungaji
@realityearth7886
@realityearth7886 3 жыл бұрын
Amen Amen
@ArnoldMuleya-e4l
@ArnoldMuleya-e4l Жыл бұрын
Mungu akubaliki langistan
@aminaally4163
@aminaally4163 3 жыл бұрын
Amen Asant kwa NENO LA Uzima mtumishi
@ngwanafabian9668
@ngwanafabian9668 3 жыл бұрын
Wanawake wanaruhusiwa kueneza injili isipokuwa kuhubiri madhabahuni.
@wililoatu989
@wililoatu989 3 жыл бұрын
MUNGU naomba unirehemu unisamehe sina ukamilifu sina Utakatifu unisafishe kwa Damu yako ya thamani iliyomwagika pale msalabani, nakushukuru kwa watumishi hawa Sifa Urukufu na Heshima ni kwa YESU Ameeeen
@elizabethbarasa1035
@elizabethbarasa1035 3 жыл бұрын
Ashukuruwe Mungu kwa mafundisho hayo
@harimakidesu3680
@harimakidesu3680 3 жыл бұрын
Samahani mtumishi kuna evangelist yupo Congo anaitwa zawadi mugane yesu amekuwa akimtumia nanimahalufu sana huko kwenu imekaaje hapo sasa
@nsimirrlove2139
@nsimirrlove2139 2 жыл бұрын
Nsimire Nshokano ameeeen
@marcbanyankirubusa135
@marcbanyankirubusa135 3 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu ,samahani kidogo umekosea kidogo alusi ya mwana kondoo ni myaka saba ,badae tutaludi kwa utawala wa myaka elufu wakati shetani alipofungwa minyololo kuzimuni.
@nellydeborah943
@nellydeborah943 3 жыл бұрын
Bwana asifiwe,barikiwa sana kwa neno ilo la maarifa ya biblia.ningependa tu kuuliza kuwa yes mwanamke awezi kusema kanisani ,na je?aruhusiwi kuevangelise kule inje kama kwa mitaa,masokoni na kwa vijiji ama vikundi.swali lengine ni hili. Ikiwa mwanamke asitoe sauti kanisani ,Ina maana kuwa hatufai hata kutoa sifa na maabudu na choir au vipi kwa sababu hizo ni sauti pia kwa mwanamke kanisani.barikwa
@maggyirene110
@maggyirene110 3 жыл бұрын
Asante kwa swali hilo, nami nangojea jibu,, mfano hata hapa mtandaoni mwanamke akikumbusha watu wampokee Yesu na kutembea kwa njia zake...
@ngwanafabian9668
@ngwanafabian9668 3 жыл бұрын
@@maggyirene110 wanaruhusiwa isipokuwa madhabahuni pekee.
@mahershalalhashbazi2189
@mahershalalhashbazi2189 Жыл бұрын
Binti unayo akili sana
@mahershalalhashbazi2189
@mahershalalhashbazi2189 Жыл бұрын
@@ngwanafabian9668 Imeandikwa wapi?
@tamarali8325
@tamarali8325 3 жыл бұрын
Jacktan Barikiwa sana na mtumishi wa Mungu pia Barikiwa. Jacktan muulize mtumishi wa Mungu na wanawake kuhubiri mlango kwa mlango nayo ni dhambi
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Amen, siyo dhambi,hata mtaani siyo dhambi
@nsimirrlove2139
@nsimirrlove2139 2 жыл бұрын
Ameeeen
@macamezunguzungu5584
@macamezunguzungu5584 3 жыл бұрын
Amen mtumishi wa ukweli mungu akubariki saana🙏
@chantalmavandu4950
@chantalmavandu4950 2 жыл бұрын
Baba muchungaji niambiye je mama akiwa na chumba cha maombi nimakosa?
@hellendiana625
@hellendiana625 3 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho muhimu sana,barikiwa ndugu!
@angelanikalenga4757
@angelanikalenga4757 3 жыл бұрын
Ubarikiwe kuwepo miyongoni mwaunyakuwo namimi nisaisiyeniwemo
@shirikaniyonkuru6560
@shirikaniyonkuru6560 3 жыл бұрын
Asante ndugu yangu barikiwa
@willygwaikana
@willygwaikana 10 ай бұрын
Mwanamke kutaka sana kuwa kiongozi wa kiroho ni sera zilezile za kidunia zinazomtaka awe kiongozi wa kisiasa au kijamii. Shetani huwa anataka kujiinua juu, na hili linawezekana kupitia kuliinua juu neno lake kuliko la Mungu. Watumishi wa kanisa wengi wanamsaidia adui kuliinua neno lake juu linalopinga neno la Mungu kuhusu mwanamke. Lengo la Adui sio kuinua wanawake bali kulishusha chini neno la Mungu. Bali watu wa Mungu watatenda makuu ya kubakia kwenye maneno ya Mungu japo upepo mzito wa kimbunga utavuma sana kusomba watu nje ya neno la Mungu. Yesu alisema kila mkristo asiyekaa kwenye neno la Mungu atakatwa na kutupwa nje na huko ndiko wadanganyaji watamfundisha maagizo ya shetani yapinganayo na maneno ya Mungu katika kumfutia motoni - Yohana 15:1-6
@manyanyazakaria
@manyanyazakaria 3 жыл бұрын
Barikiwa sana
@isayailungu1185
@isayailungu1185 3 жыл бұрын
Ubarikwe mtumishi
@alinefeyi6731
@alinefeyi6731 3 жыл бұрын
Amina amina amina
@EvangelistMathayo2604
@EvangelistMathayo2604 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu Langi Stany
@wainjilisti4458
@wainjilisti4458 3 жыл бұрын
shalom mtumishi nina swali...je mandiko yanasema kua ni hatia / haruhusiwi mwanamke kufundisha? ama ni AIBU....naomba tu unieleweshe alafu pia umesema kua uchungaji / ualimu / uinjilisti mtu anazaliwa nao maana ni wito inamaanisha mtu mwenye jinsia ya kike hawezi zaliwa nayo kulingana na MUNGU ambaye ndiye anapeana karama hizi....
@jenifakajuni3550
@jenifakajuni3550 3 жыл бұрын
Amina. Sana mtumishi
@mahershalalhashbazi2189
@mahershalalhashbazi2189 Жыл бұрын
Kutokana na baraka ya uzazi aliyoumba Mungu kwa mwanamke,Mwanamke anaweza kuwa na udhuru wa kusimama madhabahuni km kuhani mkuu kwa ajili ya utakatifu wa nafsi na mwili according to TORAH/TAURAT (Lawi 15:19-30). Fahamu jambo hili; Amri,Hukumu,na Sheria; Kiebrania inatamkwa Taurat/Tohorat (Instruction of God)Kumb 6:1 Mtumishi kumbuka Agano la Kale ni kivuli cha AGANO JIPYA (Ebrania 10:1) Na katika AGANO JIPYA; MWANZO -UFUNUO[BIBLIA] ni NENO LA MUNGU ama MAELEKEZO YA MUNGU/INSTRUCTION OF GOD/TOHORAT OF TAURAT NA KRISTO BWANA NDIYE MJUMBE NA KUHANI MKUU WA AGANO JIPYA {Ebrania 7:22-25) KRISTO NDIYE MWISHO WA TAURATI/TORATI Kuzuwia HUDUMA YA MWANAMKE(Amri,hukumu na Sheria)Rumi 10:4 v/s Ebrania 7:11,18./Ebrania 8:7,13, Tangu kuumbwa kwa ulimwengu WANAMKE anaweza kuwa mtumishi ktk Karama yoyoyote na WITO wowote ila lazima awe chini ya mwanamme(Kuhani mkuu)1Korintho 11:3. } AGANO JIPYA kuhani mkuu wa Kanisa ni YESU KRISTO (Efeso 1:22-23). Si mwanamume uzao wa Haruni Mlawi. Kama BWANA anehesabu nasaba/angeangalia Jinsia wewe na mimi tusigeitwa makuani,Wangebakia kabila la Walawi tu.[Ebrania 7:12-14] YESU WA KABILA LA YUDA,ALIYE MWISHO WA SHERIA Mwanamke/mwanamme,wa kila lugha,taifa,,jamaa wote tumehesabiwa haki bure kupokea (Wito/Ukuhani) na VIPAWA vya MUNGU {Ufunuo 1:5-6/Ufunuo 5:9-10. V/s Yoel 2:28-29/Galatia 3:26-28} Muhimu kujuwa ni kuwa; Mungu hana upendeleo [Rumi 2:11]na Alichokitakasa Mungu wewe mwanadamu usikiite najisi [Matendo 10:17]
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 3 жыл бұрын
Amen
@sarahshebele6252
@sarahshebele6252 2 жыл бұрын
Pole sana kwa uelewa potofu mtumishi..mmekaa kuhubiri habari za mwanamke na kuacha kuhubiri utakatifu. Mnapoteza muda kwa mambo yasio na tija. Mungu katika neno lake kasema ni yeye anetoa karama kwa yeyote kama apendavyo. Sasa kama mwanamke kapewa karama ya kuhubiri atumike wapi...? Hubiri habari za utakatifu..watu wafanane na mungu..
@nduwimanaelias
@nduwimanaelias Жыл бұрын
Yaaahhhh Hapa ndoo wanafeli wachungaji
@ChemchemiRecords
@ChemchemiRecords 2 жыл бұрын
Biblia inawataka kukaa "kimya" kanisani, sasa vp kwa hawa wanaoimba kwaya?
@BerylSeer1
@BerylSeer1 3 жыл бұрын
Sasa hatutowi ushuhuda church ⛪ ju ni wanawake
@rehemar3659
@rehemar3659 3 жыл бұрын
Ameen sasa mtumshi umesema Mungu ametupa karama wake Kwa waume ukasema uaskofu nikazi kweli imeandikwa hivyo NI mwanaume WA mke mmoja,SSA Mungu amenipa karama ya kuhubiri mbona nisihubiri?maana neno linasema mwanamke ni waihubirio injili ni jeshi kubwa Kwa nini Mungu amewapa maneno hayo,mtumshi nipe ufafanuzi utakao nielewesha
@annanicholas4756
@annanicholas4756 3 жыл бұрын
Bible 🙏❤❤
@azizaaziza9113
@azizaaziza9113 3 жыл бұрын
Unapotaka mafundisho jaribu kuzungumza kiswahili ama kingereza
@fureenselle227
@fureenselle227 3 жыл бұрын
Mh! Kwa kweli ni muhimu kupata chakula chá kushiba namna hii!
@annanicholas4756
@annanicholas4756 3 жыл бұрын
Anima anima anima
@annanicholas4756
@annanicholas4756 3 жыл бұрын
Anima anima 🙏 🙏🙏🙏🙏🙏
@maggyirene110
@maggyirene110 3 жыл бұрын
Ameen ameen Asante kwa Neno hilo la nguvu
@failaprince9250
@failaprince9250 Жыл бұрын
Mchugaji apounatuchanganisha kabisa kwaiyo ruga
@pendonaomi1825
@pendonaomi1825 3 жыл бұрын
Tunaomba pia ufafanuzi kuhusu YOELI 2:29 Inakuwaje MUNGU anasema watumishi wenu wanaume kwa wanawake ikiwa utumishi sio sehemu ya wanawake?
@edwinmbwilo6128
@edwinmbwilo6128 3 жыл бұрын
Wanadamu wengi hawamjui ROHO MT na ndo tatizo la huyu mtumishi wa Mungu. We Kaka roho mbaya ya adui inakusumbua, Nakuomba tafuta mazingira ya hilo andiko la utumishi
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 3 жыл бұрын
@@edwinmbwilo6128 kaka hatuna ROHO MT,tuna ROHO MTAKATIFU.
@edwinmbwilo6128
@edwinmbwilo6128 3 жыл бұрын
@@ivonaevarista4654 sasa kama mna Roho Mt mnakwama wapi? Minaamini mmemkosa Roho wa kweli, bali mnaye roho wa uongo.
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 3 жыл бұрын
@@edwinmbwilo6128 rudia usome sms yangu ujue nilichokua namaanisha.......
@pendonaomi1825
@pendonaomi1825 3 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu, ila tunaomba ufafanuzi zaidi, Kuna sehemu anaweza kukuta huduma bado ni changa na wanaume waliopo ni wachache au pengine hawana wito na ujasiri wa kufundisha na kuonya, Sasa je akipatikana mwanamke mwenye uwezo na utayari wa kuchunga hilo kundi atakuwa ametenda dhambi?
@dawhiteschola8847
@dawhiteschola8847 3 жыл бұрын
Kwa hiyo hata Wana wake wanao eneza habari njema za YESU pia wasiwahubirie watu ???kuhusu kuwa mchungaji mwanamke Hilo nakubali je kuhubiri maeneo mbalimbali mwanamke pia ni dhambi maana imeandikwa Wanawake wanaoeneza habari njema ni jeshi kubwa hapo imekaaje mtumishi nisaidie
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 3 жыл бұрын
Inaruhusiwa kasema. Ila hawezi kuwa mchungaji.
@aswilekibona9861
@aswilekibona9861 3 жыл бұрын
Hakika pando asilolipanda baba yangu litang'olewa
@kalangwapaschal7718
@kalangwapaschal7718 3 жыл бұрын
Je mwamke kutafsiria mtu kanisani ni dhambi?
@fabianmihale3715
@fabianmihale3715 Жыл бұрын
Madhabau inayosimamiwa na mwanamke NI ushetani
@salomejames5892
@salomejames5892 3 жыл бұрын
Samahani mtumishi naomba niulize swali nimiaka Saba ya au miaka mitatu? Samahani naomba nielewe
@brightthabit9749
@brightthabit9749 3 жыл бұрын
Kifungu hani katikz biblia kinachosema kabla ya dhiki kuu tutanyakuliwa?
@azizaaziza9113
@azizaaziza9113 3 жыл бұрын
Pastor hebu fanunua vizuri hapo kwenye unyakuo inamaanisha unyakuo wa kanisa utafanyika zaidi ya mara1?
@nellydeborah943
@nellydeborah943 3 жыл бұрын
Yeah,very true tusaidie kufafanua hapo
@shirikaniyonkuru6560
@shirikaniyonkuru6560 3 жыл бұрын
Mwalimu soma Vema ugunuo 20 kanisa la bwana halita enda watu bila ku juwa
@rizikimarie6765
@rizikimarie6765 3 жыл бұрын
Kanisa litaenda aje
@egidiusteonest7950
@egidiusteonest7950 3 жыл бұрын
Kweli wewe ni langi, langi wa injili ya kweli
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 3 жыл бұрын
Kabisa
@egidiusteonest7950
@egidiusteonest7950 3 жыл бұрын
Me bado nipo macho kuendelea kujifunza mahali apa
@emmanuelpeter5686
@emmanuelpeter5686 3 жыл бұрын
Kizibao
@neemaeliaselias3061
@neemaeliaselias3061 3 жыл бұрын
Kwote nimekwelewa bt hopo kwenye unyakuo umeniacha,especial hapo kuhukumu coz bibilia inasema baada ya kifo ni hukumuu,hebu aston atwabie ukweli mnatuchangamya,,
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 3 жыл бұрын
Kabisaa
@atumwampondele2911
@atumwampondele2911 3 жыл бұрын
Anima amina yoote ni kweli ndio injili tunayo ihubili nashangaa wako watu dunia hii Kama wewe
@atumwampondele2911
@atumwampondele2911 3 жыл бұрын
Hakika Neno litahubiriwa .je sala za toba Za makanisani sisi hatuna dhehebu madhehebu sio mpango wa Mungu .hongeraaaa mtumishi wa Mungu palipo na mzoga ndipo tunakusanyika .tunaamini uponyaji wa kiungu tunapenda kuingia ndani ya mwili wa kristo ili tuwe walithi wa ile ahaadi yaani warithi pamoja na kristo tuwekwe sehemu yetu ili tutumike ktkt mapenzi take ndani ya Neno lake ubarikiwe sana karibu mbeya
@kennedyurassa9093
@kennedyurassa9093 3 жыл бұрын
SEMA bila kuogopa mtumishi .unafiki ni mwingi Sana kanisani hasa wachungaji .niliuliza swali nikiwa chuo Cha biblia.mwanamke akiwa ktk hedhi anasimamaje pale madhabahuni ?nikaonekana mbaya.wanawake walininunia.
@ngwanafabian9668
@ngwanafabian9668 3 жыл бұрын
Uliuliza swali zuri tatizo wanawake wengi wameathiriwa na mambo ya azimio la Beijing wanafikiri Mungu ni mwanaharakati wa haki za binadamu
@azizaaziza9113
@azizaaziza9113 3 жыл бұрын
Dhiki ya miaka3na1/2kanisalitakuwa hapa duniania
@rizikimarie6765
@rizikimarie6765 3 жыл бұрын
Tuambie itakuwa aje siku iyo
@azizaaziza9113
@azizaaziza9113 3 жыл бұрын
@@rizikimarie6765 unyakuo ni mara moja tu hiyo ya kusema eti kwenye mateso kanisa litakuwa halipo you ni uongo kbs ww kasome biblia utajua kanisa halijanyakuliwa na kristo mwenyewe na kwenye dhiki kuu atakuwa hajarudi kristo hautarudi mpaka afunuliwe kwanza mpinga kristo kitu pekee ambacho kanisa halitakutana nacho ni yale mapigo 7 ya kwenye ufunuo
@rizikimarie6765
@rizikimarie6765 3 жыл бұрын
@@azizaaziza9113 mimi nataka nijuwe siku ya unyakuo itakuwa aje mtu au watu wataona ishara gani ilikujuwa wateule wanaenda kwa maana maandiko unasema itakuwa kufumba na kufumbuwa sasa naomba unisaidie apo please
@azizaaziza9113
@azizaaziza9113 3 жыл бұрын
@@rizikimarie6765 Ngoja saiv nina kazi badae nitakuambia
@azizaaziza9113
@azizaaziza9113 3 жыл бұрын
@@rizikimarie6765 unabible?ili nikupe mafungu utasoma mwenyewe
@alondaamuri681
@alondaamuri681 3 жыл бұрын
(1 )Mwanamke amekatazwa kuwa na mamlaka ya kiroho juu ya wanaume , biblia haijakataza wanawake wasitumie vipawa vya Rohoni kulingana na 1WAKORINTHO 12:4_11. (2) Mbona wanawake wanasisitizwa kuwafundisha wanawake wengine pamaja na ,watoto ndani ya Biblia ? (3) mtumishi : mbona wanawake Hawa walikua na nanyadhifa za uongozi katika biblia ?. DEBORAH : alikua mwanamke peke yake aliekua mwamuzi katika waamuzi 13. HULDAH : alikua peke yake nabii wa kike kati ya manabii wote waliotajwa katika biblia. MIRIAM: aliunganiswa na huduma ya ndugu zake wa kina Musa na Haruni.
@alondaamuri681
@alondaamuri681 3 жыл бұрын
Tito 2 :3-5
@rizikimarie6765
@rizikimarie6765 3 жыл бұрын
Kwaiyo kuubiri kwamwanamke nisawa?
@ngwanafabian9668
@ngwanafabian9668 3 жыл бұрын
Jamani mimi nilizaliwa wazazi wangu wakiwa waprotestanti wanawake walikuwa hawahubiri madhabahuni. Haya mambo ya kuhubiri madhabahuni kwa wanawake yameanza miaka ya karibuni hasa baada ya azimio la Beijing. Ukichunguza biblia wanawake walifanya huduma nyingi lakini madhabahuni hawakusimama.
@mediavumbi9243
@mediavumbi9243 Жыл бұрын
Tunashukuru kwa Neno la Mungu,wa mama musikasirike Ila ikiwa umeitwa n'a Mungu utatumika usijiite kama Mungu ajasema,Amin🙏
@mahershalalhashbazi2189
@mahershalalhashbazi2189 Жыл бұрын
Wewe hu mbali na ufalme wa Mungu
@nsimirrlove2139
@nsimirrlove2139 2 жыл бұрын
Ameeeen
@kalangwapaschal7718
@kalangwapaschal7718 3 жыл бұрын
Je mwamke kutafsiria mtu kanisani ni dhambi?
Moses, Jonah, Noah & Daniel - NON-STOP - The Beginners Bible
1:42:12
The Beginners Bible
Рет қаралды 3,5 МЛН
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
黑天使被操控了#short #angel #clown
00:40
Super Beauty team
Рет қаралды 61 МЛН
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
TUBE UMUNYU WISI
41:51
Eglise Emmanuel kigobe
Рет қаралды 246
Think Fast, Talk Smart: Communication Techniques
58:20
Stanford Graduate School of Business
Рет қаралды 44 МЛН
CompTIA Network+ Certification Video Course
3:46:51
PowerCert Animated Videos
Рет қаралды 9 МЛН
The Person of the Holy Spirit | Benny Hinn in Ghana
1:31:44
Benny Hinn
Рет қаралды 592 М.
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН