A - Z BABU RAMA wa KARIAKOO ALIVYOJIUA - HAPA NDIPO ALIJIPIGA RISASI - MWENYEKITI -DADA'KE WASIMULIA

  Рет қаралды 23,199

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

A - Z BABU RAMA wa KARIAKOO ALIVYOJIUA - HAPA NDIPO ALIJIPIGA RISASI - MWENYEKITI -DADA'KE WASIMULIA
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 114
@globaltv_online
@globaltv_online 7 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@mariyammariyam1454
@mariyammariyam1454 7 ай бұрын
Usiwatetee au ulipowa chcht mzungumzajii iyo siokweli wamemsababishis mangapi iyo serikari iyo niserikari mukumbile ilo nijasho lakedhuruma jmn muiogope Dunia alikuwa na mgogoro miaka mingi Masada waserikari niuo kiua badirikeni Dunia sio yenu hii😮😮
@kachabisnea8815
@kachabisnea8815 7 ай бұрын
Wewe mwenyekiti mapumbu ya baba ako mbwa wewe na ufe leo leo chawa wewe unaongea nini mbuzi wewe dah kwakweli inauzunisha sana kwa ili tukio majaliwa inabidi ajiuzulu haraka sana maana ameshindwa kumsaidia miaka 7 dah😢😢😢😢😢😢😢
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs
@FidasMwaiteghelesya-hw9qs 7 ай бұрын
Mwenyekiti upo gizani sana sema tu tumwachie Mungu
@kelvinfasili44
@kelvinfasili44 7 ай бұрын
Damu ya uyu Mzee ipo mikononi wa serikali yaani Raisi, waziri mkuu na TRA maana taarifa zake wanazo. Inasikitisha sana hii Nchi Hakuna aliye salama.
@tsumiduwe1406
@tsumiduwe1406 5 ай бұрын
ASE HUYU BABA ALILALAMIKA SANA HAKUSAIDIWA ALIACHWA MWENYEWE MUNGU WA MBINGUNI AILAZE PEMA ROHO YAKE AMINA
@ANDREWGADIMRINJI
@ANDREWGADIMRINJI 6 ай бұрын
Amejiua au aliuwawa?
@seluyangogo3965
@seluyangogo3965 6 ай бұрын
Mwenyekiti mweu
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 7 ай бұрын
Mwenyekiti jiuzuru!
@anosiata8242
@anosiata8242 7 ай бұрын
Mwenyekiti hajui chochote.
@clementinerrwekiti5147
@clementinerrwekiti5147 7 ай бұрын
Mwenyekiti c bora unyamaze tu kwa sababu naona unaniboha
@helencyprian8745
@helencyprian8745 6 ай бұрын
We baba nyamaza, watu wameumizwa sana na serikali hizi, we mshukuru mungu kama unaamani
@OmarKayuki
@OmarKayuki 7 ай бұрын
Ndugu, huyu babu Rama ameumizwa na watumishi wa TRA tangu alipoingia Tanzania kutoka Afrika ya Kusini na bidhaa zake, TRA wamedhulumu nafsi yake, huwo ndiwo ukweli.
@kainimlowe9646
@kainimlowe9646 7 ай бұрын
Mwenyekiti naye kajichokea na maisha
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 7 ай бұрын
hana uhuru wa kuwakosoa viongoz waliopo atapotezwa watu walikosoa serkal kwa magu tu masio kwa samia ukikosoa unakwisha
@chiefndatu1895
@chiefndatu1895 7 ай бұрын
Chairman kalamba asali!!😂😂
@MeryJonh
@MeryJonh 7 ай бұрын
Sijaelewa linaongea nini uyu atakuwa Muhamiaji labda🙆‍♀️🙆‍♀️
@afandechanel1507
@afandechanel1507 6 ай бұрын
Huyu mwenye kiti anatakiw anunuliwe MB za kutosha ili anze kuangalia video KZbin za mwanzo wa tatizo lake mpaka alipo fikia mwenye kiti mjinga kabisa kweli sio kila mzee ana busara eti babu Rama anataka kuchonganisha serekali na raia wake
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 7 ай бұрын
Mwenyekiti wa mchongo
@abednegomhamba1471
@abednegomhamba1471 7 ай бұрын
Hivi serikali inasemaje kuhusu hili sakata au TRA ndiyo wenye nchi? Basi watamaliza watu wengi
@henrykibodya1207
@henrykibodya1207 7 ай бұрын
Mwenyeki takataka
@vicentnyanda828
@vicentnyanda828 7 ай бұрын
Kama sio msemaji nini kimekupeleka hapo? Achia familia we
@brudapesa1674
@brudapesa1674 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂ila sinto bhna aibu naona mm😂😂😂😂
@henryjoseph5233
@henryjoseph5233 7 ай бұрын
Mwenyekit acha ujinga
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 7 ай бұрын
Mwenyekiti alikua karibu na marehemu lkn hakuwahi kujua masahibu yake🤔!!!
@mwinshehenassib4853
@mwinshehenassib4853 7 ай бұрын
Mwenyekiti hajielewi yule. Anajaribu kuwatetea tra
@FredrickFilbert
@FredrickFilbert 3 ай бұрын
Huyu ndiye Mwenyekiti
@josephinamkono5183
@josephinamkono5183 6 ай бұрын
Ayayay😢 jamaaa yangu huyu pore
@paulMaker-d2r
@paulMaker-d2r 6 ай бұрын
Mwenyekiti anastahili kupigwa viboko 😂 awezi kuongea mtu mzima bila kujielewa na kujua kiasi icho au na yeye kaambiwa ataachia ngazi 😅..eeh mungu siasa zetu izi tunusuru nazo💔
@elioimer8423
@elioimer8423 7 ай бұрын
Ndio jinsi tunavyopotoshwa na hawa wanaojiita viongozi wetu. Msikilize jinsi huyu mwenyekiti anavyopindisha mambo yaliyowazi. Eti hajui kkitu chochote . Si jambo la ajabu sana hili ? Tuwe waungwana na wacha Mungu kwa mambo yaliyowazi.
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 7 ай бұрын
Kaa kimyaaaa
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 7 ай бұрын
Vitu kama hivi Mungu pekee ndiye ajuaye... 😭😭
@emmanuelletema8385
@emmanuelletema8385 7 ай бұрын
Acha tu😢
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 7 ай бұрын
Aagh, wapi, huyu kauwawa bhana..
@yusuphwella9651
@yusuphwella9651 7 ай бұрын
Kila saa anatoa wito...😢
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 7 ай бұрын
Kapigwa risasi sio kajipiga 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@abednegomhamba1471
@abednegomhamba1471 7 ай бұрын
Kujiuwa siyo sahihi lakini mwenyekiti asitetee serikali, TRA wamehusika mwanzo mwisho.
@ChristerShao
@ChristerShao 7 ай бұрын
Mwenyekiti alipits bila kupingwa.
@Kachuba-w9p
@Kachuba-w9p 6 ай бұрын
Mbona ameleza sana matatizo yake 😢serekal ndi wamemtapeli 😢 mpka amejiua😢
@SangioNgoo
@SangioNgoo 7 ай бұрын
Hiki kifo kina utata mkubwa. Huyu mwenyekiti achunguzwe. Nasema hivi kwa sababu anasema watu waache kusema kwa hisia wakati yeye anatumia hisia kuhitimisha kuwa marehemu kajiua. Ni mwenyekiti mpumbavu tu ndiye anaweza kusema ujinga huu. Ukifanyika uchunguzi wa kina na huru unaweza kuibua mambo mwengine. Narudia tena. Huyu mwenyekiti kuna kitu anajua, na pengine ameshirikishwa kwenye kukifanikisha.
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 2 ай бұрын
Kabisa
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 7 ай бұрын
Kwani wongo
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 7 ай бұрын
Kwan huyu mzee alikua hajui babu Rama alikua anawadai TRA
@patsonanyitike9584
@patsonanyitike9584 7 ай бұрын
Mwenyikt zinakutosha wwe
@selemanibilali8405
@selemanibilali8405 7 ай бұрын
Mwenyekiti anaangua kichaa
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 7 ай бұрын
Mwenyekiti famba kabisa
@HamisLeo
@HamisLeo 7 ай бұрын
Hv ss watanzania tukoje? Mtu ametangaza kwenye media zote kwamba amezurumiwa na serikali ya tzania kuptia T.R.A.rais anajua wazri mkuu anajua, wazri wa fedha anajua lkn hakuna aliye kanusha tuhuma za huyu mlalamikaji. M/kt mungu anakuona acha unoko
@awadhally1052
@awadhally1052 7 ай бұрын
Kwel kabisaa hawa TRA. Ni nguruwe kabisaaaa
@awadhally1052
@awadhally1052 7 ай бұрын
Ila yupo Allah mfalme wa wa Falmee atawakomesha hawa nguruwe wote wa T. R.A. walio mzulumu mzee Rama.
@awadhally1052
@awadhally1052 7 ай бұрын
Inshaa Allah
@sumayasumaya6455
@sumayasumaya6455 7 ай бұрын
mshamba sana wee mwenyekit na utakaa hapo kutumika na uwoga wako tena unalana wee, utakaa na ulofa mpka kaburin uendako..yan brother huyo anapmbania haki yake for so long.. dhulma kafanyiwa na hata rais,wazir mkuu,wazir Wa fedha hakuna aliekanusha ila wewe uko porin hapo unaongea bila hata ya kujiridhirisha na kuja mbele ya mic.., acha kujipendekeza kwa viongoz wako Ili mtu marehem aonekane mkosefu..shit
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 7 ай бұрын
Huyu ndio mwenyekiti ?
@MussaSelemani-wz5np
@MussaSelemani-wz5np 7 ай бұрын
hamna kitu hapo
@abednegomhamba1471
@abednegomhamba1471 7 ай бұрын
Inasikitisha sasa!!
@davidmwandenuka1712
@davidmwandenuka1712 7 ай бұрын
Sijawahi kuona mpumbavu kama huyo mwenyekiti mshenzi kabisa ina maana hajasikia ntunzwe alivyo kuwa ana lalamika?mpaka kwa raisi na waziri mkuu??halafu unaongea ukenge
@longinuskomba9887
@longinuskomba9887 6 ай бұрын
Kwa hali ilivyo ukiona unabifu na mtu wa Serikali, cha kufanya ni kumalizana nao
@ANDREWGADIMRINJI
@ANDREWGADIMRINJI 6 ай бұрын
Huyu ni mtu wa wapi..ina maana hakujua alikuwa na mgogoro na TRA?
@ZachariaLufunga
@ZachariaLufunga 7 ай бұрын
Hatari sn laana ya ukoo inawatesa selikali!
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 6 ай бұрын
Tangu enzi za Maskulinum masikini kesi yake
@ElizabethWamcha
@ElizabethWamcha 7 ай бұрын
Natamani nimtie ngumi kumanyoko uyu sema nimegundua ntaua cmu yngu ila ww mwenye kiti kuna kitu
@agnesmgodogodo
@agnesmgodogodo 7 ай бұрын
😂😂
@mahamudali1453
@mahamudali1453 7 ай бұрын
Huyu marhemu apewe fidiya FAMILIYA YAKE NA SEREKALI NA AFISA WA TRA ASIMAMESHWE KAZI
@iambaizo
@iambaizo 7 ай бұрын
Imagine huyu ni mwenyekiti just imagine tu ,
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 7 ай бұрын
Kama huchukui Rushwa vita ya Rushwa Ni nyepesi Saaana, kama hutumii au hunufaiki na madawa ya kulevya, vita ya madawa ya kulevya huwa Ni nyepesi
@hamadgusagusa8675
@hamadgusagusa8675 6 ай бұрын
Kiukweli haingii akilii ikiwa utafuatiliya kiundan
@tamashaharuna9345
@tamashaharuna9345 6 ай бұрын
Huyu hajajiua aliuwawa
@JumaKitutu-t4s
@JumaKitutu-t4s 7 ай бұрын
Malipo hapa hapa duniani. Lazima mupitie ngumu kabla hamujafumba macho.
@hijaabdalah9235
@hijaabdalah9235 6 ай бұрын
mali zao azito wa faaaa duniani wala Akhera .....Mwenda zake alikua ana utu ila kwa sasa serikali imejiziba macho
@sheikhaswalehsalim3392
@sheikhaswalehsalim3392 7 ай бұрын
Huyu kamroga ndio kajiuwa
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 7 ай бұрын
Mwenyekiti tutokee hapa! Hivi milion 986 unaijua? Ukinyang'anywa na serikali utafrahia? Hujui kitu kaa utulie!
@AminaAmine-v4m
@AminaAmine-v4m 7 ай бұрын
Huyu babq amelalamika mno 😢😢😢
@josephinamkono5183
@josephinamkono5183 6 ай бұрын
Tra wakikudai utaona ukiwadai mpaka ufe waziri mkuuu duu
@Saddamyusuphsavannah
@Saddamyusuphsavannah 7 ай бұрын
alaisi
@tanzaniaboy9605
@tanzaniaboy9605 7 ай бұрын
Akili za kuambiwa changanya na zako jamaa kapambana sana kutetea haki yake alafu mtu anakuja tu anabwabwanya unaambiwa malipo hapa hapa tu
@Syikiwaryoba
@Syikiwaryoba 7 ай бұрын
Hujielewi ww eti mwekiti mwenyekiti bongoooooooo
@wilsonchallange4420
@wilsonchallange4420 7 ай бұрын
Video Ina MAKELELE Mno.!
@AthumanDauda
@AthumanDauda 3 ай бұрын
Tra serkali wazir mkuu vyomba vya usarama na rais mnamaswari magumu mbele ya Allah tabaraqa kila mchunga ataulizwa alivyochunga
@danielmakelemo2395
@danielmakelemo2395 7 ай бұрын
Hata nyimbo ya mch Mbalikiwa hakuwahi kuisikia 😂😂😂simu anayo mwenyekiti ila uwa Haina bando
@goodluckkapinga2677
@goodluckkapinga2677 7 ай бұрын
Hakuna mwenyekiti hapo
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 7 ай бұрын
huyu baba analinda uwenyekiti wake maskini
@mohdnasser3620
@mohdnasser3620 7 ай бұрын
Huyo ni uongo Hamisi kauwawa na watumishi wa TRA nasina Shaka hate serikali inahusika
@BarnabaJaphety
@BarnabaJaphety 7 ай бұрын
Kwer hapo hakuna mwenye kiti hapo kuna mwenye kigoda tu
@omarybasho2341
@omarybasho2341 7 ай бұрын
Wemzee unafirwA
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 7 ай бұрын
Ss si kila kitu aliwek waz
@emilynathanielluvanda8298
@emilynathanielluvanda8298 7 ай бұрын
Unapoambiwa hujui kusoma hata pcha huoni? Ndo hiyo sasa.
@emmanuelletema8385
@emmanuelletema8385 7 ай бұрын
Hawa ndo wenyeviti wa Magufuli waliokuwa wanapita bila kupingwa .yaan hovyo kabisa hajui hat anaongea nn 😮
@nicolauselias9084
@nicolauselias9084 7 ай бұрын
We mwenyekiti we ni mjinga usikatae yanayo ongelewa kaa na uwenyekiyi wako si unajilinda ndio maaana unakataa kua jamaa alikua hadai selekari
@lucasmourice8347
@lucasmourice8347 7 ай бұрын
Huyu mzee vpbona kama kalewa
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 7 ай бұрын
hapana huyu jamaa atakua kauliwa tunaomba uchunguzi ufanyike
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 7 ай бұрын
Kabisa jinsi ilivo kunamashaka sana juu ya kifo chake
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 7 ай бұрын
TRA ndio waliio muuwa
@LeopardAmoskomba
@LeopardAmoskomba 7 ай бұрын
Pelek ujinga huko kwa sababu sio ndgu yako
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 7 ай бұрын
Mtangazaji mjinga alafu unamuoji mpumbavu...du
@ramadhanmwandambotuntufye5972
@ramadhanmwandambotuntufye5972 6 ай бұрын
Mzee unaongea pumba, myekaa
@stevensosipita
@stevensosipita 7 ай бұрын
HUO NDO UKWELI WEWE MWENYEKITI FUNGA MDOMO WAKO USITAFUTE LAWAMA NA WATU HUYO KHAMIS RAMADHANI KAJIUA KWAAJILI YA SERIKALI KWAKUDHULUMIWA PESA ZAKE NA TRA.
@emmanuelletema8385
@emmanuelletema8385 7 ай бұрын
Inasemekana kapigwa risas
@stevensosipita
@stevensosipita 7 ай бұрын
@@emmanuelletema8385 HILO PIA LIPO KWANI HIVI SASA TOKA JPM KAFARIKI SERIKALI HAIJALI TENA RAIA NA IMEFIKIA KUTOA WATU ROHO
@ntezealoyce7043
@ntezealoyce7043 7 ай бұрын
Mh mwenyekiti hata picha hauoni mwenyewe anachosema alafu wewe unamiatalia nini,ukapimwe afya ya akili mwenyekiti
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 7 ай бұрын
WEWE MWENYEKITI FALS KWELI, WALS HUKUWA HATA NA UWEZO WA KUMSHAURI NTUZWE LABDA USEME UNGETAMANI AKUPE HATA MKATE TU, NENDA KALALE TU.
@michaelnehemia4932
@michaelnehemia4932 7 ай бұрын
We huna akili
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 7 ай бұрын
Mwenyekiti unaongea upuuzi tu pumbavu hujitambui mtu mzima ovyooo
@FellaMbogela
@FellaMbogela 7 ай бұрын
MWENYEKITI C UNYAMAZE TU ,MAANA HUKUMJUA VIZURI RAMADHANI AMEHANGAIKA NA TRA ZAIDI YA MIAKA MITATU WATANZANIA TULIKUWA TUNAFUATILIA , ALIPOAMBIWA ATALIPWA NDIPO ALIPOANZA KUTISHIWA MAISHA MBONA CLIPS ZAKE ZOTO ZIPO? WEWE BORA UNGENYAMAZA KULIKO KUMLAUMU MAREHEMU
@oyay2821
@oyay2821 7 ай бұрын
Ccm iliko na damu ya huyu mfanyi biashara
@mwinshehenassib4853
@mwinshehenassib4853 7 ай бұрын
We mwenyekiti na wewe hujielewi. yaani ndugu wa marehemu anasema marehemu anaidai tra wewe unasema anachonganisha. Watu wa serikali mnateteana hata kwenye uovu jambo linaloondoa uadilifu katika majukumu yenu.
@omarimpogo6895
@omarimpogo6895 7 ай бұрын
Mbn km mzee umekuja kuwatetea watu fulani
@RaibebeBebe
@RaibebeBebe 7 ай бұрын
Mwenyekiti wewe ndio walewale anaowasema makonda
@UmmuJauzan
@UmmuJauzan 7 ай бұрын
Wemwenykt huna akili we hujui kama alikua na mzozo huo? Mbwa we
@HawadiHawadi-b1z
@HawadiHawadi-b1z 7 ай бұрын
Ungemshauli nn ww tajili kama uyo
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 7 ай бұрын
Mwenyekiti wewe ni zamwamwa mkubwa huna sababu ya kuwa kiongozi
@samsonkatigiri2344
@samsonkatigiri2344 7 ай бұрын
Huyu mzee kiukweli dam yake ipo kwa marehem magu,magu ndie alikuwa Rais na ndie alitoa amri ya huyu mzee alipwe,lakini hayati magu kamkwepa,badala awaamuru TRA wamlipe akakaa kimya mzee anahangaika huku na kule magu hana habari,msiwalaumu Tra hawahusiki
@stevensosipita
@stevensosipita 7 ай бұрын
WEWE ACHA UJINGA USHASEMA MAGU ALITOA AMRI ALIPWE SASA KUMKWEPA INAKUJAJE HAPO MAGU ALIPOTOA AMRI YA TRA KUMLIPA RAMADHANI MDA MFUPI MAGUFULI ALIANZA KUUGUA NA MUDA AKAFARIKI WAZIRI KASIM MAJALIWA NA RAIS WA NCHI SAMIA SULUHU HASSAN NDO WAKULAUMIWA KATIKA KIFO CHA HUYU MFANYABIASHARA
@emanuelkidali9733
@emanuelkidali9733 7 ай бұрын
Hili lizee hamnazo kabisa
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 7 ай бұрын
UNAAKILI NDOGO AMA HUJUI UNAELEZA NINI? HUYU NDG ALIKUWA NA MGOGORO NA TRA TANGU ENZI ZA MAGUFULI , ILA TUMWACHIE MUNGU NDO ANAJUA A~Z
@frankmushendwas37
@frankmushendwas37 7 ай бұрын
Hili jambo linajulikana kila mahari hawa Viongozi wa ccm wanajifanya hawajui wajinga kabisa
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
Сюрприз для Златы на день рождения
00:10
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2,1 МЛН
Всё пошло не по плану 😮
00:36
Miracle
Рет қаралды 1,8 МЛН
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 3,2 МЛН
MGOMO WA KARIAKOO, MFANYA BIASHARA AFUNGUKA KUPOKEA VITISHO
11:55
Incredible Moments Caught on Camera
30:40
UNSORTED
Рет қаралды 4,6 МЛН
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39