mwambie huyo mcgwa😂😁😀😂😁😀😂😁😀penda sana mchungaji wangu
@jumagari46956 жыл бұрын
kweli msigwa nimekukubali usikubali kuburuzwa na makada hao was ccm
@BarakaWaya5 жыл бұрын
Msigwa hekima huna, Safi Sana DC ,Huyu Dc anahekima sanaa
@boyselemani44935 жыл бұрын
Umemtolea uvivu Safi sana kaka nimekubali unafki wamadalaka umempa Kali hao ndio wanafiki Ila kajielewa
@naimajecker28896 жыл бұрын
Msigwa i love uuuuuuu😂😂😂😂😂😂😂
@michaelgershon90776 жыл бұрын
Uongozi unahitaji subira. Dc ni kiongozi. Hajatumia utawala. Nampongeza.
@fungamaliramadhani4795 жыл бұрын
MICHAEL GERSHON msigwa huyo hapi umuezi mtoto wamjini huyo mguse uone pimbaavu
@stellaernest87355 жыл бұрын
we ni fala hujui nn maana ya uwajibikaji Pumbavu
@amanabdallah97455 жыл бұрын
Subira ya nini, kwa hao ma DC na ma rc waonezi,kilichobaki ni kukungutana makonde
@elishajuma2615 Жыл бұрын
Wew na wew ndo wale wale
@elikanaisrael11386 жыл бұрын
Safi san mchungaji msingwa njoo kabisa nikukabidhi mke wangu
@semanasitv83036 жыл бұрын
wahehe wabishiii😂😂😂
@georgesindano74025 жыл бұрын
safi sana mbunge wangu wa iringa town kama ni swala la maafa si mpaka viongozi wate wauthulie maafa (ndio maana kukawekwa ngazi kwa ngazi)
@annetmsafiri67045 жыл бұрын
Kazi kweli kweli mtumishi wa mungu huyoooo mungu tusaidie
@kisangageorgethomasi2830 Жыл бұрын
Kwaio alegee kisa utumishi wa dini muungu anataka upambane ndio akusaidie
@husseinkulumbiza88945 жыл бұрын
Napataga Tabu sana kuona Viongozi wetu,wanatupiana maneno Makali,Najiuliza sasa kama wao wanagombana sisi wanatuweka Upande Hupi!Tumtangulize Mungu mbele kwa kila Jambo Tutafanikiwa,Naviongozi wetu Mshirikiane na Mpendane,Mungu Atuongoze.
@simbawateranga70205 жыл бұрын
Safi sana msigwa
@majaliwayusuph38016 жыл бұрын
Mh Msigwa hawa RC na DC wana kinga lkn lazima uwaambie wajue hilo. Kuekwa ndani na kufunguliwa. kesi za uchochezi ni kawaida kwa upinzani.
@shodristvtv61215 жыл бұрын
Wachungaji wasiku zamwisho 😂😂😂
@wakatiwetuleotv42956 жыл бұрын
Yesu aliye mkuu Sana na mfano wakuigwa alikasirika nakupindua meza Za wabadili fedha walipo kiuka taratibu kwa dharau iweje msigwa asikasirike? msigwa Uko Pouwa Sana
@simonnyasebwa90266 жыл бұрын
WAKATI WETU LEO TV kweli chadema hamnazo unamfananisha Yesu na msigwa mmetoka wapi ninyi mbona mmeishiwa hivyo kwa akili hizi Tanzania hamtaiongoza MNA vurugu si kawaida mkiguswa tu mnalia oooo mnaoeleka polisi mmekuwa kuwa kama wanawake, poleni sana.
@nathankihiyo92935 жыл бұрын
Ujinga mwingine huu!! hivi unajua kwann Yesu alikasilika? na utambue Yesu alivyokasilika hakumdhihaki mtu, hakumkashifu mtu wala kumdharau mtu! Acha kumfananisha Yesu na vitu vya kipumbavu.
@rogersiddy Жыл бұрын
Huo ndo uwanaume sasa hakuna kuoneana hapa safi sana
@nathankihiyo92935 жыл бұрын
msigwa amepaniki kinoma 😂😂😂😂. imebaki siku, majira na nyakati na wewe uwepo nje ya fensi. hao hao waliokuchagua ndio watakaokutoa.
@sulleysonmishlaymishlay72336 жыл бұрын
Hiyo safii sana uchungaji siyo ujiga
@BarakaWaya4 жыл бұрын
Aibu Sana ukiwa nakiongozi mropokaji hivyo kama Msigwa duuuh uongozi nibusara na hekima well done DC
@moureenkirundwa86914 жыл бұрын
Unafurahia kuburuzwa e, aliyoyaongea msigwa kikawaida ni true ila ttz approach. Kwa iyo by conclusion Dc kazngua
@humphreybilly32585 жыл бұрын
mchungaji nakupenda sana unajuaga kutoa makucha.
@makaleshop60635 жыл бұрын
Hongela mkuu ungemsonkola akome
@user-sw1dv1iq6h11 ай бұрын
Ndo msemaji mkuu wa serikali. Genge la wahuni😊😊
@chilombachilo75346 жыл бұрын
msigwa kunywa soda popote nitakuja lipa
@anozacha6116 жыл бұрын
Chilomba Chilo safi
@deoshine7775 жыл бұрын
chezea kitambi hicho bb wanatumwa hao kuvuruga tunaona arumer na ars
@ericlowasa30976 жыл бұрын
Safi sana msigwa hao mbwa hatutaki mazoea nao bata wa ccm ndo dawa yao umenifurahsha sana
@mzeeahmadi94005 жыл бұрын
you are dealing with smart people I'm not stupid !
@samuelpeterkaaya12113 жыл бұрын
Nakupenda Baba Peter
@braytonymasebene10865 жыл бұрын
Ahahahahahahahahahha msigwa bana mbn umemchelewesha kwan ccm wao wakina naniiii bg up rais msigwa wa ilinga
@louisnyoni41396 жыл бұрын
Msigwa ni jembe kazi zake tunaziona, aendelee kuchapa kazi na kuisimamia serikali.
@anozacha6116 жыл бұрын
Louis Nyon tena sanaaaaaaaaaa
@edsonndogoro31885 жыл бұрын
Louis Nyoni kazi gan alizofanya msigwa. Huo ni uchafu tu.
@nathankihiyo92935 жыл бұрын
😂😂😂😂Kazi za kuropoka hata mimi naziona
@edsonndogoro31885 жыл бұрын
Louis Nyoni ana kazi gan msigwa anazofanya au kulima mahindi ya kumwagilia?
@josephmakau73224 жыл бұрын
Msigwaaaa chumaaa motoooo msigwaaa mashine sanaaa
@hassanlikaba98136 жыл бұрын
Subiri akushuhurikie sasa 2020. Utapata tabu sana
@ramadhanmahongole96495 жыл бұрын
saf sana msigwa hao ma DC hawajuagi sana nguvu ya ubunge kuwa inatokana na wananchi hivyo mbunge ananguvu kuliko hao
@magelaoscarjr14015 жыл бұрын
dadeekii!!! mgaya shidaa og
@abdalomari59125 жыл бұрын
msingwa uyo mkuu ajielewi yeye kaletwa tu ndiyomana ajielewi
@saidikamduma54686 жыл бұрын
mmmmh Tanzania hii inakoelekea Kazi ipo
@mhandyeyoo65916 жыл бұрын
Mchaapeee huyo pastor 😆😆😆😆😆😆sina mbavuuuuuu penda pastor msomehe 1king 18:
@danielmpokasye61083 жыл бұрын
Daaaa mama yake msigwa angezaa tena kama huyu saf kbs hamna kuburuzana hap
@martinkarata10976 жыл бұрын
Safi sana tena aache mazoea
@habibadhikr94065 жыл бұрын
Hongera rais magufuli yote Hayayalikuwa hayapo utaona mengi Haya ni mambo yawanawake yamehamia kwa wanaume
@jordanfromyt28615 жыл бұрын
Duuuh hapa kazi hipo hahaha😂😂😂😆😆😆
@zubelmkemwa96805 жыл бұрын
d mungu gan hy anae muabud msingu mbingu gan tunayo enda Kwa sitar hy
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Msigwa mwenyewe hayupo, na kasesera hayupo!
@adamkaita30095 жыл бұрын
he he eeeh msigwa jimbo limekushinda hilo Acha kupanick jimbo linarudi ccm hilo
@bernadinangasi76645 жыл бұрын
Kwa ubabe sawa
@ishpalemypasco57515 жыл бұрын
eti mchungaji mchungaji gani mpumbavu huyo.chadema mazuzu yote kasoro mzee lowasa ana hekima na busara
@immamlowe7346 жыл бұрын
Huyu. I mcbungaji kwel au nimchunhaji madili? Mchungaji haiwi hivo.
@amanigochen48415 жыл бұрын
Imma Mlowe
@stellaernest87355 жыл бұрын
huja maliza hata dalasa la 7 unataka kumuelekeza mchungaji msigwa huo n umama
@msemwawalter8375 жыл бұрын
Uchungaji vitani???
@rennysteve32276 жыл бұрын
Eti mchungaji hekima iko wapi?
@consolatamaarufu67626 жыл бұрын
Renny Steve ulickia mchungaji ndio aonewe we vepe
@fungamaliramadhani4795 жыл бұрын
Renny Steve mchungaji wanini muhuni tu huyo hapi pigakazi babu Chadema pigachini huyooo
@davidkawesa35945 жыл бұрын
Mungu karuhusu hasila ila usitende dhambi ndio maana unasikia hasila iliwaka kwa Daudi kumuangusha Goliath
@stellaernest87355 жыл бұрын
we ni fala hujui nn maana ya uwajibikaji pumbavu
@moureenkirundwa86914 жыл бұрын
Uchungaj mana yake co uonewe, na czan km kafanya dhambi hapo, kwa kuw hasira iliwaka ndan yke lkn haikuw na matunda mabaya
@suleimansultan3333 Жыл бұрын
Mtihani
@amenyekibona87305 жыл бұрын
amakweri umedata Msigwa,,,, Dc pongezi kwako anajichinja mwenyewe
@samwellwiza53395 жыл бұрын
Mchungaji msigwa njoo tuhubiri wenye dhambi ili tulete maendeleo ya kiroho kwa watanzania.. Hayo ya kimwili waachie wenye wito na style ya siasa..... Siasa ngumu kwa muhubiri jamaniiii... Maji na mafuta. Stahafu ili kujenga heshima.. Umeshafanya kwa sehemu yako sasa njoo madhabahuni... Please please please baba ... Waachie wakina Mdee.
@stephenmgema22085 жыл бұрын
Mmh..... Haya bhana
@allymliloh17606 жыл бұрын
Hivi huyu msigwa alisoma tu Bible knowledge akawa mchungaji au ndo watu kuitana prof Jay
@JeanPierre-sb3ys6 жыл бұрын
timoun dezòd
@stellaernest87355 жыл бұрын
kamuulize baba ako, ndio atakupa jibu manake wakati anasoma bado hujazaliwa
Huyo DC Anakurupuka sn mambo yake kwenye ukweli bora umpe ukweli tu
@josephnchunga65545 жыл бұрын
hili sasa hivi linakela sana kama halijawahi kuwa lichungaji huenda linavuta bangi linashindwa kumjibu hata kwa hoja mambo ya kijinga limekuwa na presha ya uchaguzi 2020 na 2020 hili hata likipigwa chini kwenye uchagizi siwezi kusikitika linaboa kinoma kwenye haliwajibiki ipasavyo lakini kwenye kutafuta kiki la no 1,
@e.j.starelia56724 жыл бұрын
Huyo msigwa si apigwe Kofi aache kuropoka alaaa,,,nyau tu,,,afu anajiita mchungaji,,,,,,et wewe ndiyo mchungaji
@amenipasanga29185 жыл бұрын
DC hongera sana
@abdulkareemally83715 жыл бұрын
Waambie ukweli tuu.. wakikufunga sawa ila wanao ukweli
@cypmkutubi31095 жыл бұрын
Eti huyo ni kiongozi wa chama kisha eti ni mchungaji, anabwata kama muuza gongo! Tujifunze nini kwa kiongozi kama huyu?? Tena anamuomba DC amuweke ndani. Hujanishawishi kujiunga na CHADEMA SACCOS
@kaminyogemwachelwa98846 жыл бұрын
Safii,sanaaaa
@chelestinomatinya30025 жыл бұрын
ukitaka kuona ubovu Wa mtu utajua tu asa angalia aligombana na yule bado anataka agombane na huyu kijana mzuri mchapa kaz yaan mm ananikera san
@Ba638286 жыл бұрын
WEWE MCHUNGAJI HASIRA BILA KIKOMO KWA HIO ULITAKA UMPIGE USINGEZUILIWA NA WAPAMBE WAKO?
@josenjozi52884 жыл бұрын
Alipo Atunkolepo Mwakanyika ko
@raymondmelele19114 жыл бұрын
Daaah msigwa
@johnmotto63666 жыл бұрын
Msigwa nguvu huna halafu unajionesha .
@lucyshine12715 жыл бұрын
Mbunge anajiamini dc hoi hana kitu
@renatusmgina40036 жыл бұрын
Safi sana wajinga kama hao inatakiwa at a makofi tu wanapenda ujinga kila mda kura za wapiga kura wanaiba bado wanashindwa yakuongea wanakusema MCHUNGAJ vitu vya kijinga wamezoea hao umefanya vizur sana bola kumfece MTU syo kuzunguka MTU mwenyewe bata tu kateuliwa Anataka kushindana nauliye chaguliwa KWA mapenzi ya wananchi waliowachoka mabepari hao wakununua madiwan na wabunge
@wigansichilima42055 жыл бұрын
Kwann mnafanyahayooo jamn
@chaxysimon6645 жыл бұрын
nimekumbuka enzi zangu zile za kitambo, mstari unachorwa chini afu mwezio anakuambia vuka kama wewe ni mwanaume haaaahaahaaa
@farajihokororo18065 жыл бұрын
Huyo sio mchungaji kasesele ungemtia ndani awe na adabu
@Kifyasi6 жыл бұрын
we msigwa ww achahasila ww nikioo chajamii hasila zann? ukiwa kiongoz lazima utumie wazfa wako fuata sheria
Mhhhhh, hiv ukiwa chadema lazma uwe kichaa kichaa hiv au!? Msigwa na ww una Kaz 2020 usipojirekebisha
@elminakalunga40305 жыл бұрын
Nitafuatilia mpaka nione 'Mlokole huyu uchwara' anavyokwisha.
@mjedengwapoizon87267 жыл бұрын
😁😁😁😁 ngoja kwanza ninywe maji ya motoo then nitakuja badaye
@abubakarimwasumilwe72936 жыл бұрын
niubabe tu...
@faridafarida66318 жыл бұрын
onyo wazee wazima
@edsonndogoro31885 жыл бұрын
Msigwa akili huna! Ww ni bwege mkubwa unaonyesha huna uchungaji wowote! Zungumza kihehe basi sasa unazungumza kingereza wazungu wenye lugha wapo wap? Yaan hili jamaa ni tumwa kabisa bado linadhani eti kinge ndy kusoma mweee, popopooo!
@saidimilanzi64035 жыл бұрын
tatizo ni hawa wateule wa rais yaani asilimia 90%wanakesha kutafuta namna ya kumridhisha mwenzao aliewateua hawajui kabisa wajibu wao,ndio maana sasa wenye busara wanaona haipo tena haja ya kutumia busara ni kuwawakia tu live
@omarmohd56785 жыл бұрын
Piga kubwa jinga
@titonkwabi74306 жыл бұрын
Mchungi au Mchungaji!
@robertmartin15895 жыл бұрын
muchungaji gani mshenzi.
@florencemgoyo92735 жыл бұрын
sukumaaaa ndaniiiii
@edsonndogoro31885 жыл бұрын
Eti huyo ndy mchungaji, eti huyo ndy mbunge, aisee huku kwetu tunaita mbunge masusu.
@sazafsuma75426 жыл бұрын
alaa pumbavu
@manasemwakilasa59314 жыл бұрын
Umepanik mbunge
@stephanomwakyobe46755 жыл бұрын
wanakela sana mcc
@ramadhanikakoree37286 жыл бұрын
100%
@simonnyasebwa90266 жыл бұрын
Nishasema we siyo mch, Bali mchungwaji sijui ulienda chuo gani na unasoma biblia gani we umebambikwa tu huo uchungaji,
@mbwanarashid73535 жыл бұрын
Wewe kibaraka tu ovyooo et kasomea wapi inakuhusu we mwenyewe hata mlango wa darasa huujui
@emanuelezekielphilipo46875 жыл бұрын
Nanyeye mnaye andika uchoko uchungaji siyo unyonge bana, kira mkiandika mchungaji mchungaji sasa ndoawe fara acheni uccm
@hellohello47005 жыл бұрын
Acha kuropoka we chupi!!
@davidkawesa35945 жыл бұрын
We fici soma Bible
@stellaernest87355 жыл бұрын
baba ako anajua nn mpaka useme mbunge msigwa sio mchungaji acha tabia za kimama hizo
@jamessichimata31005 жыл бұрын
Ongea kiswahili mchungaji
@erodycostantin68665 жыл бұрын
kiki zingine za kimavitu ndio munaenda kutunga sheria za kimavitu
@Smartboy-wt1es5 жыл бұрын
Dc kitu gani bhana? Msigwa anamaanisha anachosema, wanazoea vby
@issajohn56705 жыл бұрын
Mtu mdebwedo utamjua tu. Huwa ashiwi maneno na kujifanya yy mbabe zaid. Na huvyo ndivyo mnazid kupoteza thamani kwa wananchi wenu. Twent twent ikifika razima mbwagwe nyy
@stevenmakundi33106 жыл бұрын
hmmmm duuuh!!!!!!!
@rahimaaaaa86995 жыл бұрын
Huyu DC haongozani na.askari. hatari atakuja kupigwa
@ayoubmkeya87095 жыл бұрын
shida pale unapo hc wewe ni bora kuliko wengine mfano msigwa kauli zake ni dhahiri kuwa yeye ni miongoni mwa watu wanao jiona ni sahihi kuliko wengine kwa kauli zake kwa mienendo yake na mengine
@jumbemarko43865 жыл бұрын
Mtegue kiuno huyo DC uchwaraa
@mazikufabian22527 жыл бұрын
Mkwawa Piga Hiyo Kitu.
@wigansichilima42055 жыл бұрын
Kwann mnafanyann mambo haya
@eliasandale75265 жыл бұрын
Shida Hawa viongozi Iringa hawakuja kutatua kero wamekuja kupambana Na wabunge wa wapinzan ,maana hakuna kikao bila kuzungumzia wapinzani