Wow wakwanza kutokà Kenya wapi likes za wakenya 🎉🎉🎉
@SarahOlele4 ай бұрын
Kenya tupo❤❤
@janecharo11964 ай бұрын
@@SarahOlele kisha san 😂😂😂
@sunnyboytz8320Ай бұрын
C tulikubaliana kila mtu baki kwao au mnatuzoea
@AllyMsuya-ut5qf4 ай бұрын
Kaziimezidi kuwa kazi wazeee big up sanaaa upangiliaji umetumia sanaaa jamaa kwenyehel kafaulu mchumb ndokaharib mamb .
@MussaMasonga-p5u4 ай бұрын
Adery masta wew ni hatari sana baada ya miaka kadhaa utaziba pengo la nguli wetu mpendwa steven kanumba uwe na kazi njema❤❤❤❤
@mohamedlopa84104 ай бұрын
Asalamu walekum bwana yesu asifiwe yeyote atakayesoma hii coment uwe na marefu🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@rufinalucas-bv9ct4 ай бұрын
Amina
@mohamedlopa84104 ай бұрын
🤲🤲🤲🤲
@barackbaraka72714 ай бұрын
Amen
@ZuwenaOmar-xk6gq4 ай бұрын
Amiin
@NadzuaMrema4 ай бұрын
Amiin inshaallah ❤
@KoechEli4 ай бұрын
Me ni wa kwansa kutoka kenya wapi likes sangu
@husunahamis18794 ай бұрын
Sahii uwahi tena😂😂❤🎉
@josephinamarko33234 ай бұрын
Kwenye cm yako hakuna helf z 😂😂
@izakiel724 ай бұрын
Tobaaa... Who is this guy 😂😂
@christinewangechi254 ай бұрын
Watching from kenya
@topisterkodia20224 ай бұрын
We nawe sasa kwansa ndo nini😂😂
@Mwana85Mwana85-wz1ol4 ай бұрын
Mast kama mast au ticha kama ticha hp Kwa kipelie kazi unayo b mdogo ujigange Kwa hap kumbe kipesile ni demu safi San zawadi umpat kutoka 🇴🇲 usijli maaan nimekuo live umesuka kupendeza San
@everlynmbondo-yh1rm3 ай бұрын
mnaboa sauti kupotea kila wakati
@yaakubsakwa4 ай бұрын
Nmeona adele amevaa DQ nami pia hvohvo nmevaa DQ 😂😂inafulahishaa
@yamotomwinyi72174 ай бұрын
Kaziii nzuriiii sana mungu azidi kukupa nguvu ww na watu wako
@ZainabuMathias-x6p4 ай бұрын
🎉🎉
@urembonaprinceszey4 ай бұрын
Eeeeh kipesile ni ya moto hata ukituekea masaa mawili bado tutasema ni kafupi kutokana na utamu unaotupatia❤❤❤❤
@Kidoaaisha4 ай бұрын
Wqtu haturidhiki😂😂😂
@IbraskaysksySkay4 ай бұрын
Ndyo@@Kidoaaisha
@urembonaprinceszey4 ай бұрын
Buda kaacha kuongea kwenye HEla kaja kuongea Kwa mwanamke duuuuh😂😂😂 mpaka huruma
@MakwanaJr4 ай бұрын
❤
@Rosianaorely4 ай бұрын
Kazi unayo baba mdogo ku muleya kipesile 😂😂😢
@BalqeesSaif-s7b4 ай бұрын
2nao ipend kipesele gong like bc from team gulf team fulus🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿
@FettyRashidy4 ай бұрын
Team Gulf team Strong tujuane jmn from mabela
@rashiabdalah38863 ай бұрын
Kwel kabisa❤
@JaffaryMuhammad-zr4tp4 ай бұрын
Yani sasa mwendo ni kiuchawi kwenda mbele tuone ipi itachukwa nafasi ya kwanza aise hii khatari🎉😂😂❤
@AminaMpallu4 ай бұрын
Kipesile umetisha bigup Kwa sanaaaaa
@AnnaShao4 ай бұрын
Kazi nzuri Sana hongereni Wanao ikubali kipesile gonga like apaa❤❤❤
@JumanineMkubwq4 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊
@wiljordShari4 ай бұрын
Noma sana kipesile
@MwanaidiRulimbiye-y7q4 ай бұрын
Afu wapo vizuri sana aise ktk kazi
@Kitufeactorfilm4 ай бұрын
Daaah watu wana wah Sana jamn Leo namm nimewah kutoka 🇧🇷🇧🇷🇧🇷🎉🎉🎉🎉🎉🎉Tuchek wote hiii move ni kali Sana kupta maelezo tujitahid nakusapoty vya kwetu jamn 🙏🙏
@zachariamakale4 ай бұрын
Zacharia omali makale from Kenya ningependa mtuonyeshe Shani na mama kipesile hao watu wako wap
@BoscoBigirimana-g4sАй бұрын
Niukwerisana
@MsafiryChitema4 ай бұрын
Huyu mtoto very much smart
@ramadhaniDengea3 ай бұрын
kweli jaman tuambien huyo kipesile ni msichana au mvulana❤❤❤❤
@nelvinikumilu12454 ай бұрын
Kaaay jamaa alikua karibu kidogo tu,ila naona piece kali kajisahau
@ramadhanchinanda20224 ай бұрын
Inapendeza sana👏🏾👏🏾👏🏾
@AMREAL_KE4 ай бұрын
Tamu hadi rahaa😂😂😂
@odhiambosamuel-u3l3 ай бұрын
Hapa nipo naenjoy sana huu filamu❤❤❤weeehh ❤❤😊
@nurafedrick3784 ай бұрын
Kumbeee ni bintttt loo.anakaa kiume kweli kweli😂😂 huyu mtoto kamchanganya ticha hadi anagonganishaa walimu na family zao
@Faines-qj1nt2 ай бұрын
Hongeraa sana kwa ujasir na kuvaa vzr uhusika wenuuu pia naomba movie zenu zihusishe na wachungajiii yan upande mwingne muwe na ombea upande mwingendo na kima hivoooo ni wazo langu tuuu❤
@HyacintheMunyana-bb9yi4 ай бұрын
Sasa kipesile ni binti au nijanaume😅😅😅
@RabiaSaid-sh1km2 ай бұрын
Ni mwanaume ila kaigiza km wakike 😂😂😂
@AlliyaSuya-w4dАй бұрын
Mwanaume
@NelphineMamyjayden4 ай бұрын
Mi naomba muongeze muda,ata mfikishe dakika 30mins ni tamu ila mnafupisha sana,alafu mwana wetu muigizaji ni wa like ama kiume nashindwa kuelewa otherwise creat job❤❤❤😂🎉🎉🎉🎉 from Kenya huyu ata like tatu tu,nijue ujumbe wangu umefika🙏🙏🙏🙏🙏
@SabariinAbdullahi-j6r3 ай бұрын
Mbona Chamani huo kipesile ni kijana ho Msijana 😂😂😂😂 this movie 🎥 l like Ebo hon gezeya
@MariamSaid-t9z3 ай бұрын
Wakiume😂😂😂😂
@YusraSiyaleo-yk2fz4 ай бұрын
Wa kwanza 😂😂😂😂😂 naomben like hata 10
@LoiceLoice-c1b3 ай бұрын
Hap Kwa Bibi ndio NME chek 😂😂😂😂😂😂
@Eunicemakokha-gc9ss4 ай бұрын
Kazi poa kwa wahusika wote inapampa kweli
@SelphineMusimbi4 ай бұрын
Kwan shani alikufanga cha ukweli,juu c muoni,she is agood actor hapo kwa uchawi❤❤
@SalomeMideva4 ай бұрын
Eeeh kipesile hatari mkuu Wa mahaba 🙉🙉🙉🔥🔥
@ramadhanchinanda20224 ай бұрын
Wow kipesile ni mzuri sana
@AdamOman-n2s4 ай бұрын
Umeangusha macho😂😂😂😂😂 jaman buku mbili noma
@DanielObare-z4r4 ай бұрын
Pia mm m wa kwanxa kutoka kenya🎉
@AgnessMirisho4 ай бұрын
uyu mwalimu akiona usiku waleo niiten mbwaaa😃😃😃😃😃
@AdahMichael-x9q4 ай бұрын
Woyooooo wanaomkubal kipesile weka like❤❤
@CharityMutheu-s2q4 ай бұрын
Yaani kipesile moto wa kuotea mbali😂😂😂yaaani Adery kazi hipo
@ShabanZuma-uk7fu4 ай бұрын
Wakwanza nipen like hata mbili plz
@egonymgani16094 ай бұрын
Nmeangaria kwa mara ya kwanza leo ila nimevutiwa sana
@Doriskapretty4 ай бұрын
Doris tena😂😂😂😂😂sijawai kua mchawi wee baba babu hii imeenda😂
@DivineBukeyeneza-h8v4 ай бұрын
Kipesile anafanya vizuri mungu akupe nguvu❤
@nurafedrick3784 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂yan anajifanya mpole huyu baba ataona mziki wamtoto huko nyumbani😂😂
@MussaChimbilimana4 ай бұрын
😁😁😁🤣buda nipunguwani wahakili na binamfananaga kipesire nimuto
@IddyMohamedi-w7i4 ай бұрын
Song of kipesile is nice 👍 beauty 😍
@مستورهالعنزي-ي6ه4 ай бұрын
Jamani tamu xna yaani haiishi hamu🎉🎉🎉🎉
@philipmutua66434 ай бұрын
Kwa hii movie mjue KIPESILE ndiye mkuu, la sivyo mtakula makofi vilivyo❤❤❤😂😂😂
@MungaiDerickSenior4 ай бұрын
Kipesile napenda kazi yako sana, Derick nukiwa KIAMBU COUNTY, KENYA...
@YusraMshomary4 ай бұрын
Niombeni like hat kumi tuu jmn wapendwa wangu❤❤
@NaomyJohn-hd4bq4 ай бұрын
Uwo ububuu wa buda nimechdka jamn😂😂😂😂
@DeoTarimo-n1j3 ай бұрын
Kipesile umetisha sasa
@AgnessMirisho4 ай бұрын
kipensel anawachora tuuu🤣🤣🤣🤣
@AnthonyMtongori4 ай бұрын
Kipesile noma sanaaa
@LatifaSaid-xk8tt3 ай бұрын
Tutaacha kuangaliaaas🙌🙌
@aderymasta3 ай бұрын
Habari tatizo la sauti likerekebishwa ... TAZAMA kwa kugusa link hii 👇👇 kzbin.info/www/bejne/bJ-meXypgdKoe8Usi=PCgEr-koTY9kduVg
@RoseKafedha4 ай бұрын
Kila mtu bc niwakwnza aya mm wa mwisho nipeni like zangu
@MWANAMVUAHYDROXIDE3 ай бұрын
Mbona inakaa kama maneno ya kuambiwa wakuuu 😂😂😂😂
@FatmaMfaume-n4r4 ай бұрын
Oya hii sio poa ❤❤❤❤❤❤❤
@williamesii3863Ай бұрын
Kazi nzuri adery ila Msiwe mnatoa sauti
@GladysKalu-r6t4 ай бұрын
Kazi safi sana wakuu🎉🎉
@ramadhanchinanda20224 ай бұрын
Vizuri kabisa
@Jawilayubujawil4 ай бұрын
Kazi ni nzuri endelea kupambana
@MakwanaJr4 ай бұрын
Sema uyu dogo anaweza sana kama na wew umekubali gonga like Yako apo tujuane
@IbraskaysksySkay4 ай бұрын
Ndiyo
@urembonaprinceszey4 ай бұрын
Mi sitaki likes ila kungekua na sehemu ya kulike mara ELFU Moja ningewapa likes zangu zote👍👍👍👍👍
@AnnkeziaMukeni4 ай бұрын
Kusema kweli nimeipenda movie kijana anafanya kazi zori sana.naipenda nikiwa hapa kenya
@salmanadjibu4 ай бұрын
Kazizur san japo nimejelewa siyo sana timu stronger nipeni lank atakumi
@Iryne-m6f4 ай бұрын
Kipesile, kazi safi sna🎉🎉❤
@joseeMwesh4 ай бұрын
pia mimi nimetoka Kenya ❤❤❤
@VivianKwamboka-w6t4 ай бұрын
Hii movie tamu sana ❤❤
@AnemiaRichardАй бұрын
Kipesile umetisha sana mimi pia ni mtoto muenzako napenda kuwa muigizaji ila nazalauliwa na umri wangu wa miaka kumi na moja 11 umetisha sanq❤❤
@focusrobert94274 ай бұрын
Mbna hii kubwa KULIKO 😂😂😂
@SelphineMusimbi4 ай бұрын
Shan angekua hapo pa uchawi❤
@SHABANISHABANI-rv8dn4 ай бұрын
Kipesile ni TOMBOY, hormone hazija balance hyu😅
@hamadiweko35674 ай бұрын
Kazi nzur sna aisee 🎉🎉❤ nawaombeni mainiache nyuma plz mkitoa episode tu inifikie kw haraka man dah! Alf kipesile umepigaje apo....❤😂😂😂😂
@JenniferRobert-ql6nn4 ай бұрын
Nimwanaume bwana
@IvoniByabula4 ай бұрын
Safi sana ❤❤❤
@NyangokoMjane4 ай бұрын
Finally ❤❤❤nilikua nasubiria kwa hamu
@MillicentMoraashMongeri-s8p4 ай бұрын
Movie nzuri adery masta ❤❤❤❤
@LukaLukasimiyuwanjala4 ай бұрын
AISHA HUYU KUTOKA KENYA JAMANI HUYU KIPESILE WAKIKE AU WAKIUME
@saudianew20454 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 nacheka hapo kwa pesa unasema wewe niwa kwanza kuona kwa vitendo
@jacklinejohnkombe16174 ай бұрын
Jamn budah kaogea ooooh
@JessieCandy4 ай бұрын
❤ l love this movie
@MauwaSuleiman4 ай бұрын
Mm mzamzibar kipesile ni mwanaumwe sio.mwanamke ❤❤❤
@Kitufeactorfilm4 ай бұрын
🧜🧜
@Irankundasadiki-yx1vf4 ай бұрын
Siyo biti ni kijana😂
@SabariinAbdullahi-j6r3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@LatifaSaid-xk8tt3 ай бұрын
Mnakelaaa kwenye sautiii
@SalamaNtazigaya4 ай бұрын
Jamani kamovie kasuri❤❤❤uk love you so much
@RoseOenga4 ай бұрын
Kipesile yaawa 🤣🤣🤣 hongera sana kazi safi ❤❤
@AnumileSanga4 ай бұрын
Kipesile mtoto hatari Sana.
@Frola-ym2nq4 ай бұрын
❤❤KWeli nyie noma sana
@jeskamathew-cs1hc2 ай бұрын
Nyie vipi mbona mnakata kata sauti mnazingua sana ebu lekebisheni ilo
@BoscoBigirimana-g4sАй бұрын
Hapana
@urembonaprinceszey4 ай бұрын
😅😅😅😅😅ety haya nenda kabebe lile tairi ukoroo kama mwanajeshi
@FlojepsАй бұрын
Love ❤❤
@AnumileSanga4 ай бұрын
Adery apongezwe
@GetrudaAndrea-ny4ku4 ай бұрын
Kumbe kipesile ni msichana😂😮
@MussaChimbilimana4 ай бұрын
Mbana anajina lakiume nimwanaume
@sophiakizenga4 ай бұрын
ni mwanamke jmn humuon na gauni@@MussaChimbilimana
@ZebuuZebuu4 ай бұрын
N kijana
@Joshua-o2f4 ай бұрын
Mm sijui
@Joshua-o2f4 ай бұрын
Kipieseli unatesa
@tatuhassani37694 ай бұрын
Nawakubali🥰🥰🥰
@HussenRamadhani-g9w4 ай бұрын
Kabs 🎉🎉🎉
@Velmawadenya4 ай бұрын
Kazi nzuri sana
@branbrankissofficial12734 ай бұрын
Huyu kipesile si ni mvulana huyu😂😂😂 3:34
@Awoshy4 ай бұрын
Msichana bhana😂😂😂me mwenyewe nilikua simuelewi😂😂😂ila alikwa anavaa sketi kwenye ile wiki baada ya kifo ndio nikajua wa kike😂