AKILI YA MBOWE IMEFIKA MWISHO.TANZANIA INATAWALIWA KIUFALME.DEMOKRASIA HAIWEZI KUONDOA UFAMLE.

  Рет қаралды 3,145

huduma ya kristo

huduma ya kristo

Күн бұрын

Пікірлер: 18
@Hefsiba-gs4zk
@Hefsiba-gs4zk 47 минут бұрын
Amina mtumishi unachosema kweli.
@precioussao7065
@precioussao7065 11 сағат бұрын
Mimi nakuelewa vizuri unachokiongea
@JosephLadisilaus
@JosephLadisilaus 14 сағат бұрын
Kwel mtumish ni watu walio ndan ya ufaulme tu ndio wanakuelewa uko sahihi ubarikiwe sana
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 12 сағат бұрын
Pole. Wizi wa kura hauuoni. Tutaona km Mhe Raisi akampisha Gwajima!! Ama la afe km ulivyotabiri. Yangu macho 😮!!
@JANEBGOYA
@JANEBGOYA 7 сағат бұрын
Kuhusu makanisa kufungwa hayafungwi na haitakuwa MILELE YESU HAJALALA
@JoshuaSalimu
@JoshuaSalimu 2 сағат бұрын
Sijakuelewa unaosema TZ kuna Demokrasia sijakuelewa umeiona demokrasia Gani unayoyoisemea
@JoshuaSalimu
@JoshuaSalimu 2 сағат бұрын
SHIDA YA MABADILIKO SIO MBOWE ILA TATIZO NI WANANCHI WENGI HAWAJAENDA SHULE WAMEISHIA ELIMU YA LASABA
@JoshuaSalimu
@JoshuaSalimu 2 сағат бұрын
Nimegundua Kuna mambo hujayaelewa kuhusu CHADEMA LENGO LA CHADEMA NI JAMII YA KIMATAIFA WAIPUNGUZIE MISAADA NA IMESHAFANIKIWA TAYARI , NA MUDA SI MREFU MISAADA ITAPUNGUZWA ambayo ni mafanikio ya chadema.
@AlexMlaba
@AlexMlaba 12 сағат бұрын
Uishi mile masihi wa Bwana
@KeiFerouz-fn9oc
@KeiFerouz-fn9oc 13 сағат бұрын
Lkn ni kweli democrasia ni upumbavu ni kitu ambacho kinawagawa watu wananza kuuana
@neliusgosbertbaguma8693
@neliusgosbertbaguma8693 11 сағат бұрын
LAKINI NAKUMBUKA, KAMA VILE ULIKUWA UNASEMA WATU WAONGEE, NA WAPIGE KELELE, UKASEMA AKINA MWAKASEGE HAWAPIGI KELELE!, LAKINI MAMBO YA MWILINI HUBADILISHWA KIROHO, WALA HAKUNA ANAYEWEZA KUPINGA
@sophiamalinga18
@sophiamalinga18 14 сағат бұрын
Sasa mamlaka unayo hakuna sbb ya kuwalaumu hao unaowalenga
@njanjimlwale
@njanjimlwale 9 сағат бұрын
Toa suhuhisho
@brightergermanus2163
@brightergermanus2163 12 сағат бұрын
HAWASEMI KWA SABABU MIOYO YAO IMEJAA WIVU NA UBINAFSI
@asheryruboze4930
@asheryruboze4930 12 сағат бұрын
Ndo uiseme Sasa hiyo njia ya kutumia
@malackedson7706
@malackedson7706 11 сағат бұрын
Toka hapo chawa ww.
@yonasimion3130
@yonasimion3130 10 сағат бұрын
Soma kwenye Biblia, sio kwenye simu.
@durangobasics6195
@durangobasics6195 22 минут бұрын
Tofauti ni nini? Nikisoma kwenye biblia " I am the light of men" na nikisoma kwenye simu " I am the light of men " tofauti ni nini? Unamwambia asome kitabu kana kwamba nguvu iko kwenye kitabu. Nguvu iko kwenye maandiko. Wewe umeangalia hii clip kwenye kitabu?
ISHARA 7 ZINAZOONYESHA ROHO MTAKATIFU YUMO NDANI YAKO - Innocent Morris
1:07:20
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 2,4 М.
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,9 МЛН
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,2 МЛН
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 80 МЛН
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 111 МЛН
Leo #MariaSpaces tunajadili Uchaguzi 2024 - tubanane na CCM au tususe?
4:00:57
MIPANGO YA KUMUUA MAMA SAMIA NA GWAJIMA.
34:11
huduma ya kristo
Рет қаралды 52 М.
Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile, | 17/10/2024
41:02
Kikosi kazi cha injili🎖
Рет қаралды 621
KAKOBE Kuhusu VIDEO ya GWAJIMA, Amtaja MAKONDA Hadharani
29:18
Global TV Online
Рет қаралды 100 М.
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,9 МЛН