Kwel mtumish ni watu walio ndan ya ufaulme tu ndio wanakuelewa uko sahihi ubarikiwe sana
@upendoeliya932912 сағат бұрын
Pole. Wizi wa kura hauuoni. Tutaona km Mhe Raisi akampisha Gwajima!! Ama la afe km ulivyotabiri. Yangu macho 😮!!
@JANEBGOYA7 сағат бұрын
Kuhusu makanisa kufungwa hayafungwi na haitakuwa MILELE YESU HAJALALA
@JoshuaSalimu2 сағат бұрын
Sijakuelewa unaosema TZ kuna Demokrasia sijakuelewa umeiona demokrasia Gani unayoyoisemea
@JoshuaSalimu2 сағат бұрын
SHIDA YA MABADILIKO SIO MBOWE ILA TATIZO NI WANANCHI WENGI HAWAJAENDA SHULE WAMEISHIA ELIMU YA LASABA
@JoshuaSalimu2 сағат бұрын
Nimegundua Kuna mambo hujayaelewa kuhusu CHADEMA LENGO LA CHADEMA NI JAMII YA KIMATAIFA WAIPUNGUZIE MISAADA NA IMESHAFANIKIWA TAYARI , NA MUDA SI MREFU MISAADA ITAPUNGUZWA ambayo ni mafanikio ya chadema.
@AlexMlaba12 сағат бұрын
Uishi mile masihi wa Bwana
@KeiFerouz-fn9oc13 сағат бұрын
Lkn ni kweli democrasia ni upumbavu ni kitu ambacho kinawagawa watu wananza kuuana
@neliusgosbertbaguma869311 сағат бұрын
LAKINI NAKUMBUKA, KAMA VILE ULIKUWA UNASEMA WATU WAONGEE, NA WAPIGE KELELE, UKASEMA AKINA MWAKASEGE HAWAPIGI KELELE!, LAKINI MAMBO YA MWILINI HUBADILISHWA KIROHO, WALA HAKUNA ANAYEWEZA KUPINGA
@sophiamalinga1814 сағат бұрын
Sasa mamlaka unayo hakuna sbb ya kuwalaumu hao unaowalenga
@njanjimlwale9 сағат бұрын
Toa suhuhisho
@brightergermanus216312 сағат бұрын
HAWASEMI KWA SABABU MIOYO YAO IMEJAA WIVU NA UBINAFSI
@asheryruboze493012 сағат бұрын
Ndo uiseme Sasa hiyo njia ya kutumia
@malackedson770611 сағат бұрын
Toka hapo chawa ww.
@yonasimion313010 сағат бұрын
Soma kwenye Biblia, sio kwenye simu.
@durangobasics619522 минут бұрын
Tofauti ni nini? Nikisoma kwenye biblia " I am the light of men" na nikisoma kwenye simu " I am the light of men " tofauti ni nini? Unamwambia asome kitabu kana kwamba nguvu iko kwenye kitabu. Nguvu iko kwenye maandiko. Wewe umeangalia hii clip kwenye kitabu?