Pongezi kwenu wanaharakati kwa kutupambania wananchi tusio na sauti tunatamani Tamisemi isiwe na mamlaka ya kusimamia uchaguzi lkn tunashindwa kupambana juu ya hilo Mungu awaongoze awape nguvu afya ushindi tupate🙏🤲
@davieswillson978219 сағат бұрын
Yani kunawatu wanalipambania taifa Ili ... Tunawapongeza sana na mungu yuko mbele yenu
@marieconnect63892 сағат бұрын
Amina
@SebastianCharleskayanda20 сағат бұрын
Jaman watanzania tungewekewa namba yakuwapa hela yakuwekea hata mafuta nauli ili wajue kuwa watanzania wamechoka ujinga wao
@marieconnect63892 сағат бұрын
Kweli kabisa.
@efremmwalongo82820 сағат бұрын
Hongereni sana sana mawakili kutusaidia raia
@festokemibala583218 сағат бұрын
Raia, wa aina gani? Tupe ngeli za hao raia ambao hata sheria hawazijui na zinatumikaje
@marieconnect63892 сағат бұрын
@@festokemibala5832 mh Maneno makali hayo. Wewe sheria unazijua vizuri?
@marieconnect63892 сағат бұрын
@@festokemibala5832 raia wote wanajua sheria? Usitukane raia wengine bila sababu ya maana
@JosephineKabuka19 сағат бұрын
Makamandaaaa nimewakubaliii tuko nyuma yenuuuu!❤
@elinamilyamuya327714 сағат бұрын
Hongereni sana viongoziwetu. Wananchi tupo nyumayenu. Mwenyenzi MUNGU atawalipa mudawenu
@isayaanthon706313 минут бұрын
Asanteni sana sana watanzania wenzetu kwa kutuwakilisha ipasavyo. Hofu inabaki kwa zile simu zinazo pigwa kwa majaji.
@jamaldaud-e4d12 сағат бұрын
Tunawakubali Sana mawakili wetu tunafurahishwa Sana jinsi mnavotutetea wanyonge tusio na sauti nafikiri ifikie wakati watanzania tuangalie namna ya kuwachangia hata pesa ya mafuta ya gari tu Hawa makamanda wanatuwakikisha vyema Sana dhidi ya manyang'au ya nchini kwetu
@ChristerKoku18 сағат бұрын
Mama Nkya umesema kweli,vyama vya siasa vinapigana vikumbo kujianfikisha hadi kuandikisha mamuruki,bila kujali haki za msingi zinalindwa wanapenda tu ovyo ovyo.
@AyubuChacha-u6u17 сағат бұрын
Waandishi wa habari mbona hawapo ni jambo tv tu mungu awabariki sana jambo tv tunaona yawesekana ni kama 16:29 vingine ni vya ccm.
@leocadianjau741018 сағат бұрын
Kwa kweli judge akisimama katika haki akatoa maamuzi ya haki atainuliwa kwa viwango vya juu na ataandika jina lake kwa wino wa dhahabu...wenye nchi ni wananchi...Mungu akatuonekanie tume huru ni sasa...
@leokamil628418 сағат бұрын
Asipo Linda ugali wake kwa kusikiliza amri kutoka juu.Haki huinua Taifa tunayo nchi moja Tanzania tuitendeeni haki tuipende
@fadhilimsafiri2165 сағат бұрын
Asanteni kwa kutusaidia
@NicolasLauwo-gl4kx18 сағат бұрын
Asanteni sana mungu awabariki sana haluta kontunyua mapambano yaendelee mungu awabariki
@AyubuChacha-u6u17 сағат бұрын
Mungu awabariki sana wanaotetea wanchi wao hongeren sana.
@AlexAbraham-w9e21 сағат бұрын
Safi sanaa wakuu
@victoriabernard528719 сағат бұрын
Hongereni sana Mungu awe nanyi kila hatua.
@AyubuChacha-u6u17 сағат бұрын
Hongeren watetez wa haki na kweli ila angalia wasiwapige muda mwingi kwan wana maana ngani angalau TLS na taasisi za kidin wasaidie mbali si tamisemi maana hao ni makada wa ccm mungu awape maisha mazuri mawakili na waliopeleka kesi mahakana tupo pamoja nanyi angalau kwa maombi.
@cyprianpetetmbonde637417 сағат бұрын
Mungu awasimamie mawakili mnaosimama upande wetu wananchi 🙏
@ChristerKoku18 сағат бұрын
Hao ni wawakilishi wetu yunawapenda na kuwaheshimu.Mungu aliona hilo.
@danielkanso17 сағат бұрын
Hongereni sana mawakili kwa kutusema kiukweli hatua ya tamisemi kusimamia uchaguzi kwanza hatuikubali japo waziri anatumia nguvu kubwa lakini hatutaki
@ChristerKoku18 сағат бұрын
Gharama ni kuhakikisha haki inatendeka,ili kulinda maisha na heshima ya taifa letu.
@TwalibuKimaro-th5mv18 сағат бұрын
Ni ushamba tu kuendelea na uchaguzi wakati kesi yakupinga Bado na kudharau mahakama zetu ni aibu kwa taifa
@emmanuelpeter97444 сағат бұрын
Hekima ya Mungu kupitia roho mtakatifu akamuongoze Jaji kutoa hukumu iliyohaki na kweli. Na wote wenye nia ovu Mungu akashughulike nao kama apendavyo yeye maana CCM imekuwa mtesi wa nchi 😭😭😭😭 Mungu awabariki na kuwalinda wasomi wetu kwa kutupigania watanzania
@bonifacerobert29605 сағат бұрын
Vyama vyote vya siasa, hili hatuliono?
@nestoryvenance425818 сағат бұрын
Ndio kazi ya mawakili tusaidieni maana katiba ina waruhusu kuyafanya hayo Mungu atawasaidia tupo nanyi.
@majidukalokola725319 сағат бұрын
Hii kesi iko wazi sana hata kwa mtu ambaye siyo mwanasheria, kwamba siyo haki hata kidogo kwamba Tamisemi isimamie uchaguzi ambao waziri husika ana masilahi nao, lakini pia hata sheria hairuhusu kufanya hivyo.
@leokamil628418 сағат бұрын
Ni dhulma tu za viongozi na kutufanya watanzania wote tu wajinga. Wamezoea hayo bila kujali bila aibu
@jeremialyati609218 сағат бұрын
Majibu tayari yameshatoka Mudathir keshapokelewa
@Thevineyard988911 сағат бұрын
Tunajua na kuelewa kuwa mahakama zetu, majaji na mahakimu wa mahakama zetu wako kwenye makwapa ya serikali - CCM ambayo ndiyo inakiuka sheria kwa maslahi yake. Lakini tuelewe kwa ukubwa kabisa kuwa, Mungu wa mbingu na nchi akiamua kubadilisha hali na mambo, anaweza kubadilisha chochote kwa kuwatumia watu wanyonge kabisa na wanaodharaulika. Mungu anaweza kumtia upofu jaji na kugeuza akili na ufahamu wa hakimu aliyehongwa ili apindishe haki kwa kumfanya atoe maamuzi ya haki mpaka kila mtu atabaki ameshangaa. Mimi naamini Liko jambo kubwa linakwenda kutokea nchini kwetu. Nauona mwisho wa CCM na uonevu wao. Mungu amesikia kilio cha Watanganyika. Yuko tayari kutuokoa na kutukomboa toka kwa mahayawani hawa wa CCM wasiojali haki
@RebekaMwalongo-og8hc8 сағат бұрын
Ameeen 🙏🙏
@marieconnect638923 минут бұрын
Amina. Mungu ametusikia vilio vyetu.
@marieconnect638920 минут бұрын
Mungu atatenda maajabu yake kwa taifa hili. Hakuna wakumshinda Mungu. Watu wote watajua kuwa Mungu wetu ametenda maajabu yake katika taofa hili. Naamini kabisa itatokea tena muda si mrefu
@barakamwamasage-hy2jo20 сағат бұрын
Mungu analipenda sana hili Taifa Mawakili wetu wanafanya kazi nzuri sana ila Wana Nchi tunashida Kubwa sana tunavunja sana Moyo
@leoncebenjamin810719 сағат бұрын
Well done
@essaumapunda576619 сағат бұрын
Big up watetezi wa wanyonge
@SichivulaGevasi18 сағат бұрын
Hangereni sana mungu mawakili
@nestoryvenance425818 сағат бұрын
Yes
@ZaidAKissinza18 сағат бұрын
Dada Ananilea Nkya, usiseme ukamaliza maneno hukumu bado, mpaka tarehe 25, usishangae ukisikia Tamisemi imepewa rungu. Sijui utafanyaje siku hiyo.
@lindakapongo842120 сағат бұрын
asanteni MUNGU IBARIKI TANZANIA
@allyngoda76116 сағат бұрын
Pia kuonyesha kiburi kuendelea na utaratibu wa kujiandikisha na wakati kesi iko mahakamani..! Dalili zinaonyesha wanajua hakuna chombo chenye mamlaka ya kusimamisha uchaguzi
@festokemibala583218 сағат бұрын
Mama Nkya, unashukuru kabla ya hitimisho? Hukumbuki Rostam alisemaje na wala hakuwahi kukanusha wala kuambiwa alete ushahidi na la ashitakiwe!
@nestoryvenance425818 сағат бұрын
MAHAKAMA zetu zipoje na huwa wanamasilahi gani mbona kama haki zetu huwa zisikilizwi.
@ManaseNassary15 сағат бұрын
Watumushi wa tamisemi ni makada wa ccm. ItakuwJe kusimamia uchaguzi wa vyama vingine? Kesi ya mbuz unampa simba atoe hukumu?
@ChristerKoku18 сағат бұрын
Mimi sielewi kama uandikishaji unaondelea uchaguzi za serikali za mitaa kama umeandaliwa vizuri,yanayosemwa yapo,wapenda nchi tutetee nchi yetu kuna watu wanamdanganya mama Samia,rais anamambo mengi yakufanya.
Majibu ya Mahakama ni kutupilia mbaliii kuleeeeeh , Niko pale nimekaa😮😮😮
@FocusmachumuMwizarubi21 сағат бұрын
Sahihi wakuu
@KasalamaAlly19 сағат бұрын
Mungu tusaidie Wananchi tushinde kesi hii,huyu Waziri si wa ccm? Hawa ccm 😢hawana hofu ya Mungu
@AyubuChacha-u6u17 сағат бұрын
Mawakili mpo vizuri ila shida ni moja mahakama wanapokea maagizo kutoka juu kwa ccm shida ndio hiyo ila muwemacho sana.
@IssaMsalama-k6x14 сағат бұрын
Ndio maana muhamko umekuwa mdogo wa wananchi kujihandikisha,wata wala wanatumia mabavu kuenderea kutawala,sisi watanganyika ni wazembe mahiti zinazo tembea,
@StanleySewando-nb4xm15 сағат бұрын
Toeni namba tuchangie mafuta mawakili wa utetezi
@adelinelyaruu303621 сағат бұрын
It is unprecedented. Wither democracy, justice, and the rule of law😢😢😢😕😕😕
Yaani unatoa ela mfuko wa kulia unaweka wa kushoto,suluwali hiyo hiyo,wekeni tume huru,
@mfwimiekayuki869219 сағат бұрын
Je? MAHAKAMA YETU ITATOA HUKUMU YA HAKI KUHUSU KESI HII?
@mussakimaro558821 сағат бұрын
Nchi hii inatakiwa ifanyiwe usafi maana tunaona mengi ya ajabu ajabu
@AliSalim-yu4mo20 сағат бұрын
Nyani jmnii
@laxmagoma789720 сағат бұрын
Kwa mahakama zetu siku iliyopangwa kusomwa hukumu, kuna uwezekano wa kuahirishwa na kusogezwa mbele kupisha uchaguzi.
@Kwelihukuwekahuru19 сағат бұрын
Hata kama uchaguzi utakuwa umefanyika mahakama ina mamlaka ya kubatilisha na kuufuta ndiyo maana huwa kuna chaguzi za marudio ikithibitika uovu au kasoro kwenye chaguzi gharama za uchaguzi hazina faida zaidi ya haki na demokrasia
@rebekakulwa615920 сағат бұрын
Mafsimu yatatoa maelekezo watanganyika tukose haki yetu
@mpendamema369420 сағат бұрын
Hii wanawavutia mpaka mwezi wa 11 pengine hadi siku ya uchaguzi wanapiga kalenda
@MakameAly20 сағат бұрын
Mahakama yao ccm ila muungu tuu asimamiye
@ChristerKoku18 сағат бұрын
Vyama vya siasa ni ulaji tu.
@raphaelmkosamali105619 сағат бұрын
Tunapoteza muda tu hatuna mahakama Tanzania .
@SmilingAnacondaSnake-sp8ct18 сағат бұрын
Tatizo hizi mahakama zetu hazitoi haki ngoja turned ukweli uko wazi tamiccm haiwezi kusimamia uchaguzi kama wanavyofanya sasa kwenye uandikishaji kuna mambo mengi ya hovyo
@ChristerKoku18 сағат бұрын
Rostum alisemaje? Ee mungu baba watu wa heshimu viapo vyao.
@MustaphaSeleman-z7c11 сағат бұрын
Uzawa wamwabukusi awajawai kufer
@raphaelmkosamali105619 сағат бұрын
Tufunge nakuomba ili kila kiongozi anayechezea haki yetu watanzania afe.
@justardzelphine652618 сағат бұрын
Mimi niliwambia waache kukimbiza mwenge karne hii hawanielewi
@ChugaYechu27 минут бұрын
CCM hata aje nani hakuna mwenye huruma na fetha zawatanzania,hivyo nivema tu mungu alete sodoma na gomora
@Mjeda-q1m19 сағат бұрын
Jaji anateuliwa na rais *rais ni mwenyekiti waccm wazili wa tamisemi mchengelwa anateuliwa na rais huyohuyo mchengelwa anachofanya ni kwa maslahi ya ccm na rais unategemea jaji atawasikiliza waleta kesi au itasikiliza maelekezo toka juu ? Jaji mnampa wakati mgumu sana kwa kesi hii wakati jaji anategrmea apande cheo kumbukeni kesi ya mbowe nayule jaji ilivyokuwa. Mmm mungu yupo tusubili
@Juma-e8l16 сағат бұрын
Pia mchengelwa ni mkwe wa Madam president 😅😅😅
@AliSalim-yu4mo20 сағат бұрын
Kesi ya Nani na Ngedere haki itakuwepo!
@stephensooi524819 сағат бұрын
Kama ulikwenda darasani utajua ni kesi ya nani vinginevyo mmmhhh.
@JohMwita20 сағат бұрын
nawapa pongezi kambope ila sizani kama mahakama hii tulio nao ita...... sizani kama wakitenda haki nitamini mahakama iko free
@evelina962119 сағат бұрын
Wazirl.wa.temisemi.hasiki.na.masirahi.anayoyajua.
@philemonsnyanda945021 сағат бұрын
Mi ninavyoona hapo majaji watapewa maelekezo na kesi itatupiliwa mbali na hapa wapinzani wanaonewa sana maana hata saiv kwenye kujiandikisha ni filigisu tyuuu
@saimonseleka879218 сағат бұрын
Ccm ni wakolofi nyie! Subulini haya matokeo ya hii kesi mtaendelea kuwajuwa
@JosephineKabuka19 сағат бұрын
Kwanini wachukue muda mrefu hivyo inamaana hawana muda mpk baadaya mwezi? Hili ni changa la macho!
@MalkiadiNaano16 сағат бұрын
Hivi kweli mnasema gharama siyo kitu,yaani kodi zetu mziharibu kwa kisinginzio cha uharakati ,subirini nguvu ya umma tar 27/11/2024 mtajionea hasira ya wananchi kama kweli mnawakisha wananchi au nafsi zenu
@Shabani-uz1sb20 сағат бұрын
Mnapoteza, mudamnataka, Umarufu
@DAVDChalse-db6tz20 сағат бұрын
Kumanyoko unatakiwa kuuawa wewe
@EmmanuelKiula19 сағат бұрын
Umaarufu gani? Hao hawana haja ya umaarufu, Wana umaarufu tayari!
Sio kesi ya Watanzanìa Acha kudanganya watu ya hao Waliokutuma
@rushydahmed917919 сағат бұрын
hujui kitu ndio sababu unasema, sio kesi ya watanzania. unakasumba ya uccm, hata neno 'KWA NIABA' hulijui maana yake. pole sana..
@AmisiLulacha19 сағат бұрын
Kumbe wapumbavu niwengi nchini
@leokamil628418 сағат бұрын
@@AmisiLulachawengi mno ndio maana tunatendewa mambo kama haya ya Tamisem kusimamia uchaguzi maana wajinga wengi na waoga wenye kujipendekeza kwa maslahi yao.tumegeuzwa wajinga kwa kuwa na wajinga wengi
@Juma-e8l16 сағат бұрын
Kamuulize aliyekuzalia gest kama si ya wananchi😂😂😂