TUUNGANE KWA LIKE,HAPA TUNAO AMINI MUNGU,KATUPA NABII WA KWELI TAIFA LA TZ,
@richardmakweta88756 сағат бұрын
Tunashukuru Sana Mungu kwakutupenda ,mioyo ya wtz wengi imeyeyuka kwani tunaona hakuna tumaini kwetu,kwani tunaona wazi kabisa Kuna Mambo yakukaa nakuzungumza ili Taifa liende salama lakini Sasa Vime ngia vitisho na mauaji Kana kwamba kunakikundi chawatu fulani tu kuwa wao Wana hati miliki ya Taifa hili .Tunaomba Mungu atutetee .Asante Sana Mtumishi wa Mungu
@gracebwimbo18892 сағат бұрын
UMENENA VYEMA INATI SHA SANA,ILA BWANA WA MAJESHI YUPO MTETEZI WA WANYONGE
@norahfrank2 сағат бұрын
Hata Mbowe.hawatamweza kwa jina la Yesu
@janengaga2928Сағат бұрын
Ya Rohoni hutambulika na wa rohoni.. MUNGU MKUU ponya Taifa letu.Amina
@malkiarosemuhando33106 сағат бұрын
Mungu aendelee kukufunulia yaliyo sirini
@EstherEsamaMagero3 сағат бұрын
Amen 🙏 Mtumishi wa Mungu na iwe hivyo
@victorkisenha59336 сағат бұрын
Mimi nimekuwa nakufuatilia na upo sahihi, endelea tupo pamoja,
@odiliaamnaay44296 сағат бұрын
Mtumishi wa Mungu Bwana azidi kukutumia ili nchi yetu itoke kwenye sintofahamu.
@Glorydavid248Сағат бұрын
😢😢 Jamaniii sisi tunataka tuandamane tu sio kuuwawa Haki yeye ni mwanamke tu hata km anakosea labda wasimamizi wake pia wanasibabisha ila kuongoza nchi nzima ni jambo gumu San ukiwa mwema Sana kama ghadafi ila alikufa kikatili
@AlexJoel-h4m6 сағат бұрын
Mi namjua mungu wa isaka na yskobo itoshe kusema yamungu yatimie ila nakuombea mtumishi wa mungu maana inaweza ibuka mipango ya kinyume na wewe naa itashindwa
@frankkaminyoge33575 сағат бұрын
Mwaminini BWANA Mungu wenu, hivyo mtathibitika, wasadikini manabii wake nanyi mtafanikiwa.
@HaikaFoya-m5r3 сағат бұрын
J Gwajima yeye ni jitu la mbinguni hawa muwezi.
@RichardRere6 сағат бұрын
ACHA stvini alitumikie kusudi lilimleta duniani ACHA kumshauri kupunguza ukali wa maneno
@malkiarosemuhando33106 сағат бұрын
Nashangaa!!
@SamwelMdamanyi3 минут бұрын
Cc my la
@gilliansiara33245 сағат бұрын
Kwa unabii huu mtumishi, wa box huko very deep sijui kama naelewa
@victorrobert77973 сағат бұрын
Ubarikiwe sana 🎉mtu wa Mungu
@ElizaCharles-qj4he4 сағат бұрын
Nabii. Au mwalimu sibishana na ww mungu azidi kukupa maono
@jizzomonster5 сағат бұрын
Huyu jamaa ukimskiliza kwa umakin unaona kama anakitu flan kama una D na F moja huwez kuelewa
@ZaidAKissinza5 сағат бұрын
Tangu umeanza kutabiri huo uzushi wako hakuna hata siku moja umesema ikawa, kwendraaaa
@MerichoPeter6 сағат бұрын
Mungu wetu wa mbinguni tunakuombea usiruhusu tena warinde viongozi wetu amina
@NeemaEdwin-s4d2 сағат бұрын
Ww umechukua hatua gani kama mtu wa Mungu kweli,hafii mtu hapa Mungu akiwa upande wetu ni nina aliye juu yetu
@dassustephen7315 сағат бұрын
Mambo mengine magumu sana.Bora kuyasikikiza na kujikalia kimya
@richardnganya23115 сағат бұрын
Woga au ? Neno linasema "mkinyamaza mawe yatasema".. Wenye shingo ngumu mshahara wao upo mlangoni !!
@tumainimayala81872 сағат бұрын
Ndoto njema sana..wewe mwache aendeee na safari afe😂🙏🏾
@nunumrisho65485 сағат бұрын
Mungu pekee ndie ajuwae atakuwa lini wapange Yao Mungu anajuwa yake
@NimethNdelwa4 сағат бұрын
Amina mtumishi utufundisha soma la kutoa zaka ili tubarikiwe
@hermanclemence77282 сағат бұрын
Amen, Mtumishi wa Mungu
@margarethpolepole74383 сағат бұрын
Wamekosa nini mpaka wauwawe jamani mbona tunafikia huko Mungu tusaidie Mama Samia kakosa nini mpaka wamuue Mungu mlinde
@margarethpolepole74383 сағат бұрын
Yesu tunaomba Amani tulinde na uwalinde waja wako
@peterbalyagati78345 сағат бұрын
Omba Mungu awaepushe na kifo hao wanaotaka kuwawa
@RoseMayige-gn9qb16 минут бұрын
Damu ya Yesu ikuffiche na wasiojulikana maana ukweli hautakiwi!
@frankkaminyoge33575 сағат бұрын
Ninakushukuru Mungu kwa kuwa wewe ni mwema na fadhiri zako ni za milele
@fredgonga51 минут бұрын
🚶mhhh! Nitarudi kucoment baada ya uchaguzi!
@jumamaulid946257 минут бұрын
Duuuuuuu! 1.Gwajima yeye mwenyewe ni nabii, hajaoteshwa kuhusu hao wanaotaka kumuua, ila umekuja kuoteshwa wewe!! Nafikiria sana sipati majibu. 2.HIVI kila ndoto ni kweli? Mpaka ndoto hiyo ikufanye uwe shujaa wa kuzungumza hadharani? 3.Ukiwa kama nabii ulipaswa uwe ni mtu wa faragha na siri pia, Kwa ndoto kama hiyo ulipaswa kumfuata huyo Gwajima na hata Mheshimiwa Rais ukawaeleza kwa siri na heshima yao. Badala ya kusema kama hivi hadharani. 4.Nabii anayejichekesha hovyoooo......
@3349-c7l6 сағат бұрын
Daaah huu unabii mmmh
@dotomanda-h9q4 сағат бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwakazi unayofanya ila nasikitika ujumbe wako nimeuona after UK 7/49 lunchtime results imeshachezwa ningewini bet leo maana hizo ndoto kuna namba tatu ambazo ningeweka hela ningewini maana Rais ni namba moja (1) Gwajima kwavile ni anajulika ni namba 2 au 8 au 44 treni ninambari 11 ni mbili tu katika hizo namba ambayo haijatoka siku yaleo 11=44 zimetoka lunchtime 8 imetoka teatime jioni hii tena imechezwa as a bonus. Thank you mtumishi but from now, will follow you
@MaryamMohammed-bi9cy3 сағат бұрын
Wewe huyo bwana kakuotesha kifo chako utakufa vipi nalinii au utakaa maishaa
@dotomanda-h9q3 сағат бұрын
@@MaryamMohammed-bi9cy mimi siyo niliyeoteshwa na cjui chochote kuhusu unabii ila kwakuwa wewe ni muisilam ndiyo maana unabisha ila ndoto hizo zingekuwa anazisema Mwaipopo ungemuunga mkono ( kumsapoti) ila usiwapuuze watumishi wamungu either muisilam au mkristo maana mungu sikwamba anampa ufunuo kila mtu hapana. Kwamfano mm hapa mke wangu nimuombaji mzuri sana tena anaona sana mtu akiwa namatatizo kwamfano kunatukiyo lakupotea mtoto huko Tanzania aliyekwenda mlimani nawalimu ameshaliona lile nahuyo mtoto amechukuliwa na ndugu yake mfanyabiashara kimazingala lakini mke wangu yupo malawi sasaki acheni kuwadhalau watumishi
@DaudaBilikesi4 сағат бұрын
Wanasaikolojia watusaidie,huu ugonjwa wa nabii huyu unaitajwe au mpaka mrudi maabara!. Anasaidiwaje mtu huyu na watakaomwamini !
@janethmwihumbo1289Сағат бұрын
Mungu akufungue ufahamu wenye hekima tu ndo wanaelewa,,
@moddysunshine6618Сағат бұрын
Bajaji ina tairi za treni 😂😂😂. Huyu akapimwe mkojo. Bora abaki kuomba zaka
@ericrukamba680245 минут бұрын
Wacha,uwongo, mbona mnatudanganya kama mazuzu?😂😂😂😂
@Leeeeeeee-963 сағат бұрын
asante mtumishi
@KhamisiSalimu2 сағат бұрын
Mama haondoki nyuma yke ana mazito wewe hujui wala hayo mandamano hayawi huyo mama anaasili ya kipemba anaulinzi mkubwa na kma wewe unauwona ulinzi wke usingal sema kitu amejipanga kisawa sawa ukijaribu tu kumuuwa bas unaondoka wewe.
@JohnKaliadi3 сағат бұрын
Katika jina la yesu mama hafi
@rogerabdallah4393 сағат бұрын
Mimi natabili baada ya mama utakufa wewe
@NeemaEdwin-s4d2 сағат бұрын
Hafii mtu hapa
@neemanziku5403Сағат бұрын
Gwajima utaishi kwa jinala yesu
@FellaMbogela24 минут бұрын
NIMEKUWA MPINGAJI WA MANABII WENGI SANA, HASA KUPITIA MITANDAO, ILA HUYU BWANAMDOGO MARA NYINGI UNABII WAKE AU NDOTO ZAKE NI ZA KWELI 100% MWANZO NILI MPUUZA HATA KWA COMENT KUNA SIKU NILIANZA KUPINGA SIKUMALIZA COMENT ILE NIKAFUTA BAADA YA SIKU CHACHE NIKAONA WATEKAJI NA WASIO JULIKANA WAMEANZA KUJITOKEZA AKAJITOKEZA TENA AKASEMA BADO WATAJITOKEZA WENGI TENA AKASEMA MUNGU AMEMWAMBIA WOTE WATAJULOKANA HAPO NDIPO NILIANZA KUOGOPA UKUU WA MUNGU
@upendoeliya93297 сағат бұрын
Ameeeeeeeeeeeeeen!!
@jizzomonster5 сағат бұрын
😂😂😂
@komangohill59576 сағат бұрын
Wishiful thinking imetawala hapo.
@user-jl5un4wf3u4 сағат бұрын
Iam in think thepopularity of bishop Gwajima in.Tanzanzania. If.heis fit to that post or Unfit....
@EmmanuelKolambo-ig6js5 сағат бұрын
Mwalimu,unakula kuwa ulishatabiri kuwa atakuwa rais watanzania ni Josephat Gwajima,Lea unasema mama atauwawa na Gwajima,je huyu Mungu ni kigeugeu?
@odoieriasmonga6591Сағат бұрын
kama mzaha lakini ni kweli sisi tulio kwenye ulimwengu wa roho tunaelewa
@smallscaleminingsupplies96702 сағат бұрын
Hii nchi inabidi hospital za ugojwa wa akili ziongezwe, kuna watu hawapo sawa kabisa, mmoja wapo ni huyu jamaa
@janethmwihumbo1289Сағат бұрын
Pole sana
@elizabethmgassa7243Сағат бұрын
Anayepanga kumuua gwajima ajipange
@victorrobert77973 сағат бұрын
Amen
@zariadunia63283 сағат бұрын
Watu wanahangaika ila Allah anawazoom tu mnaohangaika na wanadamu wake
@FrankasamisyeMwaiswasu7 сағат бұрын
Utabiri wa uwongo wa Hali ya juu
@nkwazigatsha3 сағат бұрын
Acha uchawa kwa kutumia jina la Mungu. Mtaweka nchi kwenye machafuko tokana na njaa zenu kumbaff kabisa sheitwan mkubwa. Umetumwa na Gwajima tapeli mwenzio katika jina la Bwana? Kwanini polisi hawamshiki huyu akawapa ukweli. Hata kiswahili chenyewe hajui.
@norahfrank2 сағат бұрын
Usiyoyajua Acha.utapigwa na Mungu
@mahmoudabokar49566 сағат бұрын
Wacha kutafuta umarufu na kutafuta njia ya kula na kutafuta pesa.
@JamesKanyenda-y9y6 сағат бұрын
Ujumbe umefka mtumishi
@mariaanthoniangowi93765 сағат бұрын
Wewe ni mwongo namchochezi, sikuamini
@EmmaroseJosephСағат бұрын
EE BWANA LIEPUSHIE HILI JAMBO KWA JINA LA YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI
@reginas1832Минут бұрын
Mh. Lema hivi hivi wakati wa magufuli
@gilliansiara33245 сағат бұрын
Tushike lipi nabii,nimeshapotea
@pennymahombo95284 сағат бұрын
Isaya 58:1
@studio..074 сағат бұрын
Mimi mwenyewe nakuamini
@manfordmkinga4080Сағат бұрын
Huyu bado hajaokoka ila anamidomo ya kujiendekeza nikwambie Gwajima hayo na hawezi kuwa Rais
@janethmwihumbo1289Сағат бұрын
Mbingu zimesha mchagua
@manfordmkinga4080Сағат бұрын
@@janethmwihumbo1289 Mungu hachagui vipofu kama hawa wenye jina hai ila wamekufa (ufunuo3:1-2)
@victorrobert77973 сағат бұрын
Ninyi mnaompinga mtumishi hamna Mungu ,roho mtakatifu hutufunulia yaliyo sirini
Utabili WA uongo ? Wahuni Tanzania wapo kimywa kimywa nyie mmesinzia
@OmmyJames-xn7ji6 сағат бұрын
MAPALOKO NDIO HATARI KWA JAMII 😢
@helsonjonathan4 сағат бұрын
Kabishoo flani ivi akapendi kazi kana certificate ya thiorojia 😂😂😂
@dennisezakiel33806 сағат бұрын
🤣😂😂😂😂😂😂 acha ujinga wewe
@TeloAwor3 сағат бұрын
Acha ujinga Gwajima ni nani mpaka auwawe ana nini cha maana?
@albertinamichael61233 сағат бұрын
MUNGU aponye Nchi.
@Selemlaki1325 сағат бұрын
Utakula mb zetu nyingi
@eliezergama70733 сағат бұрын
unakuwa kama kiboko ya wachawi?
@gilliansiara33245 сағат бұрын
Mtu wa ndani ni kiboko,
@mejamiela74366 сағат бұрын
Na gwajima kvp
@RehemaMbilinyi-i2e2 сағат бұрын
Mpoteano
@brightergermanus21633 сағат бұрын
UNAPOTOA UNABII WA KIFO CHA MTU MKUBWA KAMA HUYU KICHEKO KINATOKA WAPI ?????? MMMMMMM. MHU
@samwelmatemu88733 сағат бұрын
Watumishi wa.shetami
@saidali76443 сағат бұрын
Njaaa tuu hio ulonayooo.
@SalimuMshangama-fv1vc8 минут бұрын
Hiyo bangi
@salummsangi46455 сағат бұрын
Mbabaishaji na unabii wake feki!
@margarethpolepole74383 сағат бұрын
Toeni uongo wenu huo ujumbe wenu hata hatuelewi watauwawa na nani
@andrewkissava91842 сағат бұрын
Wewe utaelewaje mambo ya MUNGU nawakati wewe ni paganism kwendaa chawa mkubwa wewe
@Selemlaki1325 сағат бұрын
Huyu ni mpinzani tu
@davidwatson68214 сағат бұрын
Mmmh!
@eliezergama70734 сағат бұрын
unasoma meseji?
@davidwatson68214 сағат бұрын
Kwa hiyo mtumishi wewe uko upande gani???
@justinlusambo945419 минут бұрын
Na iwe hivyoo
@allyshaban4066 сағат бұрын
Heti hadi 2035
@anethachengula12582 сағат бұрын
ACHENI PROPAGANDA. GWAJINA NI NANI KUUAWA!!!!!
@ZaidAKissinza5 сағат бұрын
Acha uongo, huna unabii wowote wewe hovyooooo
@RichardRere6 сағат бұрын
Ww unayesema huu ni utabiri wa uongo,, kwa hakika wewe ni kipofu
@eliezergama70734 сағат бұрын
mbona unatisha watu?
@japhetmwakagugu19686 сағат бұрын
Nasikitika nimepoteza MB zangu kukusikiliza kidogo wewe nabii wa uongo. Mama ana ulinzi wa Mungu wa kweli aliye hai.
@MichaelMatiku-v7o6 сағат бұрын
Mama anasema ana interijensia hiyo jamii inayotaka kumuondolea huai aitomuweza 😂😂😂😂😂😂
@dassustephen7315 сағат бұрын
Kifo kikifika hakinaga cha intelligentsia.Bora tumuombee Raisi wetu
@MichaelMatiku-v7o5 сағат бұрын
@@dassustephen731 muombee wewe angekuwa rahisi wetu angekuwa na roho ya utu Kwa wengine anasema kifo ni kifo angeuliwa mwanae angesema ivyo ? Mshahara wa dhambi ni mauti ....
@dassustephen7315 сағат бұрын
@@MichaelMatiku-v7o Simaanishi namuunga mkono mambo yake au Kauli yake ya wiki hii, rahasha siungi mkono kabisaaa wala Mie simuungi mkono Kwa mambo yanavyoendeshwa Kwa sasa. Nilichomaanisha NI kwamba Kumuonba Mungu yeye anajua amfanyajeyaani Mungu amuongoze ili apite njia sahihi au Mungu anaweza kumuadhibu vile vile Kwa njia arakayoona inafaa.
@edwindavid70376 сағат бұрын
😳😳😳
@allykimbulaga88856 сағат бұрын
Mungu hashindwi kuokoa au kuangamiza alichokiumba haitaji msaada kwa alichokiumba pia kwahiyo kusema kwako hakuna faida yoyote kwa alivyoviumba kama angetaka kukupa siri ni kwakua amekutunuku tu sio kukuambia ukaseme kwakua kusema kwako hakuzuii alichokipanga nazani huyo ni shetani amekutuma uchonganishe watu tu mungu hana sifa hiyo unayotuambia akiamua hata wewe uliyeota usingeamka acha propaganda na kuchezea akili ya watanzania hiyo ni mipango yako na wajinga wenzako tena polisi tz ingependeza kukukamata wewe na kukuhoji ni bora kuliko kukamata wapinzani
@ramadhan1222 сағат бұрын
Wewe ni mungo na mzandik kadanganye watu wajinga
@karebukaminyoge7 сағат бұрын
Daaa nikushauri punguza ukali wa maneno tafuta namna ya kufikisha ujumbe kwa mhusika endapo kweli mungu anakusemesha
@SalimuMshangama-fv1vc9 минут бұрын
😢😅
@mahmoudabokar49566 сағат бұрын
Makonda leo kasema kuna mapadre feki. Mojawapo ni huyo.
@samwelmatemu88733 сағат бұрын
Mwongo sana wewe
@Mahershalalhashbazi-kf6xiСағат бұрын
Uongo wake upo wapi?
@samwelmatemu8873Сағат бұрын
@@Mahershalalhashbazi-kf6xi hilo analo sema litatokea sio
@Mahershalalhashbazi-kf6xiСағат бұрын
@@samwelmatemu8873 umejuaje wewe ndo swali langu? Yeye ameshuhudia Mungu ndiye kasema naye;wewe umeshuhuduwa na nani kuwa anaongopa?
@margarethsolomon98234 сағат бұрын
Huwa sikuelewagi ndugu. Josephat Gwajima atapitaje kwenye zile kamati 5 za CCM hata apate upenyo wa kugombea hata awe Rais? Hizo zitakuwa ni NDOTO za mchana.
@AsyaOmari3 сағат бұрын
ndoto itakua inakuhusu wewe ndie utotangulia kabla ya mama Alla amlinde mama yeti na ampe umri mrefu