Ivi ukiota unapita njia yenye mto myama anatokea mtoni yupo kama kenge ana miguu 6 upande miguu 3 na upande mwingine miguu 3 anaanza kuvamia kila mtu anaepita njia ile ina maana gani?
@jesaminzo7 сағат бұрын
Ukweli mtupu!
@rehemapaul4328 сағат бұрын
2:59
@juliuskitaluka12069 сағат бұрын
Ukweli mchungu
@DeoSulle9 сағат бұрын
Tamaa
@anoldishengoma422910 сағат бұрын
We jamaa ni comedian mzuri sana, napenda kukusikiliza😂😂😂
@allyshaban40610 сағат бұрын
Mungu aendelee kuku bariki katika utumishi wako
@agnessangawe384410 сағат бұрын
MCH MSIGWA ANANIKUMBUSHA MH.MAREHEMU NYERERE ALIPOSEMA KUN A VIONGOZI WENGINE NI MALAYA MALAYA WA CHAMA.
@agnessangawe384410 сағат бұрын
Mch. Msigwa namshangaa sana. HANA YOFAUTI NA KINYONGA. NI KIGEUGEU SANA.REJEA MAZUNGUMZO YAKE KABLA YA UCHAGUZI. ULISEMA UNGEKUBALIANA NA MATOKEO.UMELAMBA MATAPISHI YAKO MWENYEWE. ULICHOKISEMA HAPO AWALI NA ULICHOKIFANYA.TAMAA ZAKO HIZO ULIPOSHINDWA KWENYE UCHAGUZI NDO UMEHAMA NA KUYAONGEA MABAYA. UNGESHINDA USINGEONGELEA CHADEMA MABAYA
@user-bx3ko9ft5t11 сағат бұрын
Nchiii hii watumishi wengi wana subili bahasha za viongizi ila kukemea maovu hawataki hawaamiki hawa
@AdelinaAloys12 сағат бұрын
Huyu Msigwa amepungukiwa na akili wapendwa tumuombee
@dennismcharo163112 сағат бұрын
Mtumishi upo sahihi kabisa AMEN na imetendeka
@dennismcharo163112 сағат бұрын
Msigwa ni askari yote
@user-dy5fn6qj1q12 сағат бұрын
Wafarisayo walimwendea yesu wkamuuliza ni haki kulipa kodi kwa kaisari au kuto zaka(sadaka) yesu aliwajibu ya kaisari mpeni kaisari naya mungu mpeni. Mungu sasamchungaji msigwa wewe ni mfarisayo au mchungaji mfwasi wa yesu acha siasa achana na utaheshimika hata. Mbele ya munguuuu tusjarbu kushabikia huku mfarisayo huku mchungaji mwishooo mbaya kuwa mpole asiache mbachao kwa msala upitaoo usinye kwenye pagali ulilo jifcha mvuaaaaa. Siku ukirudi akafika kwenye pagali lile mvua zikanza ukaingia mule kwenye pagali uliyekunya utajiuliza nani alikunya humu pagalini utatukana kwa huuyu siyo mstarabu utakua unajitukana mwenyewe ulikunya wakati ukienda hata hukuu CCCM utakuja jichanganya tuwe makini. Waliorudi ccm kistarabu walitamka nimerudi nyumbana yalitosha huyo. Ni mstrabu Msgwa ukiwa kwe nyumba ya gorofa na vyooo asiteme mkoozi uwatemee walio chini usatupe mawe kwenye bafu ya makuti isyokua na paa maskini anapooga na mkewe maskini atakapo gudua upo juuu garofani ulikua unwangaliaya bafuni wakioga na kuwatupia mawe fikiraa atakachoamu kama ni weweeeee acheni kufukua makaburi umehamia kwetu CCM kwa mstrabu na mungu atakuongoza hayupo mkamilifu 100/1000 Kwenye hiii dunia asante sanaaa
@janengaga292812 сағат бұрын
Siasa na mpira ni mambo ya kuwa nayo makini.Mungu ni mtakatifu hafurahishwi na michanganyo.
@YoelLufunga12 сағат бұрын
MSIGWA ULITAKA MBOWE AKIACHIE CHAMA KILICHOTUMIA MUDA WAKE MWINGI ILI KIFE KAMA VYAMA VINGINE VILIVYOKUFA? HONGERA SANA MBOWE . JENGA CHADEMA IENDELEE MBELE. Msigwa anatia aibu sana.
@BenedictoMatinya13 сағат бұрын
Mimi nafikiria kuwa ccm kama mnaakili muwe makini na Msigwa akikiosa cheo hata huko atahama yaani yeye ameondoka chadema kwasababu amekosa cheo hivyo hata huko amefuata cheo akikiosa anahama
@oam14l13 сағат бұрын
Uchungaji wa Msigwa umekwisha.
@bernardmushi486914 сағат бұрын
Kama CHADEMA NI SACCOS YA MBOWE basi tumpe MBOWE 🎉 yake maana vyama vingine vilivyoanza na CHADEMA vimekufa,lakini CHADEMA NI CHAMA KIKUU CHA UPINZANI kwa uongozi makini wa FREEMAN AIKAELI MBOWE.Hata URUSI wamemwona PUTIN anaweza na wamemwongezea muda.
@AdamNgokas14 сағат бұрын
Huyu ni tamaa za maisha kisa mh Joseph mbilinyi kushinda nae kachukia
@LucyNgaiza14 сағат бұрын
Haleluya Mtumishi wa Mungu
@juliusjohnii782314 сағат бұрын
Msigwa Hana maana yoyote, hana hoja yoyote,. Anajua Mwenyewe aliyoyafuata ccm. Na kama ni kweli kuna video msukuma Mbunge alimsema kabla haja hama . Ukiiona hio utashangaaaa sana. Ikiwa ni kweli hawa akina msigwa watoke kuitwa Wachungaji Kwa matendo hayo, huo ni uchafuzi wa ukiristo wetu.
@user-bx3ko9ft5t15 сағат бұрын
Mtumishi nimekuelewa sana kwa ulio ongea natamani nijue kanisa lako liko wapi na nita tuma sadaka
@stanleytouwa15 сағат бұрын
HALELUYA MTUMISHI WA MUNGU.
@stanleytouwa15 сағат бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa MUNGU.
@SaidShombe16 сағат бұрын
Duuuh kaka umefikia kuongea na mungu wako hapo sikuelewi omba sasa unataka kweli mnatudanganya juwa hata cc tuna ufahamu
@olipaabongo630716 сағат бұрын
Mlafi huyu.
@SaidShombe17 сағат бұрын
Mhhh mbona msigwa anatowa povu ila hamkuona ya lowasa sumae nyalandu nini hofu yenu napata shida kuwaelewa kabisa kila mtu na ufahamu wake mpeni uhuru wake
@user-jl5un4wf3u17 сағат бұрын
Kipendarohokulanyama mbichi siasa ndivyo ilivyo inaruhusiwa kuhamiachamachochote ili mladi achape kazi ili waliomkataa aje ashindane nao baadae sisitunatakakuvunawanachama ndiyo siasa ilivyo.
@user-ef2ln1mx3s17 сағат бұрын
Sasa msigwa ataungepewa uwenyekiti ungekiuza chama kwa mkopo kama bandari kuanzia Leo wewe sio mchungaji ni shetani
@user-ef2ln1mx3s17 сағат бұрын
Usionbe kuwa hovyo uzeeni na msigwa Kawa hovyo uzeeni
@user-ef2ln1mx3s17 сағат бұрын
Msigwa amenikumbusha msemo wa Kila shetani na mbuyu wake kakaza lakini kaona utajili wa nchi inaisha yeye kabaki na chadema kaona nae apate za bandari na mbuga zetu kia msigwa ni tamaa na mpumbavu
@MusaOgwoko18 сағат бұрын
Matope
@NorbethJosphath-hm1zb18 сағат бұрын
Heli angeenda Estii wazalendo sio ccm maana wote wanaenda jehamu kwa kumuone mpina
@jumakiduka462523 сағат бұрын
Ndio unasema nini, nyie kila siku kuoteshwa tu Rubbish
@CatherineJohn-uo1tq23 сағат бұрын
nimekuelewa sana mtumishi Mungu akubariki.
@rastheunique23 сағат бұрын
Binafsi nalielewa sana neno lako mtumishi
@leokamil628423 сағат бұрын
Hafai kuaminiwa je wewe nani akuamini ?
@pastoraminimgallahКүн бұрын
Kumbukeni mungu hadaganyi
@BavaBava-lz8vfКүн бұрын
Msigwa ni Virus
@margarethpolepole7438Күн бұрын
Kwani kwenda kwake ni kutaka madaraka mbona ccm wengi wamekwenda Chadema hiyo ni Siasa kawaida tu cha ajabu ni nini
@SeverinMagwaya16 сағат бұрын
mtaje mkubwa yeyote aliye hamia CCM na amebaki huko!!
@margarethpolepole743815 сағат бұрын
@@SeverinMagwaya Wengi tu hii simu janja umeipata jana nini hujui kitu pole waulize waba Chadema wenzio mshamba mkubwa
@philemonkafyulilo7128Күн бұрын
Jamani hiyo ya kusema mch.hapana huyo ni mwanasiasa anatafuta nafasi na anasema wamekuwa wakidanganya sasa kama ni mch.ilikuwaje akawa mwongo na baada ya kutambua basi angeachana na siasa kabisaaa
@alexkalloa9817Күн бұрын
Mimi kama binadamu, kila chama kina udhaifu, ila chadema ni saccos siyo chama, namuunga mkono mchungaji Msigwa.
@user-bx3ko9ft5t15 сағат бұрын
Akili zako nifupi bila upinzani usingejua maovu yanchii hii
@ezekielkiduge873010 сағат бұрын
Uchawa ni shida sana ni kama ugonjwa wa ukoma
@alexkalloa9817Күн бұрын
Mtumishi huwa nakuelewa sana. Unazo neema na karama za unabii na ualimu, unajua sana kufundisha unabii unaofunuliwa.
@geraldmassawe2663Күн бұрын
Huyu ni msaliti na usaliti wake utajulikana mwezi november baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa. Alidanganywa kama mtu asiyekuwa na malengo.
@stevenmarunda4353Күн бұрын
Njaa nimbaya sana nakamwe siwezi mwamini mwanasiasa
@faustinebahenobi3412Күн бұрын
Swali je endapo angeshinda nyasa angeamia ccm?
@christophermwampashe465Күн бұрын
Bora kuwa mwenyekiti wa milele kwenye chama kuliko kuwa mwanachama wa kuhamahama vyama.
@johnchanzi610Күн бұрын
Huyu nitamaa ya madala anajua lalsi atampa uwazili