Azizi ki bado yupo sana tuliosoma cuba tunajua namna Rais Engineer alivyoweka tesheni kuwavuluga makoloo ni vile Harmonize huwa anafanya
@mariamemadoshi554019 күн бұрын
Hauwezi kua uzembe wa vioongozi club ina bajeti ya kufanya usajili kama amepata pesa nyingi ulaya acha aende tu mimi sishangai namwombea
@KarokiaNdirango-lj3wf19 күн бұрын
Azizi K hata mwakani haondoki yupo mpaka 2026
@DANIELMAYUNGA-bm4mp18 күн бұрын
Haijaisha mpaka iishe mie najua kiii master yupo sanaa jangwani
@mombasa007618 күн бұрын
TUACHE UDAKU NA TUSUBIRI HABARI ZA KUAMINIKA.❤
@LinnahRaphael18 күн бұрын
aziz ki akitaka kuondoka aondoke tu yanga tuache kung'ang'ania mchezaji huenda hatafanya vizuri msimu ujao
@herrymsagati327019 күн бұрын
aziz ki bado mchezaji wa yanga acheni woga
@selemanmcharazo19 күн бұрын
Hivyo hukumbuki Mayele Ilikuwa hivi hivi,mi naona kama imeisha hiyo.
@francisjustus-zc8se19 күн бұрын
Sio mbaya ndo maana ya soka acha akatafute marisho sehem nyingine
@mariamemadoshi554019 күн бұрын
Mimi nilikua naomba gwede angebaki hata kama azizi akiondoka hakuna shida timu bado ni nzuri yanga bingwa tena
@PendoJacob-t3r19 күн бұрын
Yanga ni kubwa kuliko Aziz Ki
@user-iz3hs8jl5p19 күн бұрын
myie mnafikiri watapataje ela bila kuwafanya mazombi ili waongeze ela
@Elihurumamathew19 күн бұрын
Yanga wakiondoka gsm na hersi saidi hapo ndipo yanga tutayumba ila siyo mchezaji nyinyi hangaikeni na wakina debora mpagama wachezaji waliofeli kwenye timu zilizomaliza nafasi ya 13 nahao waliotoka kwenye timu zilizoshuka daraja mwisho wa msimu tukutane tuone nani bingwa nani atamaliza nafasi ya 4 kushuka maana bingwa yanga nafasi ya 2 azam wanaofwatia hapo hatujui
@marcobulili434119 күн бұрын
Je wenzetu MO akiondoka itakuaje!? Kolo wameugua ujinga kwa MO
@daudimichael733819 күн бұрын
Comments zenu mngezitoa kwenye Yanga TV, huyu scope atazipeleka wapi? Kwanza mshamba tu, heading yake na habari yenyewe hata havifanani.
@Hope-ok9dy18 күн бұрын
Acha ukuma wewe kahaba mchovu kuma nini wewe
@kelvinbinemungu393918 күн бұрын
Kwan yanga haiwez kucheza bila Aziz ki??
@KindambaMtunje18 күн бұрын
Mtaisoma naomba mwaka huu
@MikidadiNyangi19 күн бұрын
Azizi k anapenda hela sio yanga vip wewe acha ushamba asiende ulaya abaki kuwa masikin yanga
@costantinemgalle191018 күн бұрын
Wanahabari wavichochoroni! Tena hata aibu hamna! Kichwa cha habari hakihusiani na content iliyopo. Mnafikiri huu ni ujanja lakini, kwanza mnachafua uwanahabari, afu pia yani mnajiharibia kazi. Siku nyingine ukiona Scope Media piga chini tu....mnawafanya hadhira yenu kama vile mambumbu ivi.....
@shabbirbharmal787619 күн бұрын
Kama aziz ki kweli anaondoka asiondoke😢
@marcobulili434119 күн бұрын
Guede alianza kuingia kwenye mfumo wa Gamond na alianza kuwa mwepesi kiwanjani alichangamka! Kwa vile nmpira basi imekuwa. Ila Baleke ndiyo lkn namuonaga kolo sana yule afu duka
@JohnsoniNyaulingo-lj9qc18 күн бұрын
Guede imekuwaje mbon jamaaa anafunga saan mechi chache kmzid mpk kibu
@mariamemadoshi554019 күн бұрын
Nyie mashabi wenzangu mwacheni aende anakoona panamfaa yanga ni kubwa na bado tu atimu nzuri acheni kulala mika kwasababu hata mkisema mlazimishe hawezi mpira ni biashara achenj nayeye akajaribu kama mayele tumpe mau yake tumwombee akafanye vizuri huko aendako tuache lawama jamani
@JosephChalle-y1c19 күн бұрын
Viongozi wawe wakwel nasiokujizimisha dat
@AmanaAmos-hv3yz19 күн бұрын
Gwede abaki jamani please
@user-wl4yo4zp9t19 күн бұрын
Utopolo chukueni baleke NY is ndio dampo la Simba okoteni tu
@IsabelaElasto19 күн бұрын
Wasenge mlichokiandika namlichokisema tofauti
@stevensosipita19 күн бұрын
GUEDE ILIKUWA TUMVUTIE MUDA NI BONGE LA STRAIKA LAKINI YANGU MACHO
@aishakhamis71419 күн бұрын
Mimi yanga usajili wa baleke kwangu sio mzuri bola geede
@yunusimchala656919 күн бұрын
Hamia Simba hauwezi kumpangia Gamondi nani wa kumsajili kwani ww unatoa hela
@user-em2sd9tm1n19 күн бұрын
Wewe bora bareke
@user-fe6bf3td2q19 күн бұрын
haondoki ni drama tu zinachezeshwa maana hawana habari za kuongelewa tofauti na jambo la chama ambalo limezima, ki aziz kasaini jangwani kwa kandarasi ya miaka miwili, hamna lolote tunadanganywa kama watoto
@charleskuyeko440019 күн бұрын
Mnajitekenya na kucheka wenyewe. Huo ni uzwazwa wa kizamani.
@martinkabazo841219 күн бұрын
Atawavuluga vyula cmba miaka 30 hatuchukui
@SumiziBalungula19 күн бұрын
Ameondoka we siunaona Aly alivyopoa
@ChenjeTz-z7o19 күн бұрын
Nyie mmezingua kam mmemtoa ki aziz
@JoshuaMgeni-f2c19 күн бұрын
Baada ya Manisha Kuna aisha mengine
@abdisalim790018 күн бұрын
Wanasimba mashabiki makini na bora ndani ya Bara la Afrika msiingie kwenye Propaganda za Aziz Ki,hz ni propaganda za Utopolo za kujitekenya na kucheka wenyewe.Achaneni kabisa na hy habari hakuna mnaingizwa nyinyi tu ktk vita bandia ya maneno
@adelinapesha655619 күн бұрын
KAMA KWELI YANGA ITAMUACHIA AZIZ KI, BASI YANGA HAINA MALENGO NA HAINA MPANGO NZURI WA KUCHEZA CLUB BINGWA AFRIKA. KWANI HIYO B. 1.3 YANGA IMESHINDWA KUTOA KUMBAKIZA AZIZ KI? SI BORA KUPUNGUZA WACHEZA UKAMBAKIZA AZIZ KII. KUONDOKA KWA AZIZ KUNAWEZA KUBADILISHA KABISA MFUMO. NI MAONI YANGU TU!!!
@josephgalandu12819 күн бұрын
Aliyesema AxizikAondoka ni Enginiaer au wewe???
@godfreydidas257519 күн бұрын
Unatafta kiki kptia simba 2mexhakuxanukia wa kuzimia
@mekushop19 күн бұрын
Ni kweli Azizi kii anaondoka
@IssaTamba-qh1gi19 күн бұрын
Tunatengeneza content
@GidionAlex-p5w19 күн бұрын
Kama Aziz ki ameondoka yanga daaa
@dullahtz712919 күн бұрын
Dampo fc 😂😂😂 mnawachukuwa kwa mbwembwe mnawaacha kwa matatizo wakiwa simba ni wazee wakija kwenu wanakuwa vijana hahahaha 😂
@anithawidambe754319 күн бұрын
Azizi ki amesaini Yanga
@mustaphasegeja171219 күн бұрын
Mwachen aende simba
@daudlubugwa469619 күн бұрын
Km azizi k km ameondoka niuzembe wa viongozi hapo
@akidajulius158119 күн бұрын
Sio uzembe jaman watu walimpenda sna, lkn mda mweingine hawa wachezaji wa kigeni wakiona wamemliza msimu kwa mafanikio wana leta dau kubwa sna ambalo hata kama ww ndio bos lazima uwangalie malambili, nini utaenda kukipata baada yahilo , mtu anataka bilioni 1,ndio asaini na mshahala kila mwezi milion 60,hiyo hela mtu mmoja kweli? Kwani anacheza pekeyake pale uwanjani? Je hawa wengine watajionaje, msilaumu viongozi mda mwingine nawao wanashindwa lakufanya,
@makingongosha673819 күн бұрын
Boya
@mustaphasegeja171219 күн бұрын
Aziz ki nan mwache aende
@OswardMandikilo19 күн бұрын
Mtakoma na bado
@amosrumbeli408119 күн бұрын
Ki is red
@user-fe6bf3td2q19 күн бұрын
mnakusanya hela kijanja
@user-wi9bp4uo4j19 күн бұрын
Siku ukimiliki akili utatusumbua sana
@user-hu2vo1jm8o19 күн бұрын
namna yakujiunga tuelekeze
@bashirukajembe416519 күн бұрын
Kwakumtoa gwede kiukweli wamechemsha
@daudlubugwa469619 күн бұрын
Mmebolonga hapo mmeferi hamuna chenu
@errydeo886519 күн бұрын
Umelipa card yako ? Umeisaidiaje club yako?
@mwanangusana19 күн бұрын
😂😂😂😂 jifunze kuandika
@selemaniramadhani21819 күн бұрын
Kama huna D mbili huwezi kuelewa hapo
@Dulajuma19 күн бұрын
Mwamba asiondoke
@user-zi3iu3es5i19 күн бұрын
Nonsense
@chiefnumborecords481919 күн бұрын
Mmemtoa Guede jamani KWELI mnamleta Baleke daaah pia kama Azizi akiondoka yanga viongozi mtakuwa mmefanya UZEMBE mkubwa sana ila pia namtabiria shekhan Ibrahim kufanya vizuri msimu ujao apewe tu nafasi
@nsajigwamwakalinga359119 күн бұрын
Wewe baleke ni Bora kuliko guede
@irenejameskijoyee538019 күн бұрын
Wamefanya uzembe gani?? Mpira ni biashara acha propaganda
@mwanangusana19 күн бұрын
Baleke sio Guede
@user-nz2rw7sj9i19 күн бұрын
Huwezi Fanya biashara na mtu ambaye TAYARI amesha maliza mkataba wake! Walikuwa wapi wasimshawishi akaongeza mkataba mapema!@@irenejameskijoyee5380
@francisjustus-zc8se19 күн бұрын
Ww nawe n bangi viongoz wana kosa gana hapo akati mchezaji mwenyewe ndo anachagua
@francisjustus-zc8se19 күн бұрын
Washabiki tunaferi sana kwan utamng,ang,ania mchezaji mmoja mbaka lini hakati mpira ni biashara mwaka jana hakua na msim mzuri na tukatoboa kwahiyo mchezajia hakipata marisho mengine muache aende tu
@happysanga684619 күн бұрын
Yanga acheni kutuweka loho juu kama Aziz mmeshindwa kumsajilj semen acheni kujing'atang'ata
@BensonBenjamin-dl7lb19 күн бұрын
Ally kamwe tunamtaka aziz kiii
@NoelKiwike-wc8wh19 күн бұрын
Ombaomba fc
@GervasKhalfan19 күн бұрын
Leo sitaki kukomenti chochote ila ngoja nihesabu 1-1000 nipumzishe kichwa 01,02,03,04,05,06,07,08,09,10,11,12,13,14,15,16,17,18,19,20,21,22,23,24,25,26,27,28,29,30,31,32,33,34,35,36,37,38,39,40,41,42,43,44,45,46,47,48,49,50,51,52,53,54,55,56,57,58,59,60,61,62,63,64,65,66,67,68,69,70,71,72,73,74,75,76,77,78,79,80,81,82,83,84,85,86,87,88,89,90,91,92,93,94,95,96,97,98,99,100,101,102,103,104,105,106,107,108,109,110,111,112,113,114,115,116,117,118,119,120,121,122,123,124,125,126,127,128,129,130,131,132,133,134,135,136,137,138,139,140,141,142,143,144,145,146,147,148,149,150,151,152,153,154,155,156,157,158,159,160,161,162,163,164,165,166,167,168,169,170,171,172,173,174,175,176,177,178,179,180,181,182,183,184,185,186,187,188,189,190,191,192,193,194,195,196,197,198,199,200,201,202,203,204,205,206,207,208,209,210,211,212,213,214,215,216,217,218,219,220,221,222,223,224,225,226,227,228,229,230,231,232,233,234,235,236,237,238,239,240,241,242,243,244,245,246,247,248,249,250,251,252,253,254,255,256,257,258,259,260,261,262,263,264,265,266,267,268,269,270,271,272,273,274,275,276,277,278,279,280,281,282,283,284,285,286,287,288,289,290,291,292,293,294,295,296,297,298,299,300,301,302,303,304,305,306,307,308,309,310,311,312,313,134,315,316,317,318,319,320,321,322,323,324,325,326,327,328,329,330,331,332,333,334,335,336,337,338,339,340,341,342,343,344,345,346,347,348,349,350,351,352,353,354,355,356,357,358,359,360,361,362,363,364,365,366,367,368,369,370,371,372,373,374,375,376,377,378,379,380,381,382,383,384,385,386,387,388,389,390,391,392,393,394,395,396,397,398,399,400,401,402,403,404,405,406,407,408,409,410,411,412,413,415,416,417,418,419,420,421,422,423,424,425,426,427,428,429,430,431,432,433,434,435,436,437,438,439,440,441,442,443,444,445,446,447,448,439,450,451,452,453,454,455,456,457,458,459,460,461,462,463,464,465,466,467,468,469,470,471,472,473,474,575,476,477,478,479,480,481,482,483,484,485,486,487,488,489,490,491,492,493,494,495,496,497,498,499,500,501,502,503,504,505,506,507,508,509,510,511,512,513,514,515,516,517,518,519,520,521,522,523,524,525,526,527,528,529,530,531,532,533,534,535,536,537,538,539,540,541,542,543,544,545,546,547,548,549,550,551,552,553,554,555,556,557,558,559,560,561,562,563,564,565,566,567,568,569,570,571,572,573,574,575,576,577,578,579,580,581,582,583,584,585,586,587,588,589,590,591,592,593,594,595,596,597,598,599,600,601,602,603,604,605,607,608,609,610,611,612,613,614,615,616,617,618,619,620,621,622,623,624,625,626,627,628,629,630,631,632,633,634,635,636,637,638,639,640,641,642,643,644,645,646,647,648,649,650,651,652,653,654,655,656,657,658,659,660,661,662,663,664,665,666,667,668,669,670,671,672,673,674,675,676,677,678,679,680,681,682,683,684,685,686,687,688,689,690,691,692,693,694,695,696,697,698,699,700,701,702,703,704,705,706,707,708,709,710,711,712,713,714,715,716,717,718,719,720,721,722,723,724,725,726,727,728,729,730,731,732,733,734,735,736,738,739,740,741,742,743,744,745,746,747,748,749,750,751,752,753,754,755,756,757,758,759,760,761,762,763,764,765,766,767,768,769,780,781,782,783,784,785,788,789,790,791,792,793,794,795,796,797,798,799,800,801,802,803,804,805,806,807,808,809,810,811,812,813,814,815,816,817,818,819,820,821,822,823,824,825,826,827,828,829,830,831,832,833,834,835,836,837,838,839,840,841,842,843,844,845,846,847,848,849,850,851,852,853,854,854,855,856,857,858,859,860,861,862,863,864,865,866,867,868,869,870,871,872,873,874,875,876,877,878,879,880,881,882,883,884,885,886,887,888,889,890,891,892,893,894,895,896,897,898,899,900,901,902,903,904,905,906,907,908,909,910,911,912,913,914,915,916,917,918,919,920,921,922,923,924,925,926,927,928,929,930,931,932,933,934,935,936,937,938,939,940,941,942,943,944,945,946,947,948,949,950,951,952,953,954,955,956,957,958,959,960,961,962,963,964,965,966,967,968,969,970,971,972,973,974,975,976,977,978,979,980,981,982,983,984,985,986,987,988,989,990,991,992,993,994,995,996,997,998,999,1000
@user-em2sd9tm1n19 күн бұрын
Oya umekunywa pombe gani imekufanya uhesabu 1 hadi 1000
@SurprisedMacawBird-qh7dg19 күн бұрын
Joseph guede alikuwa mchezaji mzuri
@user-nz2rw7sj9i19 күн бұрын
Azizi Ki akiondoka ni uzembe wa viongozi kwakweli kwani Mwenyewe anaipenda Yanga na muda wote amekuwa akiipambania timu .
@mimiraia253119 күн бұрын
Kama hawa wezi kulipa hela anayotaka, wafanyeje?? Cristian Ronaldo aliondoka Man U kwenda Real Madrid, unadhani Man U walitaka!
@LoveVoice-c6t19 күн бұрын
Munatuona bwabwa pira nyie Aziz Aziz kaa kaondoka simuseme fatuma nyie
@user-uh7to2kw2z19 күн бұрын
😂😂
@ChenjeTz-z7o19 күн бұрын
Nyie mmezingua kweli kam mmemtoa aziz ki
@hamidmussa83819 күн бұрын
Ahmed Ali Juu!
@GraceMbulu-rp8ko19 күн бұрын
Haondoki mbona hajaongea kitu kuhusu aziz na nyie acheni uongo
@JohnsoniNyaulingo-lj9qc18 күн бұрын
Unamleta libalek la nin halafu kwanin mnang'ang'ania mchezaji akitoka simb si tunamchukua me spend
@GidionAlex-p5w19 күн бұрын
Kama Aziz ki ameondoka yanga daaa
@errydeo886519 күн бұрын
Kwani Aziz hakuikuta Yanga!? Hivi watu akili zenu zikoje? MAYELE hakuondoka, Fei hakuondoka? Wachezaji wote huja na kuondoka! Akiondoka ni fursa ya kuja mwingine KUENI KIAKILI!! ALIYEKWAMBIA ATAFIA YANGA NANI? AENDE!