HAJI MANARA AWASHA MOTO KWA WACHAMBUZI KUKATAA DIARRA, AZIZ KI NA CHAMA KWENYE IDADI YA WACHEZAJI TZ

  Рет қаралды 12,450

Manara TV

Manara TV

Ай бұрын

HAJI MANARA AWASHA MOTO KWA WACHAMBUZI KUKATAA DIARRA, AZIZ KI NA CHAMA KWENYE IDADI YA WACHEZAJI TZ

Пікірлер: 83
@mutsdimkami6677
@mutsdimkami6677 Ай бұрын
Nakukubari brother Manara you're very right 100%
@eckreygelard7791
@eckreygelard7791 Ай бұрын
Amazing football interview for this 2024. Ubarikiwe sana Manara, umeongea ukweli mchungu
@user-cf4dg7se5j
@user-cf4dg7se5j Ай бұрын
Nice brooo umemwaga madini yakutosha
@bminawandu
@bminawandu Ай бұрын
Wahandishi wabongo wajisahau huu kubwa caf wanaipa Tanzania sio Kwa sababu ya timu ya taifa miaka yote tushiriki mashindano atujawai kufanya la mahana heshima hii imekuja kwajili ya klabu tuwache wageni wa sajiliwe ata timu mzma
@mutsdimkami6677
@mutsdimkami6677 Ай бұрын
Hawa waandishi wangetafuta akiri ya kuwashauri local players wetu uongeza bidii ili kushindana na wageni , Kitu ambacha hawa waandishi wangeonekana wana akiri wangetoa fact kwamba wageni wanaokuja hawana kiwango kuzidi local players lakini kama player wa kigeni wanakichafua kuliko wakwetu basi acheni wajifunze hata kwakutazama wakiwa benchi😂😂😂
@HassanKubwito-uv7jv
@HassanKubwito-uv7jv Ай бұрын
Kama wanataka kuirudisha ligi yetu nyuma tulikotoka na wajalibu kupunguzq wachezaji WA kigeni
@hopcolet6179
@hopcolet6179 Ай бұрын
Superman. Wewe ni hazina kubwa ya mpira Tanzania. Ila Tanzania tunashindwa kukutumia.
@hopcolet6179
@hopcolet6179 Ай бұрын
Bro. Alie kufunguia kutojiusisha na mpira miaka 2, yeye afungiwe milele. Kwanini tunashindwa kuone umuhinu wa influence, impact, ability na passion, knowledge na amazed thinking capacity yako kuliki kuangalia mapungufu yako? Mchawi wa Africa ni sisi wenyewe.
@IshmaelLuyagaza
@IshmaelLuyagaza 14 күн бұрын
Well said Manara !!!!!
@masumbukomaganga438
@masumbukomaganga438 Ай бұрын
Asante sanaa kaka haji kwa kupaza sauti maan nchi hii tuna wasema ovyo wengi sana
@user-hx9ml8tu5s
@user-hx9ml8tu5s Ай бұрын
Umeongea vizuri saana haji
@emmanuelmwendo2073
@emmanuelmwendo2073 Ай бұрын
Manara you know facts about football .🎉🎉🎉
@iddiali8057
@iddiali8057 25 күн бұрын
UNAJUA MR. MANARA . WEWE UNAONEKANA HUFAI KWASABABU UNAZUNZGUMZA UKWELI.
@lumistarboy8499
@lumistarboy8499 Ай бұрын
Point sana kaongea Haji maana ukiangalia tu hata usajaili wa Ndani now ukiambiwa tafuta nammba 6 Bora tu unawatafuta kwa tochi bodo hatujawq na wachezaji proper kiasi hicho
@anamsaid8610
@anamsaid8610 Ай бұрын
You nailed it brother Bugatti
@petrobukerebe215
@petrobukerebe215 Ай бұрын
Hii ndo brain ya football❤❤❤
@rashidibrahimshemlugu7845
@rashidibrahimshemlugu7845 Ай бұрын
Brother unafaa kuwa katibu mkuu wizara ya michezo
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw Ай бұрын
Haji manara kweli upo sahihi
@makalasamweli9570
@makalasamweli9570 25 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉❤❤xafi xana unajua
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 Ай бұрын
😂😂😂 manara kapigilia msumari wa moto
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Ай бұрын
Hawa wachezaji wetu wa kuwaokota mitaani, vichwa vishakula BANGE huko miaka kadhaa, halafu tuseme wataleta MAKOMBE Kwa timu ya Taifa..? Manara uko sahihi kabisa, kipindi hiko hatuna wachezaji wazawa tulifanikiwa wapi..?
@simonIbrahim-hc8vm
@simonIbrahim-hc8vm 15 күн бұрын
Huna baya kaka ❤❤🎉
@SaidSaid-ef8md
@SaidSaid-ef8md 29 күн бұрын
Huyu ndo google inayotembea. Point after point. Mama samia eee hebu tia nguvu apa kidogo hili jitu lirudi kazini, unatukosesha burudani mamaaaaaaaa
@zariadunia6328
@zariadunia6328 29 күн бұрын
Labda mama naye aliiafiki adhabu halafu manara angekuwa mzanzibar angeshafunguliwa
@erickganira6324
@erickganira6324 Ай бұрын
Uko sawa haji
@user-zc3ul2wb6r
@user-zc3ul2wb6r Ай бұрын
Mpira ni Biashara atakae fanya ujinga huo wa kupunguza wageni wataenda wao viwanjani.Viwanja vinajaa kwa hao wageni.
@davismwape7500
@davismwape7500 28 күн бұрын
Huyu simkubaligi tuu kwenye mambo mengine ila kuhusu mpira sinaga doubt nae manara anaujua mpira in details....
@user-uw5oh5yy5m
@user-uw5oh5yy5m Ай бұрын
Alhabib Manara umeaongea fact kabisaa
@fundisayore201
@fundisayore201 Ай бұрын
Nailed 100%
@thoniusjskanyango9076
@thoniusjskanyango9076 Ай бұрын
Good job
@SeleTosha-hk8kp
@SeleTosha-hk8kp Ай бұрын
Haji Manara unajua bro Asante
@vinny.morales
@vinny.morales 29 күн бұрын
Huyu jamaa anaujua mpira mpaka anaboa❤.. chukua bustani yako
@chisongastephen7299
@chisongastephen7299 26 күн бұрын
Upo sahihi Brother
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 Ай бұрын
Enzi hizo wachambuzi walikuwa bado kwao Kibirizi Manyema na Nzubuka ....! Hakika Manara unatema madini . !
@saidmbarouk3553
@saidmbarouk3553 27 күн бұрын
ATOKE MCHAMBUZI WA BONGO ATOWE HISTORIA KAMA HUYO MANARA NJA WAKUMBWA NYINYI HUYO MANARA 😂😅
@majutojackson5718
@majutojackson5718 Ай бұрын
Manara nakukubali %100, wachezaji wetu wagangamale kupigania namba na wageni,hata hivyo sio timu zote zenye uwezo wa kuwa na wachezaji wageni, ndio maana miaka ya hivi karibuni timu ya taifa imeshiriki afcon
@suleimansalum4049
@suleimansalum4049 25 күн бұрын
Ufinyu wa mawazo na ubinafsi tu Kwa mwenye mawazo na fikra za mbali hawezi kutoa hoja ya kipuuzi km hyo. Wachezaji wa kigeni ndio wameifanya ligi na timu yetu ya taifa kuwa bora,
@omarmohamedriko4597
@omarmohamedriko4597 Ай бұрын
Kaka hajji manara wale dream team oliseh okocha babayaro amunike oruma babangida 2008 kanu ameacha mpira 2010...
@farajibuteta6258
@farajibuteta6258 25 күн бұрын
Leo bana umeongea kweli
@user-zc3ul2wb6r
@user-zc3ul2wb6r Ай бұрын
Kuna watu wamezuka wanajifanya wanaujua sana mpira kumbe ni njaa tu zawasumbua.Mpira hauna mipaka wacha waje hata 30.Kwani maziezini si Wanafundwa wote ? Wageni na wazawa ? Sasa kama wazawa ni wazuri kocha anawaachsje kuwapanga ? Waonyeshe viwango mazoezini bana sio kutaka kubebwa.
@rashidibrahimshemlugu7845
@rashidibrahimshemlugu7845 Ай бұрын
Mhhh kazi ipo
@AbbasPuyaga
@AbbasPuyaga 29 күн бұрын
Huyu ni mtu wa maana kabisa Haji Sande Manara
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 28 күн бұрын
Nonda Shabani Papiii wa Yanga ali toka ZAIRE CONGO ya sasa ali enda Ufaransa aka ongoza kwa fungaji
@jimmyhabarugira4232
@jimmyhabarugira4232 28 күн бұрын
@raphaelkessy7360. SHABANI NONDA hajatoka Congo ila ni mkongomani kazaliwa Burundi alikuja Tz anatoka Burundi
@user-px6ho3dp8j
@user-px6ho3dp8j Ай бұрын
Honger
@deomusyebi9930
@deomusyebi9930 Ай бұрын
Manara ki ukweli uko vizuri sana na unajua sana hao wengine wanakurupuka tu hawajui kitu na ukifuatilia ni watu wa makolo hao sasa utawapa wabongo nafasi hizo academy za maana hapa TZ hakuna utawapata wapi hao wachezaji acheni ujinga watanzania wengi huwa mnaongea vitu ambavyo mara zote havina mashiko na msijidanganye hatuna mafanikio bila wageni huko nyuma hatukuwa nao tulifika wapi acheni ujinga
@phabianmagesa1039
@phabianmagesa1039 26 күн бұрын
Huwa nampenda manara kwasababu huongea ukweli mtupu naanajua mpira to the fullest your the best Manara unatakiwa kuwa kiongozi mkubwa sana wampira hasa raisi wa mpira Tanzania unaongea facts tupu
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l 28 күн бұрын
KWELI KABISA
@emmanuelmwema8081
@emmanuelmwema8081 Ай бұрын
Miaka kadhaa nyuma mechi ya kwanza ya msimu wa epl kati ya Manchester city v Newcastle United vikosi vyote vilivyo anza mechi(line-up) hiyo hakukua na mchezaji wa wingereza hata mmoja. Wote walikua wa kigeni. Leo wingereza kila michuano ya kimataifa lazima wafike hata nusu fainali. Kuondoa wageni hakuwezi kutupa timu bora ya taifa. Waangalie angle nyingine kabisa
@almasbakari5359
@almasbakari5359 Ай бұрын
Aah manara kiboko eti “vibuyu tupu” “ukizima watu watan mguuni”
@mouhamedmody1931
@mouhamedmody1931 Ай бұрын
Hadji mi nakukubali sana 😅
@user-bu7tb9wi2z
@user-bu7tb9wi2z 4 күн бұрын
ila manara hatar
@subiriabdulrahmani2343
@subiriabdulrahmani2343 18 күн бұрын
Ndiyo maana nakupenda xana wewe mkweli
@ramadhankitambi7908
@ramadhankitambi7908 18 күн бұрын
😂😂😂 maaudi wa muda
@paciencemaumba7022
@paciencemaumba7022 Ай бұрын
Ukweli umeusema , wazo lao haliwezi kusimama wakati huu hapa nchini
@user-ov7ge3ci6f
@user-ov7ge3ci6f Ай бұрын
Naomba nisaidien siku nikutane na manala
@Majhidymhessa
@Majhidymhessa Ай бұрын
Zungu anajua kweli.... Siyo hao wachambuzi Wa mchongo mchongo akina: Furani na furani........ Wape vidonge vyao
@jozackmisanya1516
@jozackmisanya1516 Ай бұрын
Dhus very gd we need such kind of brained mind
@francismwilinde2237
@francismwilinde2237 Ай бұрын
Na hayo yote yanaibuka baada ya makolo kufanya vibaya wachambuzi wa makolo hao
@erickganira6324
@erickganira6324 Ай бұрын
Haji bora
@CalvinTemba
@CalvinTemba Ай бұрын
Ifike mahala Shirika la mpira liangalie Mchango wa manara ..na litambuwe Hata kumpa Tuzo ya heshma
@alfredrutaguza7506
@alfredrutaguza7506 Ай бұрын
Hawa ndio wanasport kweli sio wakina ndimbo kutwa nzima umbeya na usengenyaji tu
@user-cf4dg7se5j
@user-cf4dg7se5j Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-bu7tb9wi2z
@user-bu7tb9wi2z 4 күн бұрын
sasa manara manyenza ndo wap huko
@kevinalpha4716
@kevinalpha4716 Ай бұрын
👍
@deusjoseph8554
@deusjoseph8554 26 күн бұрын
We nihazina yetu kwenye footbal ,wengine wajinga tu hawafikilii mbele
@KaidiMajengo-sv7dd
@KaidiMajengo-sv7dd Ай бұрын
Ushauri WA bure rudisheni mashindano kuanzia Ngazi Kata. Wilaya.mkoa kinda taifa.mpirautakua mashuleni MAshirika.mbalimbali.....mpira. utakua
@songombingo108
@songombingo108 Ай бұрын
Bughattttttt ni mmoja tu
@KaylaChloeee
@KaylaChloeee 27 күн бұрын
SUBTITULOS PORFAVOR GRACIAS 😢❤
@MichaelNgowi-nc3vn
@MichaelNgowi-nc3vn Ай бұрын
Lini wata kufunguli aisee uje uwa chachafwe
@user-ov7ge3ci6f
@user-ov7ge3ci6f Ай бұрын
Kwel manara
@user-gb2qr9bp2p
@user-gb2qr9bp2p Ай бұрын
Mchezaji wa kibongo akishindwa kupambana kupata namba ni bora akatafute kazi ya kufanya maana kazi zipo nyingi sio mpira tu
@MudyMchewa
@MudyMchewa Ай бұрын
Mkuuu mm sikupingi
@AhmedAdan-po5ps
@AhmedAdan-po5ps Ай бұрын
Huyu naye anajioji mwenyewe
@vinny.morales
@vinny.morales 29 күн бұрын
Hujui kitu ww
@abdulnasuma9729
@abdulnasuma9729 Ай бұрын
Anae jua anajua haji wewe ni unafiti kila kitu kwenye habar unatisha
@mwasa_tv
@mwasa_tv Ай бұрын
sema jamaa una akili sana
@OmarySefu-se1qr
@OmarySefu-se1qr Ай бұрын
Azabu yako inaisha Lin?
@hanifamziray277
@hanifamziray277 Ай бұрын
Chukua bustan yako sio maua
@IsaacNkonu
@IsaacNkonu Ай бұрын
My lol model
@theafricanprincevivecongo8632
@theafricanprincevivecongo8632 Ай бұрын
😂😂😂😂sio lol : role model
@vinny.morales
@vinny.morales 29 күн бұрын
Role Model bhn😂
@user-ql2hc7zt6b
@user-ql2hc7zt6b Ай бұрын
Sidibe anakaa bechi kisa msindo zimbwe jr miak 10 akun mchezaj mgeni anamchalenchi baka job mwamnyeto hakun beki wa kimataifa anatia mgu tatzo ni ubora sio kupat nafas
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 106 МЛН
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 159 МЛН
你们会选择哪一辆呢#short #angel #clown
00:20
Super Beauty team
Рет қаралды 44 МЛН
Haji Manara avuruga watu leo Efm tizama
3:13
Jumoa TV
Рет қаралды 228 М.
Intense Balloon Popping & Basketball Challenge - Who Will Win ?
1:00
SS FOOD CHALLENGE
Рет қаралды 11 МЛН
Controversial Referee Decisions ❌
0:27
TIKI-TAKA
Рет қаралды 4,1 МЛН
Ishowspeed vs Ronaldo vs Messi Disguise Challenge
0:29
KSCORE
Рет қаралды 1,5 МЛН
Мбаппе, ты где?
1:00
Губиньо
Рет қаралды 395 М.