HAJI MANARA AWASHA MOTO KWA WACHAMBUZI KUKATAA DIARRA, AZIZ KI NA CHAMA KWENYE IDADI YA WACHEZAJI TZ
Пікірлер: 83
@mutsdimkami6677Ай бұрын
Nakukubari brother Manara you're very right 100%
@eckreygelard7791Ай бұрын
Amazing football interview for this 2024. Ubarikiwe sana Manara, umeongea ukweli mchungu
@user-cf4dg7se5jАй бұрын
Nice brooo umemwaga madini yakutosha
@bminawanduАй бұрын
Wahandishi wabongo wajisahau huu kubwa caf wanaipa Tanzania sio Kwa sababu ya timu ya taifa miaka yote tushiriki mashindano atujawai kufanya la mahana heshima hii imekuja kwajili ya klabu tuwache wageni wa sajiliwe ata timu mzma
@mutsdimkami6677Ай бұрын
Hawa waandishi wangetafuta akiri ya kuwashauri local players wetu uongeza bidii ili kushindana na wageni , Kitu ambacha hawa waandishi wangeonekana wana akiri wangetoa fact kwamba wageni wanaokuja hawana kiwango kuzidi local players lakini kama player wa kigeni wanakichafua kuliko wakwetu basi acheni wajifunze hata kwakutazama wakiwa benchi😂😂😂
@HassanKubwito-uv7jvАй бұрын
Kama wanataka kuirudisha ligi yetu nyuma tulikotoka na wajalibu kupunguzq wachezaji WA kigeni
@hopcolet6179Ай бұрын
Superman. Wewe ni hazina kubwa ya mpira Tanzania. Ila Tanzania tunashindwa kukutumia.
@hopcolet6179Ай бұрын
Bro. Alie kufunguia kutojiusisha na mpira miaka 2, yeye afungiwe milele. Kwanini tunashindwa kuone umuhinu wa influence, impact, ability na passion, knowledge na amazed thinking capacity yako kuliki kuangalia mapungufu yako? Mchawi wa Africa ni sisi wenyewe.
@IshmaelLuyagaza14 күн бұрын
Well said Manara !!!!!
@masumbukomaganga438Ай бұрын
Asante sanaa kaka haji kwa kupaza sauti maan nchi hii tuna wasema ovyo wengi sana
@user-hx9ml8tu5sАй бұрын
Umeongea vizuri saana haji
@emmanuelmwendo2073Ай бұрын
Manara you know facts about football .🎉🎉🎉
@iddiali805725 күн бұрын
UNAJUA MR. MANARA . WEWE UNAONEKANA HUFAI KWASABABU UNAZUNZGUMZA UKWELI.
@lumistarboy8499Ай бұрын
Point sana kaongea Haji maana ukiangalia tu hata usajaili wa Ndani now ukiambiwa tafuta nammba 6 Bora tu unawatafuta kwa tochi bodo hatujawq na wachezaji proper kiasi hicho
@anamsaid8610Ай бұрын
You nailed it brother Bugatti
@petrobukerebe215Ай бұрын
Hii ndo brain ya football❤❤❤
@rashidibrahimshemlugu7845Ай бұрын
Brother unafaa kuwa katibu mkuu wizara ya michezo
@SaidAlly-uh4qwАй бұрын
Haji manara kweli upo sahihi
@makalasamweli957025 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉❤❤xafi xana unajua
@amisamaurid1882Ай бұрын
😂😂😂 manara kapigilia msumari wa moto
@ismailmasoud6001Ай бұрын
Hawa wachezaji wetu wa kuwaokota mitaani, vichwa vishakula BANGE huko miaka kadhaa, halafu tuseme wataleta MAKOMBE Kwa timu ya Taifa..? Manara uko sahihi kabisa, kipindi hiko hatuna wachezaji wazawa tulifanikiwa wapi..?
@simonIbrahim-hc8vm15 күн бұрын
Huna baya kaka ❤❤🎉
@SaidSaid-ef8md29 күн бұрын
Huyu ndo google inayotembea. Point after point. Mama samia eee hebu tia nguvu apa kidogo hili jitu lirudi kazini, unatukosesha burudani mamaaaaaaaa
@zariadunia632829 күн бұрын
Labda mama naye aliiafiki adhabu halafu manara angekuwa mzanzibar angeshafunguliwa
@erickganira6324Ай бұрын
Uko sawa haji
@user-zc3ul2wb6rАй бұрын
Mpira ni Biashara atakae fanya ujinga huo wa kupunguza wageni wataenda wao viwanjani.Viwanja vinajaa kwa hao wageni.
@davismwape750028 күн бұрын
Huyu simkubaligi tuu kwenye mambo mengine ila kuhusu mpira sinaga doubt nae manara anaujua mpira in details....
@user-uw5oh5yy5mАй бұрын
Alhabib Manara umeaongea fact kabisaa
@fundisayore201Ай бұрын
Nailed 100%
@thoniusjskanyango9076Ай бұрын
Good job
@SeleTosha-hk8kpАй бұрын
Haji Manara unajua bro Asante
@vinny.morales29 күн бұрын
Huyu jamaa anaujua mpira mpaka anaboa❤.. chukua bustani yako
@chisongastephen729926 күн бұрын
Upo sahihi Brother
@sylvestercameo6263Ай бұрын
Enzi hizo wachambuzi walikuwa bado kwao Kibirizi Manyema na Nzubuka ....! Hakika Manara unatema madini . !
@saidmbarouk355327 күн бұрын
ATOKE MCHAMBUZI WA BONGO ATOWE HISTORIA KAMA HUYO MANARA NJA WAKUMBWA NYINYI HUYO MANARA 😂😅
@majutojackson5718Ай бұрын
Manara nakukubali %100, wachezaji wetu wagangamale kupigania namba na wageni,hata hivyo sio timu zote zenye uwezo wa kuwa na wachezaji wageni, ndio maana miaka ya hivi karibuni timu ya taifa imeshiriki afcon
@suleimansalum404925 күн бұрын
Ufinyu wa mawazo na ubinafsi tu Kwa mwenye mawazo na fikra za mbali hawezi kutoa hoja ya kipuuzi km hyo. Wachezaji wa kigeni ndio wameifanya ligi na timu yetu ya taifa kuwa bora,
Kuna watu wamezuka wanajifanya wanaujua sana mpira kumbe ni njaa tu zawasumbua.Mpira hauna mipaka wacha waje hata 30.Kwani maziezini si Wanafundwa wote ? Wageni na wazawa ? Sasa kama wazawa ni wazuri kocha anawaachsje kuwapanga ? Waonyeshe viwango mazoezini bana sio kutaka kubebwa.
@rashidibrahimshemlugu7845Ай бұрын
Mhhh kazi ipo
@AbbasPuyaga29 күн бұрын
Huyu ni mtu wa maana kabisa Haji Sande Manara
@raphaelkessy736028 күн бұрын
Nonda Shabani Papiii wa Yanga ali toka ZAIRE CONGO ya sasa ali enda Ufaransa aka ongoza kwa fungaji
@jimmyhabarugira423228 күн бұрын
@raphaelkessy7360. SHABANI NONDA hajatoka Congo ila ni mkongomani kazaliwa Burundi alikuja Tz anatoka Burundi
@user-px6ho3dp8jАй бұрын
Honger
@deomusyebi9930Ай бұрын
Manara ki ukweli uko vizuri sana na unajua sana hao wengine wanakurupuka tu hawajui kitu na ukifuatilia ni watu wa makolo hao sasa utawapa wabongo nafasi hizo academy za maana hapa TZ hakuna utawapata wapi hao wachezaji acheni ujinga watanzania wengi huwa mnaongea vitu ambavyo mara zote havina mashiko na msijidanganye hatuna mafanikio bila wageni huko nyuma hatukuwa nao tulifika wapi acheni ujinga
@phabianmagesa103926 күн бұрын
Huwa nampenda manara kwasababu huongea ukweli mtupu naanajua mpira to the fullest your the best Manara unatakiwa kuwa kiongozi mkubwa sana wampira hasa raisi wa mpira Tanzania unaongea facts tupu
@user-wk2bg8zf3l28 күн бұрын
KWELI KABISA
@emmanuelmwema8081Ай бұрын
Miaka kadhaa nyuma mechi ya kwanza ya msimu wa epl kati ya Manchester city v Newcastle United vikosi vyote vilivyo anza mechi(line-up) hiyo hakukua na mchezaji wa wingereza hata mmoja. Wote walikua wa kigeni. Leo wingereza kila michuano ya kimataifa lazima wafike hata nusu fainali. Kuondoa wageni hakuwezi kutupa timu bora ya taifa. Waangalie angle nyingine kabisa
@almasbakari5359Ай бұрын
Aah manara kiboko eti “vibuyu tupu” “ukizima watu watan mguuni”
@mouhamedmody1931Ай бұрын
Hadji mi nakukubali sana 😅
@user-bu7tb9wi2z4 күн бұрын
ila manara hatar
@subiriabdulrahmani234318 күн бұрын
Ndiyo maana nakupenda xana wewe mkweli
@ramadhankitambi790818 күн бұрын
😂😂😂 maaudi wa muda
@paciencemaumba7022Ай бұрын
Ukweli umeusema , wazo lao haliwezi kusimama wakati huu hapa nchini
@user-ov7ge3ci6fАй бұрын
Naomba nisaidien siku nikutane na manala
@MajhidymhessaАй бұрын
Zungu anajua kweli.... Siyo hao wachambuzi Wa mchongo mchongo akina: Furani na furani........ Wape vidonge vyao
@jozackmisanya1516Ай бұрын
Dhus very gd we need such kind of brained mind
@francismwilinde2237Ай бұрын
Na hayo yote yanaibuka baada ya makolo kufanya vibaya wachambuzi wa makolo hao
@erickganira6324Ай бұрын
Haji bora
@CalvinTembaАй бұрын
Ifike mahala Shirika la mpira liangalie Mchango wa manara ..na litambuwe Hata kumpa Tuzo ya heshma
@alfredrutaguza7506Ай бұрын
Hawa ndio wanasport kweli sio wakina ndimbo kutwa nzima umbeya na usengenyaji tu
@user-cf4dg7se5jАй бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-bu7tb9wi2z4 күн бұрын
sasa manara manyenza ndo wap huko
@kevinalpha4716Ай бұрын
👍
@deusjoseph855426 күн бұрын
We nihazina yetu kwenye footbal ,wengine wajinga tu hawafikilii mbele
@KaidiMajengo-sv7ddАй бұрын
Ushauri WA bure rudisheni mashindano kuanzia Ngazi Kata. Wilaya.mkoa kinda taifa.mpirautakua mashuleni MAshirika.mbalimbali.....mpira. utakua
@songombingo108Ай бұрын
Bughattttttt ni mmoja tu
@KaylaChloeee27 күн бұрын
SUBTITULOS PORFAVOR GRACIAS 😢❤
@MichaelNgowi-nc3vnАй бұрын
Lini wata kufunguli aisee uje uwa chachafwe
@user-ov7ge3ci6fАй бұрын
Kwel manara
@user-gb2qr9bp2pАй бұрын
Mchezaji wa kibongo akishindwa kupambana kupata namba ni bora akatafute kazi ya kufanya maana kazi zipo nyingi sio mpira tu
@MudyMchewaАй бұрын
Mkuuu mm sikupingi
@AhmedAdan-po5psАй бұрын
Huyu naye anajioji mwenyewe
@vinny.morales29 күн бұрын
Hujui kitu ww
@abdulnasuma9729Ай бұрын
Anae jua anajua haji wewe ni unafiti kila kitu kwenye habar unatisha
@mwasa_tvАй бұрын
sema jamaa una akili sana
@OmarySefu-se1qrАй бұрын
Azabu yako inaisha Lin?
@hanifamziray277Ай бұрын
Chukua bustan yako sio maua
@IsaacNkonuАй бұрын
My lol model
@theafricanprincevivecongo8632Ай бұрын
😂😂😂😂sio lol : role model
@vinny.morales29 күн бұрын
Role Model bhn😂
@user-ql2hc7zt6bАй бұрын
Sidibe anakaa bechi kisa msindo zimbwe jr miak 10 akun mchezaj mgeni anamchalenchi baka job mwamnyeto hakun beki wa kimataifa anatia mgu tatzo ni ubora sio kupat nafas