#Ustaadh Haji karibu tena kwenye kuisemea timu yetu.Wapinzani wako na wa Yanga wanakuogopa saana,na ndio maana wanajaribu kukuzuia kuisemea timu yetu kwa visingizio mbalimbali.Mtu mjuzi mkubwa wa mpira wa Tanzania,Afrika na Dunia.Timu yetu inapata mafanikio makubwa tena ya mfululizo lkn inakosa mtu wa kuisemea kwa nguvu na kwa takwimu.Nina heshimu waliokuwepo lakini kuna kona wanaitaji sapoti kusema ukweli.#Njoo Haji,karibu Haji.💪🤝🙏
@alexkakwaya43832 ай бұрын
Viongozi wa Yanga ni vema kuwa waangalifu na Manara. He is a chaotic by nature. Vinginevyo, mgogoro wa magoma una afadhali.
@mtulivu-ir1nq2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 neno limeelezewa masaa manne ujue limemuingia😂😂🙌🙌
@kwisa48992 ай бұрын
Huyu jamaa kufanya nae kazi sio rahisi kwasabu mjuaji juaji sana kuna siku alikua ana mu outsmart Baba yake sasa sembuse Ali kamwe
@bbclondonulimwenguwasoka61262 ай бұрын
Tofauti na kuropoka na matusi , Manara na Kamwe ni ardhi na mbingu. Manara ni moto sana
@rubbenmabuga30582 ай бұрын
Sijapenda kabisa mimi. Mie nataka ali kamwe aendelee na majukum yote
@charlesmwambinga43552 ай бұрын
Kiutalatibu Unasubilia Kupangiwa kazi na Mwajili wako...Eng Hensi Ndo anatakiwa aseme majukumu yako huezi kuja tu na Ku resume majukumu 😂😂😂😂😂
@ezekielhaule3642 ай бұрын
Manara kuballi kuwa chini ya Ali Kamwe. Usije kuleta mgogoro usio wa lazima
@FatumaIssa-w1s2 ай бұрын
Kwan we ndo unawapangiaa kazi
@HamidaOmar-ub4kb2 ай бұрын
Naona kazi umekuwa kubwaa😮😮😮
@stevenhassan2692 ай бұрын
Manara njoo Simba
@OWENGODFREYSIWALE2 ай бұрын
Tunakukubali Sana mwamba The return of heroooo
@mwajumaseifu2162 ай бұрын
Mimi shabiki wa simba hila kamwe ni mtu wa watu
@chamyluna80302 ай бұрын
Hapo yanga ndio wanazidi kuongeza migogoro
@walidmaguha74872 ай бұрын
Kwani lazma urudi kwenye mpira yakhe😂
@DariusKasitu2 ай бұрын
Iyo kitaalamu tunaita kazini kwa manara kuna kazi😅😅😅
@shigetemteremko75512 ай бұрын
🎉🎉
@ramadhaniraphael69552 ай бұрын
Sisi kama yanga hatukutaki manara
@BerthaEdward2 ай бұрын
Sisi wangapi sema Wewe 😂😂 Ndio humtaki sio wote😂😂
@robertchugu79322 ай бұрын
Sasa wewe humtaki mdhamini anamtaka, utaweza 😂😂
@MysarahMohamed2 ай бұрын
Usinisemee mm tafadhali
@halimamwingu44782 ай бұрын
Mm pia simtaki, kiherehere huyu! Ameshaanza kujipa majukum mwenyewe hapo😂😂😂
@christophercostancio51852 ай бұрын
Sema ww sio sisi
@Amplifiedtz2 ай бұрын
HAJI Ulikuwa bench ila uwe na adabu
@yousifyousif-p7f2 ай бұрын
Tafuta kazi nyingine tuachie ali kamwe wetu
@evancemoevt85972 ай бұрын
We Kafanye TU Kazi Nyingine!!
@IddiHassani-s9j2 ай бұрын
Hap saw
@halimamwingu44782 ай бұрын
Acha kujipa majukumu ww! Subiri upangiwe kazi na Eng. Ali Kamwe yuko vzuri na mbunifu sn. Amewapa wachezaji heshma na ikasaidia timu kufanya vzuri misimu miwili. Ww mkorofi mkorofi tangu upo Simba, mbele utakuja kulizua lingine.
@martinemaganga52532 ай бұрын
Hapo Leo umeongea vizuri Sana,Ally Kamwe ni Afsa Habari wa Yanga na wewe Manara uliluwa msemaji na mhamasishaji wa yanga,ila wewe haukuwepo yanga muda mrefu ni vyema ukasubiri upangiwe KAZI na kiongozi wa yanga
@emmanuelmayunga15182 ай бұрын
Huyu anawaletea mgogo utopolo mda si mrefu,,Ali kamwe hana raha tena
@othmankhalfan96752 ай бұрын
Hapo mmenukuu “ALI KAMWE SIO BOSS WANGU” lkn ndani yake hamna sehem haji manara amesema hvyo.. Media jmn tuacheni uswahili uswahili..
Safi haji manara wa ni gwiji la wasemaji wa vilabu alafu unajitambua Sana safi Sana kwa majibu yako
@DevotherLeonard2 ай бұрын
Tx😅 it
@ladislausmoris96382 ай бұрын
Huyu maisha ayake yatakuwa ya kufungiwa funguwa maana hana sitahaa ata kdg anaropoka sana hadi anakela
@evancemoevt85972 ай бұрын
Mbona Unatumia Nguvu Kubwa Sana Kujieleza!???😂😂😂😂😂
@OWENGODFREYSIWALE2 ай бұрын
Manara oyeeeeeeeeee
@ALBERTNyemba-uk3fr2 ай бұрын
Acheni ugombanishi wote hao ni waajiriwa wa young African. Sasa hiyo ya mflani boss wake flani inatoka wapi,,,boni ni mmoja tu GSM.nb.Acheni kutengeneza chuki sio vema.
@AhmedHussein-l3t2 ай бұрын
Huyu anaugomvi na ali sasa ngoja tuonee
@ajuayekilindi44012 ай бұрын
Mwamba afyngiww tena ameshaanza kelele zake
@hassanmitayo18752 ай бұрын
Ameonyesha atakavyokwenda kuvuruga kitengo cha habari, afisa ni mkuu kuliko msemaji, huyu apangiwe idara ya uhusiano vilabu kimataifa kama ipo
@rajabrwambow96602 ай бұрын
Viongoz huyu akafanye Kaz Huko GSM kitengo Chochote hata Cha kuosha vyombo ally kamwe yupo vzr amuache
@jifunzeinadvance17822 ай бұрын
Watu wanatakiwa kujua tofauti ya Majukumu ya Afisa Habari na Msemaji wa club.
@eliashelyongolo41232 ай бұрын
Wasemani watatu dhidi ya mtambo wa maneno
@HASSANBAKARI-q9c2 ай бұрын
Ao damu zao haziendani😊..afu wako timu 1 adi laa😊;chanzo ni uyo ally simba kugoma kumtetemekea uyo mzungu wa kibongo....(anapenda kusujudiwa) ally we kaza ivo ivo
@DoryGeorge2 ай бұрын
Jaman ali wetu itakuaje sas
@mwitajohn48822 ай бұрын
Wavuruge tu😊
@onesmomashembo84952 ай бұрын
Manara una jeuri sana lazima ufungiwe tena siku si nyingi
@BabuuBar2 ай бұрын
Kumekucha 😂😂😂
@yusuphlean4172 ай бұрын
Alikamwe utaanza bench, mwenye yanga yake kashawasili
@abuu-bakarshaaban62462 ай бұрын
Sisi Kwa sasa Manara hatuna tena shida nae tutaendelea na vijana akina Ali kamwe ww Manara uwe kiongoz Ila sio msemaji
@FatumaIssa-w1s2 ай бұрын
Sisi yanga tunasajili wazeee na wasemaji wetyu ni wazeee.. vijana bakieeni nao nyie makolo
@halimamwingu44782 ай бұрын
Kwanza ulitakiwa uwe kimya usibiri kupangiwa kazi na sio kuanza kujipa majukumu! Unajuaje km ww utakuwa msemaji wakati yupo msemaji Ali Kamwe na ww umetoka kifungoni??? Mm binafsi hapana, we urudi Simba tu sikuamini 😅
@kellynsemiti16652 ай бұрын
We ni mnafiki sana tunakujua utampiga figisu uyo dogo mpaka ubaki peke ako
@GibsonNtamamilo2 ай бұрын
Huyu jamaa hamnazo kabisa. Anatakiwa kuripoti kazini ili apangiwe Kazi. Kama atapewa Kazi ya usemaji sawa lakini pia anaweza kupigwa chini pia Yanga ni kubwa kuliko yeye asije kutuharibia huyu ni chai ya rangi.
@Mumewangu2 ай бұрын
Huyu ndie aliesema Kule yanga wenye akili ni wawili tu. Kikwete na baba yake. Leo hii anaenda kwa wale aliowazarau jamani mdomo
@zakaria9242 ай бұрын
Mafuta na maji lazima Vijitenge na hujulikana, ngoja tusubiri chanya na hasi zikitoa cheche!
@Yuleyule-u6c2 ай бұрын
KWAHIYO ALLY KAMWE SIYO RAFIKI YAKO?
@nickmoshi82432 ай бұрын
Huyu atasumbuana na Ali kamwe we subiri tu
@theson19872 ай бұрын
sanuka Haji Simba
@feliciankabasa89952 ай бұрын
Umekomea peke yako leo taarifa haina mvuto
@Marjeby2 ай бұрын
Kama mie ndiye Ally Kamwe siwezi kukubali kufanyakazi na huyu jamaa ni fitna sana atamfitini Ally hatoamini huyu jmaa hatakiwi kurudi yanga Jamani
Naona kama unalazimisha kufanya kazi na yanga haliakuwa uwongozi haujakutangaza
@yahomeshopllc59502 ай бұрын
HUYU JAMA HAENDE AZAM FC PLEASE
@MTUMZIMADAWA2 ай бұрын
Manara umeanza
@dafrosamonko82542 ай бұрын
Kamwe
@ziadamuhunzi62102 ай бұрын
kuna makolo wana comit humu tuwe makini sana sisi wenyewe tunawapendaa wote wanaosimamia kitengo cha habari na hawa wote ni brand ytu
@williamsaulos87692 ай бұрын
Kumbe umewatambua makolokwinyo.#wanamuogopa sana huyu mtu.Wanamuhitaji yule wanaemuweza.Halafu wana Yanga,tunawaacha hawa jamaa wawe wengi kwenye comments kwanini ndugu zangu!
@kassidpandu8662 ай бұрын
Huweza kufanyakazi na Ali kamwe binfsi wewe una ugomvi nae physical
@abdillahmchia85572 ай бұрын
Ukumbwi
@salumually44472 ай бұрын
Wakwanza mm
@sadickbakari36782 ай бұрын
Picha linaanza
@Yuleyule-u6c2 ай бұрын
Rudi zako simba usituvurugie kitengo chetu cha habari hakuna sehemu pasipo na uongozi aidha uwe dogii wa ally kamwe au urudi simba ulipotoka.
@faridaamenye84052 ай бұрын
Binafsi namkubari Ali kamwe
@diva_201622 ай бұрын
Kunywa maji mengi sana umeongea point 👉👉
@andrewkaswagula33672 ай бұрын
Mdogo mdogo kwa majirani yetu kumeanza kufuka fuka.. Sisi SIMBA tupo paleeeee tunazooom.
@jamaliahmadi13832 ай бұрын
Sisi kama yanga hatumtaki alikamwe
@jamaliahmadi13832 ай бұрын
Alikamwe hatumtaki amuache Manala apige kazi
@AdamMbwana-p6n2 ай бұрын
Kajifunze kuandika kwanza
@ramadhaniraphael69552 ай бұрын
Hatukutaki manara wewe mchochezi tuachie alikamwe kijana mchapakazi we nenda katafute ajira hata ihefu
@elizabethchikoti35342 ай бұрын
Ki ukweli mm sio yanga lakini Ali kamwe ni mchakazi pili hawezi kuelewana na manara ni mfitini sana huyu baba ngoja tuone kwa nn ajitabgaze yy mwenyewe pasipo waajili wake mbaya sana huyu anataka kumchanga dogo
@jellysazaina84912 ай бұрын
Yanga ukiangalia kwamakin na kama una d 1 utaelewa kuwa viongoz wake awana akali ya kuendesha krabu zaid ya miemko tu NIMENUKUU KWA MZEE MAGOMA😁😁
@ferdinandikubila36692 ай бұрын
Ww na magoma akili wote sana za kuku
@WestChoma012 ай бұрын
Sasa kama kuandika Kiswahili haujui akili unatoa wapi, kapambane kwanza kujua kusoma na kuandika