Ilianza kimasihara kwa mwanadada kusema ametapeliwa kimapenzi na Goodluck na hatimaye amekutanishwa nae kutoa ya moyoni baada ya kugundua kuwa aliekuwa akiwasiliana nae ni Goodluck Gozbert feki. #WazeeWambanga #PressRelease
Пікірлер: 2 300
@irenepm30233 жыл бұрын
Pole sana subira, godluck Nimependa ulivyo na hekima
@goldenfoot11023 жыл бұрын
Subira anakiherehere jamani kutoka lindi Hadi mwanza dohhhh
@irenepm30233 жыл бұрын
@@goldenfoot1102 haibu, akirudi shule j,3 cjui ataiweka wapi sura yake kwa walim wenzako, na kama ingekua ni mapenzi ya Mungu kama anavyosema mwanaume angemfuata mwenyew.
@azizamohamed53493 жыл бұрын
Huyu Dada kakutana na Goodluck tapeli wa mitandaoni na atalaaniwa Ila Dada was watu mkweli Sana!!nimeumia Sana kwa kweli,mapenzi yanauma jamani daaah
@mckadosimon61843 жыл бұрын
Hiiiiii nipo
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
@@irenepm3023 daah!! Hawezi kuwa na mood kabisa!!!!!🙄
@michaelrweyemamu10682 жыл бұрын
Mungu akupatie mume wako kutoka kwa Bwana... Aibu uliyoipata Mungu akupatie Heshima kubwa itakayo funika na kufuta kabisa aibu uliyoipata ✝️
@maggiendeto65702 жыл бұрын
Ameen
@jeniphermyingajeniphermyin80292 жыл бұрын
Haa anamoyo Sana kwakweli huyu dada
@jolemerci2155 Жыл бұрын
Basi ametamani isio nyota yake masikinii !!! Ya Mungu nasikia huruma sana mungu amupe mumewake kwa kweli binti huyu sasa kwanini wa namuuliza maneno mengi ? Inatosha
@pulikisia79637 ай бұрын
Amen!!🙏🏿
@HANGU3154 ай бұрын
www.youtube.com/@QwenJohn
@ivyglycian42563 жыл бұрын
Number one fan,,,your wisdom is just on another level Goodluck
@lyrics_forum3 жыл бұрын
Ooh my God, Umejitahidi sana Kukeep your tears, You're the Strong woman, Pole sana Sweetheart😢 #ThisHasEnd
@dibochi25113 жыл бұрын
Sana
@Tibah4393 жыл бұрын
Mgind kanuna
@annymassawe13113 жыл бұрын
🙄🙄🙄
@jimmysameji36023 жыл бұрын
Igwee
@saudamwitika66883 жыл бұрын
Hongela goodlack umeongea kwakujiamini sana mungu akupe hekima na busala
@carolinetalam58323 жыл бұрын
Pole Dada Mungu atakupa mume you look very humble lady, Goodluck thanks for being open
@laurentraphael54703 жыл бұрын
She's so desperate.
@kelvinaudax82873 жыл бұрын
So mwanaume akiwa anamkosea anaenda kwa vyombo vya habari ndo mwanamke unaemtaka wewe😂😂😂
@glorymutalemwa2963 жыл бұрын
Exactly walimu hayujawai kufeli kwanza anajiamin alafu tutambue mapenz hisiaa
@evaemmauel87263 жыл бұрын
Usipende kibubusa penda lakin akilikichwani usiingie mikono yote ndivyo ulivyofanya na ni upendo gani Wa kupenda post pole lakin usilusidie
@mwanahalimamwachili96793 жыл бұрын
Goodluck Barikiwa Sana, Umeongea Vizuri Sana, Umeeleweka Mkarimu Sana Kijana Wa Watu. Mwalimu Subira Kuwa Makini Acha Kujipendea Ovyo.Pole Jikaze,
@zuhuraimran36593 жыл бұрын
Pia huku😀😀😀😀
@mwanahalimamwachili96793 жыл бұрын
@@zuhuraimran3659 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Weweeeee Kotekote Kama nini.
@nusuranusura46883 жыл бұрын
Mtihani wallahi. Imekuwaje mwalimu? Mpaka mitandaonu? Pole.sana ila tuliza sana kichwa ,kuwa mwenye subira
@simphoslyvia25703 жыл бұрын
😭😭too bady for me,pole Subira Mapenzi ni hisia Mungu mwema natambua unavyojisikia.Mungu akujalie Mume mwenye hekima .
@valentineshembilu12563 жыл бұрын
Wanaume tuko wengi tatizo yeye anataka handsome boy sisi wafupi na masura mabaya hatutaki
@theresiandasuya18493 жыл бұрын
Hongera kaka Goodluck kwa busara zako, kweli ukiwa na Yesu nilazima uheshimu kila mtu
@happyalbert50893 жыл бұрын
Nimemuelewa sana Good luck!!Hekima kubwa sana hiyo.
@ramadhanikibenga63173 жыл бұрын
Yuko vizuri sana dah
@lovenessibrahimu67303 жыл бұрын
Umeona Eeeeh Dadaa Kajiaminisha Mwee Ningekuwa REO Wake Ningemuandikisha Barua Ya Maelezo Unaiabisha Karia Ya Ualimu
@esperancakombat77973 жыл бұрын
Mhn....
@princessmajordota87513 жыл бұрын
6
@marryleonard55363 жыл бұрын
Mhu wanawake mnajiweza
@anitababyderickwasike78723 жыл бұрын
Good luck hayo huwa yanatokea yalimtokea mbosso na binti mmoja kutoka Kenya Mombasa alimtafuta mbosso Tzd.
@gacheribetty86553 жыл бұрын
Na feel huyu dada... Good luck is a man of wisdom and respectful, God bless you
@chebby73513 жыл бұрын
Goodluck you are a man of integrity.The way you have handled the insistence with much respect.
@bestmedia_tz3 жыл бұрын
Imani ni dawa goodluck big up sana watakuja sana kemea
@damaricygeofrey24443 жыл бұрын
Nataman vijana wote wangekuwa na hekima kama huyu kaka, na pia wanawake tusisite kuweka wazi hisia zetu hasa pale moyo wako unapokusukuma kwenda ila katika mawili moja lazima litokee liw baya au zuri inabidi ukubali na ushukuru mungu kwa kilichotokea, usichoke dada angu kumuomba mungu atakupa hitaji la moyo wako.
@judysarasara5503 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 Yani nimechoka yangu yote watching from Saudi Arabia navile na penda nyimbo za goodluck kijana muogopa mungu janani mungu akupe nguvu
@starcell55552 жыл бұрын
Usijali niko apa all the way from Asia
@anneliesejohns17633 жыл бұрын
Big up sister utapata mume muombe mungu Sana
@aminatundondege93843 жыл бұрын
Goodluck barikiwa kaka kwa heshima ulomuonyesha...Ila mmh!jamani Teacher.....
@pendogeorge18133 жыл бұрын
😂
@marymartin53772 жыл бұрын
Waalimu jamani sijaamini macho yangu!!!
@leonemomanyi68482 жыл бұрын
Am so sorry for this lady maana ata pesa ashatuma za matanga ya mama kwa watapeli hao. Goodluck you are also so humble and protective of her and her dignity.
@desangekahindo67453 жыл бұрын
Pole sana dada ulikuwa umemchaguwa mume ila ana mtu 🤔endeleya ku amini Mungu. Piya ongora sana Goodluck kwakutumiya hekima Kama Solomon 🙏
@frankzacharia45263 жыл бұрын
Dah! Kudadadeki nyie ni Noma, nimewavulia kofia. Respect🙏🙏
@jeovangisc79573 жыл бұрын
Jamaa wanatisha
@wilsonishengoma47883 жыл бұрын
Kuna mtu amesema amewazalilisha wanyakyusa sasa sijajua amewazalilishaje, embe tuonyeshe namna alivyowazalilisha
@bestmedia_tz3 жыл бұрын
Kweli brother goodluck uko vizuli una imani sana pia hauna ubinafsi unatumia hekima sana mungu akupe maisha maref
@salmaissa62173 жыл бұрын
Nmekuelewa goodluck ..love you so much interview nzur sana with much respect
@jadalovedagold31493 жыл бұрын
Good luck wewe ni mwema sana na pia mama ako ni mpole
@gracendaki45153 жыл бұрын
Goodluck,Asante sana kwa hekima zako
@louisejean58463 жыл бұрын
Mwacheni dada wawatu msimchoshe bwana! 😥😥ila dada yangu jipe moyo tu mungu atakupa mwengine utakayempenda sana
@TeacherKevin2 жыл бұрын
Nipewe huyu mwalimu
@marietaamiri889Ай бұрын
Amen kaka godluck❤❤❤
@visentkiswaga1513 жыл бұрын
Dada I love mwaaaaaaa najua unaupendo wadhat unajiamin jaman mwaaaaaaaaa mwijaku naomba nambayake
@@sifatiiman kwanza katuzalilisha wanawake pili kazallisha waalimu mwalimu gani mpumbavu huyu mpka ajiachiiiiia anaropka Yoote kupenda kupo ila kwanni amejianika hivi
@albuscalion3543 жыл бұрын
Wengine mnashangaa wengne mcheka...kama vile hamjawahi kukutana nayo wakat baadhi yenu imeshatokea mpaka hapa unakumbuka yule uliwai kumtamikia hvo na ukawa nae mwisho wa siku akakucht....au kwa sababu huyu kaingia mtandaon ndo mnajifanya kama vile hamjui kama hamujayaona hayo mamboooo.mwchen mdada wa watu bhn..
@mdzainb37223 жыл бұрын
@@albuscalion354 tumia akili hakuna anaeshangaa ila yye kwanini ajianike na ukizingatia yye ni mwalim hivi wakubwa wake wanmchukuluaje😠😠😠😠😏😏
@thobiethalibutu14653 жыл бұрын
Aseee watangazaji kwa mambo na lugha za ushawishi 😂🤣🤣😄, duuuh kikubwa Godruck kazi unayoo mungu akutie nguvu.😍
@Stayawayfromislam23 жыл бұрын
God bless u goodluck u are a brave man.
@priscaezekiel45443 жыл бұрын
Aaaah godluck anahekima jmn
@MaryMary-iw3jh3 жыл бұрын
Goodluck una hekima sana Mungu azidi kukuongoza
@aronnyboy_tz77853 жыл бұрын
Kama umeikubali hii epsd gonga like
@ramadhanikibenga63173 жыл бұрын
Dah yaani ni shidaa
@luciasimeo21703 жыл бұрын
Mbona hajafata mtu mwingine, hacha ujaja Yesu analudi,
@kelvinaudax82873 жыл бұрын
Sterling ako makini
@hansijuma48393 жыл бұрын
Like
@lightnessmgonja1803 жыл бұрын
Sikuwahi fikiria kama goodluck ana busara hivi daaah mungu akubariki kakaa
@thyline2545 ай бұрын
The self control in this man Goodluck,keep it up bro
@fedambudzi9573 жыл бұрын
Shilawadu hongereni Sana kwa kazi nzuri mnayoifanya👏👏👏
@elizabethmwandu69373 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Godluck hakika umekuwa na hekima sana. Na pia napenda kukupongeza sana Dada kwa kufunguka toka moyoni kutoa hisia zako ila sasa kuna watu watakudharau sana wataona kama umejiaibisha .Macho ya walimu wenzako na wanafunzi wako.
@scolasticamasanja72363 жыл бұрын
Huyu dada anapepo la ngono
@juliananasari25263 жыл бұрын
Poleni sana gudluk na dada subira Mungu awape wenza wazuri
@teddymwageni17633 жыл бұрын
Nimejikuta nairudia Mara 3 kuisikiliza,Mungu atusaidie saaana Ila Sasa ingekuwa private Sana,Sasa mitandaoni humu kuchoreshana tyuuu
@charlesemidy26153 жыл бұрын
Mungu akufanyie hitaji la Moyo wako Mungu akutendee mema ameen.
@eliasbanka82923 жыл бұрын
Mbona watu mnakosa ya kusema.""Hisia za mtu ziheshimiwe huyo dada nimempenda sana kwani nilipi la ajabu kalifanya,,."??
@presseg.63623 жыл бұрын
Hahahahahahahahaha, jamani uwiiiiiiiiiiiiiiiiii
@semwandambaza21843 жыл бұрын
Kweli jamani...
@ClaireHappy3 жыл бұрын
Kwel jaman..
@anjunurdin23923 жыл бұрын
Mh mwanamke mwwnyewe mchafu nguo ile tangu siku ile hajabadili ingine
@amoselias58133 жыл бұрын
Asee hao hawajapata bahati ya kupenda kama kupenda kutoka moyoni.....aseee nyie acheni tu kama hujui hujui tu...Subira mungu ndie mpaji kama amewapa wengine bas ridhiki yako ipo wakati wako unakuja endelea kuwa humble girl, unafanya kaz nzur pambana....when the right time reaches u'll be surprised Godbless u. wenye midomo waache tu waongee ni yao watachoka wata lala na bongo zao zinazo mis mis kama gari iliyoisha mafuta barabarani.
@naaabanka81453 жыл бұрын
Mungu wangu ni aibu kiasi gani hii😓 pole sana mwalimu subira
@ruthmusyoki82783 жыл бұрын
my sister God will answer your prayers keep praying
@esaumwavika69053 жыл бұрын
Mtumishi wa mungu kukutwa na haya nikawaida hiningaz yako yakupanda mungu akuepushe na mabaya
@graceedson51333 жыл бұрын
Yani sijui ofisini atakaaje na atawaangaliaje walim wenzie na wanakijiji, ndugu jamaa namarafiki daaaaaa aibu ya mwaka mpya 2021.
@mwesakariawe467211 ай бұрын
Kaka angu jipe moyo hii dunia haina fadhila acha wakuseme wanavyoweza hayo yote wanakuonea wivu wa maendeleo muombe mungu akuzidishie siku za kuishi na akulinde akuepushe na mabaya maishani wakapate kuaibika
@magrethmwalongo29833 жыл бұрын
Jamani pole mwalimu,Goodraki MUNGU aitunze hekima yako
@elizabethvicent93723 жыл бұрын
Jaman wadada wengine ila amshukuru mtu alieenda kukutana nae mtumishi wa Mungu mwenye hekima
@tumumwelelwa93573 жыл бұрын
Hatal tupu
@margaretcharlton19603 жыл бұрын
Goodluck God loves you. There’ a lot of temptation in this world. Keep on praying.
@leahjohnsimba40882 жыл бұрын
Keep on praying bro
@johnedrick77062 жыл бұрын
0000000
@tinamakacha18973 жыл бұрын
Masikini wa Mungu jamani Yesu wangu hakika Mungu upo atakupatia dada mume natabiri
@estarkapinga61263 жыл бұрын
Good luck ! Mungu akubaliki sanaaa
@gracemaiko90663 жыл бұрын
mungu anipe Nini Mimi et good luck wewe ni mtu moja ambaye sijawahi kuona kwenye hii dunia
@ericndahani51522 жыл бұрын
mmhhh grace
@antonmbwile84123 жыл бұрын
Lakini jamani kwa mtu maarufu kawaida kupakwa matope gonga laiki
@mwantumkombo1723 жыл бұрын
Amejikaza sn uyo dada kulia! Duuh! akifikilia kapoteza sn gharama zake kwa ajili y Mapenzi...pole yake
@fridamshana92653 жыл бұрын
Ppopppppo
@user-og8fc7mg5i9 ай бұрын
😂😂😂 sema
@glorykarim15703 жыл бұрын
Nimekupenda Sana wewe dada unaupendo wa kweli na mwisho wa interview umeongea kwa hisiaaa sanaaa pole dia haina jinsi kabisaa ila umeumia duu👌♥️♥️
@patricknanyaro63913 жыл бұрын
Dada zetu mnakosa kazi !Mungu akusaidie .
@victorchuma21143 жыл бұрын
Pole subira,Mungu akupe hitaji la moyo wako
@joycebetram39483 жыл бұрын
Mh pole mdada mwenzangu
@reymaabintabdillah37273 жыл бұрын
Hitaji LA moyo wake ndo Goodluck sema ampe anayemfaa
@luciasimeo21703 жыл бұрын
Kwa sasa unaweza kuwadanganya watu, ila iko siku utakapo kutana na aliye kupa neema ya kuishi hapo ndo utajua, waimbaji wengi wanatukanisha jina la Yrsu.
@officialrhodakazungu93343 жыл бұрын
Jaman pole subira jaman 💔Ila Goodluck anabusara jamaniiiiiii 🙏
@hekimakihaliye34553 жыл бұрын
Unampaje pole asiyejielewa?yeye ni mwalimu aangalie wa size yake mastaa wanatafutana apo hata angekubaliwa angeteseka mpaka kufa kwake si kila muimba injiri anamanishi injiri
@novatusmwamba40373 жыл бұрын
Sawa,umeeleza hisia zako and God will give you a nice husband,
@Betnessgeofrey3 ай бұрын
Aiseee Mungu Wangu hii aibu hamna wadada tunajikutaga
@paskalinaammi4403 жыл бұрын
I feel it huyo dada ameumia sana😢😢
@guitarcaleb58173 жыл бұрын
issue ya video call haijakaa vzr hapo ni vipi m2 anaweza kuongopa kwa video call...!!
@hyungtae3183 жыл бұрын
Shangaa na Wewe! Mimi naamini ni kweli walikua wanawasiliana! Sema tu mtumishi ameona jamii imejua kaamua kumtema.
@andrewkibwata9743 жыл бұрын
Brother #Goodluck Gozbet keep it up songa mbele Mungu yupo nawe .
@christinahjustine41703 жыл бұрын
Tafadhali wazazi msiwaonyeshe watoto ni aibu kwakweli, hongera dada unajua kupenda, Mungu akubariki m2mishi unahekima sn
@susandaud35443 жыл бұрын
Hill remba ndilo limemuchanganya godlucky
@thioraosward75073 жыл бұрын
Dada umenichekesha hatr...
@fraviusmanyika75213 жыл бұрын
It's really that she love him so much so hakuna shida kuzielezea hisia zako pale inapopaswa kuwa free haina haja yakujifunga ivyo wakati unapenda.
@stellahedson39583 жыл бұрын
Pole Subira Mungu akujaalie upate mume bora na mwema, nakuombea heri kipenzi.
@elizabethmatalu47192 жыл бұрын
Mapnz y mtandaoni dadaang siyo mazur Ila tulia tuu utapata wako mungu akutie nguvuu
@kabhikachambala33923 жыл бұрын
Basi hapo kichwani anatamani Good luck OG atafakari amsaidie kukubari tu wawe wamoja
@salmaathuman91563 жыл бұрын
Mungu amsadie huyu dada apate mume halafu najiombea mwenyewe kumtongoza mwanaume kwakweli hapana mungu anisadie maana juju ni kudhalilika
@pastorjamesmajaliwa78433 жыл бұрын
Mmmmh
@zaerajuma91593 жыл бұрын
Kupenda kawaida tu
@berthamringo57063 жыл бұрын
Pole sana dada Mungu akupe mume wako, kweli moyo ukipenda hauzuiliw na aibu wala haujal hasara
@fredrickphilomena17843 жыл бұрын
Teacher kashapoteza pesa nyingi sana mpaka aelewi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mutheuangela32973 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@feucmzale38893 жыл бұрын
Hatari 🙆🙆🙆🙆
@candymusa50903 жыл бұрын
😹😹😹😹😹😹😹😹
@isayayohana63413 жыл бұрын
Katika siku uyu jamaaa ka ongea kwa hekima moja wapo ni hii hongera sana mtumishi wa Mungu
@happyalbert50893 жыл бұрын
Mungu amsaidie huyu dada ampate tu mume wake.
@machibuladeus90753 жыл бұрын
Duh goodluck very kindfully blessup kk
@bernardtarimo68633 жыл бұрын
Mtumishi wa MUNGU ilo ni jaribu na hongera kwakulishinda
@gloryprotas19993 жыл бұрын
Unamajibu ya hekima sana goodluck
@maishacenter-eastafricatv39763 жыл бұрын
Wewe ndiye uliyemdhalilisha Gwajima!! Ipo siku tuu
@danielmazoya-nn5wg4 ай бұрын
Namba sapot kwenye muzik wa gospo
@dottonkinga85223 жыл бұрын
Good nakupenda sana unahekima namuomba mungu ampe hekima good luck wangu awe Kama wewe
@editherkigabo95413 жыл бұрын
Duuh kweli mungu wetu wa mbinguni ulituumbia kupenda Tena kwa dhati kabisa lakini mungu tunakuomba uwe unatupelekea kwenye type zetu Jamani ,, asante ameen
@revinacholobi5773 жыл бұрын
Daah kwakweli
@menikojohn27823 жыл бұрын
Ndoa haina hayo.
@irennkwita98743 жыл бұрын
Nimecheka kwa sautii akyamungu...kweli kabisa tuwe tunaangalia type zetu jaman
@bertinaafonsorapaz83453 жыл бұрын
😆😆😆😆😆type zetu
@naomikatharinaandrewmnkai67603 жыл бұрын
Hahahahaha jinga saana wewe hahahaa ! Kwakweli c type yake kabisaa. Uwiii mi naona aibu
@alicebanele11963 жыл бұрын
Goodluck una hekima sana jamaniii,hongera sanaa,umeonyesha utofauti sana na wengine
@fatimamohammed23323 жыл бұрын
maskin mungu atakujalia mana tatzo moyo ndy mana umefanya ilo hadharan usiumie na maneno ya wa2 mtaani daaah cjuh walim wenzio na wanafunz watakuonaje
@coolbenzofficial8508 Жыл бұрын
Dada Jipe moyo,Kuna mume wako zidi kuomba Mungu pole sana dadangu.
@hildadaniel48923 жыл бұрын
Hahahaaaa alifiwa na mamaake nikamtumia efu 40 uwiii rudi lindi Dada kaandae maandalio na saiv wanafunzi wapo likizo wanachezea cm za wazazi wamekuona uwiiiii
@jenifersamwel89903 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@lucyluambano82743 жыл бұрын
😂😂
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤔🤣hhhhhh!! Ila nyie watu🤣🤣🤣🤔🙄🤔
@rhodatoroka26273 жыл бұрын
😁😁😁😁
@issashabani3453 жыл бұрын
Njooo nikuoe
@melkizedekiwiliam55333 жыл бұрын
Halo! Huyu dogo ana hekima, pia hii chanel nimewakubali.
@julytito38913 жыл бұрын
Dada we kiboko haswaaaa💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿mm siwez kufanya huo ujinga ase siwez yaan eti upendooooo
@happinesszabron68113 жыл бұрын
Ni wewe kila mtu kapewa akili yake
@luwanjaclansi97573 жыл бұрын
Pole sana ndugu yangu kupenda kubaya
@alicebyabusha74503 жыл бұрын
Oh my God yaani na hizi aibu zangu Mimi naona aibu Kama vile Mimi ndo subira ,😆😆
@sundaytumbo19243 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@exaverymakoye60263 жыл бұрын
Ukipenda hutoona aibu
@mwajiranimesalimu55093 жыл бұрын
lkn pia ana moyo mtu akudanganya ukae hotel wiki 2 na bado aakili aijafunguka kua mtu ni tapele wa mapenzi mmmh moyo wangu koma
@zariamwanza73083 жыл бұрын
Yaan
@zachariamanase81643 жыл бұрын
Hahaha
@zakyahya46453 жыл бұрын
Uyu dada atajinyonga jamani 😢😢 sio kwa kujizalilisha ivi dah mtihan huu
@deusdeditswebe89302 жыл бұрын
Mtihani tena wa physics halafu unajikuta aukusoma vizuri....paper ni ngumu
@deusdeditswebe89302 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄 Loh...jamani
@paulmathias68822 жыл бұрын
Namuelewa sana Goodluck, kwa mtu mwingine ni kazi Sana kupokeaga hayo maombi asee
@rachelkelembu56513 жыл бұрын
Duuh! Pole sana my brother ucjali MUNGU yup pamoja na ww hayo ni majaribu tu
@rosemarychandika38113 жыл бұрын
Wai Shule dada juma tatu sio mbaliiiiii poleeeeeeeeeeee
@jenifersamwel89903 жыл бұрын
😀😀😀
@itNeza3 жыл бұрын
Kazuri ka Subira 🤣 : Kamenochekesha eti kanataka Kuwa Mchumba, Tena Kazuri sana.😍
@miriammutua12862 жыл бұрын
Goodluck umejaa hekima. Vile iyo issue umeihandle si rahisi
@isayamwanjoka39583 жыл бұрын
Daah hii htr xanaaah....mapenz haya
@lovenessibrahimu67303 жыл бұрын
Poleeee Sana Bro Polee Sana Dadaa Mwalimu Umetaperiwa Dear