Aliedai Kutapeliwa Kimapenzi na Goodluck Gozbert Atoa ya Moyoni | Aomba Awe Mumewe | Ampa Pole

  Рет қаралды 486,551

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

3 жыл бұрын

Ilianza kimasihara kwa mwanadada kusema ametapeliwa kimapenzi na Goodluck na hatimaye amekutanishwa nae kutoa ya moyoni baada ya kugundua kuwa aliekuwa akiwasiliana nae ni Goodluck Gozbert feki.
#WazeeWambanga #PressRelease

Пікірлер: 2 300
@irenepm3023
@irenepm3023 3 жыл бұрын
Pole sana subira, godluck Nimependa ulivyo na hekima
@goldenfoot1102
@goldenfoot1102 3 жыл бұрын
Subira anakiherehere jamani kutoka lindi Hadi mwanza dohhhh
@irenepm3023
@irenepm3023 3 жыл бұрын
@@goldenfoot1102 haibu, akirudi shule j,3 cjui ataiweka wapi sura yake kwa walim wenzako, na kama ingekua ni mapenzi ya Mungu kama anavyosema mwanaume angemfuata mwenyew.
@azizamohamed5349
@azizamohamed5349 3 жыл бұрын
Huyu Dada kakutana na Goodluck tapeli wa mitandaoni na atalaaniwa Ila Dada was watu mkweli Sana!!nimeumia Sana kwa kweli,mapenzi yanauma jamani daaah
@mckadosimon6184
@mckadosimon6184 3 жыл бұрын
Hiiiiii nipo
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
@@irenepm3023 daah!! Hawezi kuwa na mood kabisa!!!!!🙄
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 2 жыл бұрын
Mungu akupatie mume wako kutoka kwa Bwana... Aibu uliyoipata Mungu akupatie Heshima kubwa itakayo funika na kufuta kabisa aibu uliyoipata ✝️
@maggiendeto6570
@maggiendeto6570 2 жыл бұрын
Ameen
@jeniphermyingajeniphermyin8029
@jeniphermyingajeniphermyin8029 2 жыл бұрын
Haa anamoyo Sana kwakweli huyu dada
@jolemerci2155
@jolemerci2155 Жыл бұрын
Basi ametamani isio nyota yake masikinii !!! Ya Mungu nasikia huruma sana mungu amupe mumewake kwa kweli binti huyu sasa kwanini wa namuuliza maneno mengi ? Inatosha
@pulikisia7963
@pulikisia7963 7 ай бұрын
Amen!!🙏🏿
@HANGU315
@HANGU315 4 ай бұрын
www.youtube.com/@QwenJohn
@ivyglycian4256
@ivyglycian4256 3 жыл бұрын
Number one fan,,,your wisdom is just on another level Goodluck
@lyrics_forum
@lyrics_forum 3 жыл бұрын
Ooh my God, Umejitahidi sana Kukeep your tears, You're the Strong woman, Pole sana Sweetheart😢 #ThisHasEnd
@dibochi2511
@dibochi2511 3 жыл бұрын
Sana
@Tibah439
@Tibah439 3 жыл бұрын
Mgind kanuna
@annymassawe1311
@annymassawe1311 3 жыл бұрын
🙄🙄🙄
@jimmysameji3602
@jimmysameji3602 3 жыл бұрын
Igwee
@saudamwitika6688
@saudamwitika6688 3 жыл бұрын
Hongela goodlack umeongea kwakujiamini sana mungu akupe hekima na busala
@carolinetalam5832
@carolinetalam5832 3 жыл бұрын
Pole Dada Mungu atakupa mume you look very humble lady, Goodluck thanks for being open
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 3 жыл бұрын
She's so desperate.
@kelvinaudax8287
@kelvinaudax8287 3 жыл бұрын
So mwanaume akiwa anamkosea anaenda kwa vyombo vya habari ndo mwanamke unaemtaka wewe😂😂😂
@glorymutalemwa296
@glorymutalemwa296 3 жыл бұрын
Exactly walimu hayujawai kufeli kwanza anajiamin alafu tutambue mapenz hisiaa
@evaemmauel8726
@evaemmauel8726 3 жыл бұрын
Usipende kibubusa penda lakin akilikichwani usiingie mikono yote ndivyo ulivyofanya na ni upendo gani Wa kupenda post pole lakin usilusidie
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 3 жыл бұрын
Goodluck Barikiwa Sana, Umeongea Vizuri Sana, Umeeleweka Mkarimu Sana Kijana Wa Watu. Mwalimu Subira Kuwa Makini Acha Kujipendea Ovyo.Pole Jikaze,
@zuhuraimran3659
@zuhuraimran3659 3 жыл бұрын
Pia huku😀😀😀😀
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 3 жыл бұрын
@@zuhuraimran3659 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Weweeeee Kotekote Kama nini.
@nusuranusura4688
@nusuranusura4688 3 жыл бұрын
Mtihani wallahi. Imekuwaje mwalimu? Mpaka mitandaonu? Pole.sana ila tuliza sana kichwa ,kuwa mwenye subira
@simphoslyvia2570
@simphoslyvia2570 3 жыл бұрын
😭😭too bady for me,pole Subira Mapenzi ni hisia Mungu mwema natambua unavyojisikia.Mungu akujalie Mume mwenye hekima .
@valentineshembilu1256
@valentineshembilu1256 3 жыл бұрын
Wanaume tuko wengi tatizo yeye anataka handsome boy sisi wafupi na masura mabaya hatutaki
@theresiandasuya1849
@theresiandasuya1849 3 жыл бұрын
Hongera kaka Goodluck kwa busara zako, kweli ukiwa na Yesu nilazima uheshimu kila mtu
@happyalbert5089
@happyalbert5089 3 жыл бұрын
Nimemuelewa sana Good luck!!Hekima kubwa sana hiyo.
@ramadhanikibenga6317
@ramadhanikibenga6317 3 жыл бұрын
Yuko vizuri sana dah
@lovenessibrahimu6730
@lovenessibrahimu6730 3 жыл бұрын
Umeona Eeeeh Dadaa Kajiaminisha Mwee Ningekuwa REO Wake Ningemuandikisha Barua Ya Maelezo Unaiabisha Karia Ya Ualimu
@esperancakombat7797
@esperancakombat7797 3 жыл бұрын
Mhn....
@princessmajordota8751
@princessmajordota8751 3 жыл бұрын
6
@marryleonard5536
@marryleonard5536 3 жыл бұрын
Mhu wanawake mnajiweza
@anitababyderickwasike7872
@anitababyderickwasike7872 3 жыл бұрын
Good luck hayo huwa yanatokea yalimtokea mbosso na binti mmoja kutoka Kenya Mombasa alimtafuta mbosso Tzd.
@gacheribetty8655
@gacheribetty8655 3 жыл бұрын
Na feel huyu dada... Good luck is a man of wisdom and respectful, God bless you
@chebby7351
@chebby7351 3 жыл бұрын
Goodluck you are a man of integrity.The way you have handled the insistence with much respect.
@bestmedia_tz
@bestmedia_tz 3 жыл бұрын
Imani ni dawa goodluck big up sana watakuja sana kemea
@damaricygeofrey2444
@damaricygeofrey2444 3 жыл бұрын
Nataman vijana wote wangekuwa na hekima kama huyu kaka, na pia wanawake tusisite kuweka wazi hisia zetu hasa pale moyo wako unapokusukuma kwenda ila katika mawili moja lazima litokee liw baya au zuri inabidi ukubali na ushukuru mungu kwa kilichotokea, usichoke dada angu kumuomba mungu atakupa hitaji la moyo wako.
@judysarasara550
@judysarasara550 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 Yani nimechoka yangu yote watching from Saudi Arabia navile na penda nyimbo za goodluck kijana muogopa mungu janani mungu akupe nguvu
@starcell5555
@starcell5555 2 жыл бұрын
Usijali niko apa all the way from Asia
@anneliesejohns1763
@anneliesejohns1763 3 жыл бұрын
Big up sister utapata mume muombe mungu Sana
@aminatundondege9384
@aminatundondege9384 3 жыл бұрын
Goodluck barikiwa kaka kwa heshima ulomuonyesha...Ila mmh!jamani Teacher.....
@pendogeorge1813
@pendogeorge1813 3 жыл бұрын
😂
@marymartin5377
@marymartin5377 2 жыл бұрын
Waalimu jamani sijaamini macho yangu!!!
@leonemomanyi6848
@leonemomanyi6848 2 жыл бұрын
Am so sorry for this lady maana ata pesa ashatuma za matanga ya mama kwa watapeli hao. Goodluck you are also so humble and protective of her and her dignity.
@desangekahindo6745
@desangekahindo6745 3 жыл бұрын
Pole sana dada ulikuwa umemchaguwa mume ila ana mtu 🤔endeleya ku amini Mungu. Piya ongora sana Goodluck kwakutumiya hekima Kama Solomon 🙏
@frankzacharia4526
@frankzacharia4526 3 жыл бұрын
Dah! Kudadadeki nyie ni Noma, nimewavulia kofia. Respect🙏🙏
@jeovangisc7957
@jeovangisc7957 3 жыл бұрын
Jamaa wanatisha
@wilsonishengoma4788
@wilsonishengoma4788 3 жыл бұрын
Kuna mtu amesema amewazalilisha wanyakyusa sasa sijajua amewazalilishaje, embe tuonyeshe namna alivyowazalilisha
@bestmedia_tz
@bestmedia_tz 3 жыл бұрын
Kweli brother goodluck uko vizuli una imani sana pia hauna ubinafsi unatumia hekima sana mungu akupe maisha maref
@salmaissa6217
@salmaissa6217 3 жыл бұрын
Nmekuelewa goodluck ..love you so much interview nzur sana with much respect
@jadalovedagold3149
@jadalovedagold3149 3 жыл бұрын
Good luck wewe ni mwema sana na pia mama ako ni mpole
@gracendaki4515
@gracendaki4515 3 жыл бұрын
Goodluck,Asante sana kwa hekima zako
@louisejean5846
@louisejean5846 3 жыл бұрын
Mwacheni dada wawatu msimchoshe bwana! 😥😥ila dada yangu jipe moyo tu mungu atakupa mwengine utakayempenda sana
@TeacherKevin
@TeacherKevin 2 жыл бұрын
Nipewe huyu mwalimu
@marietaamiri889
@marietaamiri889 Ай бұрын
Amen kaka godluck❤❤❤
@visentkiswaga151
@visentkiswaga151 3 жыл бұрын
Dada I love mwaaaaaaa najua unaupendo wadhat unajiamin jaman mwaaaaaaaaa mwijaku naomba nambayake
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 3 жыл бұрын
Tatizo hatakupenda wewe 😂😂😂
@simangwijackson584
@simangwijackson584 2 жыл бұрын
Huyu alipenda mali.
@mdzainb3722
@mdzainb3722 3 жыл бұрын
Woyooooooooooo nilitamani kuona muendelezo🤣🤣🤣🤣🤣yani naona aibu mmi jamani
@sifatiiman
@sifatiiman 3 жыл бұрын
Umeona jaman wanawake mnafeli wapi?
@moyomussa9548
@moyomussa9548 3 жыл бұрын
🤣
@mdzainb3722
@mdzainb3722 3 жыл бұрын
@@sifatiiman kwanza katuzalilisha wanawake pili kazallisha waalimu mwalimu gani mpumbavu huyu mpka ajiachiiiiia anaropka Yoote kupenda kupo ila kwanni amejianika hivi
@albuscalion354
@albuscalion354 3 жыл бұрын
Wengine mnashangaa wengne mcheka...kama vile hamjawahi kukutana nayo wakat baadhi yenu imeshatokea mpaka hapa unakumbuka yule uliwai kumtamikia hvo na ukawa nae mwisho wa siku akakucht....au kwa sababu huyu kaingia mtandaon ndo mnajifanya kama vile hamjui kama hamujayaona hayo mamboooo.mwchen mdada wa watu bhn..
@mdzainb3722
@mdzainb3722 3 жыл бұрын
@@albuscalion354 tumia akili hakuna anaeshangaa ila yye kwanini ajianike na ukizingatia yye ni mwalim hivi wakubwa wake wanmchukuluaje😠😠😠😠😏😏
@thobiethalibutu1465
@thobiethalibutu1465 3 жыл бұрын
Aseee watangazaji kwa mambo na lugha za ushawishi 😂🤣🤣😄, duuuh kikubwa Godruck kazi unayoo mungu akutie nguvu.😍
@Stayawayfromislam2
@Stayawayfromislam2 3 жыл бұрын
God bless u goodluck u are a brave man.
@priscaezekiel4544
@priscaezekiel4544 3 жыл бұрын
Aaaah godluck anahekima jmn
@MaryMary-iw3jh
@MaryMary-iw3jh 3 жыл бұрын
Goodluck una hekima sana Mungu azidi kukuongoza
@aronnyboy_tz7785
@aronnyboy_tz7785 3 жыл бұрын
Kama umeikubali hii epsd gonga like
@ramadhanikibenga6317
@ramadhanikibenga6317 3 жыл бұрын
Dah yaani ni shidaa
@luciasimeo2170
@luciasimeo2170 3 жыл бұрын
Mbona hajafata mtu mwingine, hacha ujaja Yesu analudi,
@kelvinaudax8287
@kelvinaudax8287 3 жыл бұрын
Sterling ako makini
@hansijuma4839
@hansijuma4839 3 жыл бұрын
Like
@lightnessmgonja180
@lightnessmgonja180 3 жыл бұрын
Sikuwahi fikiria kama goodluck ana busara hivi daaah mungu akubariki kakaa
@thyline254
@thyline254 5 ай бұрын
The self control in this man Goodluck,keep it up bro
@fedambudzi957
@fedambudzi957 3 жыл бұрын
Shilawadu hongereni Sana kwa kazi nzuri mnayoifanya👏👏👏
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Godluck hakika umekuwa na hekima sana. Na pia napenda kukupongeza sana Dada kwa kufunguka toka moyoni kutoa hisia zako ila sasa kuna watu watakudharau sana wataona kama umejiaibisha .Macho ya walimu wenzako na wanafunzi wako.
@scolasticamasanja7236
@scolasticamasanja7236 3 жыл бұрын
Huyu dada anapepo la ngono
@juliananasari2526
@juliananasari2526 3 жыл бұрын
Poleni sana gudluk na dada subira Mungu awape wenza wazuri
@teddymwageni1763
@teddymwageni1763 3 жыл бұрын
Nimejikuta nairudia Mara 3 kuisikiliza,Mungu atusaidie saaana Ila Sasa ingekuwa private Sana,Sasa mitandaoni humu kuchoreshana tyuuu
@charlesemidy2615
@charlesemidy2615 3 жыл бұрын
Mungu akufanyie hitaji la Moyo wako Mungu akutendee mema ameen.
@eliasbanka8292
@eliasbanka8292 3 жыл бұрын
Mbona watu mnakosa ya kusema.""Hisia za mtu ziheshimiwe huyo dada nimempenda sana kwani nilipi la ajabu kalifanya,,."??
@presseg.6362
@presseg.6362 3 жыл бұрын
Hahahahahahahahaha, jamani uwiiiiiiiiiiiiiiiiii
@semwandambaza2184
@semwandambaza2184 3 жыл бұрын
Kweli jamani...
@ClaireHappy
@ClaireHappy 3 жыл бұрын
Kwel jaman..
@anjunurdin2392
@anjunurdin2392 3 жыл бұрын
Mh mwanamke mwwnyewe mchafu nguo ile tangu siku ile hajabadili ingine
@amoselias5813
@amoselias5813 3 жыл бұрын
Asee hao hawajapata bahati ya kupenda kama kupenda kutoka moyoni.....aseee nyie acheni tu kama hujui hujui tu...Subira mungu ndie mpaji kama amewapa wengine bas ridhiki yako ipo wakati wako unakuja endelea kuwa humble girl, unafanya kaz nzur pambana....when the right time reaches u'll be surprised Godbless u. wenye midomo waache tu waongee ni yao watachoka wata lala na bongo zao zinazo mis mis kama gari iliyoisha mafuta barabarani.
@naaabanka8145
@naaabanka8145 3 жыл бұрын
Mungu wangu ni aibu kiasi gani hii😓 pole sana mwalimu subira
@ruthmusyoki8278
@ruthmusyoki8278 3 жыл бұрын
my sister God will answer your prayers keep praying
@esaumwavika6905
@esaumwavika6905 3 жыл бұрын
Mtumishi wa mungu kukutwa na haya nikawaida hiningaz yako yakupanda mungu akuepushe na mabaya
@graceedson5133
@graceedson5133 3 жыл бұрын
Yani sijui ofisini atakaaje na atawaangaliaje walim wenzie na wanakijiji, ndugu jamaa namarafiki daaaaaa aibu ya mwaka mpya 2021.
@mwesakariawe4672
@mwesakariawe4672 11 ай бұрын
Kaka angu jipe moyo hii dunia haina fadhila acha wakuseme wanavyoweza hayo yote wanakuonea wivu wa maendeleo muombe mungu akuzidishie siku za kuishi na akulinde akuepushe na mabaya maishani wakapate kuaibika
@magrethmwalongo2983
@magrethmwalongo2983 3 жыл бұрын
Jamani pole mwalimu,Goodraki MUNGU aitunze hekima yako
@elizabethvicent9372
@elizabethvicent9372 3 жыл бұрын
Jaman wadada wengine ila amshukuru mtu alieenda kukutana nae mtumishi wa Mungu mwenye hekima
@tumumwelelwa9357
@tumumwelelwa9357 3 жыл бұрын
Hatal tupu
@margaretcharlton1960
@margaretcharlton1960 3 жыл бұрын
Goodluck God loves you. There’ a lot of temptation in this world. Keep on praying.
@leahjohnsimba4088
@leahjohnsimba4088 2 жыл бұрын
Keep on praying bro
@johnedrick7706
@johnedrick7706 2 жыл бұрын
0000000
@tinamakacha1897
@tinamakacha1897 3 жыл бұрын
Masikini wa Mungu jamani Yesu wangu hakika Mungu upo atakupatia dada mume natabiri
@estarkapinga6126
@estarkapinga6126 3 жыл бұрын
Good luck ! Mungu akubaliki sanaaa
@gracemaiko9066
@gracemaiko9066 3 жыл бұрын
mungu anipe Nini Mimi et good luck wewe ni mtu moja ambaye sijawahi kuona kwenye hii dunia
@ericndahani5152
@ericndahani5152 2 жыл бұрын
mmhhh grace
@antonmbwile8412
@antonmbwile8412 3 жыл бұрын
Lakini jamani kwa mtu maarufu kawaida kupakwa matope gonga laiki
@mwantumkombo172
@mwantumkombo172 3 жыл бұрын
Amejikaza sn uyo dada kulia! Duuh! akifikilia kapoteza sn gharama zake kwa ajili y Mapenzi...pole yake
@fridamshana9265
@fridamshana9265 3 жыл бұрын
Ppopppppo
@user-og8fc7mg5i
@user-og8fc7mg5i 9 ай бұрын
😂😂😂 sema
@glorykarim1570
@glorykarim1570 3 жыл бұрын
Nimekupenda Sana wewe dada unaupendo wa kweli na mwisho wa interview umeongea kwa hisiaaa sanaaa pole dia haina jinsi kabisaa ila umeumia duu👌♥️♥️
@patricknanyaro6391
@patricknanyaro6391 3 жыл бұрын
Dada zetu mnakosa kazi !Mungu akusaidie .
@victorchuma2114
@victorchuma2114 3 жыл бұрын
Pole subira,Mungu akupe hitaji la moyo wako
@joycebetram3948
@joycebetram3948 3 жыл бұрын
Mh pole mdada mwenzangu
@reymaabintabdillah3727
@reymaabintabdillah3727 3 жыл бұрын
Hitaji LA moyo wake ndo Goodluck sema ampe anayemfaa
@luciasimeo2170
@luciasimeo2170 3 жыл бұрын
Kwa sasa unaweza kuwadanganya watu, ila iko siku utakapo kutana na aliye kupa neema ya kuishi hapo ndo utajua, waimbaji wengi wanatukanisha jina la Yrsu.
@officialrhodakazungu9334
@officialrhodakazungu9334 3 жыл бұрын
Jaman pole subira jaman 💔Ila Goodluck anabusara jamaniiiiiii 🙏
@hekimakihaliye3455
@hekimakihaliye3455 3 жыл бұрын
Unampaje pole asiyejielewa?yeye ni mwalimu aangalie wa size yake mastaa wanatafutana apo hata angekubaliwa angeteseka mpaka kufa kwake si kila muimba injiri anamanishi injiri
@novatusmwamba4037
@novatusmwamba4037 3 жыл бұрын
Sawa,umeeleza hisia zako and God will give you a nice husband,
@Betnessgeofrey
@Betnessgeofrey 3 ай бұрын
Aiseee Mungu Wangu hii aibu hamna wadada tunajikutaga
@paskalinaammi440
@paskalinaammi440 3 жыл бұрын
I feel it huyo dada ameumia sana😢😢
@guitarcaleb5817
@guitarcaleb5817 3 жыл бұрын
issue ya video call haijakaa vzr hapo ni vipi m2 anaweza kuongopa kwa video call...!!
@hyungtae318
@hyungtae318 3 жыл бұрын
Shangaa na Wewe! Mimi naamini ni kweli walikua wanawasiliana! Sema tu mtumishi ameona jamii imejua kaamua kumtema.
@andrewkibwata974
@andrewkibwata974 3 жыл бұрын
Brother #Goodluck Gozbet keep it up songa mbele Mungu yupo nawe .
@christinahjustine4170
@christinahjustine4170 3 жыл бұрын
Tafadhali wazazi msiwaonyeshe watoto ni aibu kwakweli, hongera dada unajua kupenda, Mungu akubariki m2mishi unahekima sn
@susandaud3544
@susandaud3544 3 жыл бұрын
Hill remba ndilo limemuchanganya godlucky
@thioraosward7507
@thioraosward7507 3 жыл бұрын
Dada umenichekesha hatr...
@fraviusmanyika7521
@fraviusmanyika7521 3 жыл бұрын
It's really that she love him so much so hakuna shida kuzielezea hisia zako pale inapopaswa kuwa free haina haja yakujifunga ivyo wakati unapenda.
@stellahedson3958
@stellahedson3958 3 жыл бұрын
Pole Subira Mungu akujaalie upate mume bora na mwema, nakuombea heri kipenzi.
@elizabethmatalu4719
@elizabethmatalu4719 2 жыл бұрын
Mapnz y mtandaoni dadaang siyo mazur Ila tulia tuu utapata wako mungu akutie nguvuu
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 3 жыл бұрын
Basi hapo kichwani anatamani Good luck OG atafakari amsaidie kukubari tu wawe wamoja
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 3 жыл бұрын
Mungu amsadie huyu dada apate mume halafu najiombea mwenyewe kumtongoza mwanaume kwakweli hapana mungu anisadie maana juju ni kudhalilika
@pastorjamesmajaliwa7843
@pastorjamesmajaliwa7843 3 жыл бұрын
Mmmmh
@zaerajuma9159
@zaerajuma9159 3 жыл бұрын
Kupenda kawaida tu
@berthamringo5706
@berthamringo5706 3 жыл бұрын
Pole sana dada Mungu akupe mume wako, kweli moyo ukipenda hauzuiliw na aibu wala haujal hasara
@fredrickphilomena1784
@fredrickphilomena1784 3 жыл бұрын
Teacher kashapoteza pesa nyingi sana mpaka aelewi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mutheuangela3297
@mutheuangela3297 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@feucmzale3889
@feucmzale3889 3 жыл бұрын
Hatari 🙆🙆🙆🙆
@candymusa5090
@candymusa5090 3 жыл бұрын
😹😹😹😹😹😹😹😹
@isayayohana6341
@isayayohana6341 3 жыл бұрын
Katika siku uyu jamaaa ka ongea kwa hekima moja wapo ni hii hongera sana mtumishi wa Mungu
@happyalbert5089
@happyalbert5089 3 жыл бұрын
Mungu amsaidie huyu dada ampate tu mume wake.
@machibuladeus9075
@machibuladeus9075 3 жыл бұрын
Duh goodluck very kindfully blessup kk
@bernardtarimo6863
@bernardtarimo6863 3 жыл бұрын
Mtumishi wa MUNGU ilo ni jaribu na hongera kwakulishinda
@gloryprotas1999
@gloryprotas1999 3 жыл бұрын
Unamajibu ya hekima sana goodluck
@maishacenter-eastafricatv3976
@maishacenter-eastafricatv3976 3 жыл бұрын
Wewe ndiye uliyemdhalilisha Gwajima!! Ipo siku tuu
@danielmazoya-nn5wg
@danielmazoya-nn5wg 4 ай бұрын
Namba sapot kwenye muzik wa gospo
@dottonkinga8522
@dottonkinga8522 3 жыл бұрын
Good nakupenda sana unahekima namuomba mungu ampe hekima good luck wangu awe Kama wewe
@editherkigabo9541
@editherkigabo9541 3 жыл бұрын
Duuh kweli mungu wetu wa mbinguni ulituumbia kupenda Tena kwa dhati kabisa lakini mungu tunakuomba uwe unatupelekea kwenye type zetu Jamani ,, asante ameen
@revinacholobi577
@revinacholobi577 3 жыл бұрын
Daah kwakweli
@menikojohn2782
@menikojohn2782 3 жыл бұрын
Ndoa haina hayo.
@irennkwita9874
@irennkwita9874 3 жыл бұрын
Nimecheka kwa sautii akyamungu...kweli kabisa tuwe tunaangalia type zetu jaman
@bertinaafonsorapaz8345
@bertinaafonsorapaz8345 3 жыл бұрын
😆😆😆😆😆type zetu
@naomikatharinaandrewmnkai6760
@naomikatharinaandrewmnkai6760 3 жыл бұрын
Hahahahaha jinga saana wewe hahahaa ! Kwakweli c type yake kabisaa. Uwiii mi naona aibu
@alicebanele1196
@alicebanele1196 3 жыл бұрын
Goodluck una hekima sana jamaniii,hongera sanaa,umeonyesha utofauti sana na wengine
@fatimamohammed2332
@fatimamohammed2332 3 жыл бұрын
maskin mungu atakujalia mana tatzo moyo ndy mana umefanya ilo hadharan usiumie na maneno ya wa2 mtaani daaah cjuh walim wenzio na wanafunz watakuonaje
@coolbenzofficial8508
@coolbenzofficial8508 Жыл бұрын
Dada Jipe moyo,Kuna mume wako zidi kuomba Mungu pole sana dadangu.
@hildadaniel4892
@hildadaniel4892 3 жыл бұрын
Hahahaaaa alifiwa na mamaake nikamtumia efu 40 uwiii rudi lindi Dada kaandae maandalio na saiv wanafunzi wapo likizo wanachezea cm za wazazi wamekuona uwiiiii
@jenifersamwel8990
@jenifersamwel8990 3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@lucyluambano8274
@lucyluambano8274 3 жыл бұрын
😂😂
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤔🤣hhhhhh!! Ila nyie watu🤣🤣🤣🤔🙄🤔
@rhodatoroka2627
@rhodatoroka2627 3 жыл бұрын
😁😁😁😁
@issashabani345
@issashabani345 3 жыл бұрын
Njooo nikuoe
@melkizedekiwiliam5533
@melkizedekiwiliam5533 3 жыл бұрын
Halo! Huyu dogo ana hekima, pia hii chanel nimewakubali.
@julytito3891
@julytito3891 3 жыл бұрын
Dada we kiboko haswaaaa💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿mm siwez kufanya huo ujinga ase siwez yaan eti upendooooo
@happinesszabron6811
@happinesszabron6811 3 жыл бұрын
Ni wewe kila mtu kapewa akili yake
@luwanjaclansi9757
@luwanjaclansi9757 3 жыл бұрын
Pole sana ndugu yangu kupenda kubaya
@alicebyabusha7450
@alicebyabusha7450 3 жыл бұрын
Oh my God yaani na hizi aibu zangu Mimi naona aibu Kama vile Mimi ndo subira ,😆😆
@sundaytumbo1924
@sundaytumbo1924 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@exaverymakoye6026
@exaverymakoye6026 3 жыл бұрын
Ukipenda hutoona aibu
@mwajiranimesalimu5509
@mwajiranimesalimu5509 3 жыл бұрын
lkn pia ana moyo mtu akudanganya ukae hotel wiki 2 na bado aakili aijafunguka kua mtu ni tapele wa mapenzi mmmh moyo wangu koma
@zariamwanza7308
@zariamwanza7308 3 жыл бұрын
Yaan
@zachariamanase8164
@zachariamanase8164 3 жыл бұрын
Hahaha
@zakyahya4645
@zakyahya4645 3 жыл бұрын
Uyu dada atajinyonga jamani 😢😢 sio kwa kujizalilisha ivi dah mtihan huu
@deusdeditswebe8930
@deusdeditswebe8930 2 жыл бұрын
Mtihani tena wa physics halafu unajikuta aukusoma vizuri....paper ni ngumu
@deusdeditswebe8930
@deusdeditswebe8930 2 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄 Loh...jamani
@paulmathias6882
@paulmathias6882 2 жыл бұрын
Namuelewa sana Goodluck, kwa mtu mwingine ni kazi Sana kupokeaga hayo maombi asee
@rachelkelembu5651
@rachelkelembu5651 3 жыл бұрын
Duuh! Pole sana my brother ucjali MUNGU yup pamoja na ww hayo ni majaribu tu
@rosemarychandika3811
@rosemarychandika3811 3 жыл бұрын
Wai Shule dada juma tatu sio mbaliiiiii poleeeeeeeeeeee
@jenifersamwel8990
@jenifersamwel8990 3 жыл бұрын
😀😀😀
@itNeza
@itNeza 3 жыл бұрын
Kazuri ka Subira 🤣 : Kamenochekesha eti kanataka Kuwa Mchumba, Tena Kazuri sana.😍
@miriammutua1286
@miriammutua1286 2 жыл бұрын
Goodluck umejaa hekima. Vile iyo issue umeihandle si rahisi
@isayamwanjoka3958
@isayamwanjoka3958 3 жыл бұрын
Daah hii htr xanaaah....mapenz haya
@lovenessibrahimu6730
@lovenessibrahimu6730 3 жыл бұрын
Poleeee Sana Bro Polee Sana Dadaa Mwalimu Umetaperiwa Dear
@gracestanley7040
@gracestanley7040 3 жыл бұрын
Mwalimu gan yupo Kama rofa hamna ualimu wala nn
@anithasilayo9424
@anithasilayo9424 3 жыл бұрын
@@gracestanley7040 😂😂😂
@lovenessibrahimu6730
@lovenessibrahimu6730 3 жыл бұрын
@@gracestanley7040 Nashangaa Walimu Nawafahamu Anawaaibisha Walimu
@safiauwimana2355
@safiauwimana2355 3 жыл бұрын
Jamani nilikuwa na subiri mwendelezo 😂😂😂😂😂
@raheemaraheema5453
@raheemaraheema5453 3 жыл бұрын
Kwa haaaamu
@winnshirima4122
@winnshirima4122 3 жыл бұрын
Kwa hamu mno
@josephinemichael1514
@josephinemichael1514 3 жыл бұрын
Hata mimi aisee daah
@safiauwimana2355
@safiauwimana2355 3 жыл бұрын
Jamani soudy ni mumbea hatari
@wonderwomentv6000
@wonderwomentv6000 3 жыл бұрын
Mimi pia
@rehemafungameza30
@rehemafungameza30 3 жыл бұрын
Mungu akutunze mdogo wangu goodrack hekima yamungu izidikukufunika nijaribu lako ilo
@veronicaruben6081
@veronicaruben6081 3 жыл бұрын
Pole dada unaanzaje kumpenda staa
@kenedykibona3243
@kenedykibona3243 3 жыл бұрын
Pole Sana Dada endelea kumuomba myngu akupatie mme Bora 🙏🙏
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 3 жыл бұрын
She real need to shout-out very loud
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 8 МЛН
NDARO STEVE WE NI TAPELI   MSIKILIZE MANENOYAKE
14:35
Steve Mweusi
Рет қаралды 30 М.
ROSE MUHANDO BADO WA MOTO, ATIKISA BURUNDI MBELE YA MKE WA RAIS
6:31
Millard Ayo
Рет қаралды 1,7 МЛН
Wazee Wambanga Uso kwa Uso na Baba Yake Kagere
58:47
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 30 М.
Diyora Keldiyorova Judo Paris-2024  Oltin medal sohibasi✊
0:55
Surxon 75
Рет қаралды 2,3 МЛН