King is number one o Alikiba é um dos melhor artist de Tanzania
@msafirimbawala33732 жыл бұрын
King kiba master
@matteonyerera18942 жыл бұрын
King kiba always POINT!!🤴🤴🔥🔥
@NYAHURURU_ICON2 жыл бұрын
@Alikiba is a big Artist from Kenya we love him
@usnashabani60532 жыл бұрын
Acheni lombaya jaman
@rahmatsumo3274 Жыл бұрын
Msanii mwenye kutembea na walinzi hajiamini kabisaa
@maryaidan77452 жыл бұрын
King kiba anawakimbiza sana yupo juu kuliko wote ila wanalazimish kuwa juu wao
@bizimanabilali96902 жыл бұрын
Nakubali kijana umemjibu vizuri sana
@saidebacar92452 жыл бұрын
Alikiba tem muito 💰💰💰💰💰 e melhor músico tz
@aftapat53652 жыл бұрын
Asante p tv nilikuwa naisaka hiy intv hatare
@ramosfally23182 жыл бұрын
namba 1 ali kiba.we jibu namba mbili mtaje wewe uyu jamaa ni shida sana adi nafurai majibu yake..king noma sana.from mozambique.board gadi ndio nini bana board gadi mungu tu
@fatumahassan13712 жыл бұрын
Alafu kaka nimekupenda bure maana unasema ukweli kabisa piga kelele kwa kiba wakeeee💃💃💃
@arthurboymsafe56842 жыл бұрын
kzbin.info/door/jcveFRQjGFI8yEPI1mzOnQ
@nurumwingira13922 жыл бұрын
Oyeeeeeeeee!!!
@adamsdebarber61102 жыл бұрын
💥💥💥💥💯
@angelamarlow5102 жыл бұрын
Swafiii
@michaeloliech39632 жыл бұрын
Alikiba anaimba music,, diamond ni entateiner
@flova70222 жыл бұрын
We jamaaa unaakili sana
@happynelson11362 жыл бұрын
Alikiba ni mwislam aliyekamilika havai vikuku wala mikufu kama wanawake wala havai heleni na humuoni akinywa pombe kama Diamond kila kwenye picha kashika kikombe cha pombe au glas ya pombe
@tusaamon32162 жыл бұрын
Safii kaka, king ni 👑 tu
@kiya0910 Жыл бұрын
Kiba namba 1
@donclassicMOZ2 жыл бұрын
Dah jamaa anaongeya vizuri sana importadore
@judithmakuto36122 жыл бұрын
Alikiba Hongera
@saidebacar92452 жыл бұрын
Meu irmão vce falou bem, Alikiba é grande kota
@baimarrajahbuayan62372 жыл бұрын
Nampenda sna king Kiba Maisha yake yapo simple, misifa kwake hapana, Ana mitatoo kama kenge pori, nampenda
@arthurboymsafe56842 жыл бұрын
Ali Kiba ft Patoranking #Nampenda kzbin.info/door/jcveFRQjGFI8yEPI1mzOnQ🔥🔥🔥
@happynelson11362 жыл бұрын
Umeongea point lakini ngoja nikurekebishe kwenye kuandika kiswahili ungeandika hana mitatoo sio ana mitatoo sababu hapo kwenye ana mitatoo ina maanisha Alikiba anazo tatoo naishi Ulaya miaka 15 lakini kiswahili siwezi kusahau kuongea au kuandika
@westonyjob17472 жыл бұрын
King kibaa
@westchugagang53232 жыл бұрын
King kiba 4life
@arthurboymsafe56842 жыл бұрын
kzbin.info/door/jcveFRQjGFI8yEPI1mzOnQ
@khalidiabdallah13622 жыл бұрын
Jamaaa kakujib vzr nimempenda
@salummussa8042 жыл бұрын
Wewe kaka umezaliwa tanzania kwa bahati mbaya love
@OmanOman-ky2oo2 жыл бұрын
Kiba oyeeeeeeee🥰🥰🥰🥰🥰
@MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын
Umeongea kweli asaivi diamond simuelewi zaid ya mitusi tuu
@nangasixmshamba2 жыл бұрын
King anajielewa halafu ni Professional
@agnnesludovick33122 жыл бұрын
King kiba🎸
@milliahachenya27492 жыл бұрын
Ali Kiba all the way
@SomTeam-qt3rj2 жыл бұрын
Uyu bro niwa kwetu kabisa. Nakubali
@jacksonmathayo65102 жыл бұрын
Mtangazi acha Mambo yako bhana mwache mzee King
@adamsdebarber61102 жыл бұрын
Kaka amejib maswal km King mwenyew umetisha kaka blaza
@dogoshazzy7612 жыл бұрын
Daaaah huyu jamaa nimemkubali sana
@flomenastephen22262 жыл бұрын
You talk nicely brother
@hamismchoma Жыл бұрын
Yap
@jacintahwanjiku76912 жыл бұрын
Samahani Alikiba hajazeeka Ali anakijua anacho kifanya and he is always wise..Ali ana lifestyle yake Hana bodyguards Kwa sababu hanamadui yuko free in the world then alikiba aliaanza mziki nahakuna Mwalimu anaye copy mwanafunzi so wacha kusema Ali ana copy diamond.. unakosea Kaka
@sabinangashagi83302 жыл бұрын
King kiba napenda namkubali tu ht angeimbaje
@mrrajjy2 жыл бұрын
#rahaaaaa. #JUDGe☆☆
@sharriffcharo19152 жыл бұрын
kiba diehard follower
@felicity31592 жыл бұрын
I agree with you guys Ali kiba mambo yote king of bongo.Simple Boy
@lotijronlinetv21772 жыл бұрын
Huyu jamaa Yuko very yan full perfect
@stanleymwika89932 жыл бұрын
King 👑
@constancekarisa16052 жыл бұрын
Mwenywe amefanana na ali
@victorernest77022 жыл бұрын
Jeshiiiiiii mtu mbad tembo King kibaaaaaa
@frankyonas67762 жыл бұрын
Jamaa anajua Sana kujieleza
@officialcaily32042 жыл бұрын
Ally yuko vizr no 1 Tz
@vedastuspetro35932 жыл бұрын
Unaweza kaka
@officialmartin44322 жыл бұрын
only one king
@enzoon57962 жыл бұрын
Only one king 🔥❤️
@Onlinet_tv2 жыл бұрын
King
@patrickkapoma89112 жыл бұрын
Alikiba mziki wake sio biashara bari mziki wake ni starehe
@davidyreuben65062 жыл бұрын
Unae hoji unaupumbavu wa hali ya juu Alikiba haonekani mjini waulize hao unao lazimisha kuwa ndo number 1 ndo watakwambia Alikiba ni mtu wa aina gan
@judithmakuto36122 жыл бұрын
Alikiba Juu
@boazambokile25872 жыл бұрын
🤙🤙🤙🤙☝☝ only kiba
@arishsalum75802 жыл бұрын
Sasa unajuwa ww unataka mtu akueleaee vp yan
@kiya0910 Жыл бұрын
Mulinzi wake ni mungu hajidai
@stanleymwika89932 жыл бұрын
Kweli
@hassansaid99252 жыл бұрын
Huyo mwanang kajibu maswali kama mimi👏👏👏👏👏
@mwachidzopoposalimpopo40912 жыл бұрын
Nakuliza...hii habari yakuwa n mabodigadi imeanza lini😂😂😂😂Yani nimecheka
@calvinchaula59412 жыл бұрын
Bwege sana huyo hajui mziki inmn kati ya alikiba na diamond nan anaimba nyimbo znazoeleweka achen upuuz,,mond nyimbo zake n kelele tupu ana bahati alitengeneza jina lasivyo amna ambaye angeskliza nyimbo zake,,,,kiba nyimbo zake znaeleweka unaweza imba ata ukisnzia co mond kelele tu
@milliahachenya27492 жыл бұрын
Kweli hela haiongei
@ashalibui39982 жыл бұрын
Anayetembea na bodyguard ajiamin
@lindaemmanuel44462 жыл бұрын
mtangazaji anazingua sijui ni shabiki wa diamond sijapenda😏😏
@alikibafan63132 жыл бұрын
Mtangazaj usitulazmishe alikiba siku zote ni msanii namba 1
@user-ki6nw6ve7p2 жыл бұрын
Asaalmwalekm, Alikiba ni mkali n'a mbamoja
@happynelson11362 жыл бұрын
Huyu jamaa aliyecheza mpira na Alikiba anywe konyagi ya dudu baya nakuja kulipa
@bitangacasafi32792 жыл бұрын
Tena sanaaaaaa
@jasmine.mayala75972 жыл бұрын
Kwel mond anaimba utumbo 🤣🤣
@pianamkai46202 жыл бұрын
He loves much alikiba... Ila napenda anavyocheka tuu akiulizwa swali Then umeongea point sana
@judyoduor70052 жыл бұрын
Msema kweli
@abdullmajengo96902 жыл бұрын
Mtangazaji anazingua cjui anajifunza kazi
@elishaworkout61162 жыл бұрын
Nmekuelewa mwqmba wang umejb vzur sana ata mm svaaag michen yakifala fala
@MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын
Muslim havai cheni
@allytayari39382 жыл бұрын
Nakuona mwanangu Ukonga mongo la ndege
@missmwayway47042 жыл бұрын
Fala tu ww na hilo lisauti yko Achana na King kiba choko ww
@fatumahassan13712 жыл бұрын
Mwambie
@zuberikwambiana35742 жыл бұрын
Wanaovaa cheni ni wadada jamani muwe mnaelewa MAMBO YA CHENI NI YA WADADA
@priscillakageha16892 жыл бұрын
Well saida
@emanuelpeter80342 жыл бұрын
Wasanii walikua na ulizi hawajiamin ulinz wa mungu unatosha
@smilevideocreatorsznz2 жыл бұрын
Kwani alikiba amekuwa Mzee kumzidi Kanye West, R.kelly au Jay Z?
@sulleymtown64092 жыл бұрын
Duhh true
@reginapiusi67502 жыл бұрын
Kiba anajuwa mlinz ni mung pekeake tu bas .kiba oyoooooo
@ifrahashery92692 жыл бұрын
Hahahahahah eti dai anaimba utumbo
@khalidiabdallah13622 жыл бұрын
Unasema alikiba kastaafu kapotea dah PTV kuwa na adabu kesho kutwa anatoa EP
@mahuwabregue63242 жыл бұрын
King4life
@bitangacasafi32792 жыл бұрын
Iyo nikweli kaka yangu wambiye
@isackisemwile62232 жыл бұрын
Kiba ndo namba 1 tz hakuna mjadala
@alexndihokubwayo80102 жыл бұрын
Body gadi siyo kitu kama Ana penda ulinzi watafute asikali Police 👮♀️ Wenye vifa kamilifu kwa ulinzi
@amosymwema48442 жыл бұрын
Mtangazaji mavii Sana huyuu
@yohanaikaya62182 жыл бұрын
Kwa mtu mwenye akili nzuri na anaujua music namba moja kimusic lazima awe Alikiba lakini masikini akipata matako hulia mbwata Kiba hajaanza Leo kishika Hela na unaambiwa toka gari lake LA kwanza kununua enzi za Cindeleka lipo hajauza hata moja unamuonaje? MTU huyo kipesa?
@ngoshazedon40852 жыл бұрын
Bodgurd ni nani kwa alikiba? Lifestyle ya mtu
@sakayonsakihunga34962 жыл бұрын
Umejibu maswali kiustaraabu nakiungwana
@mwesigamukusinimukusini22782 жыл бұрын
Kiba ana akiri kutangaza Mari oronazo ni ushamba. Kiba mwanaume mwenye akiri nyingi
@usnashabani60532 жыл бұрын
We we nani
@georgefuime74102 жыл бұрын
kolabo sio ukubwa
@sonofmechanic15542 жыл бұрын
We muandishi msenge sana usiulize maswali ya ali wakati unajua umetumwa ngoko wewe
@FatimaFatima-ev5xz2 жыл бұрын
Ukaka muzuri
@fideandunguru34642 жыл бұрын
Kingbady
@NYAHURURU_ICON2 жыл бұрын
Hoo iyo ngombe ina sema yoo ni bwege Tu samahani niwiye radhi hajui mziki alikiba ndiye mambo yote repoti iwafikie
@mbalaga2592 жыл бұрын
Wivu una kusumbua
@godfreynyoni44232 жыл бұрын
Unajua www na team yako malimbukeni acha uchoko ww uyo King anamaisha yake
@riziqsulley55282 жыл бұрын
Itakua aupo sawa ww
@MJ-rr6dy2 жыл бұрын
watu wana maumivu na mafanikio ya watu wengine, pambaneni na nyie
@danielryobawaitara53522 жыл бұрын
Ushidi wa mtu ni kazi yake . All kiba ni mwimbaji bola Tanzania na anauwezo mkubwa sana huwezi kumfananisha na waimbaji wenzake japo wanahit
@abdukadrilwassa30512 жыл бұрын
Nani kama mondi🥱💯
@victorernest77022 жыл бұрын
Mama ake mondi
@angellomarcel56772 жыл бұрын
Kiba anaenda na Bit...siyo kwamba Haringi...na kama walinzi basi mshiko neh..!
@flova70222 жыл бұрын
Kuwa na bodyguard ndio kujuaa kuimba? Mtangazaji njoo nkuajiri kubrash viatu vyangu umazinguaa