😂😂😂😂Huyu bba kama kuna k2 hapendi basi n personal life yakeusimuingilie kabisa
@abdulramadhanjr63712 жыл бұрын
This man ni noma sana
@chugaboy83182 жыл бұрын
Kubali Sana king kiba
@abdulaziz7032 жыл бұрын
Good Good Good Sana. Somethings should remain personal.
@farhatkhamis44012 жыл бұрын
Nzuri sana,kweli haiwahusu
@minjesha2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Ali nampenda sana..hahaha asiempenda kiba ana lake jambo..😅😅😅jamaa yupo simple tu na majibu yake..nimependa~
@djumatenga47742 жыл бұрын
Nc
@009biafra82 жыл бұрын
Hahahahajaaaa marehemu kibamia akimbia swali la papo kwa papooh!!
@ayubumwaikela72502 жыл бұрын
kiba nimstarabu sana ila sio kama yule domo
@dalilahahmed53702 жыл бұрын
Hahaha
@alyhamad75292 жыл бұрын
King
@dngmusic56752 жыл бұрын
Safi 👑
@rehemaiddsalehe522 жыл бұрын
Ally umri unaenda kaka ishi vizur na mkeo watoto wa nje unao wa 4 na wandani ya ndoa 2 hivyo tulia uendeleze familia sio vizur kila mwaka kubadilisha wanawake
@malataogtz20802 жыл бұрын
Sir yao wanayo wao kuhukum direct si vema
@liciouscharles33702 жыл бұрын
We mambo ya watu yanakuhusu nin..olewa ushauri ndoa yako na mume wako achana na mambo ya watu Hata kama akiwa na watoto 50 wew inakuumia nn..mbona huyo amina kakaa kimya
@backfordtengela75742 жыл бұрын
We umekamilika
@prriya5072 жыл бұрын
We Rehema ACHA kukariri maisha ya wanandoa Hujui Nan Na hujui chanzo Cha ugomv tulia omba Salam t👋👋
@rahmarajab36882 жыл бұрын
Wewe pia Ni maandishi,kabla hujataka Hali ya ndoa ya mwenzio,tuambie yako Kwanza!!!!!!
@nicholausmwinuka76402 жыл бұрын
Ichi kisela kinasema amebahatika kunikilizisha
@husamtech27482 жыл бұрын
Saf sanaa
@tatubadi90102 жыл бұрын
Akiwa jibu vizur mtaniambia..
@peloabandelwa90992 жыл бұрын
Kiba
@hajeemchenga61392 жыл бұрын
Richmavoko alibaatika kumsikilisha😀😃😄
@georgembezi75492 жыл бұрын
HA YA WA HU SU🤔💥👏
@Bilioneabichwa3312 жыл бұрын
Steve nyerere Ni mtu mwenye busara Sana karithi kwa baba yake mwalimu
@dianarutta15032 жыл бұрын
Mwalimu sio baba yake na hawana undugu
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Huyo siyo baba yake jordan ni jina la kuigiza tu
@mwajumarashidi17172 жыл бұрын
Huyo Steve anafaa kuwa mkusanyaji wa rambirambi
@fatmanassor39052 жыл бұрын
Mm nashangaa hata ukoo nae hana kabisa Acha kutudanganya wewe ukitaka kuleta comment ambazo Huna uhakika nazo usicomment jaman tafuta historia y Steven nyerere hapo ndipo utakapojua
@jacklinemollel58232 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 kiba umeuwa aise
@frorenceetoile30162 жыл бұрын
Yasio wausu muyape kisusu jmn hayawausu nimependa
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🔨📌👌🏽
@saidjumasaid39242 жыл бұрын
Mr kiburi huyo
@mansourussi16122 жыл бұрын
Sio ukiburi ni majibu ya kiume hayo
@ains11222 жыл бұрын
Umenifurahisha Sana Mansur kwa jawabu ulio PA alisema kibiri, ya Familia hayahusu wanahabari
@hafsashayo17132 жыл бұрын
Kibakul
@najuf80212 жыл бұрын
Jibu konki
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Kinachooandikwa na kinachoulizwa ni vitu viwili tofauti
@009biafra82 жыл бұрын
Title Marehemu kibamia akimbia maswali kwa waandishi wa habari
@mchovu47612 жыл бұрын
Alikufira ukajua kibamia kumbe
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Ni mjivuni nae huyu!!
@aishajuma78132 жыл бұрын
💣💣💣🇴🇲🇴🇲😄😄😄
@009biafra82 жыл бұрын
Msemaji hakiwi kuwa mtu wa hovyo hovyo uyu Mbwa angebahatika kupata mali hata nusu ya aliyonayo Platnumz watanzania wote wangeonekana vijakazi sema tu Mungu fundi
@erickmichaelmugele21072 жыл бұрын
Wasanii wamekuwa wakali kama pilipili kila unamgusa mkaliiii😂😂😂😂😂😂😂
@jennytugara94702 жыл бұрын
Wanapandiwa vichwani wewe unayakubali maisha ya kujibu maswali kila wakati utafikiri kesi ya wahaini too much!!!