ALIEKUA MUME WA DIDA AFUNGUKA KWA UCHUNGU KIFO CHA DIDA ,MAISHA WALIYOISHIA AFUNGUKA MENGI #dida #mashamsham
Пікірлер: 307
@agenesntevi3007Күн бұрын
Mungu mpokee Dida....na utusamehe makosa yetu...pole kakangu daaaah 😢
@HappyphaniaHipolith3 сағат бұрын
Daaah uy kaka ameongea point sana mpka mejikuta nalia😢Mwenyez MUNGU akutie nguvu katika kipindi hiki kigum unachopitia ....Pumzka Kwan Aman Dada Dida🙏
@luendosabah2047Күн бұрын
Pole sanaaa kaka yangu.Mungu akutiye nguvu 🙏najuwa kipindi hiki kigumu .Dida Mungu amulaze Maharishi pema peponi mwake 😭🙏.acha wenye kusema waseme hautawakataza sisi wanadamu tuko wabaya.
@rerisambaКүн бұрын
Kuna wengine mnasema huyu jamaa anajifanya lakini mimi naona anaumia kweli
@aishaomar228722 сағат бұрын
Anaumia sanaaaaa
@wemaMichael-fr4th22 сағат бұрын
huyo anataka kutrend ametoa nyimbo huyo hana lolote
@زينهاا-ش4د21 сағат бұрын
Tena anaumia Sana maskin
@rithakiondo109921 сағат бұрын
Mkaka wa watu anasema ukweli kwsbb alikuwa Mpenzi wake
@StarMerinyo20 сағат бұрын
@@wemaMichael-fr4thkutoa nyimbo si o sababu mbona watu waliyoa nyimbo kwa ndugu Zao waliokufa?usipende kujaji kila kitu huyu mtu anamaumivu sana kuondokewa na mpenzi wake
@dedorakanyamale1568Күн бұрын
Maumivu Yako Mungu ndo anajua pole sanaa brother be strong
@dorahmushi-we6tsКүн бұрын
Ameumia, hana sababu ya kuigiza😢 tuliowahi kufiwa na wenza tunamwelewa....pole sana kijana, Mungu azidi kukutia nguvu.
@DoriceStanslaus23 сағат бұрын
muachane atoe nyongo huyu alimpenda sana kwahiyo mwachen atoe sumu kuongea kwake nikutoa simu huyu sipoongea anaweza kupata magonjwa, pamoja kaka mungu akupe wepesi❤
@Solohseleh6 сағат бұрын
kwel kabisa
@aidaharuna5549Күн бұрын
Kaka mm nilikuelewa vzr kabla ujaojiwa kwenye hivi vyombo vya habari nilikuona ulivyo umia pole sana kk umeumia sana nakuelewa nakuelewa
@tatumhogo574221 сағат бұрын
Kweli kabisa nimemsikiliza kwa makini ameumia sana sana ila sisi wanaadam ni viumbe watatanishi sana kuelewa mtu lakini watajua baadae kwa atakae taka kuelewa jamaa anaongea nini
@StarMerinyo20 сағат бұрын
Saana kweli kabisa anaumia mno hadi uso unaonekana daha pole sana NN
@rehemalungo82307 сағат бұрын
Allah amhifadhi Hadija. Pole sana...endelea kumuombea dua na sadaka mtolee marehem. Usiwasikilize waja huwawezi.fanya yaliyo mema.
@joycethomas791821 сағат бұрын
Mr Nana pole sana, mimi nakuelewa haswa unapoteza mtu unaempenda. Hao wote Mahasidi wanataka upoteze Ufahamu. Mungu atakutunza na kukupa nguvu. Tunakuombea
@regybaby906718 сағат бұрын
Pole Kaka mtunzee mwanae asipotee Kwa mikono ya wanafik❤
@kuruthumabdallah43958 сағат бұрын
Mlee mwanawe kwani hana baba yake??
@user_faff84Күн бұрын
Ma Sha Allah broo... Dua na kumuongelea mema ya kwake mungu Yupo radhi 😢
@aishaabdul92874 сағат бұрын
Allah akutie nguvu Kwa kweli unauchungu sana
@angonzamujunangoma877520 сағат бұрын
Huyu kaka namuelewa sana,pole sana kaka.Fanya kile unachoona kinafaa maadamu umkosei mtu
@khadizahassan4687Күн бұрын
Uko sawa kaka ungelea mema yake n hio n njia moja y kumuombea dua mungu akupe subra kwa mda huu mzito InshaAllah
@NajmaMohammed-sn4vhКүн бұрын
MashaAllah, Yani Mungu amsamehe dhambi zake za Siri na dhahiri ....Amin
@kekiplus1andonly4 сағат бұрын
Mungu amtie nguvu ,rip da dida🙏
@BarbaraIssack13 сағат бұрын
Pole Sana ,najua namna ulivoumia
@zennahmtoto18678 сағат бұрын
Nimelia snaa😢😢😢Allah amjalia jennah na amsamehe makosa ya siri na dhahiri
@SkeetoSsaa3 сағат бұрын
Pole sana kaka uckie tu kufiwa wallah inauma😢😢
@SalmaSamiry5 сағат бұрын
Pole sana kaka mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu 😢😢😢😢maumivu yako hakuna anae yajua japo wat wanasema una pretend ila unamaumivu Sanaa Pole sana 😢 😢😢
@abuhassan955223 сағат бұрын
Hawa ndugu zetu wa Tanzania wengi wao hi ZINAA kwao ni kawaida tu badili ufite uchafu mulio ufanya saahi waendela ku uchangaza ili watu wote wajue subhana llah Allah atuongoze
@ArafaArafa-e7q7 сағат бұрын
Pole sana kaka angu kuwa nasubir 💔💔💔😭😭😭😭 wallha Huy kaka anaumia sana 😢😢pole
@AminaAbdallahRashid5 сағат бұрын
Pole sana Bro. Mungu Akupe subra na Imani
@maernov42574 сағат бұрын
Pole sana kaka mshukulu MUNGU kwayote
@NazmaJuma15 сағат бұрын
Pole sana Kaka angu Allwa atakujaaliya Sahau japo si rahisi kusahau kwa Mara moja zidi kumuombea duwaa Allwa Assamese makosa yake Ameen😊😊😊
@FatumaMwandendiКүн бұрын
Pole sana kaka sema tu wema wake maana unaujua zaid ya mashabiki zake na moyo wako utapata amani
@MariamRashid-sm5zw6 сағат бұрын
Mimi nakuamini sana mungu atampa pepo inshaallah
@JokhaJokhaabla22 сағат бұрын
Mashaallah mashaallah mashaallah Allah amkubalie mema yake na amsameh makosa yake pale aalipokosea amin yaarab
@FayeezAlbahassaney17 сағат бұрын
MashaAllah TabarakaAllah kumbukumb ya mwsh namrudia mungu
@aishaomar9621Күн бұрын
Allah amuhifadhi janatul firdhaus ampe kauli thabit 🤲 pole sana kska inauma kwakweli nkuona waumia mpka moyoni😢
@AbdulIssa-o7e7 сағат бұрын
Firdausi so kitu rahisi ndugu ni pepo ya gharama sana afu kitakachokusaidi ulichotenda duniani duwa hazikusaidii kitu ukishafumba macho ww cha kusema mungu amsamehe makosa yake na amuweke sehemu anayostahili kuwekwa unampa firdausi kabisa ujui Allah anamuweka wapi
@BarbaraPatience-qt9ccКүн бұрын
Weeeeeeee lisilikute hili la Mr Nana! Huyu jamaa inamuuma Sana! Muwacheni huyu bwana......inaumiza sana!!
@rukiakyaka1827Күн бұрын
Allah ajaalie Kabri liwe lenye Nuru Inshaallah
@maryamabdullah9169Күн бұрын
اللهم امين يارب العالمين
@MariamRashid-sm5zw6 сағат бұрын
pole sana kaka mungu ututie nguvu
@GraceGody10 сағат бұрын
Pole sana mungu akutie nguvu nana tumuombee
@زينهاا-ش4د21 сағат бұрын
Pole sana kaka Allah akupe subra na pia amueke marehemu pema pepni😢😢🤲🤲
@eddymaphy2 сағат бұрын
Mwanaume hapendezi KULIA mbele ya Umma au mbele ya Mwanamke hatakama kuna uchungu zaidi
@AminaMkumba-u3z22 сағат бұрын
Kaka tulio wengi hata kama tunapata fedha atutowi sadaka wala kuwasaidia wenzetu tunaona hasara,kwa hiyo kaka we wala usijali❤❤❤🎉🎉🎉
@mejumaabaraza398921 сағат бұрын
Uyu jama yy na juma lokole wanaumia Sana lkn hususani uyu anatumia maana wamefanya mengi yy na marehemu
@rerisambaКүн бұрын
Dida Dida kumbe ulikua mzuri hivi jamani kumbe hukua mchoyo ulisimama mpaka na wajane pia na yatima
@fauzenkassim842423 сағат бұрын
M-mungu ukimkopesha atakulipa tu lakini kwa siri 😢😢 Allah amjaalie izo sadaka zake iwe muangaza wa kaburi lake 😢😢 kuondokewa kugumu Allah awajaalie subra
@pyelesyamwakatika540Күн бұрын
Pole kaka mtu ambaye hajawahi pata msiba wataongea waache waongee af hao mapresenter wanatafuta maviewers Wanatafuta ugali unaumia sana kaka pole
@Madina-h1g5l3 сағат бұрын
Kwawanao sema hanajifanya huyu kaka hawajuwi uchungu wa kufiwa wamwache kaka wa watu ndiye anaye juwa uchungu aliyo nao
@JanethKassim4 сағат бұрын
Daaah huyu kaka jmn😢😢😢
@khalsasalim7930Күн бұрын
Binaadamu tunapenda sn ku judge kwa kuona sura ya nje, allah kareem 😢
@AminaMkumba-u3z23 сағат бұрын
Pole sana ndugu yangu japo kuwa wanakuambia kik we usijali cha msing muombe dua kila wakati😭😭
@dorahbenard1837Күн бұрын
Ndio maana sisi wa kristu huweka msiba siku 3 mtu ili ulie umalize jamn Sasa mtu wanampeleka haraka haraka hata kumaliza mtu huwezi maliza daa! But rest in paradise dada etu dida.😔
@kautharjay586820 сағат бұрын
Baada ya siku tatu hamlii??au hizo siku tatu unalia mda wote??.au mkiweka ata wiki mtalia tu .msiba sio kulia tu na kumuombea dua ata ukumuacha mwezi kashakufa Haina mantiki hoja Yako .mtu akifiwa na mtu wake wa karibu anaweza kukumbukaba ata baada ya miaka
@rehemavickie652119 сағат бұрын
Wewe na nani, usichanganye mila na dini. Mfano ndugu zangu wajaluo hukaa hata zaidi ya mwezi wakifanya mipango yao.
@ApoloCasemilo5 сағат бұрын
Kwa mtu unaempenda hata upewe mwaka huwez kumaliza kulia maumuvu Yale yale
@ApoloCasemilo5 сағат бұрын
Pamoja Sana zaid maiti ikiwa ndani maumivu malambili uzikwe Leo uzikwe wiki Hali ya msiba haija wahi kuzoeleka
@rayaali-s2tКүн бұрын
Allah amfanyie wpc kwenye sfr yake ampe husni hatma yarabilaamina 🙏
@HajaryMuhammadКүн бұрын
Allahumma ameen
@hildajoel54 сағат бұрын
Alikua mkewe halali wa ndoa japo waliachana. Ana haki ya kulia jamani. Hata kama walitofautiana lkn linapokuja swala lakifo ni ishu nyingine kabisa. Sisi mashabiki tumeumia hadi basi sembuse yeye aliyekua analala naye kitanda kimoja😢😢
@angeharushimana743117 сағат бұрын
Pole sana kaka kila nikiona video zako uwa najisikia vibaya sana ila mungu ndo anajua maumivu yako muombeye tu dua apumuzike kwa amani😢😢😢😢😢😢😢
@rerisambaКүн бұрын
Waa kumbe Dida alikua mtoaji hivi mmm ana taji kubwa
@rukyomar195522 сағат бұрын
Jamniii I wish sku nikiondoka some one alie kama ivo kwa ajil yng😢 lakin nashkur watot wng watalia😂😂😂
@devisfrank6637Күн бұрын
Stay strong brother💪
@bintmrisho352620 сағат бұрын
Nahisi dida kama amesafiri😭😭😭😭😭😭 atarud
@rahema1992Күн бұрын
Pole sana kaka allah akupe nguvu na subra na yy allah ampe mwangaza ktk kaburi lake
@SuleimanKhdijaКүн бұрын
Allah ndie ajuwae zaidi ila sasa wew kaka ungekaa tu kimya umeumiya kweli ila ndio kazi yake Mungu atakaejunguwa ni Allah aombewe tu dua ndio cha msingi kitu chakwanza kuulizwa ni swala kama swala zake zitakuwa zimeeongoka basi mambo yake yote yatakuwa vizur tuombe mwisho mwema tu
@SalmaMakuwani15 сағат бұрын
Mungu amlaze mahalipema peponi,pole kaka pole sana mungu akutie nguvu
@priscillahbakari5185Күн бұрын
This guy was hurt jamani....be strong man
@SeverinoLuis-j1h3 сағат бұрын
Kaka acha izo tafuta mchepuko mawazo yataisha
@faiqaanwar72685 сағат бұрын
Siku zote ukiona mwanume analiya kwa mfano kama huyu analiya kafiwa.kuna wengine huliya na mapezi.basi ujuwe ameguswa ndani ya roho.mwanaume kulia ni vigumu
@AbdulIssa-o7e7 сағат бұрын
Daaah mwanangu ukumuowa yule so mke halali kwako hapo ni sawq na kutangaza uzinifu hazarani kuwa ni halali tuuuh
@naimajuma647Күн бұрын
Watu huwa wanajaji juu ya muonekano wa mtu hawajaji moyo wake na matendo ila jibu limeonekana kwenye mazishi yake ni ishara ya mtu mwema. Allah aliangazie nuru kaburi lake na amrehemu na kumpa pumziko la amani daima milele 🤲
@angelraphael45007 сағат бұрын
Lazima ulie atakulea nan umaliooo mbaya😅😅😅 mwanaume wa kupaka mkorogo jmn😅😅😅
@HappyphaniaHipolith2 сағат бұрын
Angalia manen y kuongea jmnii ujui uy kak anaumia kias gan ..
@HabibaMkopi12 сағат бұрын
Mungu ailaze roho ya marehem mahali pema awaape nguvu ktk kupindi hiki
@AzaAzamhmodКүн бұрын
😢😢😢DIDA Pole sana kaka
@MariamIbrahim-h7p9 сағат бұрын
Ifikiye atuwa Waite tue wa cha mungu kwa maana Dujiangyan mapitoe km dida yasaidia kheri allah atatia nuru katika kaburi lake ss unavyo taka watu waseme waseme nini. Jamanii ungesema watu tukuombeye dida tumtoleye sadaka. Ndoo ningekuelewa etiii watu waseme ili arudie acheni ibyo kujitupisha ufahamue na nyinyi ni waislam
@esthermatisho260423 сағат бұрын
Pole sana kaka yake. Mimi mwenyewe kama shabiki tu nililia kweli,mpaka leo siamini,ije kuwa kwa mtu ulio kuwa nae kwa mahusiano it's painful and traumatising. Mungu awe nawe ❤
@ApoloCasemilo5 сағат бұрын
Kaka kiukweli katika vitu vilivyo niumiza katika huu msiba pamoja na ww kiukweli nilikuwa ckufaham tangu utokee msiba nimeanza kuku ona na kuku fatilia naumia naumia Sana zaidi yasana video inae kuonesha upo msikitini unaangalia jenenza la dida wengine wakatoka umebaki pekeyako naumiaaa Mimi nalia kanakwamba nakujuwa daaaa pole haielezek Zaid ya maumivu😢😢😢😢
@FaidaNdayizigiye20 сағат бұрын
Pole Mr Nana upo sahihi sana
@JaneDoe-hf3zy23 сағат бұрын
Pole sana kaka ila usiaje kusaidia watu hata kama dida kasha ondoka yeye ame umaliza mwendo
@emmasonanjawe9042Күн бұрын
Pole mwamba mi nimekuelewa sana pole kaka.Mungu akutie nguvu
@MashaMwakindangiКүн бұрын
Nilisema Mimi kama hawa walirudiana kinyemela
@saidimiarageКүн бұрын
Hawa hawakuachana Ile ni zuga tu maana alikua hajaachika
@MashaMwakindangiКүн бұрын
@@saidimiarage ndio lkn watu walivyo wajinga wanamsema anatafuta Kiki binadamu sisi roho zetu mbaya
@saidimiarage23 сағат бұрын
@@MashaMwakindangi hakuna kiki hapo huyo ana msiba maana kama walikua na malengo ndio bas tena lazima aumie
@MariamIbrahim-h7p9 сағат бұрын
Sio lazimae mtuu Aden’s kk km weye unasema sense tuu Arawak watu even wakisema dida atarudia soon kikubwa tuu ni kusema atu wamoombeyee dua nawamtoleyee sandakan ss wakisema ndoo dida aarudiae heee
@McT-m1m23 сағат бұрын
Hata mimi mara ya kwanza kumjua alimsaidia msichana elfu kumi nimeitafuta sijaiona
@Tumaini-j9i8 сағат бұрын
Amina kaka pole
@DpN-rk8xz19 сағат бұрын
RIP DIDA POLE SANA KAKA KWELI UKIPOTEZA MWEZAKO SIO RAHISI KABISA
@MaryamHAMISI-ei9fq22 сағат бұрын
Pole Sana kikubwa nikumuombea dua
@devisfrank6637Күн бұрын
Its so paining Dear God atujalie mwisho mwema...
@FreealltheguyzКүн бұрын
Amiin yaarabi
@marryngaiza206122 сағат бұрын
Kaka haina haja ya kusema mema ya marehemu anayejua ni MUNGU TU
@Wazir-y5kКүн бұрын
Kwa waliosaidiwa na dida si lazima waongee mitandaon kwamba walisaidiwa bali ulazima upo kwa wao kumuombea dua dida katika ibada zao misikitin na makanisan lkn siyo lazima mitandaon tu
@ConfusedBalkhHound-on2mx22 сағат бұрын
Mashallah Allah amsamehe makosa yake pole sana ndugu yangu
Huyu kaka anaumia wala sio Kiki kama watu wanavyo fikilia😢😢
@AsiaMsenga22 сағат бұрын
Bas usipige tena kinanda ukipata fahamu najua asa hivi hujui ulitendalo mungu akusamehe
@sheckycobb52407 сағат бұрын
Kinanda kina shida gani???
@vanessalaizer43636 сағат бұрын
Unataka apige k yako instead?
@Mwanah2715 сағат бұрын
Ungemuoa jaman daaah 😭😭 au me ndio sijasikia ndoa yao
@DiannaDomisian7 сағат бұрын
Pole sana kaka
@LucyRafealiКүн бұрын
Sema kaka angu achana nayo hawo wasiyekuelewa Mungu ampuzishe kwa Amani
@kijitamfyomi5598Күн бұрын
Umeongea vizuri sana bro nilazima uwafahamishe kina sheikh Mwaipopo wanaomuhukumu Dida wakati hawamjui Dida
@Tumaini-j9i8 сағат бұрын
Pole kaka
@dorcasmaghuwa8665Күн бұрын
Pole sana
@omanmct13510 сағат бұрын
Aaalllah kupesubra kaka
@salimakuyela7813Күн бұрын
Uko Sawa kaka amari yake ndio itayomfaa Kwa Sasa🙏🙏
@AshuuuBakari21 сағат бұрын
Hili la kutoa sitalipinga maana hata hana isha mashauzi alihojiwa alisema dida alikuwa mtoa sadaka mzuri sana .bro pole sana .maa hata milipoachana hukuwahi kumsema vibayq
@tumainichanya326817 сағат бұрын
Mbegu ya Mungu ikipandwa haiozi hata wasiposema Mbingu zitaongea hazifungamani maana alitoa sirini lakini Mungu ni WA wazi hamnaga Siri.
@NayfatyKisatu19 сағат бұрын
Pole xana kaka Mungu akutie nguvu
@irenematovu208423 сағат бұрын
Ohhh love an in usa thats the mindset of African usijari mr Nana thx for loving her dear may her soul rip never mind them dear so sorry hone
@nadhraabdulaziz919322 сағат бұрын
Ila dida jaman yote tisa alikua humble sana dida
@paulabelleghe45121 сағат бұрын
pole sana dear minakumbuka nilikua na boyfriend wangu tangu first year ifm alikua ananijali nakunipenda sana baada yakumaliza chuo tukapotezana nikaja kuolewa na jini lakichaga yani nikapata taarifa kapata ajali nakufariki nililia sana nilimkumbuka pamoja nakwamba nliolewa namwingine mpaka sasa niliamini yule alikua mmewangu mpaka leo inaniuma namuombea huko aliko Mungu amrehemu,
@rehemavickie652119 сағат бұрын
Vp jini lako mnaendeleaje dear! Ushalikemea?
@paulabelleghe45119 сағат бұрын
@@rehemavickie6521 tulishaachana nalo hahaa
@joycehaule97178 сағат бұрын
@@rehemavickie6521hahahahaa
@salimakuyela7813Күн бұрын
Allah ampe kauli thabiti yarabi 😢 ila hiyo kauli yakusema wewe ni mume usiitumie Tena kaka angu ila mengine uko sahihi mwenyezi mungu ampe kauli thabiti yarabi🥲🥲🥲🥰🥰🙏🙏🙏