ANAPOISHI PATCHOMWAMBA/ASAHAU IDADI YA VIATU VYAKE/ANA MASHATI ZAIDI YA MIANNE

  Рет қаралды 56,949

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 132
@hopejohnson7352
@hopejohnson7352 11 күн бұрын
Kiukweli pacho ni mstaarabu sana binafsi nampenda sana❤❤❤
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 7 күн бұрын
Ana bint mrembo❤❤❤❤ Wacongo salute kwa kuvaa
@PienciaKoku
@PienciaKoku 11 күн бұрын
Wa Tz tunakupenda sana ila naomba hivyo viatu punguza kidogo uwagawie watoto yatima na watu wenye uhitaji kama inawezekana.❤️❤️🙏🙏
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 11 күн бұрын
Mwache ana nia yake msiingilie maisha ya watu
@Mimy_keys
@Mimy_keys 8 күн бұрын
Tunakupenda sana Patcho ❤ Wa Congo Kwa Kuvaa na Kunukia Alooo 😊🫡🔥
@HajiMgwami
@HajiMgwami 9 күн бұрын
WAANDISHI WA SIKUHIZI BANA, YAAN LEO UNAENDA KUMUHOJI PATCHO KUHUSU HISTORIA YAKE KWELI, AMESHAHOJIWA MARA NGAPI NAKUSEMA YOTE HAYO, MJITAHIDI KABLA YA KWENDA KUFANYA MAHOJIANO MUWE MNAPITIA KWANZA KUJUA NINI HAJAULIZWA..
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 11 күн бұрын
Suleh siku nyingine mtafute ray kigosi nae tuone maana kitambo
@BernardArmel
@BernardArmel 2 күн бұрын
Pacho is very simple, mstaarabu na yupo kabisa transparent.
@christaoman8890
@christaoman8890 11 күн бұрын
Hii mambo mtangazaji kuingia kwenye nyumba mpk chumban manachukua vidio vitanda.vya watu sio poa mi sijapenda kabisaa
@salehcllassic2325
@salehcllassic2325 11 күн бұрын
Pole utazoea😊
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 11 күн бұрын
Mnafundishwa usafi kuweni wasafi muda wote 😂😂
@zaramuneer3257
@zaramuneer3257 10 күн бұрын
@@salehcllassic2325😂😂
@ramadhanwilbard8196
@ramadhanwilbard8196 10 күн бұрын
Mwenye nyumba mwenyewe ndiye anayekubari iwe hivyo;shida yako ni nini?alafu inabidi utambue kuwa watu maarufu wana mambo yao ambayo mengi yanakiyuka mila zetu za imani za dini na tamaduni za asili lazima uyajue hayo,hata mimi kuna mambo yanafanywa na Wasanii yanichefua na sitegemei kuyafanya wala kuyaiga na kama na wewe unachukia basi endelea kuyachukia hivyo hivyo na kukifundisha kizazi chako kisiige !
@MilembeLugwila
@MilembeLugwila 10 күн бұрын
Umenifurahisha​@@salehcllassic2325
@ChristianEinstein-t2j
@ChristianEinstein-t2j 8 күн бұрын
Kumbe amezaliwa Belgium/ ubeligiji safiii sana ndio maana mambo Yako ni ya kizungu zungu
@Hapygideon
@Hapygideon 11 күн бұрын
Tunampenda na tunampenda Tena pantcho
@hasanipoy3976
@hasanipoy3976 10 күн бұрын
Hamumupendi tena kiboko ya wachawi
@Hapygideon
@Hapygideon 10 күн бұрын
@@hasanipoy3976 kiboko ya wachawi ameingilia wapi hapo,,nitazidi kumpenda maana kanitendea mambo makubwa sana mtuachie mtumishi wetu
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 Күн бұрын
​@@hasanipoy3976😂😂😂😂😂
@viatorykashabizi2538
@viatorykashabizi2538 8 күн бұрын
Kwasababu tu anakujua,lakini kiswahili chako hakina tofauti na mbongo,manyema wa Kigoma. Unaongea kiswahili safi na fasihi kabisa. Vinginenyo,yeyote aliyeathirika na lugha yake mama aongeapo hutofautishwa na mwingine kwa lafudhi yake.
@YasminaMkali
@YasminaMkali 7 күн бұрын
Chumba hakina mpangilio kbs.😂😂😂...Nyumba ni mwanamke jmn.
@adijaamur962
@adijaamur962 16 сағат бұрын
Awagawiye maskini wanatembea Migu peau hawana chakula hata sehem ya kulala wanaishikama popo awasaidiye
@abisaimuhanji3687
@abisaimuhanji3687 11 күн бұрын
Ila steven pamba na swaga za fimbo na koki zilimpendeza sana kwenye filam
@beatricerobert8985
@beatricerobert8985 11 күн бұрын
Ana utulivu wa kifamilia na wanapenda watoto ❤❤
@nancyg8664
@nancyg8664 11 күн бұрын
kamera man ameingia bila kukaribishwa
@RoseeyRoseey
@RoseeyRoseey 11 күн бұрын
Kumbe nawe umeona 😂😂
@mtotiimkwizu
@mtotiimkwizu 11 күн бұрын
Nilikua najiuliza nimeona pekeangu au😂😂😂
@btylove1870
@btylove1870 3 күн бұрын
I like Pacho sana ila huwa najiuliza miaka yote kuishi Tanzania ila kiswahili faswaha wapiii
@echikyabu6154
@echikyabu6154 11 күн бұрын
Kweli mama kasafir
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 9 күн бұрын
Walkua mabest hyu na kanumba❤❤
@salomewandya7257
@salomewandya7257 7 күн бұрын
Saana
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk 10 күн бұрын
Yaani wakongo wanajua kuvaaa tu wasafi ila nyumbaaa zao aaaaah zimechoka
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 10 күн бұрын
Haswa
@Taito-brand
@Taito-brand 10 күн бұрын
Brother yy anaish kwak na hy ndio hela yak kwahy ww kausha sana
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 10 күн бұрын
Kwani hii nyumba ina ubaya gani 😮ao unapenda wanao force maisha anesha nyumba yako
@ukhtyrayyan7884
@ukhtyrayyan7884 9 күн бұрын
Mmmmm ufisadi huo kwani hiyo nyumba imechoka au wer ndio umechoka hasidi weer😅😅
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk 9 күн бұрын
@@SuleimanKhdija yangu najenga kigamboni ikkiiiisha njooo uone au utaona kipindi cha showbizz zamaradi tv
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 10 күн бұрын
Kwa hiyo viatu vyake ndiyo habari umeona kwako ina maana , habari za kipuuzi kabisa,, mtu una akili timamu unaongelea viatu vya mwanaume mwenzio
@peterdeus6093
@peterdeus6093 11 күн бұрын
Hamjui hata kudanganya, yaani wew ndo kwanza umefika uko nje, lakin camera man tayari kashaingia ndani kuchukua video ya mwenyeji wako anaekufungulia geti 😂
@lirastanley390
@lirastanley390 11 күн бұрын
Wehu hao hawajui uongo
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 11 күн бұрын
Wewe Ni mshamba mjini nn😅😅 hiyo video isharekodiwa wanachukua vipande wanaviweka tuu
@xyz-v6d
@xyz-v6d 10 күн бұрын
Ni editing jamani.wakimaliza kitu producer anaunganisha vipande kupata mtiririko wa anachokisema mtangazaji
@peterdeus6093
@peterdeus6093 10 күн бұрын
@@Chakol123-k7s unaangalia video na bado hujui kinachoendele we si kichwa maji kabisa kama kweli una akili jaribu ku establish timeline utaelewa
@lirastanley390
@lirastanley390 10 күн бұрын
@@xyz-v6d weeeeee kwahyo uunganishaji Wa vipande kupata mtiririko sahihi ndio inapigwa hodi halafu mtu anonekana anatoka ndani mpk anafungua mlango na kumkaribisha mtu??? Kwahyo unaona wapo sahihi au wamekosea? Kama kamera man kaweza kuingia ndani ambaye ndio kafika nae eneo la tukio sasa hodi ilikua na faida gani?
@moseskulola6913
@moseskulola6913 10 күн бұрын
Sisi WA Congo sio muzaa mashati more than 400
@norobo205
@norobo205 10 күн бұрын
Pacho mjengo mbona wakawaida tofaut na madogo wa 2000
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b 10 күн бұрын
Sasa si ya zaman hao 2000 mpya tuonyeshe yako
@sisterblessed-my9jd
@sisterblessed-my9jd 5 күн бұрын
Nacho mstaarabu sana . Big up!!
@suleimanjokoro
@suleimanjokoro 10 күн бұрын
La Sapeur ^^^💪🇨🇩🕵️🇹🇿🎼🎸
@zeloterisasi141
@zeloterisasi141 11 сағат бұрын
Jamaa ana lorry tatu za nguo na viatu
@essiesammy6505
@essiesammy6505 5 күн бұрын
Hongeraa saleeh umenunuaaa gariii
@Tuu2019
@Tuu2019 11 күн бұрын
Pacho 10 Nyoshi 3.
@TreyCarlos-p2i
@TreyCarlos-p2i 7 күн бұрын
Mbona pa kawaida sana mbaya zaidi n anapanga nilijua kuna AÇ kumbe pana nyavu
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 10 күн бұрын
Apo kibaka akiingia kajipatia mtaji wa balo lake fresh anaenda kumwaga Karume
@user-sq4ui6ff7y
@user-sq4ui6ff7y 5 күн бұрын
UNA HARIBU KIPINDI MY GEE SEMAA MITAA KAMA AWALI ULIVYO KUWA UNAFANYA
@user-wk1ix1gm1p
@user-wk1ix1gm1p 10 күн бұрын
Minguo yote na mi pafyum lakin kitu cha maana ndani sijakiona zaidi ya viatu nguo na pafyum, hata makabati ya kuweka hizo nguo na viatu hakuna zaid ya kutupatupa to, analala stoo😢
@janvierramazani2189
@janvierramazani2189 10 күн бұрын
😂 atari sana
@WelimaAdonias
@WelimaAdonias 9 күн бұрын
Iyo nyumba Sio ya maan uko serious wewe
@personpeter2221
@personpeter2221 4 күн бұрын
​@kwan ni nymbayake WelimaAdonias
@zaidiakagambo6100
@zaidiakagambo6100 7 күн бұрын
Humu anaweza kujificha nyoka akazaa Na akapata wajukuu 😂
@barretobacca9754
@barretobacca9754 11 күн бұрын
Duh! Noma sana
@McT-m1m
@McT-m1m 4 күн бұрын
Nampenda huyu pacho number mkongo sio mtanzania
@abdulnasuma9729
@abdulnasuma9729 11 күн бұрын
Tajiriii
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn 8 күн бұрын
Kanenepa pacho. Madhaallah
@AshaRamadhani-px9ov
@AshaRamadhani-px9ov 10 күн бұрын
Mstaarabu sana patcho issue ni usafi😂😂😂😂
@johnmwalwembe3036
@johnmwalwembe3036 10 күн бұрын
Nimejifunza kitu kwako pacho .mwamba kwenye mpanjilio wa kuza nguo na viatu ni mevutiwa sana
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 11 күн бұрын
Nampenda Patcho hana tambo za kicongo kama wenzie hajichubui
@hasanipoy3976
@hasanipoy3976 10 күн бұрын
Sasa kiboko ya wachawi naye
@MikidadiKambinda-tr6rl
@MikidadiKambinda-tr6rl 6 күн бұрын
Pacho. Wewe. Tunakupenda. Sana. Sisi. Wabongo. Ila. Tukuombe. Usije. Ukawa. Kama. Ndugu. Yako. Kiboko. Ya. Wachawi. Kwani. Sasa. Amebaki. Kutuchamba. Watanzania
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 7 күн бұрын
Patcho mwamba❤❤❤❤
@Hapygideon
@Hapygideon 11 күн бұрын
Tunampenda na tunampenda tena
@hasanipoy3976
@hasanipoy3976 10 күн бұрын
sasa koboko ya wachawi naye hahaha😅
@Hapygideon
@Hapygideon 10 күн бұрын
@@hasanipoy3976 masikini wewe kumbe hata kiboko ya wachawi humjui 🤔🤔
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 10 күн бұрын
Minajuaga tajili htari
@chani_tayra_official1860
@chani_tayra_official1860 8 күн бұрын
Saleh vip nyumban kwa gigy ??
@personpeter2221
@personpeter2221 4 күн бұрын
😂
@machinefannatic99
@machinefannatic99 10 күн бұрын
uko nje ya geti ila camera man yupo ndani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@wilbatnyato4679
@wilbatnyato4679 6 күн бұрын
Enzi za Kanumba niliambiwa anamiliki ghorofa la kufa mtu ambalo wanaigizia movie yaani ukienda mbele na nyuma ni km nyumba mbili tofauti kumbe sio kweli
@ChoroTesla
@ChoroTesla 5 күн бұрын
Mamae na ww ukaaamini
@lilianwaflotina1288
@lilianwaflotina1288 10 күн бұрын
Waoo jirani yangu pua na mdomo sinza E
@rehemayona2223
@rehemayona2223 9 күн бұрын
Kwani Hana mke au dada wa Kaz mbona pachafu sana jaman
@user-dj3wk5ec6m
@user-dj3wk5ec6m 2 күн бұрын
Wakongomani kwakijisifu amnarorota jaatu
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 11 күн бұрын
Suleh Leo hamna ubweche 😂😂 piga story kula kwenu 😂
@supertal2943
@supertal2943 11 күн бұрын
😂
@Rogathe-Rogathe
@Rogathe-Rogathe 10 күн бұрын
😅😅😅
@GloriaNikiza
@GloriaNikiza 11 күн бұрын
Pacho mwamba mwana mboka
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq 11 күн бұрын
Jamaa amepotea sana
@AllySalum-j9y
@AllySalum-j9y 10 күн бұрын
Anamtotooo mzuriii antakuaaa mkweweeeeeeee
@McT-m1m
@McT-m1m 4 күн бұрын
Sasa kwa nini hujajemga mpaka Leo pacho si kwa ubaya
@ChoroTesla
@ChoroTesla 5 күн бұрын
Meona kichupa cha mkongo😅😅😅😅😅
@Fredymwanzo
@Fredymwanzo 5 күн бұрын
Hu jama Ako naviatu bana
@yunisimaiko
@yunisimaiko 6 күн бұрын
Hizo nguo na miviatu yote Hy si uwape tu wasiojiweza jmn kunamayatima hat kiatu hawana jmn
@alsam4881
@alsam4881 9 күн бұрын
Ni bora hivyo viatu na mashati angepunguza na angegawa sadaka kwa watu masikini kuliko kujaza makorokoro ndani ya nyumba.
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 4 күн бұрын
Ushauri wako ufanyie kazi ni mzuri
@mrafm7285
@mrafm7285 10 күн бұрын
Rais anaishi uswazi ila wabongo Bwana
@tanzaniatouristsattraction1622
@tanzaniatouristsattraction1622 8 күн бұрын
😂😂
@BeatriceMassawe-qy6bs
@BeatriceMassawe-qy6bs 6 күн бұрын
Ivi mpiga picha aliingilia wapi
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 10 күн бұрын
Oza bien ni bistro heeee
@chunahbeivy3761
@chunahbeivy3761 4 күн бұрын
Seth bosco alikufa😳??
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 10 күн бұрын
Pachiw amezeheka kweliw
@Mjuni3
@Mjuni3 10 күн бұрын
Nguo zote hizo si uwape wahitaji ?
@DelightfulMacawBird-tl5hf
@DelightfulMacawBird-tl5hf 11 күн бұрын
Wakong maridadi mabishoo
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 10 күн бұрын
patcho ametisha mnoo humu
@ClassicUsed-jg6ri
@ClassicUsed-jg6ri 10 күн бұрын
Hiyo anatafuya kiki
@agustinoapolinar1623
@agustinoapolinar1623 5 күн бұрын
Uwe unasemaga na lacation
@sisterblessed-my9jd
@sisterblessed-my9jd 5 күн бұрын
Hapana. Sio sahihi
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 11 күн бұрын
Kitambo sana enzi izo miaka 2009 bongo movie ilikuwa ya moto nilikuwa silali Mbak nimuone huyu mwamba
@franktimoth9786
@franktimoth9786 8 күн бұрын
Du kila mtu na starehe yake pafyum na viatu duu
@mawlodafarida
@mawlodafarida 5 күн бұрын
Nampnda❤❤❤
@nasibusaid4161
@nasibusaid4161 11 күн бұрын
Hamna mtangazaji hapo,
@salehcllassic2325
@salehcllassic2325 11 күн бұрын
Karibu utangaze wewe
@user-ft2vq5on6l
@user-ft2vq5on6l 10 күн бұрын
Lkn ndo anatangaza hadi leo nawe uko kwenu uko
@SalumuMandemla
@SalumuMandemla 11 күн бұрын
Uwo nao ushamba watu kibao awana una manguo ambao uya tumii
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 11 күн бұрын
Jina lenyewe user hapo ulipo uwe unasikiliza interview mbaka mwisho ndugu usiwe unakurupuka
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 11 күн бұрын
Wape wewe nguo zako
@hasanipoy3976
@hasanipoy3976 10 күн бұрын
Mbona wasanii wanazo nyingi hawatumii na hawagawi
POV: Your kids ask to play the claw machine
00:20
Hungry FAM
Рет қаралды 14 МЛН
小丑在游泳池做什么#short #angel #clown
00:13
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН
Bike vs Super Bike Fast Challenge
00:30
Russo
Рет қаралды 23 МЛН
DIAMOND PLATNUMZ , HAWEZI KUNIZIDI PESA , NAMKANYA
8:04
Vitamin Digital
Рет қаралды 53 М.
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 97 М.
POV: Your kids ask to play the claw machine
00:20
Hungry FAM
Рет қаралды 14 МЛН