Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 132
@hopejohnson735211 күн бұрын
Kiukweli pacho ni mstaarabu sana binafsi nampenda sana❤❤❤
@user-pu6pr5jt4n7 күн бұрын
Ana bint mrembo❤❤❤❤ Wacongo salute kwa kuvaa
@PienciaKoku11 күн бұрын
Wa Tz tunakupenda sana ila naomba hivyo viatu punguza kidogo uwagawie watoto yatima na watu wenye uhitaji kama inawezekana.❤️❤️🙏🙏
@Chakol123-k7s11 күн бұрын
Mwache ana nia yake msiingilie maisha ya watu
@Mimy_keys8 күн бұрын
Tunakupenda sana Patcho ❤ Wa Congo Kwa Kuvaa na Kunukia Alooo 😊🫡🔥
@HajiMgwami9 күн бұрын
WAANDISHI WA SIKUHIZI BANA, YAAN LEO UNAENDA KUMUHOJI PATCHO KUHUSU HISTORIA YAKE KWELI, AMESHAHOJIWA MARA NGAPI NAKUSEMA YOTE HAYO, MJITAHIDI KABLA YA KWENDA KUFANYA MAHOJIANO MUWE MNAPITIA KWANZA KUJUA NINI HAJAULIZWA..
@Chakol123-k7s11 күн бұрын
Suleh siku nyingine mtafute ray kigosi nae tuone maana kitambo
@BernardArmel2 күн бұрын
Pacho is very simple, mstaarabu na yupo kabisa transparent.
@christaoman889011 күн бұрын
Hii mambo mtangazaji kuingia kwenye nyumba mpk chumban manachukua vidio vitanda.vya watu sio poa mi sijapenda kabisaa
@salehcllassic232511 күн бұрын
Pole utazoea😊
@Chakol123-k7s11 күн бұрын
Mnafundishwa usafi kuweni wasafi muda wote 😂😂
@zaramuneer325710 күн бұрын
@@salehcllassic2325😂😂
@ramadhanwilbard819610 күн бұрын
Mwenye nyumba mwenyewe ndiye anayekubari iwe hivyo;shida yako ni nini?alafu inabidi utambue kuwa watu maarufu wana mambo yao ambayo mengi yanakiyuka mila zetu za imani za dini na tamaduni za asili lazima uyajue hayo,hata mimi kuna mambo yanafanywa na Wasanii yanichefua na sitegemei kuyafanya wala kuyaiga na kama na wewe unachukia basi endelea kuyachukia hivyo hivyo na kukifundisha kizazi chako kisiige !
@MilembeLugwila10 күн бұрын
Umenifurahisha@@salehcllassic2325
@ChristianEinstein-t2j8 күн бұрын
Kumbe amezaliwa Belgium/ ubeligiji safiii sana ndio maana mambo Yako ni ya kizungu zungu
@Hapygideon11 күн бұрын
Tunampenda na tunampenda Tena pantcho
@hasanipoy397610 күн бұрын
Hamumupendi tena kiboko ya wachawi
@Hapygideon10 күн бұрын
@@hasanipoy3976 kiboko ya wachawi ameingilia wapi hapo,,nitazidi kumpenda maana kanitendea mambo makubwa sana mtuachie mtumishi wetu
@fathiyahmuzney7367Күн бұрын
@@hasanipoy3976😂😂😂😂😂
@viatorykashabizi25388 күн бұрын
Kwasababu tu anakujua,lakini kiswahili chako hakina tofauti na mbongo,manyema wa Kigoma. Unaongea kiswahili safi na fasihi kabisa. Vinginenyo,yeyote aliyeathirika na lugha yake mama aongeapo hutofautishwa na mwingine kwa lafudhi yake.
@YasminaMkali7 күн бұрын
Chumba hakina mpangilio kbs.😂😂😂...Nyumba ni mwanamke jmn.
@adijaamur96216 сағат бұрын
Awagawiye maskini wanatembea Migu peau hawana chakula hata sehem ya kulala wanaishikama popo awasaidiye
@abisaimuhanji368711 күн бұрын
Ila steven pamba na swaga za fimbo na koki zilimpendeza sana kwenye filam
@beatricerobert898511 күн бұрын
Ana utulivu wa kifamilia na wanapenda watoto ❤❤
@nancyg866411 күн бұрын
kamera man ameingia bila kukaribishwa
@RoseeyRoseey11 күн бұрын
Kumbe nawe umeona 😂😂
@mtotiimkwizu11 күн бұрын
Nilikua najiuliza nimeona pekeangu au😂😂😂
@btylove18703 күн бұрын
I like Pacho sana ila huwa najiuliza miaka yote kuishi Tanzania ila kiswahili faswaha wapiii
@echikyabu615411 күн бұрын
Kweli mama kasafir
@user-pu6pr5jt4n9 күн бұрын
Walkua mabest hyu na kanumba❤❤
@salomewandya72577 күн бұрын
Saana
@FredrickMatiku-xf2uk10 күн бұрын
Yaani wakongo wanajua kuvaaa tu wasafi ila nyumbaaa zao aaaaah zimechoka
@ziadasalimu173010 күн бұрын
Haswa
@Taito-brand10 күн бұрын
Brother yy anaish kwak na hy ndio hela yak kwahy ww kausha sana
@SuleimanKhdija10 күн бұрын
Kwani hii nyumba ina ubaya gani 😮ao unapenda wanao force maisha anesha nyumba yako
@ukhtyrayyan78849 күн бұрын
Mmmmm ufisadi huo kwani hiyo nyumba imechoka au wer ndio umechoka hasidi weer😅😅
@FredrickMatiku-xf2uk9 күн бұрын
@@SuleimanKhdija yangu najenga kigamboni ikkiiiisha njooo uone au utaona kipindi cha showbizz zamaradi tv
@zebedayokatamaduni967610 күн бұрын
Kwa hiyo viatu vyake ndiyo habari umeona kwako ina maana , habari za kipuuzi kabisa,, mtu una akili timamu unaongelea viatu vya mwanaume mwenzio
@peterdeus609311 күн бұрын
Hamjui hata kudanganya, yaani wew ndo kwanza umefika uko nje, lakin camera man tayari kashaingia ndani kuchukua video ya mwenyeji wako anaekufungulia geti 😂
@lirastanley39011 күн бұрын
Wehu hao hawajui uongo
@Chakol123-k7s11 күн бұрын
Wewe Ni mshamba mjini nn😅😅 hiyo video isharekodiwa wanachukua vipande wanaviweka tuu
@xyz-v6d10 күн бұрын
Ni editing jamani.wakimaliza kitu producer anaunganisha vipande kupata mtiririko wa anachokisema mtangazaji
@peterdeus609310 күн бұрын
@@Chakol123-k7s unaangalia video na bado hujui kinachoendele we si kichwa maji kabisa kama kweli una akili jaribu ku establish timeline utaelewa
@lirastanley39010 күн бұрын
@@xyz-v6d weeeeee kwahyo uunganishaji Wa vipande kupata mtiririko sahihi ndio inapigwa hodi halafu mtu anonekana anatoka ndani mpk anafungua mlango na kumkaribisha mtu??? Kwahyo unaona wapo sahihi au wamekosea? Kama kamera man kaweza kuingia ndani ambaye ndio kafika nae eneo la tukio sasa hodi ilikua na faida gani?
@moseskulola691310 күн бұрын
Sisi WA Congo sio muzaa mashati more than 400
@norobo20510 күн бұрын
Pacho mjengo mbona wakawaida tofaut na madogo wa 2000
@user-pw2sw1sk1b10 күн бұрын
Sasa si ya zaman hao 2000 mpya tuonyeshe yako
@sisterblessed-my9jd5 күн бұрын
Nacho mstaarabu sana . Big up!!
@suleimanjokoro10 күн бұрын
La Sapeur ^^^💪🇨🇩🕵️🇹🇿🎼🎸
@zeloterisasi14111 сағат бұрын
Jamaa ana lorry tatu za nguo na viatu
@essiesammy65055 күн бұрын
Hongeraa saleeh umenunuaaa gariii
@Tuu201911 күн бұрын
Pacho 10 Nyoshi 3.
@TreyCarlos-p2i7 күн бұрын
Mbona pa kawaida sana mbaya zaidi n anapanga nilijua kuna AÇ kumbe pana nyavu
@fettiemaganza148410 күн бұрын
Apo kibaka akiingia kajipatia mtaji wa balo lake fresh anaenda kumwaga Karume
@user-sq4ui6ff7y5 күн бұрын
UNA HARIBU KIPINDI MY GEE SEMAA MITAA KAMA AWALI ULIVYO KUWA UNAFANYA
@user-wk1ix1gm1p10 күн бұрын
Minguo yote na mi pafyum lakin kitu cha maana ndani sijakiona zaidi ya viatu nguo na pafyum, hata makabati ya kuweka hizo nguo na viatu hakuna zaid ya kutupatupa to, analala stoo😢
@janvierramazani218910 күн бұрын
😂 atari sana
@WelimaAdonias9 күн бұрын
Iyo nyumba Sio ya maan uko serious wewe
@personpeter22214 күн бұрын
@kwan ni nymbayake WelimaAdonias
@zaidiakagambo61007 күн бұрын
Humu anaweza kujificha nyoka akazaa Na akapata wajukuu 😂
@barretobacca975411 күн бұрын
Duh! Noma sana
@McT-m1m4 күн бұрын
Nampenda huyu pacho number mkongo sio mtanzania
@abdulnasuma972911 күн бұрын
Tajiriii
@SharifaOman-bf1bn8 күн бұрын
Kanenepa pacho. Madhaallah
@AshaRamadhani-px9ov10 күн бұрын
Mstaarabu sana patcho issue ni usafi😂😂😂😂
@johnmwalwembe303610 күн бұрын
Nimejifunza kitu kwako pacho .mwamba kwenye mpanjilio wa kuza nguo na viatu ni mevutiwa sana
@zuwenaabdallah774811 күн бұрын
Nampenda Patcho hana tambo za kicongo kama wenzie hajichubui
@@hasanipoy3976 masikini wewe kumbe hata kiboko ya wachawi humjui 🤔🤔
@hezronjoseph40510 күн бұрын
Minajuaga tajili htari
@chani_tayra_official18608 күн бұрын
Saleh vip nyumban kwa gigy ??
@personpeter22214 күн бұрын
😂
@machinefannatic9910 күн бұрын
uko nje ya geti ila camera man yupo ndani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@wilbatnyato46796 күн бұрын
Enzi za Kanumba niliambiwa anamiliki ghorofa la kufa mtu ambalo wanaigizia movie yaani ukienda mbele na nyuma ni km nyumba mbili tofauti kumbe sio kweli
@ChoroTesla5 күн бұрын
Mamae na ww ukaaamini
@lilianwaflotina128810 күн бұрын
Waoo jirani yangu pua na mdomo sinza E
@rehemayona22239 күн бұрын
Kwani Hana mke au dada wa Kaz mbona pachafu sana jaman
@user-dj3wk5ec6m2 күн бұрын
Wakongomani kwakijisifu amnarorota jaatu
@Chakol123-k7s11 күн бұрын
Suleh Leo hamna ubweche 😂😂 piga story kula kwenu 😂
@supertal294311 күн бұрын
😂
@Rogathe-Rogathe10 күн бұрын
😅😅😅
@GloriaNikiza11 күн бұрын
Pacho mwamba mwana mboka
@Mariam-fm8vq11 күн бұрын
Jamaa amepotea sana
@AllySalum-j9y10 күн бұрын
Anamtotooo mzuriii antakuaaa mkweweeeeeeee
@McT-m1m4 күн бұрын
Sasa kwa nini hujajemga mpaka Leo pacho si kwa ubaya
@ChoroTesla5 күн бұрын
Meona kichupa cha mkongo😅😅😅😅😅
@Fredymwanzo5 күн бұрын
Hu jama Ako naviatu bana
@yunisimaiko6 күн бұрын
Hizo nguo na miviatu yote Hy si uwape tu wasiojiweza jmn kunamayatima hat kiatu hawana jmn
@alsam48819 күн бұрын
Ni bora hivyo viatu na mashati angepunguza na angegawa sadaka kwa watu masikini kuliko kujaza makorokoro ndani ya nyumba.
@elinamilyatuu73374 күн бұрын
Ushauri wako ufanyie kazi ni mzuri
@mrafm728510 күн бұрын
Rais anaishi uswazi ila wabongo Bwana
@tanzaniatouristsattraction16228 күн бұрын
😂😂
@BeatriceMassawe-qy6bs6 күн бұрын
Ivi mpiga picha aliingilia wapi
@user-wu8qe4fv4j10 күн бұрын
Oza bien ni bistro heeee
@chunahbeivy37614 күн бұрын
Seth bosco alikufa😳??
@user-wu8qe4fv4j10 күн бұрын
Pachiw amezeheka kweliw
@Mjuni310 күн бұрын
Nguo zote hizo si uwape wahitaji ?
@DelightfulMacawBird-tl5hf11 күн бұрын
Wakong maridadi mabishoo
@othumanlorenzo26010 күн бұрын
patcho ametisha mnoo humu
@ClassicUsed-jg6ri10 күн бұрын
Hiyo anatafuya kiki
@agustinoapolinar16235 күн бұрын
Uwe unasemaga na lacation
@sisterblessed-my9jd5 күн бұрын
Hapana. Sio sahihi
@ukhutfatumah115411 күн бұрын
Kitambo sana enzi izo miaka 2009 bongo movie ilikuwa ya moto nilikuwa silali Mbak nimuone huyu mwamba
@franktimoth97868 күн бұрын
Du kila mtu na starehe yake pafyum na viatu duu
@mawlodafarida5 күн бұрын
Nampnda❤❤❤
@nasibusaid416111 күн бұрын
Hamna mtangazaji hapo,
@salehcllassic232511 күн бұрын
Karibu utangaze wewe
@user-ft2vq5on6l10 күн бұрын
Lkn ndo anatangaza hadi leo nawe uko kwenu uko
@SalumuMandemla11 күн бұрын
Uwo nao ushamba watu kibao awana una manguo ambao uya tumii
@ukhutfatumah115411 күн бұрын
Jina lenyewe user hapo ulipo uwe unasikiliza interview mbaka mwisho ndugu usiwe unakurupuka