ANGALIA Muhammad Bachu AKIJIBU MASWALI KITAALAMU||HUWEZI KUAMINI.

  Рет қаралды 71,209

Muhammad Nassor Bachu

Muhammad Nassor Bachu

Күн бұрын

Пікірлер: 291
@abdallahmwakasege5405
@abdallahmwakasege5405 2 жыл бұрын
Huyu sheikh, naweza pata mawazisiano nae. Amenyooka sana mashallah. Nampenda kwa ajili ya dini
@jkifutu7936
@jkifutu7936 Жыл бұрын
Number zake nenda mbagala uta zipata
@ibrahimabdul8257
@ibrahimabdul8257 2 жыл бұрын
Wallaah ndugu zangu hizi ni zamaa mbaya sanaa Turudini kwa Allaah na tulazmiane na njia ya salaf katika Aqiyda, katka ibada mbalimbali, na muamalat mbalimbali...Allaah asiwakithirishè hawa kina muhammad bacho...
@abeliever6823
@abeliever6823 2 жыл бұрын
Ndugu yangu mwislamu. Ningependa ungelekea kwa njiya za kunufaisha binadamu na waislamu. Sisi waislamu tuna matatizo mengi sana. Siku zetu duniyani Ni chache. Kesho or baada ya wakati mfupi tutasafiri. Mola amekupa gift ya kuzungumza. MaashaaAllah. Wacha kupoteza wakati wako kwa firaq, Makundi na groups. Sote sisi Ni waislamu. Namuomba Mola akupe elimu yenye baraka
@saidissa8273
@saidissa8273 Жыл бұрын
Huna HOJA.hivi si ndio kufundisha au afundishe unayoyataka
@nassorkhamis6233
@nassorkhamis6233 Жыл бұрын
Dawa yako ni mfumo wa kiyahudi
@abeliever6823
@abeliever6823 Жыл бұрын
Ndugu. Si sawa kuapizana. Allah akupe na atupe hidaaya
@djumapiliamina1139
@djumapiliamina1139 Жыл бұрын
Barakallahu fikh sheikh Muhammed bachu
@sheikhabuusakakin3243
@sheikhabuusakakin3243 3 ай бұрын
جزاكم الله خيرا وجعله الله في ميزان حسناتكم ونفع الله بكم أمين يارب العالمين✨️🥰✨️✨️✨️✨️
@ashahassan1877
@ashahassan1877 Жыл бұрын
Muhamed bachu unafahamika Kaka upo vizurii Sana MashaAllah
@maulidmussa8969
@maulidmussa8969 2 жыл бұрын
allah akulipe khery sheikh bachu, inshallah
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 2 жыл бұрын
MASHA'ALLAH ,Sheykh wetu Muhammad bachu
@SaidanSalu
@SaidanSalu Жыл бұрын
Naam
@fabiboy4010
@fabiboy4010 2 жыл бұрын
Mashallah, @mohammed bachu ww ni sheikh ambae unatumia hekma na elimu kwa kadri allah alivokuwezesha lkn kuna watu wengine wanaendekeza jazba kuliko elimu
@abdulhamidbakar2461
@abdulhamidbakar2461 2 жыл бұрын
Subhana llah yaaarab naomba utusamehe mazamb yetu kwasababu wakati mwengne hatujui twazungumza nn maswali yanajibiwa kiushabik na hii haifai ktk dini tunajisahihisha ss wenyewe ameshawaona watu wasufi ni watu wa kuabudia makaburi kwavletu hawapo kwenye aliekuwepo yy kijana punguza kiburi na tuna muomba mwenyezimingu akupe hidaya umeenda mbali sana
@husnamohamed9448
@husnamohamed9448 2 жыл бұрын
Wewe ni shabiki wa jamii ya wapigaji raddi kimtazamo
@Zanzibar0001
@Zanzibar0001 2 жыл бұрын
Kajibu kisomi hamna lenu
@MALELEMBARIMO
@MALELEMBARIMO 6 ай бұрын
Taannak
@ABUUSHURAIM
@ABUUSHURAIM Ай бұрын
Yupo sahihi wew ndio umeongea kiushabik
@mkude
@mkude 2 жыл бұрын
ALLAH Akulipe kila LA kheir sheikh mohamed Bachu
@halimamohamed4842
@halimamohamed4842 Жыл бұрын
Shukran sn Shekh Allah akulipe khri❤
@kassimajmus2010
@kassimajmus2010 2 жыл бұрын
Sh.Muhammad fanya kazi ukiamini Allah yukopamoja na ww
@KaikoZakwani
@KaikoZakwani Ай бұрын
Shukran kwa kadiriumefutu
@khadijasaid5065
@khadijasaid5065 2 жыл бұрын
Mashaallah shekhe wetu Muhammad bachu Mungu akuzishiye ilmu zaidi inshaallah kutoka kenya khadija said Nahdi mld
@shafially879
@shafially879 2 жыл бұрын
Tabia nzuri ni katika uchamungu, mwenye tabia nzuri kakushinda katika dini!
@janiafaomaa5120
@janiafaomaa5120 Ай бұрын
HUYU MUHAMMED BACHU ANA MATATIZO YEYE KILA KITABU ANAKIPINGA NAFAYA HAKUTA ANAEJUWA DINIKULIKO YEYE SASA HAO WALIO MFUNDISHA DINI
@HemedRajab-v3i
@HemedRajab-v3i 3 ай бұрын
Jazzaqallahu kheir
@abuudhilqarnayn5180
@abuudhilqarnayn5180 2 жыл бұрын
Akh punguza Riyaa, halafu umejawah na kutaka umaarufu na baba ako hakuwa hivo, MCHE ALLAH
@Muhammad_Nassor_Bachu_.
@Muhammad_Nassor_Bachu_. 2 жыл бұрын
Ikiwa mtu anaweza kuiona Riyaa ya mtu basi watu wataiona kwako, maana hii comment yako huenda ni Riyaa😎
@ibrahimpande7052
@ibrahimpande7052 2 жыл бұрын
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. Swadaqta Akhy
@sadatlucas4045
@sadatlucas4045 2 жыл бұрын
Allah amuongoze huyu jamaa
@abuudhilqarnayn5180
@abuudhilqarnayn5180 2 жыл бұрын
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. Una mtihan sana, wewe kiboko yako ni al akh Abul Abbas Muhammad Rashid, NDIE ANAKUTWANGA TWANGA NYUNDO
@abdulkareemseif1892
@abdulkareemseif1892 2 жыл бұрын
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. wewe huna isipokua riaa tu ..mm naamini sh bachu ingekuepo engekutwanga makofi kwa upuuxi wako huu
@hamadibausi9543
@hamadibausi9543 Жыл бұрын
Nilichokigundua kutoka kwa huyu sheikh Bachu ni kwamba: 1. Ni mtu wa kujifakharisha 2. Ni mtu wa ria ktk elimu 3. Anaongozwa na kibri 4. Ni mtu mwenye dharau sana. Namuombea kwa ALLAH amuondoshee hiv vitu basi atakuwa mtu mzuri sana wa da'awa km alivyo sheikh Kishki
@MALELEMBARIMO
@MALELEMBARIMO 6 ай бұрын
Punguza mihemko
@HuzayfaKibua
@HuzayfaKibua Жыл бұрын
Mashallah 🙏🏿
@midahalomwanga9328
@midahalomwanga9328 Жыл бұрын
Mashaallah allahumma barik alaihi
@ahmadzubeir2605
@ahmadzubeir2605 2 жыл бұрын
Sheikh Mohammad! Nimekusikiliza sanaa na vizuuri,nimekupata.
@SalumuMatimbwa
@SalumuMatimbwa 3 ай бұрын
Na ww una mengi si tumekinai inshallah
@SaidanSalu
@SaidanSalu Жыл бұрын
Mashallah al akhy
@omarysalum6754
@omarysalum6754 2 жыл бұрын
Mashallah Allah akuhifadhi kw kufuata nyayo za baba
@hassanbakar9278
@hassanbakar9278 2 жыл бұрын
Baaraq Allah Sheikh Allah akulipe Ujira Stahili
@iddimkulu2791
@iddimkulu2791 2 жыл бұрын
بارك الله فيك
@fawaaidzakielimu4858
@fawaaidzakielimu4858 Жыл бұрын
Usiseme kitaalamu Bali SEMA Kielmu, Hvo
@TawfiqHaji
@TawfiqHaji 10 ай бұрын
Kitaalamu na kielimu si ndo hivohivo kaka angu,mbona unamkosoa bure ilhali yuko sawa,taalamu maana kiujuzi ,kiufundi,kielimu zaidi,elimu ndo hivohivo ni neno la kiarabu tuu,usikosowe km hujui na muangalie nani unamkosowa insha,allah.🙏🤫🤫🤐
@sarahhashim6298
@sarahhashim6298 2 жыл бұрын
mungu akulipe heli wambie aho tumekuelewa sana mr yani usiache
@ibrahimramadhan6076
@ibrahimramadhan6076 2 жыл бұрын
جزاك الله خيرا يا اخي
@Rehema-h6t
@Rehema-h6t 2 жыл бұрын
ماشا ء الله ماشا ء الله أمين يا رب العالمين 🤲ansante sana
@MunahyaMubaraka
@MunahyaMubaraka 3 ай бұрын
Mashallah❤❤❤❤❤❤
@alihamad8302
@alihamad8302 Ай бұрын
Mashallah
@omarbakaralit1087
@omarbakaralit1087 2 жыл бұрын
Allah akulipe kher
@kalumboukororo5505
@kalumboukororo5505 2 жыл бұрын
Ninachokijua mimi mtume wetu akuwa shia wala sarafi wala suni ninachojua alikua muislamu tu hayo ni mambo yenu tu Allah atujaalie umoja amina nakama kunayeyote anajua. Mtume wetu alikua sarafi au shia au sarafi anambie aliacha sunna wajukuu zake hassani na hussen na uislamu salama kbsa
@nassirquran2988
@nassirquran2988 Жыл бұрын
Unajua maana ya salaf?
@saadmbaraqa5272
@saadmbaraqa5272 2 жыл бұрын
Duh mtihani
@canoksancomprehensivelearn7182
@canoksancomprehensivelearn7182 2 жыл бұрын
Ni kweli hatupaswi kabisa kuhukumiana kwa maneno maana mtu anaweza akasema kitu kwa nia nzur lakin kwa jazba zetu tukapokea kivingine, na kiukweli manhaj ya sunnah waljamaa ndio pekee ya kufuatwa na masuala ya jazba na kukatana na kudhalilishana kwenye mitandao ni mabaya sana na ndio yaloenea sana.
@abeliever6823
@abeliever6823 2 жыл бұрын
Assalaam Alaykum Very sad. Extremely sad. We waste energy on fighting each other. We are filled with arrogance. It is as if we are guaranteed to enter Janna. We look down upon anyone with different views. Subhaanallaah. May Allah guide us. I wish we could use our energy into what benefit our fellow Muslims. Instead of fighting each other. Very sad wallahi.
@abdallahmgaya7521
@abdallahmgaya7521 Жыл бұрын
They are not fighting each other, but they debate and from their debate we get Islamic knowledges, so don't worry @A Believer
@selemanmartin
@selemanmartin Жыл бұрын
Sisi ni waswahili kiingereza hakina sababu hapa
@abdulmwakubambanya9091
@abdulmwakubambanya9091 2 жыл бұрын
Barakh Allah Khair sheikh
@abuusalafy7956
@abuusalafy7956 2 жыл бұрын
We Ni mgonjwa
@salimabdallah5176
@salimabdallah5176 Жыл бұрын
Wapi Bwana MTUME alipanda azam marine
@hudaonlinetv
@hudaonlinetv Жыл бұрын
Makafiri
@alves_photo5346
@alves_photo5346 2 жыл бұрын
Maashallah
@abuuqatada9791
@abuuqatada9791 2 жыл бұрын
Ujidanganya nafc kaka wwe wew ni hizb tu
@yussufmimi4464
@yussufmimi4464 2 жыл бұрын
unauhakika mbona unasema tu
@MALELEMBARIMO
@MALELEMBARIMO 6 ай бұрын
Punguza mihemko
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 2 жыл бұрын
Allah amesema Waislam sote ni ndugu lkn Leo tunabaguana kwa usalaf na madheheb mengine wakat sote ni laailaha illa llah Muhammad rasoulullah bado tunaitaj jitihada sana ktk kusoma Dini .
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 2 жыл бұрын
Sheikh Mohammmad Bachu nakuelewa sana kwa uwazi wako na ukweli. Ndio maana hawakupendi.
@karimdaud3993
@karimdaud3993 Жыл бұрын
Huyu ni fitina wa kugawa watu oogomvi ugomvi kila. Siku hana hata ilimu ya kuwafahamisha
@NyumbaYaHekima
@NyumbaYaHekima 2 жыл бұрын
Nimetatizika kuona uwepo wa ndimi mbili. naomba ufafanuzi. vipi kuhusu maneno ya Shaykh Albusiri aliposema katika shairi lake qaswida burdah aliposema mathalan " sina wa kumkimbilia ispokuwa ww(Nabii Muhammad (s.a.w), wakati wa kutokezea matatizo makubwa" tukisema kwa mfano wa matatizo hayo makubwa ni kule kuhitaji kufanyiwa hisabu siku ya kiyama baada ya kusubiri mda mrefu katika uwanja wa hesabu kama alivyojaribu kutoa maana hiyo sheikh shaarani, basi hatutokuta shirki katika maneno hayo, bilashaka tutakimbilia kuleta maana hiyo kwa kuwa tunamfahamu Albusiri alkuwa ni katika ahlusunna wala hatukuti popote alipoandika maneno ya wazi ya shirki kiasi kwamba tuilazimishe kauli kama hii kuwa ni ya shiriki ifinane na hiyo! nilichokifahamu, ili iletwe maana yenye shirki katika baadhi ya mistari ya shairi la shaykh Al busiri, imma kwa kuulizwa yeye mwenyewe albusuri amekusudia maana gani katika maneno hayo au paletwe ushahidi kwamba aliwahi kusema maneno ya wazi yenye shirki yanayofanana na hayo. Swali. Ikiwa vitakosekana vyote viwili hivyo, ni kwann tunakimbilia kutoa maana yenye shirki katika maneno ya albusiri? N.B: sikuwa nalijua hilo shairi la albusiri mpaka nilpokusikia wwe ukisema kuna shirki ndani yake. nimelipitia, sijakuta isipokuwa mistari yenye utata, ambayo mwenye kutaka maana isiyo na shirki atapata, bali na mwenye kutaka maana yenye shirki atapata. Assalaam alaikum.
@jumakingambe4323
@jumakingambe4323 Жыл бұрын
KAMA KUNA USHAHIDI WA HADITHI KAMA SIKU YA QIAMA KUNA WATU WATAMFUATA MTUME AWASAIDIE NA ATAWASAIDIA HILO LITAKUWA SI SHIRKI. ILA KAMA HAKUNA HII NI SHIRKI
@asifznz
@asifznz 2 жыл бұрын
Barak Allahu alayk
@abuuabdillahsalafimhapa3839
@abuuabdillahsalafimhapa3839 2 жыл бұрын
huyu kijana kapinda vibaya allah amuongoze
@hadijajumangangua9075
@hadijajumangangua9075 2 жыл бұрын
Niukweli kabisa Yuko vibaya huyu shekhe
@AbdlyhajLuhondo-id7zi
@AbdlyhajLuhondo-id7zi Жыл бұрын
Hamnakazi nyinyi kwa nyinyi
@faidamuhamed3011
@faidamuhamed3011 Жыл бұрын
Ktk siku nilizuelewa shkh mhmd Bach basi nikupitia hii kalma
@jamalsalum8726
@jamalsalum8726 2 жыл бұрын
Mawahabi shida sana,mbona wanaoenda kuwaombea dua maiti makaburini mnawalazimisha kuwa wanawaomba maiti,bila ya kuwauliza na mkasikiliza ukweli wao au uwahabi ndio kuwazushia watu tu.
@abuurayyaan4306
@abuurayyaan4306 2 жыл бұрын
Unatumia nguvu kubwa sana kutetetea baathwil
@abuurayaan3902
@abuurayaan3902 2 жыл бұрын
Ndio utaalamu huu au utumbo
@godfreywasike1687
@godfreywasike1687 2 жыл бұрын
Ustadh Njoo Kenya Nairobi Kuna baadh ya mitaa Majadida wamejaa
@abuutamliikhaothmaan7244
@abuutamliikhaothmaan7244 2 жыл бұрын
Assalaam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu hii tunaomba itengenezwe short clip ili ienee kweny magroup yawasap
@neemafatu471
@neemafatu471 2 жыл бұрын
Nimependa wallahi majibu yako
@saadmbaraqa5272
@saadmbaraqa5272 2 жыл бұрын
Kwani kuna ulazima wa kuendelea kujadili masaala ya ikhtilafah hamuoni mnaikuza fitnaaa
@azizabakari5137
@azizabakari5137 2 жыл бұрын
Hakik shekh bachu upo vzr
@abuusamuhath487
@abuusamuhath487 2 жыл бұрын
Asalam alaikum, sheikh naomba ni. Yako
@abdallahjuma4397
@abdallahjuma4397 2 жыл бұрын
Ama kweli Allah humuongoza amtakae pamoja na baba yake kuwa katuka haq lakin Allah hajamkadiria ndugu yetu yapasa tumubee.. Sasa hata ukimsikiliza hupat maelezo ya kielimu..Nasaha zangu Soma ndugu Yangu mambo ya kutafsri kiarabu sio Dini ya akhy..Waarabu wanajua kiarabu lakin pia wanasoma soma ndugu bado kijana mdogo soma soma soma soma Allah akuongoze katika haq
@abuudhilqarnayn5180
@abuudhilqarnayn5180 2 жыл бұрын
Ni kwel akh, huyu jamaa ana mtihani sana
@jaffersimba8566
@jaffersimba8566 Жыл бұрын
Bachu ulishawahi kumfuata Sheikh wa Kisufi ukamuuliza kama anaabudu kaburi akakujibu nfio anaabudu Mkaburi...!!?
@hudaonlinetv
@hudaonlinetv Жыл бұрын
Usifabye upu mbavu
@MALELEMBARIMO
@MALELEMBARIMO 6 ай бұрын
Mihemko punguza 😂
@hassanmsangi4149
@hassanmsangi4149 2 жыл бұрын
kwa vigezo vya shehe hao waisilamu wa pongwe ni kama mahawarij hamna tofauti kabisa.
@SHEIKHMWAIPOPOTV
@SHEIKHMWAIPOPOTV 2 жыл бұрын
Inaonekana waislamu wengi uwezo wetu ni mdogo Sana wa kufikiri ukweli tubadilike tumebeba chuki Sana kuliko uhalisia
@haidaribakari6817
@haidaribakari6817 2 жыл бұрын
Kama nihivyo mbona unawaradi mashekh wenzio wanapo kosea bila kuwauliza makusdio ?
@salimabdallah5176
@salimabdallah5176 Жыл бұрын
Suala unasema maulidi hayakuwepo Enzi za Bwana MTUME wala MASAHABA..JE UROJO ULIKUWEPO Tunaula sio bidaa.
@shekhmansoor5421
@shekhmansoor5421 2 жыл бұрын
Ila shekh mimi ninge furahi saana ungekuja huku kwetu kenya kambini Turkana count. Japo kwa siku chache
@issahrashid6319
@issahrashid6319 2 жыл бұрын
Shekh apo ulisema Uvundo umekosea ucseme maneno km hayo tumia hekma na waombe radhi km waislam wenzako
@MohammedSaid-qr1zn
@MohammedSaid-qr1zn 2 жыл бұрын
Allah amrehem shekhe nasoro Bachu bado tunapata manfaa kupia yeye kwa rehma za Allah.
@hassanjuma869
@hassanjuma869 Жыл бұрын
Kwanini aombe radhi
@SangiwaMsangi-x4x
@SangiwaMsangi-x4x Жыл бұрын
Mbona kama wame edit
@ahmadzubeir2605
@ahmadzubeir2605 2 жыл бұрын
Tobbaaaaa
@hudaonlinetv
@hudaonlinetv Жыл бұрын
Sasa wafundisha kitu gan
@hudaonlinetv
@hudaonlinetv Жыл бұрын
Wewe ni mgonjwa
@salmaalkyumi6030
@salmaalkyumi6030 2 жыл бұрын
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
@sadatlucas4045
@sadatlucas4045 2 жыл бұрын
Unatakiw kuwa Humble Bachu...
@mahfoudhcalender2747
@mahfoudhcalender2747 2 жыл бұрын
Majadida hawana hekma ktika kulingalia Da3wa.
@mohdaliothman174
@mohdaliothman174 2 жыл бұрын
Nini maana ya hekima
@mkude
@mkude 2 жыл бұрын
Kweli kabisa hawana hekma wala adabu,wallahi wanakauli chafu sanaaaa.
@shekhmansoor5421
@shekhmansoor5421 2 жыл бұрын
Mimi hatakama iwe nini sisomi kwa jadida yeyote wataniambukiza chuki zao
@thulaniduku3218
@thulaniduku3218 2 жыл бұрын
Kweli kabisa akhy Majadih wana chuki sana
@mkude
@mkude 2 жыл бұрын
Kweli kabisa hawana adabu na wanakauli chafu sanaaaa
@salemaliy1963
@salemaliy1963 Жыл бұрын
Tafuteni elimu ......msiwe watu wamalumbano bachu elimu ni BAHARI elewa hilo ...
@abdulkareemseif1892
@abdulkareemseif1892 2 жыл бұрын
Km huyu ingeeishika sunna kweli Basi wengi wengekubeza
@ibrahimseif7859
@ibrahimseif7859 2 жыл бұрын
Mashee wenge wanapenda sana pesa ndio maana wanazalishana
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de Жыл бұрын
Huna elimu yoyote umejawa kibuli na huna adabu kwa wakubwa zako,kwa usheh wako ni bora niikose hiyo elimu,huna adabu huna hekima Tanzania mzima hupendwi kwa tabia zako mbaya,unakokwenda kubaya...
@الحَمْدُِلله-ص8م9ش
@الحَمْدُِلله-ص8م9ش Жыл бұрын
kwani al imaam Ahmad alipoulizwa kuhusu husain Alkaraabisy alisemaje ?
@hudaonlinetv
@hudaonlinetv Жыл бұрын
Wewe unaumwa towa mawaidha acha hayo hasidiyi kitu katika uwisilamu
@lyzoel-suleiman6746
@lyzoel-suleiman6746 2 жыл бұрын
shekh nan amsema swarf na nahwu haidhuru katika aqida ?
@ramadhanmakame1328
@ramadhanmakame1328 2 жыл бұрын
Makundi ni bid'a, kumbe nyinyi mna taasisi, ilikuwa sijawaelewa
@alikhamis6326
@alikhamis6326 2 жыл бұрын
Innallilah wainna ilaih rajiun watu wanaofuata manhaj salaf anawaita uvundo je ww je unawasema wezako hawana nidhamu je wewe una nidhamu Allah akuongoze katika kufuata sunnah japo nakuona kama una Sifa fulani ivi
@ZuhraMiraji
@ZuhraMiraji Жыл бұрын
Allah akuongoze hujui unachokifanya uvundo mwenyew Najivunia kuwa salaf swaleh
@abdulkareemseif1892
@abdulkareemseif1892 2 жыл бұрын
Uyu jamaaa muongo huyu Yani kusema Ivo tu imam ndo ukaacha hao masalafy hili Ni vundo kweli
@abuumaryam7970
@abuumaryam7970 2 жыл бұрын
Wewe ulikua HAJAWIRA hujawahi kua SALAFI baada ya kukushinda uhajawira ukaamua kurudi kwenye uhizbi
@AllyAbdallah-kw3yf
@AllyAbdallah-kw3yf Жыл бұрын
Duuh, huyu kijana inaonekana haijui manhaji inatakiwa amtafute mwalim akasome tena,maana sijui haya majibu anayyajibu kwa ufaham wa nain katika wanawachuon
@yasirkhan_tz
@yasirkhan_tz Жыл бұрын
Shekhe ww niwamchongo hujuwe unacho kisema swali majibu nivitu viweli tafauti
@MALELEMBARIMO
@MALELEMBARIMO 6 ай бұрын
Punguza mihemko
@abdulkareemseif1892
@abdulkareemseif1892 2 жыл бұрын
Anao wenzake anawaondosha njiani
@AliyibrahimKhamis
@AliyibrahimKhamis 8 ай бұрын
Kaka ntk kjfund kwko
@ibrahimabdul8257
@ibrahimabdul8257 2 жыл бұрын
kwamba kuna jitihad ya taasisi..na jitihadi za nurdin kishki...sasa Allaahul mustaanu ...jithd gan ndio raajih kwako kulingana na dalili wabanishie watu kwan haiwezkn haqq zikawa mbili ... ihurumie nafsi yko
@azirymohamed7656
@azirymohamed7656 Жыл бұрын
Sheikh bachu naomba nijibiwe kula nyama ya mtu . Ni kauli ya Allah au kauli ya mtume? Naomba afafanuz
@majatta4013
@majatta4013 Жыл бұрын
Ni kauli ya Allah
@muhsinsalim6257
@muhsinsalim6257 Жыл бұрын
Nakuuliza umesoma wapi ww?????
@HanifaSheha-wm7dn
@HanifaSheha-wm7dn Жыл бұрын
O
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 2 жыл бұрын
Misufi kwwli inauzi maana hapa mtaani wapo kila siku wanaswali swala za tasbihi na mania
@kassimajmus2010
@kassimajmus2010 2 жыл бұрын
Mtaani wapi
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Hahaa misufi
@kassimajmus2010
@kassimajmus2010 2 жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 naona umefrahi
@omarimamboleo6990
@omarimamboleo6990 2 жыл бұрын
kuwa naadabu misufi kina nani angemuuliza babaake kilichomfanya atolewe mlango wa nyuma br 19 nikitu gani?
@akhykassim
@akhykassim 2 жыл бұрын
Sasa huyo kishki anahusika nn hapo?
@mohamedmnango3660
@mohamedmnango3660 2 жыл бұрын
Fasiri uliyotoa kuhusu Ahlusunna Waljamaa inapatikana kitabu gani
@mabrezunited3573
@mabrezunited3573 2 жыл бұрын
Ulikuja kenya na ujaenda kwa abdallah humeid.
@husnamohamed9448
@husnamohamed9448 2 жыл бұрын
Huyo umtajae ni mtume ama ni huko kumtukuza na ujinga mwingi
@mabrezunited3573
@mabrezunited3573 2 жыл бұрын
@@husnamohamed9448.
@mabrezunited3573
@mabrezunited3573 2 жыл бұрын
Huyo ana muinea wivu sheikh abdallah humied . allah amuhifadhi.
Muhammad Bachu||MANENO MABAYA YA QASSIM MAFUTA NA ABDALLAH HUMEID
52:59
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 101 М.
IZZUDDIN UNAHARIBU SWALA ZA WATU KWA FATAWA ZAKO ZA AJABU || Muhammad Bachu.
31:54
УЛИЧНЫЕ МУЗЫКАНТЫ В СОЧИ 🤘🏻
0:33
РОК ЗАВОД
Рет қаралды 7 МЛН
БОЙКАЛАР| bayGUYS | 27 шығарылым
28:49
bayGUYS
Рет қаралды 1,1 МЛН
Muhammad Bachu AWALIZA WATU KUWAKUMBUSHA SHEIKH NASSOR BACHU MSKITINI KWAKE.
37:46
🔥RADDI FUPI KWA KASUKU WA KIZANZIBARI (MUHAMAD BACHU)
11:05
ATtwabary online
Рет қаралды 3,6 М.
MAJIBU KWA YUSSUF DIWANI || SEHEMU YA TATU || Muhammad Bachu. 2023.
45:07
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 17 М.
JE KUNA MAKOSA KUMUOMBEA DUA WILLIAM RUTO || Muhammad bachu.
53:07
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 47 М.
Mama anayedai ametumwa na Yesu apambana na sheikh Hassan kariuki
39:12
Salim Daawah Kenya TV
Рет қаралды 684 М.
MAJIBU KWA MUHAMMAD AL-HATIMIY|| USTADH ALI ABUBAKAR AFAFANUWA MAANA YA HIKMA
27:42
#MAJADIDA KWANINI MUSIULIZE KAMA MLIKUWA HAMUJUI || Muhammad Bachu.
1:07:59
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 28 М.
УЛИЧНЫЕ МУЗЫКАНТЫ В СОЧИ 🤘🏻
0:33
РОК ЗАВОД
Рет қаралды 7 МЛН