Wale Wote Mnaotumia Picha Zangu Pamoaja na Logo Ya Huduma Ya Mana, au Kutumia VIDEO ZA MAFUNDISHO Yangu Na kuzisambaza kwenye Account Zenu za Mitandao Mbalimbali Za Kijamii Bila Ridhaa Yangu, Naomba Mzifute Na Kuziondoa kabisa.
Пікірлер: 14
@sayunimnyone-gy1pu5 ай бұрын
Amen mtumishi tumekuelewa
@rachelpeter875 ай бұрын
washindwe kwa Jina la Yesu. Mambo ya kuiga hayapo kwenye Ufslme wa Mungu. Kila mtu awe orijino
@MUSAMAIKOMALELE-io4rn5 ай бұрын
Haaa😮😮😮mi mpaka nikapingezaaa siku ya kuzaliwa kumbe uongooo !! Mungu awarehemuu
@jescaemmanuel1005 ай бұрын
Me too 😢😢😢, Mungu anawaona
@DavidJustin75 ай бұрын
GLORY TO GOD
@laizerlusiana92155 ай бұрын
Mungu asaidie watu wake,awatoe kwa njia potovu,,,,njaa ni kitu hatari sana inamfanya mtu awaze Mambo yanayokwaza wanaomzunguka.
@danielmlwafu43805 ай бұрын
Na mimi nilishangaa sana hata sikubarikiwa sana japo nilikoment
@josiacharles27785 ай бұрын
Ila iyu ndugu ni mungwa sana angekua wengine ingekua na kukuazaidi
@lydiaaruba66705 ай бұрын
Happy birthday to me 😂😂 people are weakened 😢
@MUSAMAIKOMALELE-io4rn5 ай бұрын
Mi gu awahurumiee
@christinewomanoffaith54795 ай бұрын
🙄😳ila aliyepokea sadaka laana itamfuata Aisee
@ntulisuzan8975 ай бұрын
😂😂
@christinewomanoffaith54795 ай бұрын
Asante baba Tunaokufuatilia tunajua baba Ila watu 😂😂