ABUDU BWANA KATIKA ROHO NA KWELI:
8:24
Пікірлер
@user-ix5lj5oj5s
@user-ix5lj5oj5s 34 минут бұрын
Nipenambazako za wassap mtumishi mimi naishi congo
@manyandatimoth7
@manyandatimoth7 Сағат бұрын
Who is here July 2024
@Neema-wy4mh
@Neema-wy4mh 5 сағат бұрын
Asante Bwana Yesu kwakutumia mtumishi kutufundisha hichi kwa imani mm nimewekwa huru kwa damu ya Yesu NA kwajina la Yesu. Amen ❤Jesus
@lolatitus8278
@lolatitus8278 8 сағат бұрын
Mungu wetu have mercy on Kenya lord Jesus.Huruma salon zika pole Kenya Kwa Sami ya Yesu Kwa Nina la Yesu Amen.
@rachellwanzo2335
@rachellwanzo2335 14 сағат бұрын
asante yesu kwa kweli
@esterjob2587
@esterjob2587 16 сағат бұрын
Ameen ubarikiwe
@julianakisaka3823
@julianakisaka3823 16 сағат бұрын
Kindly tuwekeeni option ya kudownload the video
@PendoSaidy
@PendoSaidy 17 сағат бұрын
Asante Yesu neno lako ni kuu,kupitia Mwalimu Mwakasege
@angelahnduku1076
@angelahnduku1076 22 сағат бұрын
amen
@juanzizi1245
@juanzizi1245 Күн бұрын
Nisaidie Mungu Baba, nikumbuke mtumishi wako.
@lydiaaruba6670
@lydiaaruba6670 Күн бұрын
You are a blessing baba ❤🇸🇦🇰🇪Hivi kongamano ni July ya mwaka huu ety🤔
@user-fu8ie4sq8c
@user-fu8ie4sq8c Күн бұрын
Amina, baba umenibariki sana yaan napenda unavyo fundisha umenibariki sasa baba nimesikia kusamehewa na bwana asante sana.
@user-fu8ie4sq8c
@user-fu8ie4sq8c Күн бұрын
Baba asnte, baba leo nikuangalia you tube haupo babà moyo wangu unahaingaika kwasababu sjapata neno baba ulisema upo leo singida , naomba mungu akupe maisha malefu naya milele, naomba mungu anisamehe dhambi zangu zote bwana natamani nami nirithi uzima wa milele👏👏👏👏👏👏
@RoidaMhame-xq5ki
@RoidaMhame-xq5ki Күн бұрын
Naomba nguvu za MUNGU ziendelee kumiminika ndani yako mtumishi wa MUNGU aliye hai Mwalimu mwakasege na mama MUNGU AWABARIKI sana Amen
@sebbyfabian
@sebbyfabian Күн бұрын
Binafsi sijawahi kuacha kusikiliza neno la Mungu kupitia Mwl mwakasege,nakumbuka mara ya kwanza kukusikia ilikuwa mwaka 2005 nikiwa form two mbeya songwe nilipata kumsikia kupitia video tape,nilishangaa sana juu ya mafundisho na uponyaji kwa watu.Toka hapo nilianza kumpenda mungu,kuwa na fikra tofauti juu ya uwezo wa mungu na kujibidisha katika maswala ya imani.Hakika Mungu unaemuhubiri ni Mungu Mkuu,hakuna kama yeye!Hongereni sana team yote
@DebbeiJohn
@DebbeiJohn Күн бұрын
Bwana Yesu asifiwe sana ubarikiwe sana ni wachache sana wenye ufunuo wa kazi ya Msalaba Mungu ktk Kristo Yesu akutunze sana akupe miaka mingi zaidi ya uliyonao sasa
@stephanosospeter1709
@stephanosospeter1709 Күн бұрын
Ameen
@jeremialaizer8166
@jeremialaizer8166 Күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu akulinde daima
@WinnifridaEmmanuel-je6kk
@WinnifridaEmmanuel-je6kk Күн бұрын
Amen 🙏🏾🙏🏾
@carolinederi5690
@carolinederi5690 Күн бұрын
Faith is a result of acting God's word
@carolinederi5690
@carolinederi5690 Күн бұрын
Ivi ndio iko kwa family yangu adui alitudhoofisha sana magonjwa mwishowe vifo machafuko hatupendani kma wana familia wengine walifungwa magerazan bila sabab ya maan wengine bado wagonjwa ukienda kw ndoa hamna amani kila mtu Eeh Mungu turehemu wanao nasi tufurahie wokovu na baraka zako kwetu
@christinangondi4212
@christinangondi4212 Күн бұрын
Nawaungamanisha watoto na wajukuu zangu, na ndugu zangu woote ktk Madhabahu hii
@christinangondi4212
@christinangondi4212 Күн бұрын
Najiungamanisha na Madhabahu hii ya Christopher na Diana, Utumishi wenu unanipeleka Utukufu hadi Utukufu. MUNGU WA MBINGUNI awalinde na mwovu. YEHOVA awatie nguvu na kuwapa maisha marefu
@christinangondi4212
@christinangondi4212 Күн бұрын
Mwangosi amesimama ktk Neema yake ya Kumsifu na Kumwabudu MUNGU WA MBINGUNI, ndio maana vita yake si ndogo
@ernestbutagalala
@ernestbutagalala Күн бұрын
Tusaidie baba wa mbinguni juuu ya hiz sk za mwisho
@aloycejaloyce8078
@aloycejaloyce8078 Күн бұрын
Ubarikiwe sana baba, nabarikiwa sana na mafundisho yako,
@AngelMngete
@AngelMngete 2 күн бұрын
Amen
@vickyedward
@vickyedward 2 күн бұрын
Hakika Yesu ndye kimbilio letu Mungu akutunze na timu zima mana
@jastinnkya
@jastinnkya 2 күн бұрын
Amin sana mtumishi wa MUNGU akubariki sana mtumishi
@agnesbaluwa3938
@agnesbaluwa3938 2 күн бұрын
Amina
@monicamichael-sr4kx
@monicamichael-sr4kx 2 күн бұрын
Ee bwana nirejeshee
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 2 күн бұрын
Mungu akupe Miaka yote unayostahili
@AnitherFideri
@AnitherFideri 2 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa mafundiyo yako
@fibehumbo3550
@fibehumbo3550 2 күн бұрын
Amina mtumishi wa mungu nimebarikiw saana kwa mafundish yako mungu akutunze
@MorandiBonani
@MorandiBonani 2 күн бұрын
Mwakasege tang
@user-qg7el6gc5j
@user-qg7el6gc5j 2 күн бұрын
God's hand stay with you man of God
@mountukombozi
@mountukombozi 2 күн бұрын
wastahili
@rehemamwamundela2717
@rehemamwamundela2717 2 күн бұрын
Mbarikiwe sn
@danielmlwafu4380
@danielmlwafu4380 2 күн бұрын
Amen.... Wakati ⌚ ⌚ ⌚ ⌚
@emotionalfulfillment
@emotionalfulfillment 2 күн бұрын
God please heal me
@JoyceMmari-rc9yv
@JoyceMmari-rc9yv 3 күн бұрын
Amina
@user-pi1st6pj3w
@user-pi1st6pj3w 3 күн бұрын
BWANA YESU ASIFIWE Sana
@user-pi1st6pj3w
@user-pi1st6pj3w 3 күн бұрын
Glory to JESUS
@robertmhidze1036
@robertmhidze1036 3 күн бұрын
Pointi no 5: Barua imendikwa katika mioyo ya watu.
@AnitherFideri
@AnitherFideri 3 күн бұрын
Amina 🙏
@rehemajayden
@rehemajayden 3 күн бұрын
Bwana yesu wafunuke mama angu na mwanagu wanapokaribia kusafiri bwana yesu wafikishe salama waepushe roho zote za ajali barabarani waende salama wafike salama kwa damu ya yesu kristo amen
@EmanuelJoshua-wo4rs
@EmanuelJoshua-wo4rs 3 күн бұрын
Amen 🙏
@ElibatiKopwe
@ElibatiKopwe 3 күн бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki baba,neema ya yesu izidi sana kwako
@DanielNyandoa
@DanielNyandoa 3 күн бұрын
Mungu anafanya makuu ya ajab
@ErnestBukombe
@ErnestBukombe 3 күн бұрын
Amina