ANGEL FACES .EP.. 38. STARRING..RAY KIGOSI, MARIAM ISMAIL, WELU SENGO, NEEMA MALITY.

  Рет қаралды 37,098

RAY THE GREATEST

RAY THE GREATEST

Күн бұрын

Пікірлер: 168
@Uwamahoro-fefe.15
@Uwamahoro-fefe.15 11 ай бұрын
Kwa kweli ni movie nzuri tena naamini tupo wengi tunao ipenda,lkn naona kama movie imeanza kuruka ivi nyie mliona doctor sonia alivo hamia kwake?ninaombi kwa ray jaribu kutizama movie ilipo ishia basi ianzie hapo ili tufatilie story vizuri,asante🇧🇮
@husnabilali3099
@husnabilali3099 11 ай бұрын
Ilo muhimu
@AbdulZiru
@AbdulZiru 9 ай бұрын
Kweli hatujaona jmni
@abdallahassan6378
@abdallahassan6378 11 ай бұрын
🎉🎉🎉Na hi msije mkatuacha njian km tandi ,sisi km mashabiki tunajiis vby
@Baudouin-Tv
@Baudouin-Tv 11 ай бұрын
Kipindi moja imeruka atuya ona pale dr sonia ali amia kwake jamani 😢😢😢😢😢😢 Ray thegreatest jiongeze
@Aysher146
@Aysher146 11 ай бұрын
Basi naona ni mm ndio nimeruka kumbe ni wenyewe 😢😅😅😅
@lizybright-s7g
@lizybright-s7g 11 ай бұрын
Washaanza uongo mbona hatujaona Sonia kuhama Jenifer kuupokea barua nk
@AminaMwavita
@AminaMwavita 11 күн бұрын
Big up good job 💞❤💕♥️🥰😍😘
@MastolehMastoleh
@MastolehMastoleh 10 ай бұрын
I give suzy big congrats ❤❤❤
@banjoumachen7667
@banjoumachen7667 11 ай бұрын
Vincent kigosi the king of Africa movie
@reginaIssa-m2j
@reginaIssa-m2j 11 ай бұрын
❤❤❤ very nice 👍 ila hapa kunakipande kimerukwa kunamatukio mengine yanaongelewa hatujayaona jamani 😮
@ImanMarasi
@ImanMarasi 11 ай бұрын
Naona hii😂move because of suz tu jmn suz huyu nampenda mpaka basi ❤️❤️🔥
@Leilah2
@Leilah2 11 ай бұрын
Mda umekatwa sana..@Ray Kigosi ebu angalia hapo kweli...nimeipenda
@mariyammbonakimysasaabdaal124
@mariyammbonakimysasaabdaal124 11 ай бұрын
Mwisho nime wakuta nilisha izoweya nikajuwa ipo yoote hadi nilikuwa sifanyi kazi za waarabu vizur kumbe mwendo ule ule wa kusubir kama tandiiii😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@fatma-jh2lf
@fatma-jh2lf 11 ай бұрын
Pamoja my wa kwa Mwarabu mwenzangu
@athanasiomatonya6978
@athanasiomatonya6978 11 ай бұрын
😅😅😅 nakubali San hii movie brother Rey unawez
@AncyMerci-un2nu
@AncyMerci-un2nu 11 ай бұрын
Hongera sana watoto wa Mistha Mukamba muko juu sana 👌nawaamini sana najuwa hamutaniangusha
@JonChifuijii
@JonChifuijii 11 ай бұрын
Doctor 🏥 Suzen nmpend sana anguikuwe oku kwa Angola 🇦🇴 nge muwowa kabisa!
@SalmaMarselino
@SalmaMarselino 11 ай бұрын
Yani mnaruka sana sehem nyingn sijui mkoje maana huelew bhnaaa
@ዚዱጋልትግራይ-አ7በ
@ዚዱጋልትግራይ-አ7በ 9 ай бұрын
Aki mwaboesha mbona mwarusha vipengele jamani😢😢
@AbdulZiru
@AbdulZiru 9 ай бұрын
Jmni hii move tumechoka tunaomba tandi tena
@husnabilali3099
@husnabilali3099 11 ай бұрын
Bro ray😢😢😢😢😢 usitufanyie ivi naomba uwe unatuwekea kuanzia pale palipo kaishia usirukishe bahadhi ya matukio unatuboa naomba uzingatie ilo plz🙏🙏🙏
@chellauwimana3197
@chellauwimana3197 11 ай бұрын
Acha Namie nijiamini kam Dr Suzan ❤
@alfredtebeka2497
@alfredtebeka2497 11 ай бұрын
Kikulacho kiko kingoni mwako doctor ken ata ibuka mda si mrefu, kumbe Dr Lewis karudi❤
@damasanita
@damasanita 11 ай бұрын
Mbna kambaee imerukaa 😢😢,.sijapenda kwa kwelii
@ancillarneema
@ancillarneema 11 ай бұрын
Uyu mme wa Magret nkama majinuni😂😂😂🎉🎉🎉❤❤❤
@kadkadzo7543
@kadkadzo7543 11 ай бұрын
😂😂😂😂
@vxp5228
@vxp5228 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@SalamaFrancis-yg7sr
@SalamaFrancis-yg7sr 11 ай бұрын
😂😂😂na mashavu yake ya juu juu😂
@Farthun
@Farthun 11 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ancillar www mafii kwaisi
@ancillarneema
@ancillarneema 11 ай бұрын
Waerevuke bana juu sisi tunaeza waachia coment za kiwaiguru apa na wasitulaumu
@amour7693
@amour7693 11 ай бұрын
Da Yan mm. Ata sijaelewa hii ep 38 imekuwa vp mahana ep 37 tofauti Na ep 38😢😢😢
@saeed2242
@saeed2242 11 ай бұрын
Suzi kama mkurugenzi unafanya kazi vizuri
@saumodzumbo9671
@saumodzumbo9671 11 ай бұрын
Jeny nakupenda bure dadaangu ❤❤❤❤❤❤
@clianmtalima3069
@clianmtalima3069 11 ай бұрын
Daah mnawahisha matukio khaa
@samyabahatialhiani401
@samyabahatialhiani401 11 ай бұрын
Wakwaza1 ❤❤❤❤️
@nurudinmwakisale1509
@nurudinmwakisale1509 11 ай бұрын
Rey kigos ume powa
@ReginaRichard-r6b
@ReginaRichard-r6b 11 ай бұрын
Mmmh hapa hatujaelewa kesho mje na majibu ya hili😢😢 but move ni nn nzur❤❤
@LearntowinLTN
@LearntowinLTN 11 ай бұрын
Ray umeanza kuzingua kabisaa
@LinasudMethew-ll8bf
@LinasudMethew-ll8bf 7 ай бұрын
Yani Jennifer haamini anachokiona au kuambiwa ,safi sana anadharau bora hata alivyomsimamisha kazi,yani mtu unamstiri halaf bado anajibu shombo nadharau juu,analeta mpk wanaume kwa watu yy anaona sawa tu mjinga kbs
@fatumakushonda4277
@fatumakushonda4277 11 ай бұрын
Ila Sonia ni mrembo mashallah 🥰😍❤️
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 11 ай бұрын
Nimrembo lkn kuna muda wanamkosea marangi ya uso
@clevertouch4615
@clevertouch4615 11 ай бұрын
Sonia ni mdhuriih thanaa jaman so beautiful
@Fbmovie254
@Fbmovie254 11 ай бұрын
Kwn vp mbn atukuona vp doctor Sonia n Jenifer kuama Kwa suszy
@Nahdiya-nr3de
@Nahdiya-nr3de 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 mama anataka uridhi kbla Baba hajafa jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@AngelSteven-x4h
@AngelSteven-x4h 11 ай бұрын
mbn sehem ya majambaz sjaona jamn😢
@DavidMichael-dk5fw
@DavidMichael-dk5fw 11 ай бұрын
Naitwa David wa temeke tuko pamoja❤
@PetrinaMwalimu
@PetrinaMwalimu 11 ай бұрын
😅😅😅maiti ilikufa kitambo na inatembea'KEN
@kokugonzaalfred8640
@kokugonzaalfred8640 11 ай бұрын
Doctor sonia ameondokaje mbona ray unatuvuruga jaman 😢😢😢😢
@pridencians1227
@pridencians1227 11 ай бұрын
Sijapenda 😢
@RehemaSaid255
@RehemaSaid255 11 ай бұрын
Mbna atuelew majambaz atujawaona Wala hatima ya jane😮
@reymtemi2875
@reymtemi2875 11 ай бұрын
Nikajua ni mm tu naona wanapita shot
@AtuAtu-v9f
@AtuAtu-v9f 11 ай бұрын
Ww ray ushaanza kuzingua
@astelialaurenti4257
@astelialaurenti4257 11 ай бұрын
Suzani nampenda sana ❤❤
@Sheluckmsang
@Sheluckmsang 11 ай бұрын
Hii movie inaruka vipandw bhna ray mbona atujaona majambaz wakikamatw Wala Sonia akihama kwak
@maryjohn4448
@maryjohn4448 11 ай бұрын
Jamani humu tumepigwa na kitu kizito
@furahamanju
@furahamanju 11 ай бұрын
Ray unatokosea sana, kwanini kupunguza dakika. Kwassa dakika imekuwa ndogo sana kwakweli
@RobertKombo-nu8su
@RobertKombo-nu8su 8 ай бұрын
Brother Ray mbona hii tamthilia unashindwa kuipanga forexample episode ya 37 ilipo ishia hakuna uwiano na episode ya 38 inapoanzia na wewe ndo Director kama vipi muachie Mr, Single Mtambalike ndo Director anaepanga vizur series
@VeronicaZuli
@VeronicaZuli 11 ай бұрын
Mbona pale pa jenifa kuchukia barua sioniii🙆🙆🙆
@princehenry7113
@princehenry7113 11 ай бұрын
Kesho jiandae cha kutuambia.... Hii tem unatukoroga kweli..... Na kama huwa unasoma hizi coment elewa kuwa wananchi wa sasa wanaelewa kuliko, haya tuwekee epsod husika, umeruka epsod moja na ufanye haraka.... Puuuuumbaaaaavuuuu
@NanaMilfath
@NanaMilfath 11 ай бұрын
😅😅😅
@basilikyando5319
@basilikyando5319 11 ай бұрын
wanatuchanganyaaaa yaaaaa
@UpendoMichael-p1z
@UpendoMichael-p1z 11 ай бұрын
Can umeshindikana. Yaani ni shida.
@clianmtalima3069
@clianmtalima3069 11 ай бұрын
Wanazngua sana hawa
@Mauamunga
@Mauamunga 11 ай бұрын
Doctor suz swadata
@Bintmsanif
@Bintmsanif 11 ай бұрын
Kigosi leo umetuacha
@WaydaHaji
@WaydaHaji 11 ай бұрын
Uvumiliv ND Kila kitu ...magret hongera
@IsaacOdhiambo-gw1ct
@IsaacOdhiambo-gw1ct 10 ай бұрын
Like 🎉🎉 zikuje
@FatumaNjowa
@FatumaNjowa 11 ай бұрын
Uyu Ray ukimwambia arekebishe ndio anazidi kuaribu😢
@MALCOM_TV602
@MALCOM_TV602 11 ай бұрын
39 ije ije ijeeeeeee
@irenemueni8837
@irenemueni8837 11 ай бұрын
Kwan majambazi atujawaona
@deboraezekiel5966
@deboraezekiel5966 11 ай бұрын
Kabisa majambazi hatujaona
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 11 ай бұрын
Iko kipande cha majambazi kuvamia kwa kina suzani kiko wapi?? 😢😢😢
@saeed2242
@saeed2242 11 ай бұрын
Mbona kama episode mbili mmeruka
@meckraudndelwa-jv8co
@meckraudndelwa-jv8co 11 ай бұрын
Ray msenge😂
@lizybright-s7g
@lizybright-s7g 11 ай бұрын
Uongo ushakuwa mwingi majambaz walikamatwa lin aaa
@maryjohn4448
@maryjohn4448 11 ай бұрын
Eti baada uji tetee umeingia kwenye mfumo Moja kwa moja😅😅
@SamwelTz-sk3vz
@SamwelTz-sk3vz 11 ай бұрын
Hakuna kipande kilicho niachan njian panda kama hiki sielewi kabisa Nahis Kuna kitu hakipo saw
@ZoazinaJohn
@ZoazinaJohn 11 ай бұрын
Kutokea huku DAR TMK-YOMBO KILAKALA POLICE POST ✍️😍 naisubiri mnoooo.... Maana "IMENINOGEA" 😋
@marthaelias3422
@marthaelias3422 11 ай бұрын
Mi cjawahi ona madocta wakaenda sehem kula au kunywa wakiwa wamevaa nguo za kaz
@gaspermapesa
@gaspermapesa 11 ай бұрын
Hamjielewi..Kuna episode mmeruka
@WaydaHaji
@WaydaHaji 11 ай бұрын
Kw iyo na Sonia na WA umehama kw dr suzy
@safinyasa
@safinyasa 11 ай бұрын
Mmmmh mbona kama kuna Episode zingine hakuziweka maana kama kuna maneno humu hatujaelewa kabisaa
@abdulhakim1535
@abdulhakim1535 11 ай бұрын
Wa pili😊
@vionathomas1686
@vionathomas1686 11 ай бұрын
Mmeanza kupunguza dakika jameni ongezeni
@gradebenoitthomsamissi5443
@gradebenoitthomsamissi5443 11 ай бұрын
Kwahii ep 38 mumetupiga atuelewi kumuenda aje
@elvilamwambambale950
@elvilamwambambale950 11 ай бұрын
Me hata sijaelewa kwann imeruka hiv
@ElishadaiElia-ub1zf
@ElishadaiElia-ub1zf 11 ай бұрын
Huyu mke wa lewis mbn haeleweki mala na rey
@OdemariPita
@OdemariPita 11 ай бұрын
Wakwanzaaa
@munamuna3921
@munamuna3921 11 ай бұрын
Mbona vipande vyengine mume viruka,,mumeanza kutuboesha
@clianmtalima3069
@clianmtalima3069 11 ай бұрын
Kuwenj basi makin na kazi yenu
@shuweikharashid4175
@shuweikharashid4175 11 ай бұрын
Mbona kma hatuelewi kuna kipande kama kimeruka mbon
@MariaJackson-p2n
@MariaJackson-p2n 11 ай бұрын
🎉🎉🎉❤❤❤
@sambambawerawera
@sambambawerawera 11 ай бұрын
Jamani REI tuonyeshe majambazi walivyoenda kwa sonia usiku kuna vipenge umeviruka au kwa kua tumemtukana jenifa wako tusamee basi ila wamemuwezaa
@aminamohammed-rq7ew
@aminamohammed-rq7ew 11 ай бұрын
Kingine mbn majambazi hatukuwaona jmn mnavusha vipandee
@HappyKibure-iz9xk
@HappyKibure-iz9xk 11 ай бұрын
Mnazeguwa ujuwe iweje mnatuperekA tu atuerewii
@RoseNicholas-wd3nn
@RoseNicholas-wd3nn 11 ай бұрын
Yani Jennifer ameanza kuwa na kiburi 😂
@HenryGuillaumesinguranayo
@HenryGuillaumesinguranayo 11 ай бұрын
Brother Ray umetuchanganya ivi mashabiki tunachukulia ajeeeee??? Kama ....??? Ya samoja vipande ua vinalushwa sazingine vina katwa dakika 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 this is not okey
@estanchekahoko2735
@estanchekahoko2735 11 ай бұрын
Eti leo mm nijitahidii😅😅
@ZamdaRashid-w9t
@ZamdaRashid-w9t 11 ай бұрын
Jmn kwan epsode ya 35 mbn siion
@Riziki-y7x
@Riziki-y7x 11 ай бұрын
Umetukoroga ray mbn umetupeleka mbali lkn
@mishiabdul2834
@mishiabdul2834 11 ай бұрын
Next plzz ya 39
@ggfwtgg1652
@ggfwtgg1652 11 ай бұрын
Kwani sonia alihama lini kwa dr Susan???na hawo wajambazi hatukuwaona ???vip nataka kujua kunavipande hatukuona jmn ray ebu panga vizuri maana inazidi kua tamuu 😅😅😅😅
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 11 ай бұрын
Ndonamm nashangaa nailikua 37 ndoinafata hii
@AmaniNangerembe
@AmaniNangerembe 9 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@Zahara-l3l
@Zahara-l3l 11 ай бұрын
🙄🙄Rey mambo mengine ss mbona unazingia
@zuhurasaid427
@zuhurasaid427 11 ай бұрын
Nampenda sana doct Suzan yupo very strong and smart afu anajiamini sana
@MaryAmaiza-th2fo
@MaryAmaiza-th2fo 11 ай бұрын
Kama kawa niko ndani
@everlinekenga437
@everlinekenga437 11 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@UpendoMichael-p1z
@UpendoMichael-p1z 11 ай бұрын
Can umeshin
@maryamomar9094
@maryamomar9094 11 ай бұрын
Mbn kama hatuelew hii episod
@fatma-jh2lf
@fatma-jh2lf 11 ай бұрын
Tunasubiri mchakato wadau
@FurahaDada-z3z
@FurahaDada-z3z 11 ай бұрын
Wapiri
@MwanaMisi-v3r
@MwanaMisi-v3r 11 ай бұрын
Yaan hii movie Iko na 27min lkn comment ziko tangu Jana kwani wenzangu huwa munaiangalia wapi au munacomment bila ata kuangalia 🙄🙄
@reymarmunna6793
@reymarmunna6793 11 ай бұрын
😂😂😂😂 watu wako mbele ya muda
@MwasitiHindu-r1p
@MwasitiHindu-r1p 11 ай бұрын
Mimi mwenyewe nashangaa wanacoment saa ngapi?
@fatumabakari2640
@fatumabakari2640 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@fatumabakari2640
@fatumabakari2640 11 ай бұрын
Hikiwa imepin📌wao wnacomment😂😂😂
@levistembo5072
@levistembo5072 11 ай бұрын
Nimechanganyikiwa sana hata mimi
@anthonymsuya347
@anthonymsuya347 11 ай бұрын
Halafu huyu Rey ameshapunguza dk kutoka 30 Hadi 18 kweli jamani hatutendei haki huyu mwamba
@ZainabuMatewa
@ZainabuMatewa 11 ай бұрын
Mbona celewi jaman
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.
CHUKI YA WIFI PART 1 || NEW BONGO MOVIES 2023 || PILI MABOGA
23:55
ONLINE | S01EP04 | Ukweli wa Nafsi ZETU (Online Web Series)
4:50
Elizabeth Michael
Рет қаралды 79 М.
JANGA ep 1
18:12
image Art films
Рет қаралды 6 М.
KESHO YANGU PART 20 💞 Love Story
18:30
DONTA TV
Рет қаралды 278 М.
Dora: "Koku, siku yako yaja" - Kapuni | Maisha Magic Bongo
3:46
Maisha Magic Bongo
Рет қаралды 1,1 МЛН
BIG KAKA , FULL  MOVIE
2:59:59
MBWELA MEDIA
Рет қаралды 180 М.
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН