KISA CHA MALAIKA WALIOKUJA KUFUNDISHA UCHAWI- NO 1 //SHEIKH OTHMAN

  Рет қаралды 202,669

arkas online tv

arkas online tv

10 ай бұрын

Nabii SULEIMAN alikua kiboko ya Majini na alikua na Vitabu vingi sana na aliamua kuvifukia kabla hajafa IBILISI aliwaeleza majini wenzake vilipofukuliwa na Kuanza KUVITUMIA

Пікірлер: 168
@AminaAhmadShaban-tp9zu
@AminaAhmadShaban-tp9zu 8 ай бұрын
Wengi wanaokosoa hawana wanachokijua... Allah akulipe khery Shekh Wetu kwa kutuelimisha
@shadyahamad3724
@shadyahamad3724 3 ай бұрын
Mwenyezi mungu akuhifadh shehe akupe husni lkhatima njema atujalie shahada kabla ya mauty 🙏🙏🙏
@kingramah8213
@kingramah8213 6 ай бұрын
وَٱتَّبَعُواْ مَا تَتۡلُواْ ٱلشَّيَٰطِينُ عَلَىٰ مُلۡكِ سُلَيۡمَٰنَۖ وَمَا كَفَرَ سُلَيۡمَٰنُ وَلَٰكِنَّ ٱلشَّيَٰطِينَ كَفَرُواْ يُعَلِّمُونَ ٱلنَّاسَ ٱلسِّحۡرَ وَمَآ أُنزِلَ عَلَى ٱلۡمَلَكَيۡنِ بِبَابِلَ هَٰرُوتَ وَمَٰرُوتَۚ وَمَا يُعَلِّمَانِ مِنۡ أَحَدٍ حَتَّىٰ يَقُولَآ إِنَّمَا نَحۡنُ فِتۡنَةٞ فَلَا تَكۡفُرۡۖ فَيَتَعَلَّمُونَ مِنۡهُمَا مَا يُفَرِّقُونَ بِهِۦ بَيۡنَ ٱلۡمَرۡءِ وَزَوۡجِهِۦۚ وَمَا هُم بِضَآرِّينَ بِهِۦ مِنۡ أَحَدٍ إِلَّا بِإِذۡنِ ٱللَّهِۚ وَيَتَعَلَّمُونَ مَا يَضُرُّهُمۡ وَلَا يَنفَعُهُمۡۚ وَلَقَدۡ عَلِمُواْ لَمَنِ ٱشۡتَرَىٰهُ مَا لَهُۥ فِي ٱلۡأٓخِرَةِ مِنۡ خَلَٰقٖۚ وَلَبِئۡسَ مَا شَرَوۡاْ بِهِۦٓ أَنفُسَهُمۡۚ لَوۡ كَانُواْ يَعۡلَمُونَ Na Mayahudi walifuata yale ambayo mashetani walikuwa wanawasimulia wachawi katika kipindi cha ufalme wa Sulaimān mwana wa Dāwūd. Na Sulaymān hakukufuru na wala hakujifundisha uchawi. Lakini mashetani ndio walimkanusha Mwenyezi Mungu kwa kuwafundisha watu uchawi, kwa kuwaharibia dini yao. Mayahudi pia waliufuata uchawi ulioshushwa kwa malaika wawili: Hārūt na Mārūt, katika ardhi ya Babil ilyoko Iraq, ukiwa ni mtihani na majaribio kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa waja Wake. Na hao Malaika wawili hawakuwa wakimfunza yoyote mpaka wamnasihi na kumuonya asijifunze uchawi na kumwambia, “Usikufuru kwa kujifunza uchawi na kuwatii mashetani.” Basi watu walikuwa wakijifunza kutoka kwa Malaika wawili vitu vinavyozusha chuki baina ya mume na mke mpaka wakafarikana. Na wachawi hawana uwezo wa kumdhuru, kwa uchawi wao, yoyote isipokuwa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu na hukumu Yake. Na wachawi hawajifunzi ila shari yenye kuwadhuru na kutowapa nafuu. Mashetani waliupeleka uchawi kwa Mayahudi, ukaenea kwao mpaka wakaufadhilisha juu ya Kitabu cha Mwenyezi Mungu. Na Mayahudi walijua kwamba mwenye kuchagua uchawi na kuacha haki, hatakuwa na fungu lolote la kheri huko Akhera. Ni ubaya ulioje uchawi na ukafiri waliojichagulia nafsi zao kuwa ni badala ya Imani na kumfuata Mtume, lau walikuwa na elimu yenye kuzalisha vitendo vya kufuata mawaidha wapewayo
@abdallamohamed406
@abdallamohamed406 7 ай бұрын
Swadakta Sheikh Othman Maalim, Masha'Allah nakubali
@user-ws9ch4uj1d
@user-ws9ch4uj1d 7 ай бұрын
Alhamdulillah,, nipatia elimu Koz hawa wenzetu wamisheni wanasema Kua uchawi Na unganga unatokana na uwislamu,, Na ivyo sio kweli . Kwkua wanaona Na kuskia wanganga wingi ni waislamu ,, Islami Haiko ivyo nitamaa zao Na sio mafundisho ya dinini ya Allah
@MohammedPakia
@MohammedPakia 3 ай бұрын
Mwenyezimungu atujarie kila laher namungu atulinde namahasid
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 10 ай бұрын
Mtihani yarabi tusamehe waja wako pale tulipo koseya na utuongoze katika manmbo ya heri
@rizikishahari6948
@rizikishahari6948 9 ай бұрын
Amin Amin Amin! Allahumma Amin Yaa Rabb 🤲🏽
@zubedaalice8172
@zubedaalice8172 21 күн бұрын
jazakAllah kheir
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 10 ай бұрын
Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim, Allah akulipe Jannah inshallah 🙏
@rahmamohammed9678
@rahmamohammed9678 7 ай бұрын
Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu ALLAAHUMMA SALII WA SALIIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA SAALAM ♥️
@AbdiHamad-yb5kg
@AbdiHamad-yb5kg 3 ай бұрын
Ma Sha allah
@bachumohamed6804
@bachumohamed6804 3 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤
@user-zb4py9rl9c
@user-zb4py9rl9c 3 ай бұрын
SAW ❤❤❤ ALHAMDHULILLAH ❤❤❤❤
@sadiahassan5316
@sadiahassan5316 7 ай бұрын
Jaazakallahu kheir , mungu atulindie sheikh wetu in shaa Allah ❤
@abdaladelo371
@abdaladelo371 9 ай бұрын
Mashaallh barakallah fiyka shekhe wangu kikubwa ni kua na Iman ya kwamba Alla Yuko pamoja nasi Kila wakati
@HakizimanaFiston
@HakizimanaFiston 3 ай бұрын
Sheih wetu tu NAKUPENDA sana
@hassanngala9894
@hassanngala9894 3 ай бұрын
Shukran sheikh
@omaryally3489
@omaryally3489 6 ай бұрын
Marshall Allah atupe mwsho mwema....
@user-pi3pg5we1c
@user-pi3pg5we1c 3 ай бұрын
Mashallah
@Omary_Mjema
@Omary_Mjema 2 ай бұрын
Ni sawa na sigara Unambiwa mbaya inauwa sio nzuri hila we unatumia tuu
@ZawadiHassan-dp6tw
@ZawadiHassan-dp6tw 4 ай бұрын
Hao wanaomkashifu maalim hajijui wala hawajitambui wamo tu katika dunia.waachilie mbali
@abeliever6823
@abeliever6823 10 ай бұрын
رفع الله قدرك وشأنك ياشيخنا الفاضل
@mahmoudbadhamanaonlinedaaw7169
@mahmoudbadhamanaonlinedaaw7169 10 ай бұрын
اللهما امين
@HusseinMohamed-jq7hu
@HusseinMohamed-jq7hu 10 ай бұрын
اللهم امين
@taibamreh1785
@taibamreh1785 9 ай бұрын
I’m spsystetww we
@shinayzashiraaz4588
@shinayzashiraaz4588 2 ай бұрын
Ameeen
@shabansumaiya4770
@shabansumaiya4770 9 ай бұрын
Tue tunasikiliza vizury mawaiza tusimkashifu sheikh wetu nawakati yeye anasoma yalio katika kitabu
@fareedkhalipher3590
@fareedkhalipher3590 3 ай бұрын
Asalaam Aleykum warahmatullah wabarakaatuuh, shekhe wangu hao wanaokashifu hawana elimu ya dini tuwaombee tu mungu awatoe gizani
@sefuriyembe7864
@sefuriyembe7864 3 ай бұрын
Wapumbavu ndo wanamkashifu shekhe huyu. Majitu yasokuwa na akili 😅😅😅
@mohammedsembe9040
@mohammedsembe9040 9 ай бұрын
Shekh Othumaani ahsantum bikheyr Allah akuhifadhi
@AndulHida-hs5py
@AndulHida-hs5py 7 ай бұрын
Jazzak Allah kheri, Tabarak Allah feeq
@ahmedyusuf9547
@ahmedyusuf9547 8 ай бұрын
Jazakallahu kheir
@abduljecha7779
@abduljecha7779 9 ай бұрын
Maashallah, alhamdullillah
@a.856
@a.856 9 ай бұрын
Jazakallah khayran
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv 10 ай бұрын
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚
@kingusaid7175
@kingusaid7175 10 ай бұрын
Mashaallah,mawaidha mazuri sana. Allah akulipe
@AishaSalumu-tv4kb
@AishaSalumu-tv4kb 9 ай бұрын
Mashaa Allah Allah akulipe khery
@hawa6052
@hawa6052 10 ай бұрын
Mashaa Allah tabarakallah
@salumsodangu1372
@salumsodangu1372 9 ай бұрын
Mashallah Ballaka lwahu fii
@halimaomari3415
@halimaomari3415 10 ай бұрын
Subhana llah
@shillasalimjuma6986
@shillasalimjuma6986 9 ай бұрын
Marshall ah mawaidha mazuri
@Kimochatv
@Kimochatv 7 ай бұрын
Mashaaaalaaah
@user-zy5mx5pd7u
@user-zy5mx5pd7u 5 ай бұрын
Mashallah❤
@dezainermedia1035
@dezainermedia1035 7 ай бұрын
Jazakallah
@mohdysaid2856
@mohdysaid2856 7 ай бұрын
Allahu Akbar!
@mammym4185
@mammym4185 9 ай бұрын
Allahu Akbar 😢
@user-vf6cd9vx9w
@user-vf6cd9vx9w 4 ай бұрын
Mashallaa
@user-kp2df5zn9q
@user-kp2df5zn9q 6 ай бұрын
Inshaallah
@othmanmasoud1672
@othmanmasoud1672 6 ай бұрын
Wengi hawajui kisikiliza wala hawajui kitu ila hujifanya wanajuwa hao huitwa wajinga unapomkosoa shekh maalim kwa makasiriko yako tu huna tofauti na mjinga
@zuwenasaleh4693
@zuwenasaleh4693 8 ай бұрын
Shukran shekh wetu mungu akubaarik
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 8 ай бұрын
Nimefurai sana mbavu zinauma mpk wenye Imani yao wanaguna😂
@daudimichael7338
@daudimichael7338 9 ай бұрын
Toa mfano mmoja wa Muhammad aliyosadikisha yaliyokuwa kwenye torati ya mayahudi.
@mohdali2408
@mohdali2408 9 ай бұрын
Kuabudiwa Mungu 1 tu
@dezainermedia1035
@dezainermedia1035 7 ай бұрын
@mzeehassan2913
@mzeehassan2913 9 ай бұрын
Arkas online TV Rekebisha anwani ya nasaha hii, usiandike jambo lolote kuhusu dini ambalo laweza kupotosha watu, kama hujui ingia kwenye vitabu au uliza wenye elimu
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 9 ай бұрын
Wew hasan acha ujinga mwisilam gani uso amin quran ww hujui din jina tu muislam lakin iman na taquwa huna
@ZawadiHassan-dp6tw
@ZawadiHassan-dp6tw 4 ай бұрын
Ukisikia kugombanisha watu ni kwakera watu kwa jambo lolote lile usigombanishe watu kwa dini
@staraamr2770
@staraamr2770 3 ай бұрын
As salaam alaikum ndugu katika iimaan...dua inanishinda hapa pa...Lam fii.........Amalaha. Naomba munikamilishie
@AbdullahOmar-be4wy
@AbdullahOmar-be4wy 5 күн бұрын
Sijakufamu
@staraamr2770
@staraamr2770 5 күн бұрын
@@AbdullahOmar-be4wy Niandikie hiyo dua
@AbdullahOmar-be4wy
@AbdullahOmar-be4wy 4 күн бұрын
@@staraamr2770 nipe email yako au namba za wasapu
@RehemaOmary-xp4fk
@RehemaOmary-xp4fk 3 ай бұрын
Assalam alykum warahmatullah wabarakatah❤😊😊
@hanafichinemba9196
@hanafichinemba9196 2 ай бұрын
Bi Rehma nicheck
@user-oy6jf7nr1j
@user-oy6jf7nr1j 4 ай бұрын
@Am-vo5cu unasema mujin ni ya waislamu..na mapepo ni ya nan niyababako au..mbona nyie mnakemea mapepo au hamlijuh hilo..ungeskiliza vizur mawaidha
@sefuriyembe7864
@sefuriyembe7864 3 ай бұрын
Watu wasiokuwa na akili ndo wanamkashifu shekhe huyu !! Mambumbumbu !!😅😅
@jamesalphonce1889
@jamesalphonce1889 7 ай бұрын
Kwa mwenyew akili ataelewa SoMo Kwa yule asiyekuw na akili atakosoa
@abdillaahirichardkasisi8691
@abdillaahirichardkasisi8691 3 ай бұрын
Aya mambo si ndo ya sasa,mambo ya kukanyaga mafuta,udongo n.k
@ZawadiHassan-dp6tw
@ZawadiHassan-dp6tw 4 ай бұрын
Uchawi mbaya no shirki mbaya jamani muache kutuia wenzenu maradhiii😂😂😂
@munirasuleiman2006
@munirasuleiman2006 10 ай бұрын
Kwani walifundissha uchawi au kuwahukumu watu wakafanya kosa waakapewa adhabu
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 10 ай бұрын
Si uskilize
@aceofspades3728
@aceofspades3728 9 ай бұрын
Yan Mungu ndo alileta shirk!?
@user-qq4mb9nq1n
@user-qq4mb9nq1n 7 ай бұрын
Ndiyo shetwani hamiliki Chocho hiyo shiriki ni mtihani
@siretv6934
@siretv6934 7 ай бұрын
sehem ya pili...?
@Am-vo5cu
@Am-vo5cu 8 ай бұрын
Majini ni ya waislamu
@AishaAbbas-mw6ef
@AishaAbbas-mw6ef 8 ай бұрын
Au sio SS km Majin n ya waislam ww umeft nn kwenye hay mawaidha? Acha ujinga Kwan hao Majin walijiumba? Majina wao waliumbwa n Alie kuumba ww n mm ko uspende kukashfu uumbj wa mola wetu
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 8 ай бұрын
D😂
@rangos4749
@rangos4749 9 ай бұрын
Inna lillah!! Kna hii stor ya malaika wa Allah ndio waliokuja kufindisha uchawi huu huu ambao had leo wachaw wanatusumbua usiku bas kuna kitu cha kushtuka hapa aisee
@salehsultan-7554
@salehsultan-7554 9 ай бұрын
Jalibu kuelewa ulikua mtiani kwetu ivi unazan apa dunian tumeletwa bule lazma tupewe mtian ili wengne wafaulu waende pepon wanaokufulu moton
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 8 ай бұрын
Saleh akili ya kawaida tu ungeona sumu Malaika wafundishe uchawi😂
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 8 ай бұрын
Na ndiyo maana imeandikwa Yesu ndiyo njia iliyonyoka..kama imeandikwa hivo kweli chukua hatua shekh
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 8 ай бұрын
Malaika wakifundisha uchawi na shetani atafanya kazi gani shehk?
@swalehejuma6611
@swalehejuma6611 8 ай бұрын
​@@LastdayJesu4153Mwl wa karate anafundisha kujihami na siyo kudhuru watu. Kazi ya kujihami na maadui haifundishwi na jambazi
@edwardmwandu3564
@edwardmwandu3564 9 ай бұрын
mungu alituma malaiika wafundishe uchawi? Ina mungu huyo ni mchawi
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 9 ай бұрын
Heri na Shari zote zinatoka kwa MWZ Mungu kwani shEtani ameumbwa na nani? Kwann tunakufa kwani Mungu alishindwa kumzuia Baba yetu Adamu hasipotoshwe na shEtani kwann aliacha jibu ni kwamba iwe fundisho kwa watakao kuja kama mtihani kwetu Ili watakao faulu basi wapewe zawadi kwaiyo husishangae ndugu, Mungu ameumba malaika mtoa roho kwann je yeye ni muuaji? 24:48 apo vp nafikili apo itakuwa umenielewa na mwisho nikupe mfano huu kwann MWZ Mungu ameumbwa wanyama na wadudu wakali ambao wanaweza kudhuru mwanadamu coz anatupenda c hasinge waumba tu, kuna baadhi ya vitu ametuamrisha na ataki mjadala wala maswali wala maelezo yeye anataka utekelezaji tu ktk dunia hii kila unachokiona kimetoka Kwake mfano mwingine unaambiwa uvutaji wa sigara ni hatali kwa afya yako. Je watu hawavuti ata ktk dunia hii tumeambiwa ukitaka kufikia ufalme wa Mungu tupitie Njia hizi acha zinaa, swali, toa Dhaka, saidia myatima, heshimu wazazi kwa kifupi kutenda mema lkn je uwaoni watu wanafanya matendo maovu tena adharani? Asante kama unaziada utauliza ujibiwe
@imanmohamed2215
@imanmohamed2215 9 ай бұрын
ASTAGHAFIRULLAH😡😡😡😡😡SHAME ON YOU ( ALLAH ANAKUONA)😢
@AishaAbbas-mw6ef
@AishaAbbas-mw6ef 8 ай бұрын
Usimshirikishe Allah kwenye ujinga Kwa mambo ambayo huna uhakika nacho Alie kuumba ww usimtukane Kwa kumshrikisha n ujinga Kwan ww hujui km uchawi nao ni kiumbe km viumbe vingine sema SS waja tulio letewa ndo ne'ema hyo ndo tunaikadhibisha n badala Ake tunafnya kinyume
@nayyarnassor762
@nayyarnassor762 8 ай бұрын
Hulijui hata ulisemalo
@Omary_Mjema
@Omary_Mjema 2 ай бұрын
Kuna watu walikua wanawasuhudia wachawi wakijua ni wa Jumbe wa mungu akatuma malaika kuwaonesha watu kua hao ni wachawi na makafili..ukafili ni mtu anae muhasi mungu au mkaidi kwneye magizo ya MUNGU.Kafili ni mtu yeyote huwe muislam au sio muislam ukiwa unapishana na magizo ya mungu Basi we ni Kafili..Kwaiyo uchawi ulikuja kuwalingania watu ..labda Kama atutak kuelewa mawaidha hayo
@adorchmassimba4413
@adorchmassimba4413 9 ай бұрын
Shekher sikubaliani na hizo aya zako zinazosema malaika 2 ndoo walioleta uchawi hao maruta na aruta ni naraika wa shetani walioasi pamoja na rusifa ndoo wameleta mambo ya uchawi kwa wanadamu hapa duniani kwa ajili ya kumuasi mungu
@lookmanmustapha6366
@lookmanmustapha6366 9 ай бұрын
Rudia suratil baqara aya 102
@AishaAbbas-mw6ef
@AishaAbbas-mw6ef 8 ай бұрын
Acha kukoment kitu km huna uhakika nacho
@AishaAbbas-mw6ef
@AishaAbbas-mw6ef 8 ай бұрын
Aya gn ilio sema malaika hao walias pmj n ibiris la'anatullah au ulikuepo?
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 8 ай бұрын
Masimba njoo kwenye ukristo😂
@nayyarnassor762
@nayyarnassor762 8 ай бұрын
@@LastdayJesu4153 kama umetumwa
@feisalathumani31
@feisalathumani31 10 ай бұрын
Eti ukiacha uislam na kua mchawi hii umepata wapi
@mahamedhussen6734
@mahamedhussen6734 9 ай бұрын
Ulizatena
@mzeehassan2913
@mzeehassan2913 9 ай бұрын
Anwani ya nasaha hii imekoseka, hakuna malaika waliokuja kufundisha uchawi, REKEBISHA ANWANI HII 😢
@rangos4749
@rangos4749 9 ай бұрын
Tuambie wew hassan, nani waliokuja kufundisha huo uchawi!? Em shtuka wewee, dini yenu sio ya Mungu wa kweli weweee
@rangos4749
@rangos4749 9 ай бұрын
Hassan hutaki kuamin au unaona haiko sawa😂
@user-hx8bh1jt4k
@user-hx8bh1jt4k 9 ай бұрын
We rangos shika adabu Yako ikushike,mwana nyau wewee
@omaryhaytham2899
@omaryhaytham2899 9 ай бұрын
We mgumu kuelewa
@user-tt6jt8pz5m
@user-tt6jt8pz5m 8 ай бұрын
Ingia school
@listonjiwe3467
@listonjiwe3467 6 ай бұрын
Hao malaika waliokuja kufundisha uchawi ni wale malaika waovu walioshushwa duniani baada ya kuasi na kufukuzwa mbinguni na ndio hao majini ambao mnasema walisilim wakati hiyo dini ni yao na ndio walioileta kupitia muhamad kwa hiyo shehe hao majini ni ndugu zenu na uchawi ni asili yenu
@user-oy6jf7nr1j
@user-oy6jf7nr1j 4 ай бұрын
Km nyie mnavyokemea mapepo mnayowapa watu kaisan kwahyo na nyie mapepo ni mama zenu na baba zenu
@user-bi4sf4uy9l
@user-bi4sf4uy9l 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂watu hawaelewi hao malaika walio asi wakaletwa duniani huwajui adi leo basi ni Adam na Hawa wenyewe mkasema Eve hao ndo waliasi huko hakuna malaika mwenye anakosea mungu upo
@user-bi4sf4uy9l
@user-bi4sf4uy9l 3 ай бұрын
​@@user-oy6jf7nr1j😂😂😂😂😂😂muulize tn
@jacksonrock6535
@jacksonrock6535 7 ай бұрын
Biblia Ndo Neno La Kweli Ya YESU KRISTO Ndo Kweli Yenyewe Sasa 😂 Malaika Kama Katumwa Always Anfanya Mapenzi Ya Yule Aliyemtuma Ni Shetni Peke Yake Na Malaika Zake Ndiyo Waliokataa Kufanya Mapenzi Ya Mungu Mwisho Wa Siku Wakawa Wapo Dhidi Ya Mungu Na Uchawi Haupo Upnde Wa Mungu So Uchawi Aliyeleta ni Shetani
@mohamedimohamedi8933
@mohamedimohamedi8933 6 ай бұрын
Mungu kafa msalabani it's make sense to u
@user-oy6jf7nr1j
@user-oy6jf7nr1j 4 ай бұрын
Sas km biblia ni neno la kweli umefuta nn huku na kucoment au umetumwa au ww ndio mchawi mwenyewe😢
@user-oy6jf7nr1j
@user-oy6jf7nr1j 4 ай бұрын
Alafu Ona pimbi wewe qur an yetu site waislam tunaisoma kwa lugha moja Duniani Kote na tunaelewana sas nyie na hiyo billiards yenu iankuaje hamna lugha moja ya kuelewana km sisi ,,tunavyoisoma 🇹🇿 basi ujue hata Jamaica wanasoma vile vile..
@Daudisalim71
@Daudisalim71 3 ай бұрын
Biblia hiyo hata Yesu hakuwahi ioni
@rajabuathumani1586
@rajabuathumani1586 9 ай бұрын
Yani huyu kurafi Ana visa vya uongo Sana huyo Sufi Visa ww ndio umevisoma tu hakuna wengine
@amazingvideo1497
@amazingvideo1497 9 ай бұрын
Tuambie ww msomi
@salehsultan-7554
@salehsultan-7554 9 ай бұрын
Sheghe auna hofu yakumuandikia meseg muislam mwenzako unamuita kulaf unajua maanayake mtu anaefanya mawaiza ya tawhiid hakika ayo manene kila anaeyasoma atayatolea ushaid kiama kua makn elmu ni bahar
@user-zs6qg7ql1i
@user-zs6qg7ql1i 7 ай бұрын
Mashekh wenu hawan visa hv hawatak kusom Kaz chuki tu wahab elimu zenu ndgo mje msomeshwe
@rashidsuleiman9253
@rashidsuleiman9253 6 ай бұрын
Kwa sababu huko kwenu hakuna mwenye elimu, sasa mambo haya yapo juu ya uwezo wenu. mmeuchukua ujinga na kuuvisha kilemba na sasa mwatembea nao mitaani
@mohammedal7864
@mohammedal7864 10 ай бұрын
Hao si malaika ni binadam hata ukijiuliza tu vipi malaika wakati mitume wote ni binadam na sie mafundisho yetu anasema hao walikua wachamungu hadi Allah akawafananisha na malaika
@MohamedAhmed-xi5jk
@MohamedAhmed-xi5jk 10 ай бұрын
Quran imewataja malaika kwa majina haroota na maroota na sio binadamu kama unavyosema
@balkisamisi2131
@balkisamisi2131 10 ай бұрын
Kwani unataka kumkosowa Allah ?
@mohammedal7864
@mohammedal7864 10 ай бұрын
Sijamkosoa Allah Ila hao siwalimuasi Allah kwa kufundishwa uchawi na Allah amewasifu kwa kusema hawamuasi Allah na wenye kutuletea ujumbe wa ALLAH ni mitume tu kupitia kwa jibril a. a. Na malaika wt wanakazi zao alizowapa Allah
@wazirimakua12
@wazirimakua12 10 ай бұрын
​@@mohammedal7864Akhi, hao malaika wala hawakuasi.. Allah mwenyewe ndiye aliyewatuma kuushusha uchawi ili uwe mtihani kwa waja wake.. Ni kawaida yake Allah kutupima waja wake je tutakufuru au tutashukuru, je tutasubiri au tutakosa subra.. Kwahiyo hao ni malaika na malaika ni kweli hawaasi na wao pia hawakuasi bali walifuata agizo la Allah kuushusha uchawi duniani kwa ajili ya kuwapa mitihani watu na majini
@MohamedKimbwembwe
@MohamedKimbwembwe 9 ай бұрын
Quraan inasema malaika
@Am-vo5cu
@Am-vo5cu 8 ай бұрын
Waislamu ni dini ya majini tuu hamna lolote
@AishaAbbas-mw6ef
@AishaAbbas-mw6ef 8 ай бұрын
Km n dini ya Majin km usemavyo ww unae jifany mjuaji Sasa mawaidha yetu unayafata y nn n kwann ukoment? Oky Allah ukihifadhi n kinywa chako inshaallah
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 8 ай бұрын
Aisha dada yangu Malaika wafundishe Uchawi😂
@user-oy6jf7nr1j
@user-oy6jf7nr1j 4 ай бұрын
Sikiluza vizur mawaidha na km majini ni ndug zetu imekuaje na nyny mapepo mkakemea nijibu au umejisahahulusha😅
@saidiMsume
@saidiMsume 2 ай бұрын
Elewa maana ya neno "kukemea".Sisi tunawafukuza kwa sababu hatuna ukaribu nao lkn nyie mnaswali nao,mnawajengea vilinge,mnawaoa na kuwafuga pia.
@daudimichael7338
@daudimichael7338 9 ай бұрын
Allah alituma malaika wawili kufundisha uchawi? Haya bhana watu na dini yao😂😂😂😂
@lmaniash3268
@lmaniash3268 9 ай бұрын
Tuskilize mada ya sherkh othman na sio kichwa cha habar cha mwenye channel.
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 10 ай бұрын
kwanini waislam wana sali kwa luga ya kiarabu tu? Na kwanini mtu akibadili dini nakuwa mkristo anuawa? Ukiacha uislam nakuwa mchawi akuna kifo. And freemasonry nao wanafanya ivo ivo! mimi nina mashaka sana
@maimunasaidi
@maimunasaidi 10 ай бұрын
Wewe ni muongo uliza uelezwe vizuri hujaelewa
@mohammedal7864
@mohammedal7864 10 ай бұрын
Sio kweli Jaribu ww ingia ktk uislam kisha urudi huko uone tukikuua ndio utajua nikweli na tukikuacha utaamini kua warongo tu hao
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 10 ай бұрын
Hujausoma uislamu kwamaana Hy usiseme jambo ambalo huna elimu nayo Hao malaika wametajwa kwenye qruani, an nvema ujitambue kuwa kuwepo hapa duniani unasababu maalumu nasio kuwa umezuka TU bila sababu tumia akili acha mzaha, ukiendelea na mzaha utajuta
@octomontana4214
@octomontana4214 10 ай бұрын
Hakika ujinga ni mzigo na mtihani mkubwa!!jitahidi kutafuta elimu futa ujinga kichwani
@user-hx8bh1jt4k
@user-hx8bh1jt4k 9 ай бұрын
Ukitaka kujua jambo Fulani bas nenda Kwa wenye kulijua Ili wakujuze.Hawafanani wale wanaojua na wasiojua.Tafuta Elimu za Dini zote mbili,Yako na ya uislam Kisha utapata kujua ukweli ni ipi dini ya kweli ya kuifuata
@apexmombasa6809
@apexmombasa6809 9 ай бұрын
Ma sha Allah
@sadunabdallah7303
@sadunabdallah7303 10 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤
@balkisamisi2131
@balkisamisi2131 10 ай бұрын
Barakallahufiyk wallahi leo ndo naelewa sababu ya hao malaika kufundisha watu uchawi
@user-oy6jf7nr1j
@user-oy6jf7nr1j 4 ай бұрын
@Am-vo5cu unasema mujin ni ya waislamu..na mapepo ni ya nan niyababako au..mbona nyie mnakemea mapepo au hamlijuh hilo..ungeskiliza vizur mawaidha
HIZI NI DALILI KUBWA ZA KIAMA //SHEIKH OTHMAN MAaLIM
42:20
arkas online tv
Рет қаралды 59 М.
038 OTHMAN MAALIM HISTORIA YA NABII SALEH
1:02:30
HABARI MOTO MOTO TV
Рет қаралды 29 М.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 150 МЛН
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 2 МЛН
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Circle?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 50 МЛН
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 5 МЛН
KISA CHA NABII SHUWAIB NA UMMA WAKE //SHEIKH OTHMAN MAALIM
59:53
arkas online tv
Рет қаралды 48 М.
Othman Maalim - Alama za watu wapeponi & Nani Mhadi Mutadhar.
1:49:40
047 2 OTHMAN MAALIM   KISA CHA NABII ADAM
1:05:17
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 852 М.
KISA CHA MFALME MWENYEKUCHUKUA KILA MWANAMKE MZURI //SHEIKH OTHMAN MAALIM
39:44
KISA CHA NABII IDRISA NA MALAIKA MTOA ROHO //SHEIKH OTHMAN MAALIM
19:47
OTHMAN MAALIM.....VISA VYA VITA YA BADRI
3:01:33
ADELINK HABARI
Рет қаралды 116 М.
KABLA YA KUUMBWA DUNIA ALLAH ALIKUA WAPI?// SHEIKH OTHMAN MAALIM
42:18
arkas online tv
Рет қаралды 398 М.
Хорошее время было!
1:00
Дмитрий Романов SHORTS
Рет қаралды 1,1 МЛН
ФИНАЛ / 4х4 ЖҰЛДЫЗДАР ШАЙҚАСЫ
5:3:21
DOSYMZHAN
Рет қаралды 93 М.
Кому ты в больнице нужен? | 9 серия | Скорая
28:13