Mashalah ustdh shafi you are right I am from Kenya
@abuuzunayrah30292 ай бұрын
Ustadh Shafii Allaah akulipe firdaws
@AbdulkarimManguli18 күн бұрын
Allah akuzidishie shkh wangu Allah akupe mwisho mwema❤❤
@hafizmubarakmussa1780Ай бұрын
Ustaadh shafii Allah akuhifadhi
@twaibumikidadi73772 ай бұрын
Uislam haina unafiq ukiwa mnafiq hata kama mnafanya kaz pamojaa unaaambiwa umekosea hawa n waadhir wawili lkn kama unaleta uganga ktk Dini unaambiwa Mbogo ukae kimyaaa usilete urafiki ktk Dini Allah akuhifadh Shifiii
@augustomariosama1542Ай бұрын
Sawa kabisa shaikh shafiim wafikishie ujumbe hao wasiejitambua
@fundimorisho82302 ай бұрын
Kaka yangu ALLAH akuzidishiye rehma zake uyo sule amesha pinda juyanja nitapeli hata miyipopo aliyaongeya ayo
@abdallahjuma26082 ай бұрын
Wafundishe sheikh shafi
@salumsimai6422 ай бұрын
Yaaani umeswadikisha sheikh shafiiii mashaAllah
@shabanihugo83322 ай бұрын
Sheikh shafii pga kazi ,huyo DR Sule hafai hata kidogo
@user-xw5tf6xi4z2 ай бұрын
Allah akujaze kheri Shekh wangu Shafii
@alidingongo4432 ай бұрын
Uzuri wa uislam ukileta vitu visivyoeleweka unaambiwa peupe sio kanisa. Uislam ni utoe dalili sio ujanja ujanja
@richardmshiu51182 ай бұрын
Washirikina,, Hamna lolote.Hatusali na majini sisi.
@williamgabrielmassawe36542 ай бұрын
Mohamedi alitoa dalili gani?
@pascalvirgilio72082 ай бұрын
Sasa kanisa linaingiliaje hapo nyie majini😂
@pascalvirgilio72082 ай бұрын
Nyie mashekhe ubwabwa si mnaumoja kwann msifanye mdaharo kazi kubishana mitandaoni mnasikitisha kbsa
@adamhashim33522 ай бұрын
Hawa nahis. Wamekorifishana mihadhara hakuna@@pascalvirgilio7208
@user-zm6kz8mx5v2 ай бұрын
Ma sha Allah shafi ww kiboko
@nasrihussein42932 ай бұрын
Sikiliza kusema jini inat uh miwa na kila mtu hiyo sikweli from 254 kenya
@tanihsayyd85242 ай бұрын
Assalam alaykum warahmah tullah wabarakatuh. Alhamdulillah, masheikh zetu Allah kawajaalia elimu kubwa sana katika dini yetu ya uislamu na tunawaombea kwa Allah azidi kuwapa upeo mkubwa zaidi na zaidi, ili tupate kufaidika na sisi ambao elimu yetu ya chini. Ila tunawaomba mnapofahamishana kuhusu mambo flani ya kielimu katika dini basi tujitahidi tusiwe wenye kudharauliana na sikusudii kumtaja sheikh flani au nani bali nazungumzia kwa wote wale ambao tutakua tunafahamishana juu ya mambo ya kidini na kielimu zaidi. Tutumieni njia sahihi kwani nyinyi ndio viongozi katika dini yetu, tunakutazameni tunakusikilizeni ili tupate miongozo sahihi ya dini yetu. Sasa mnapodharauliana au kupeana maneno yasio na busara sisi tunaokusikilizeni mnatupeleka wapi?! Hakika huu ni mtihani mkubwa hekma ya mambo iko wapi? Kila sehemu unayoangalia ya masheikh sasahivi unakuta mambo ya kuaibishana, huyu kakojoa kwenye kitu, mara huyu hajui kusoma , mara yule hana elimu… Waislamu tunaelekea wapi mtu anapokosea mfundishe katika misingi ya hekma ili akuelewe na wengine wapate kuelewa. Shukran
@NM-rq9dr2 ай бұрын
Kweli kabisa
@paulmushi24282 ай бұрын
Hapa Sheikh Mbugila Mbugila na Sheikh Boxiiii kabisaaa😂😂😂😂
@Ambeniwatano2 ай бұрын
Enyi ndugu zangu katika imani swali la msingi majini wapo au akuna dunian kwa mujibu wa qruan mwenyezi anasema nimewaumba majini na binadamu ili wapate kunianudu naam kumbe majini wanajukum la kumuabudu mwenyez mungu kama ss na wanaishi dunian katika mazingira gani wengine wanakwenda mbali zaid wanasema tunaishi nao katika majumba yetu jamani inawezekana kipo anacho kisema dr sule katika muda ujao
@AbedRamadhanАй бұрын
shafii ww jeshi sn
@SmilingCondorBird-wo3wk2 ай бұрын
Ndio sheikh shafii waambie ukweli huyo sule asipoteze watu.
😂😂😂😂😂😂😂😂Hapa ni mwendo wa kujaza bando na kuchaji simu na kutembelea timu zote tupate madini waliyoyaficha siku nyingi😂😂 nasubiri party 2😅
@MassoudHamad2 ай бұрын
Mkae mutathmini uislam mnavyouendea, kila mmoja anajua yeye mwenzake hajui, kueni makini msijemkajikuta mnamuabudia shetani
@kassimomari75052 ай бұрын
Shafi mi nakukubali,uko na hoja za msingi
@user-zm8nq6xv8o2 ай бұрын
Ule sio Dr kuanzia leo
@alhimnamussasaid36192 ай бұрын
Kwa hiyo sheikh shafii umeamua kumkana rafiki yako role model wako, yote kwa yote dokta suke namuona kama anapotea njia amefsnya kiburi kidg ndugu yetu
@bekatng1006Ай бұрын
Acheni kiki za Wana muziki
@rahmamohammed96782 ай бұрын
Uongo siku zote huzihirika Subhuna Allaah
@AbubakarAlly-th6op2 ай бұрын
Sure ni mshirikina tu tubia kwa Allah aache itikadi za kishirikina
@19ddr2 ай бұрын
Kweli shee
@user-fy4op1sw2f2 ай бұрын
Naam Sheikh Shafi tupe vitu
@SolomomAdams-pf5zyАй бұрын
Wapuuzi hao hawajui Dini vizuri.. Dini siyo kuparuana na kujionyesha kuwa unajua kuliko wengine. Masuala ya kukaa chini na Kuya maliza mwajifanya kuongea hadharani
@hajiabdalla57722 ай бұрын
Huwezi kutumia kitu bila ya masharti mana majini wa kishetani nguvu hizo wanazo wa kukupa kitu unachotaka laki ujuwe kama moto unao mana utawaamini hao mazimwi bila ya mungu
@paulmushi24282 ай бұрын
Waislamu mnanipa rahaaaaaaaa!!! Timu kutumia majini na timu kutotumia majini😂😂😂 acheni mabishano Majini ni ndugu zenu Waislamu Sule yuko sahihi😂😂
@godfreydavid68472 ай бұрын
Kuweka mabodigadi wa kibinadamu ni uamuzi
@shabanimadobe9722 ай бұрын
Saizi tumefikia waislam kuzozana na wengine uganga ndyo maana sitaki dini ila na imani mungu yupo ctaki kupitia uislam mm yani waadhiri wakubwa lkn uganga majini mtupu
@RamadhanMgeni-gt1tuАй бұрын
Ao utaokumban nao Kwa sili nikina nani
@user-ry8bx1fr7v2 ай бұрын
Acheni kulumbana nyinyi dini haitak hvyo mbona Kila sku mitandao
@adamhashim33522 ай бұрын
Wahadhir nyote wapigaji tunawajua
@user-hd3pi3bc9v2 ай бұрын
Huyu mbogo ni bix box box tupu kweli katika dini✓
@uongohaunanafasi85722 ай бұрын
Kumbuka kwa mujibu wa sheria zetu za Nchi za makosa yakimtandao kumuatack mtu kwa kumtaja jina hali yakuwa uliye mshambulia haja kutaja jina ni makosa makubwa sana unaweza kwenda Jela ama kutozwa faini kubwa ili iwe funzo kwa chombo kilicho tumika na muhusika. Tunafatilia jambo hili
@MoBortionАй бұрын
Kwan huyo alotajwa hapo dunia nzima yupo peke ake tu!
@emmanuelomary17252 ай бұрын
MUNGU AWAPIGE HIVYO HIVYO WAPINGA KRISTO NYINYI MNAANZA KUPISHANA SASA NYINYI KWA NYINYI PUMBAAAVU
@BradothAdm2 ай бұрын
Acha matusi mpuuz
@user-ts1kz1lw9pАй бұрын
mrongo kofia ina dalili kwa quran Allah asema chukueni pambo lenu pindi munaenda msikitini خدوا زینتکم عند کل مسجد
@ismailally32192 ай бұрын
mbn ck hz mumekuwa mukikosoana live kwny social media. Je hamuon kuwa kuna poin munapoteza maan mda uwo mulokuwa mukikosoana kuna mwenqn hajuw ata kdq s mulikuwa mukawafundish awo
@shabanihugo83322 ай бұрын
Tusimtetee Dr Sule bali tumsuse hata kusikiliza mawaidha yake
@EmilyKamoto2 ай бұрын
Kimeumana
@thabitimkufi73882 ай бұрын
Huyu mtetea wa sule masikini hajui kitu anatia huruma
@jefwabaya26372 ай бұрын
Hii ya mashehe kuchakrizana wenyewe kwa wenyewe , kila mtu abebe msalaba wake
@godfreydavid68472 ай бұрын
Mzee Sule anajua ...unaongea uongo
@MusaRamadhani-wj2dw2 ай бұрын
Najua Kuna watu watapinga ila huu ndio ukweli shafii na sule shafii anaelimu ya dini kuliko sule na mbongo shafii Yuko vizuli kiasi chake
@rezikomer95522 ай бұрын
Jamani mashekhe wazuri sikizaneni nyiyni muhimu wacheni kufata anawakorofisha sheitani anawahusudu sheitani wacheni kulipuwana kwa kitandawo jayeni face toface mujadiliyane makosa niwapi mitandawo mwafurahisha mahasidi wakisilamu tafadhaliqacgeni kupigana kwamitandawo
@aishaarusha8942 ай бұрын
Sule agongolewe misumari kwakweli
@AbubakarAlly-th6op2 ай бұрын
Mpambe wa sure hajielewi anajigonga gonga tu ndivyo walivyo waovu kujigonga gonga tu acheni ushirikina
@nasrihussein42932 ай бұрын
Wewe mrongio ogopa uhai unayo sasa kesho huna
@abdallaabdalla9982 ай бұрын
Duh sauti ndio sna
@user-bo1ew3xq6w2 ай бұрын
Tulikua tunaomba mashekhe musichambane na kulaaniana kubwa zaidi tuombe kila mmoja wetu awe na mwisho mwema alafu haya mambo nibora mukayakalie faragha kuliko kuchambana kwa mitandao haya mambo yanaonekana hayataisha isipo kuwa mutatufuruga sisi waumini wadogo.
@richardmshiu51182 ай бұрын
Timu majini na timu isio tumia majini,, nyie ni washirikina.majini ni ndugu zenuu
@kalamamuller-qe1yd2 ай бұрын
Sheikh shaf huyu kaka yako sule na kundi lake wote ni wapuuzi tu
@fredyunga21382 ай бұрын
Huu ndo uislam.
@MukulasiKapela2 ай бұрын
Shee shafii pambana nawewe ununuwe v8
@odilomwemeziernest6462 ай бұрын
Aende kwa Sule amgawiye jini moja limuletee fedha.
@adamhashim33522 ай бұрын
Hahaaa hawa. Wanaoneana choyo
@thedriver.michael.39752 ай бұрын
Sule ni mganga wa miti shamba ameuacha udini mbona aongelei malaika? Mlinzi wetu ni allah
@aljalilatiba98732 ай бұрын
QURAN NA MASHEKHE WAKUBWA KIPI BORA HEBU TUANGALIE KTI QURAN SURATUL JINNI ALLAH ANASEMAJE. AYAH YA 6 ALLAH AMETUKATAZA SISI KUTAFUTA ULINZI KWA WANAUME WA KIJINI TENA WALA HAJAZUNGUMZWA SHETANI ILA IMEZUNGUMZWA JINNI MOJA KWA MOJA وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
@Kuminamoja19952 ай бұрын
Bora mwisho mwema tu
@nubianqueen67002 ай бұрын
Hawa watu lakini hawajalipwa??? Mnajua qiyama inakaribia na maaadui wa waislamu ni wengi hata wanajificha kwa uislamu, Quran iliwataja. " Munafiqeen" musimuamini kila mtu eti ni muislamu.
@SALUMCHALO2 ай бұрын
Ww shafi box. Kama kuna malaika wanakulinda pande zote inakuwaje mtu unakumbwa namatatizo namalaika wapo
@omarymbonde67482 ай бұрын
Wanamlinda kwa amri ya Allah
@ismailally32192 ай бұрын
maaan elim ni kina kiref so ww una uhakk gan km unavosem ni sahihi km nini mtfut uyo doctor uonqe nae ikiw wewe unaona kuwa amekosea s ndy am v
@user-pg4qx1sv5x2 ай бұрын
Tatizo Dr.Sule yuwaishi maisha ya juu ndo jealous zote hizo. Mnawafaidisha makafiri2
@fundimorisho82302 ай бұрын
Unafiki washafi ni kumteteya ALLAH usicoki kakayangu pambana kwajili ya ALLAH wajinga wapo sikuzote
Ndo ujue waislam hawataki Mambo yaajabu kwenye din
@edwardbenard45782 ай бұрын
Hata uwe shekh waaina gan ukiongea porojo kwenye din lazima uambiwe sio Kama wakristo kilasiku kunamitume na manabii lakin hawambiwi wanakosea
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
Yaani Sule kaamua2 kuichafua dini sio kama hajui
@JeanMuzaliwa-bs6qh2 ай бұрын
sule nimfanya byashara ndani ya dini!
@halidimgonza59452 ай бұрын
Acheni upumbav buana km kuna mtu kakosea si kaeni chini muelimishane ili yaishe ya nn mashekh wazima kutwa kusemana kwnye mitandao hii dini mnaipeleka wapi? waislam tunapogombana wenyew makafiri wanafurah na kuzid kupata nafas ya kutubomoa
@JeanMuzaliwa-bs6qh2 ай бұрын
ni dini yaungo ndio maana!
@adamhashim33522 ай бұрын
Wacha wafrahi mi nilijua wanaingia peponi
@aliyyuhibu35612 ай бұрын
kiukweli majini wema inafaa kutumia vitabu vya maimamu wakubwa wana sema ivyo
@aljalilatiba98732 ай бұрын
QURAN NA MASHEKHE WAKUBWA KIPI BORA HEBU TUANGALIE KTI QURAN SURATUL JINNI ALLAH ANASEMAJE. AYAH YA 6 ALLAH AMETUKATAZA SISI KUTAFUTA ULINZI KWA WANAUME WA KIJINI TENA WALA HAJAZUNGUMZWA SHETANI ILA IMEZUNGUMZWA JINNI MOJA KWA MOJA وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
@suleim5052 ай бұрын
inapendezazaaidi ukatutajia kitabu ambacbo kinaeleza kuruhusu matumizi ya majini
@faudhiasaidi36692 ай бұрын
Na ikija RAMADHAN mnafungaga ivi ivi na mnachukiana 😢astaghifilullah
@bakarikaoneka10802 ай бұрын
Shameful
@odilomwemeziernest6462 ай бұрын
Munaangaika kuutetea kwa sababu hauwezi ukajitetea mwenyewe.uzuri wa ukristo unaambiwa kwamba hiyo njia siyo ukishupaza shingo mwenyewe anamiliki roho anamngojea siku ya mwisho.hajatwambia tupambane na mtu anayeamua kufanya anachotaka.
@saiddgsmg2 ай бұрын
Acha unafiki wewe shafii elimu yako ni ya unafiki tu,acha kumletea dk sure majungu yako.
@aishaarusha8942 ай бұрын
Na wewe una miliki au sio😊
@faudhiasaidi36692 ай бұрын
Mashekh watanzania mnatuaibisha kila siku mnachambana mitandaoni amna mnachofundisha
@peteramollo53292 ай бұрын
Jamani mimi si Muislam lakini nachukizwa na huu mjadala baina ya hawa Mashekh hadharani kwenye media. Haya mnayofanya si mafunzo bali mnaonyeshana ubabe na kiume. Tafadhali sana kaeni faraga muelimishane ili mkitoka nje muwaelimishe mahamuma. Wacheni kujiaibisha mashekh. Jaluo kutoka Kenya
@faudhiasaidi36692 ай бұрын
@@peteramollo5329 Ndio maana mm napendaga kufatilia mawaidha ya akina shekh OTHMAN MAALM na SHEKH HAMZA MANSOUR hawaongeagi yasiyo na maana mitandaoni ila hawa akina shafi wanaitana adi mabox
@saiddgsmg2 ай бұрын
sheh shafii wewe ni mnafiki tu huna lolote
@EmmanuelJulius-vw2dl2 ай бұрын
Wafuasi wa mwokozi wetu Yesu tunaenjoy tu kuwaona marafiki za majinn wakibishana na kutoana akil😂😂😂😂
@coyancodavao40042 ай бұрын
Endelea kujidanganya
@aishaarusha8942 ай бұрын
Sawa si majini nyinyi ni mashetwani kabisa ayakuusu imanuel nyinyi ndo mnayafuga mpaka kanisani kila siku pepo toka na haya toki
@coyancodavao40042 ай бұрын
Endelea kujidanganya
@paulmushi24282 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 Hapo lazima timu tumia majini lazima ishinde maana majini ni ndugu zao wa kiimani 😅😅😅
@haidarsaid68002 ай бұрын
Uwo ndo uislamu hauangalii mtu yyte ataenda upande basi atapinduliwa so nyinyi mnaambiwa uoneni na papa wenu fateni😂
@user-ry8bx1fr7v2 ай бұрын
sasa hayo mambo mabodigad yanatoka wapi ww shafii chuki za wazir hizo
@alidingongo4432 ай бұрын
Anajibu hoja kua mpole
@mohdkhatib2232 ай бұрын
Wewe ni mshirikina na ni mfuasi wa doctor wa mchongo sule
@user-ow2jv4vn8b2 ай бұрын
Shafii umevurunda kuhusu suleimani na pete hapo elim yako imeishia hapo
@omaryjumas63272 ай бұрын
Shafii Muislamu yeyote anatakiwa awe muadilifu kwa kukubali makosa pale anapokosea mbona wewe unajifanya hukosei? Tulikuuliza swali kuhusu fatwa uliyoitoa kuhusu kadhia ya Harmonize. Jee! Kati ya fatwa uliyoitoa wewe na ile iliyotolewa ma BAKWATA kuhusu kadhia ya Harmonize, ni ipi fatwa sahihi? Tunaomba majibu. Mbona unakwepa kujibu hili swali?
@user-id1gz3ng3k2 ай бұрын
Sule ni kafiri akuna mwisilam na majini
@halimaa9367Ай бұрын
Dkt sule nimsaniii Kwa sasa sio shekhe tena ane tembea na bodigad sio shekhe nimsanihi